Kuna funzo hapa always so vzr kumzoe mtu mapema na kumpa nafasi ya kuwa karbu naww pasipo kumchunguza vzr kwamba n mtu wa aina gan but all in all pole sana kijana mwenzetu😢😢
Pole sana kakaangu Tariq kwa mapito yako, But ALLAH ana makusudi ya wewe kupona kama kuna mabaya ulifanya au ni husda za watu basi rudi utubu kwa Muumba wetu .
Inawezekana hilo lijamaa lilianza kumfuatilia huyu mshikaji muda mrefu mpaka likagundua anapoishi na likahamia hapohapo ili liweze kumpata jamaa kirahisi.
Siamini kama mwanaume ndo anaongelewa hvi ama kweli tupo mwishoni mwishoni mwa zama hizi,,mwisho wa kiumbe mwanadamu upo mbioni tusiporudi kwenye misingi
Hii ni shida tuchunge sana kuamiliana na madhalim. Hakika hii ni dhulma kubwa mno hyo jamaa anafaa kuuawa🤔 hawez mharb mwenzake ivi aki woiye nmeumia sana😢
Story mwanzo ingine na sasa baada ya kurise vitu vya hizi taasisi tukabadilishiwa juu kwa juu kikubwa mche Allah kwasababu ukweli unaujua mwenyewe na hutausema wote .......
Jamaa alikua shoga na bado aliona wivu kisa tariq alikua anapendwa na wanawake wenye hela💴💸💸 akaamua amtumie wahuni wamfanyie ukatili sema pole bro mi mwenyewe naishi kwenye hcho chumba apartment ulipokua unaishi shant apo
Acha uongo jmn, ww si ulisema hujui ni nani na kwann umemwagiwa tindikali... sasahv mbona story zinabadilika unaleta hbr za ushoga jmn!? tulosikia interview ya kwanza kbs na ndugu zako hospital hii story haikuwepo na uliulizwa ukasema ni uongo hujui mtu alokufanyia hvyo... Binadam jmn 🙌🏾 ili tu atrend 🤣
Hawa jamaa tunakutana nao sana hasa hasa humu mitandaoni,chamsingi likikuletea hizo pigo unaliskip unafanya mambo yako,ulipofeli wewe ukamcharazia kwa wanao ndo mana akakumaindi akakufanyia hvyo..ila hawa jamaa ni wapo wengi hadi sio poa
Huyu jamaa ni muongo hiyo stori ya mambo ya kishoga ametunga ili alipize kisasi kwa mtu anayemshuku ili amchafue na kumuangamiza. Wengine tuna kumbukumbu sana huyo aliwahi kuhojiwa mara kadhaa na alisema hajui ni nani amemwagia tindikali na sababu haijui. Anaongea mambo ya kumzushia huyo jamaa ushoga sababu in Tanzania ushoga ni today’s trending topic. Kuna mambo umefanya hadi kumwagiwa tindikali au chuki tu za wanadamu ingawa sio sahihi mtu kukumwagia tindikali
@@denisimaliyaweni9183 kusikiliza uongo mkuu huyo mwamba alihojiwa mara kadhaa baada ya kumwagiwa tindikali na hakuwahi kuongea hivi, sasa sababu ushoga unapewa sana airtime Tz na unatrend ndio anakuja na mambo ya ushoga ili akazie ushahidi wa kunywagiwa tindikali