Msukuma Msukuma..... Msukuma kasheku... Hujui kuwa hujui... Watz tuko wengi hayo ni mawazo yenu. Wananchi tunasemaje.....alicho wasilisha hatungekijua kama asingekisema
Mimi niseme ingekuwa kumchagua mtu bila kadi ya ccm , chadema ,ACT ama chama chochote basi jimbo la kisesa MPINA anashinda. Kama hujui watanzania wanataka nink basi tujaribu siku moja hiyo.