Nikweli kabisa jamaa anajuwa vizuri ccm kwahyo skujuwa spika angeficha hoja za mpina ndiyo maana unaona alisema mapema kwenye Media Ukumbuke Ndugai aliwahi kusema ukweli akafanyiwa yale
Daaah naumia sana yani kwasababu viongozi wanaotupigania ndo wabaya mbele ya viongozi wote mliochangIa kukandamiza mpina nimewasikoliza kwa umakini hakuna cha sheria wala nn ni chuki tu walizonazo juu ya bro mpina
Spika tumeona umemwajibisha mpina sawa umeshinda , lakini kama n mzalendo nawewe tunataka tuone sasa unafanyia kazi ripoti ya mpina tuone majibu yako tukujue kama upendi ufisadi au ni kama ndugai tu nawewe mana mh sita ndo aliliweza bunge hilo lkini wote nyie mnaficha mambo sana sasa sjui kam mh rais ndo mwendo wake nayeye au raha ngoja tuone ripoti hyo ikifanyiwa kazi
Aliye wajibishwa ni Mpina mmoja wa Bungeni. Bado kuna Mpina Wengi huku Mitaani. Wakati wabunge wanamyooshea kidole Mh Mpina. Wananchi wanakosa huduma Kwa Mgomo wa Wafanyabiashara na hakuna Mbuge aliyeguswa na hilo Kama ni Jambo la Dharula lijadiliwe Bungeni.
Makonda alisema mtandao wa mafisadi ni mkubwa na wanaumoja Sana ukimgusa mmoja waooo.. Sie kama wananchi tupo pamoja sana kiongoz mzalendo wetu mpina, Mungu akulinde
MIMI NASHANGAA SANA MTU MKWELI HAKUBALIKI HII NI AJABU KABISA. NA NDIO MAANA WAAFRIKA TUNADANGANYWA KWAMBA YESU NI MZUNGU NA SISI TUNAKUBALI TU! AFRICA IS A WONDERFUL CONTINENT.
Mwabukusi ulisema mpina kwa jinsi alivyoonyesha uzalendo, wakimfukuza Bunge , sisi tusimame naye kumlipa muda wote akitumikia azabu. Tunakuomba maelekezo.
Mpina ameadhibiwa kwa ukweli.Nchi imeadhibiwa kwa kupigwa kwake Mpina.Mungu pekee ndiyo wa milele.Wananchi ni bora kumwombea Mpina kuliko kuliombea bunge.
Kuna haja ya kutokuwa na bunge moja. Mkoa unapaswa kuwa na bunge lake. Ili uwakililishe uadilifu wa mkoa pia. Pia Shinyanga hatuna wabunge. Mbuge wetu mpendwa mmemtoa bungeani alipaswa kubaki kwenye bunge la mkoa.. ili muendeleee na bunge lenu huko Dodoma.. la kutete hoja zenu mnazopenda kusikia
Bunge letu halina maarifa kabisa yani ukipiga makofi ndo una maarifa brother nenda kapumzike tutarudi na ushahidi wa kutosha sheria zenu hizo mlizotunga katika vitabu vyenu ni hakuna kitu kabisa yani
Najiulza kama kuna watu waliiba kwenye riport ya CAG na bunge halijatoa adhabu hata moja.Je ni kweli kabisaa kuwa mpina ndio ana makosa kuliko wengine?Wapambanaji hawachoki atarudi
Ameonewa kwani alitoa hoja nzuri na yenye mashiko lakini kamati ya maadili ya bunge la jamuhuri ya muungano wa TANZANIA na baadhi ya wabunge wachache wameamua kusema mpina atolewe nnje siyo haki mpina akate rufaa
ninacho Amini mpina anasakamwa si kwa hoja hiyo na watanzania wengi hawafahamu ni kuwa mpina anasakamwa kwa sababu alisema kifo cha makufuri kichunguzwe,na kutoka hapo kikosi cha mauaji ya raisi wetu kilianza mkakati ya kumumaliza makufuri,na kwakuwa wamesha jieneza kwenye mamlaka na hivyo ndiyo mana hayo yanatokea,lakini mungu yupo na atatuvusha kwenye mzingo mzito huu wa wahuni wachache zindi ya nchi yetu
BUNGE LINAHITAJI TUKIOMBEE SANA ILI WABUNGE WAMJUE MUNGU NA KUACHA CHUKI, JAZIBA NA WIVU, BUNGE LETU LIKO KISHABIKI SANA BADALA YA KUWA BUNGE LA MASLAHI KWA TAIFA.
Kumfungia mwakilishi wa wananchi, mnamuadhibu mtu au mnaadhibu aliowawakilisha? Hii nchi, waovu ndiyo wanaotetewa na wema na wanaotetea wananchi ndiyo wanaokaangwa.
Kaka Mpina rudi jimboni upige kazi kisawa sawa sisi Watanzania ndivyo tulivyo chuki choyo na kupenda kuabudiwa ndio asili yetu Mungu yupo nawe corrupt na mabwanyenye ni wengi