Kiongozi Nanauka nimefurahi sana kuipa hii. Ni kila siku ninakusikiliza na nimepiga hatua kubwa, tena nimewahamasisha wengi wakusikilize. Mungu akubariki sana.
Sir Joel,, nahis bado vijana wengi hawajui uwepo wako mkuu,Kiukweli Vijana wengi wanamawazo ya kutaka kufanikiwa,lakin elimu ya Ya jinsi kupalilia au kufikia hayo ndio Hawana kabisaaaaaaaaaa... Mungu atusaidie
Nimependa sana video zako hasa za biashara Ningependa muongozo juu ya kutumia pesa za biashara kwa mahitaji ya nyumbani yote kabla biashara haijanawiri sana.Ni lini zaweza kutumika hivyo? Grandma from Mombasa Kenya.
Kaka mm nna shida kubwa na nahitaji ushauri wa kila siku kila siku maana hali yangu ni mbaya ya msongo wa mawazo nahisi km sina thamani duniani tatizo sina mtu wa kumuamini isipokua nimekuona wewe kaka .naomba namba ya sim kaka