Тёмный

MUSUKUMA amraru MPINA kwenye hukumu yake, MPINA ashindwa kujizuia asimama kuongea 

Habari Digital
Подписаться 1,2 млн
Просмотров 42 тыс.
50% 1

..................
Kwa taarifa zaidi subscribe channel yetu na endelea kutufuatilia kupitia mitandao ya kijamii
Instagram, Twitter na Facebook

Опубликовано:

 

23 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 408   
@henericolinda
Viva mpina mungu akulinge na aku bless
@user-gc1ez1yv4k
Msukuma kumbe ni jitu la hovyo,vile mnamtetea huyo msomali wenu,ndiyo tuliyowatuma?Tuna ina imaani na MPINA.
@HashimuAbubakar-ej8gc
Mpina akiwa waziri wanyonge tulikula samaki Leo samaki inaliwa na tajili mpina uko sw
@ZakariaMnzava
Yani wangejua kuwa wanampaisha kisiasa alafu wao wanajishusha hadhi wao wangeacha kuropoka
@frbm1729
Kajamaa haka Nako kanaropokaga ropokaga tu Kapoyoyooo Fulani.
@pauljulius7615
Mpina akili kubwa kuliko Msukuma😂😂😂
@manaxelukama2926
Musukuma nae Kawa mdembwedo MR MPINA jembe hili Mungu amulinde
@user-eg1pk1sw4j
Kwa jina la yesu mpina atarud bungeni 2025 tena Kwa kishindo na Kwa uwezo wake yesu HAO wanafiki wote hamtarud bungeni 2025
@johnmalembo6464
Msukuma Msukuma..... Msukuma kasheku... Hujui kuwa hujui... Watz tuko wengi hayo ni mawazo yenu. Wananchi tunasemaje.....alicho wasilisha hatungekijua kama asingekisema
@MathewNathan-yb2bz
Hatuna bunge bali tuna genge la maharamia
@gabrieltheodory4090
Huyu Msukuma kwa Sasa Hana hoja.
@mfalmekaitaba2425
Mm niko bega kwa bega na Mpina
@alanusrespicius1796
Sisi watanzania na Mungu tuko pamoja na Mpina. Wengi wenu wabunde ni madwanzi tu
@bcozhenry2698
Mpina ndiye mshindi kwenye game ya kutetea wananchi, mnaomshambulia ni watetezi wa matumbo yenu tu hilo tushalijua wapiga kura
@johnmwakajila9569
Msukuma ni moja ya wale viongozi Nyerere aliwahi kusema wananunulika..Msukuma amenunulika sasa yupo team kikwete
@ZakariaMnzava
Mpina usiogope unajeshi kubwa la watu nyuma yako
@gasparlubaga5866
Huna maana yoyote wewe Msukuma na nimekushusha mpaka mwisho kwa unafiki wako,hufai kuwa Mbunge hata kidogo
@cloudngoko.2679
Mimi niseme ingekuwa kumchagua mtu bila kadi ya ccm , chadema ,ACT ama chama chochote basi jimbo la kisesa MPINA anashinda. Kama hujui watanzania wanataka nink basi tujaribu siku moja hiyo.
@OscarRabison
Kasheku Kwa sasa Hana jipya,
@hamidabarraball3162
Huyu msukuma ni Fala sana
Далее
MBUNGE MUSUKUMA ALIVYO MTOLEA UVIVU WAZIRI MPINA
5:40
Просмотров 300 тыс.
BUNGENI: MBOWE VS MAJALIWA KUHUSU SHAMBULIO LA LISSU
12:23