*MWILI WA SELEMAN MFUNGWA WA MIAKA 30 JELA KWA SASA UMEHARIBIKA SANA..AMEPASULIWA KICHWA VIBAYA SANA MPAKA UBONGO WOTE UMEMWAGIKA..MWENZAKE BODA BODA AMESHAZIKWA MAANA WALIUWAWA YEYE NA BODABODA WAKE..SASA MWILI UPO VILE VILE KAMA WALIVOUKUTA BARABARANI PIA HAUJAOSHWA WALA KUCHOMWA SINDANO YA KUZUIA KUHARIBIKA..TUNAOMBA RAMBI RAMBI HARAKA TUKAUCHUKUE KIBAHA TUJE KUUSITIRI HARAKA IWEZEKANAVYO..* *TUMA MCHANGO WAKO HAPA TUWAHI KUMSITIRI* 0769364674 *HUSSEIN NKANA* *VODACOM MPESA*
Inna lillah wa Inna ilayh rajiun 😭 eeh jamani hizi NI dalili zote za nyakati za MWISHO 😰😭kila MTU Kwa nafasi yake tuombe mwisho mwema hatujui siku ,mwaka ,DK,wala mwezi.HADI NAIGOPA WALLAH 😰☹️😔
Msiba umeniuma kupta yote inaletwa umu huu wa uyu kaka ..wanaotangazwa wot wanaugua wanakuf lkn seleman wet uliletwa hapa tukahuzunika na tukalia kwa maisha yako na umeniliza na kifo chako ila kaz ya mung hanamakosa niseme Alhamdulillah kwa ili bikhosn lkhatma ya Allah😭😭😭
Mm tokea niishi oman najiskia raha wallah nalala kwa amani yote lkn nilipokua znz nyumbani loh tunaingiliwa na wizi kila siku mpk mtu unalala kwa wahka uck mzima unakesha apa nalala hata mlango sifungi hakuna anaekuuliza lkn Tanzania yetu inatisha wallah na kwasababu haichukui hukumu mbona uku watu wanaishi kwa heshima zote uku itokee mara 1 kwa mwaka na itokezee maana ukiua kusudi unauliwa umegonga mtu unalipia pesa sio ndogo mirathi inagaiwa kwa haki.
SubhAllah Innallah wainailah rajoon ewe mwenyeezi tunakuomba umuepushe na moto wajehanam umuondolee adhabu ya kabur na uilaze roho yake mahala pema peponi🤲🤲🤲
Innalillahi Wainnah Illahi Rajiuun,Allah amrehemu ampe kauli thabiti,poleni sana Timu Maximum TV,masikini hana bahati na Dunia😥😥kasota jela miaka,katoka hata muda wa ku'enjoy maisha yake bado kauwawa!inauma kweli masikini binti yake alifurahi kuungana na babake,lkn baba kaondoka machoni pake muda mfupi tu'Allah amrehemu,watu wabaya!bora ukutane na mnyama hatokudhuru' kuliko kukutana na binadamu
Nawaomba sana serekali yenu iyongeze doriya au ulinzi kila sehemu za hatari na kuwe na check point kila siku na kila mahala panapo hisiya za mauwaji ya kikatili mungu atawapa hapa hapa duniyani malipo ya kumkatili suleiman watabainika tu damu nzito kuliko maji inshaala myeezi mungu karimu yupo peponi suleiman
Innalillahi Wainnailaihi Raaji'un.Allah amsameh ampe kauli thabit.Matukio yamekuwa ni mengi Shetani ametawala nafsi za watu mpaka wamekuwa kama wanyama
Inalilahi wainailihi rajiuuni jajani duniya haina huruma nini kosa watu hata wakamuua jamani kumbe bora engekaa kulekule jela hadi roho inaniuma punzika kaka mungu akupe kauli thabit kwenye kaburi lako