Kwa kweli hakuna mjinga mkonde,shafii ama mafii vyenye unajiita sasa ata ukirudishiwa msemo ndio Nini na tayari tumesikia kutoka kwa Steve wewe ni mtoto Ndogo sana,huyu dame reporter nampenda sana❤ watching from Kenya Nairobi
Shafii wew wa juzi tu hapa unaanza kusema maneno yako na daftari mkononi kisha kuchana uko tiktok , na huo msemo ni wa steve mweusi acha ujinga wew heti sasa unaanza kuvimba mwizi wew😊
Acha wivu,ugomvi haujengi maneno tuu mtu kayatumia ili kuendesha kipaji chake hv nmisemo mingap wtu huongoea je umetumwa kumharibia mwenzio ndo uchawi huo
Kwani kuna mtu anachaguliwa la kuongea au makubwa sasa kwa nn wewe usiseme na ukaenda uwo msemo wako ulikuwa unasubili nn ebu tuachie Steve wetu cefuu😊😊
Shafi sisi kama team la Steve mweusi 🇧🇮 hutuwezi 😂🤣🤣🤣😂 kwanza kitumbo kuoga Aaaah twambie kaimba lini ?? Mbona wewe huna video hata moja ukisema msemo wake
Leyne MMI hapa nina ukweli kati ya hawa ma comedian wetu,,,Ukwwlii ni kuwa kama SHAFFI anasema kuwa huo MSEMO ulikuwa wa kwake,,,mbona hakulisema hapoo mwanzo WATU walijuee,,kwa sababu MSEMO HUU HAPA cha kuokota sio cha kuiba,,,,kama kwelii anasema ni lake mbona hakulitumiaa sana KWENYE video ZAKEE WATU walitambuee ,,ni bora SHAFFI a lilie haki yake kama kwelii ni YEYE ndiye aliyetandaza huo MSEMO ukajulikana kupitia mdomo wakee ,,sio tuu baada ya Kelisema MSEMO wakiwa WOTE baada ya MSEMO kutandaa anasema ni ya KWAKEE huo ni uwongo mtupu SHAFFI AWACHE KUTAFUTA KIKI KWA MWENZIE NA KUMHARIBIA JINA BURE TUUU,,,kama kwelii anasema Steve mkubwa wake .mbona Sasa anamwita MWIZI UJUEEE STEVEMWEUSI NI MSANI MKUBWA ANAYEJULIKANA ZAID I YAKEE KAMA ALITAKA TUU KU TREND LIMESHA TREND A WACHE KUMHARIBIA MWENZAKE JINAA ANASTAHILI KUOMBA MSAMAHA KAMA KWELI STEVE NI MKUBWA WAKE WAKETI CHINI WAZUNGUMZEE WAMALIZE UTAAATAA
Akakatoto nikawapi marayakwanzakukasikiya eti ni shafi katowe kitambi pale humjuwi Simba Kiraka bwana mkubwa duniani hatasisi wa USA tunamujuwa stive ila shaifi mushamba kweli
Na nyny waandishi mkiwahojihoji kuhusu ilo jmb ndo mnazidi kulikuza,acheni kuwahoji juu ya mmb ya kijinga wanayoyafanya km hayo ili nayo yaishie haraka bana.
Wewe fala 2 huo msemo mbona kabla ya Steve kuusema hatukuwai kuuskia usambae mtandaoni umekula wako mjinga sana wewe na mashavu Yako hayo ningelikua serikal ungejua mnatia aibu nchi yetu cheki rasta kama mizizi ya njugu mawe