Тёмный

Tariq Aeleza Alivyokutana na Mwanaume Aliemtaka Kabla ya Kumwagiwa Tindikali 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 124 тыс.
50% 1

Tariq Kipemba akieleza kabla ya tukio la kumwagiwa tindikali namna alivyokuwa akiishi

Развлечения

Опубликовано:

 

3 апр 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 204   
@cadabra7402
@cadabra7402 Год назад
Pole sana mzee baba , sema nini jamaa Ana voice ya utangazaji kama vipi mpeni kipindi apo atatisha sana apo.
@epifaniamboya8861
@epifaniamboya8861 Год назад
Kabisa
@jacklinmacha2964
@jacklinmacha2964 Год назад
Upo sahihi sana
@jacklinmacha2964
@jacklinmacha2964 Год назад
Utangazaj ni umependeza san
@mwanah3643
@mwanah3643 Год назад
Sana
@floranusgwau7122
@floranusgwau7122 Год назад
Umesema kweli
@nanceaidan6622
@nanceaidan6622 Год назад
Pole Sana na MUNGU bado una nafasi na muda uliopewa na MUNGU shukuru na jipende zaidi ya awali💜💯
@benedictinelusambo069
@benedictinelusambo069 Год назад
Kuna funzo hapa always so vzr kumzoe mtu mapema na kumpa nafasi ya kuwa karbu naww pasipo kumchunguza vzr kwamba n mtu wa aina gan but all in all pole sana kijana mwenzetu😢😢
@hatiamfaume-qo6zd
@hatiamfaume-qo6zd Год назад
Pole sana wajina wa mwanangu allah akuponye inshallah
@westchugagang5323
@westchugagang5323 Год назад
MPENI JAMAA KAZI ANATANGAZA POA SANA 💪💪💪💪💪💪🙏🙏🙏☑️☑️☑️ APEWE KAZI YA UTANGAZAJI
@benernest5125
@benernest5125 Год назад
Asome kwanza Journalism!
@KevinDeus-fw6bs
@KevinDeus-fw6bs Год назад
Pole sana kaka utakuwa sawa me kelvin from bukoba
@ruthminja8605
@ruthminja8605 Год назад
sauti yake nzuri naweza kumlinganisha na millard 🔥
@FatmaMbarouk-zp3ev
@FatmaMbarouk-zp3ev Год назад
Kweli kabisa saut yakekm ya miladayo
@fatmayusuph6490
@fatmayusuph6490 Год назад
Pole sana tarick allah atakuaf ishallah but una bonge moja la vokal
@nusrathmanyawa4501
@nusrathmanyawa4501 Год назад
Pole sana kakaangu Tariq kwa mapito yako, But ALLAH ana makusudi ya wewe kupona kama kuna mabaya ulifanya au ni husda za watu basi rudi utubu kwa Muumba wetu .
@elizabethmapunda
@elizabethmapunda Год назад
Alifanya kitendo icho dhambi itamtafuna hadi anaingia kaburini
@davidnyaonge2035
@davidnyaonge2035 Год назад
Maneno haya na ya Dkt Mwakyembe yana link siri yaushoga inasaportiwa na watu wa maghalibi kupitia NGOs....
@naomikatharinaandrewmnkai6760
Kweli
@paschaziaignas6984
@paschaziaignas6984 Год назад
Maskin he is very handsome jaman Mungu ambariki hyu kaka na ampe aman ya moyo
@jrsaid4270
@jrsaid4270 Год назад
Yupo single mbaya vp washa Bluetooth nikuunganishie
@vumiwilly5625
@vumiwilly5625 Год назад
Ameanza kurudi kwenye uwalisia tena bado mzuri tu🙏🏽❤️
@patricemichael6743
@patricemichael6743 Год назад
Poleee sana mshikaji nasauti nzuri san ya kutangaziaaa
@ShamsaHamisi-rd8cc
@ShamsaHamisi-rd8cc Год назад
Pole Sanaa ❤️
@faridajuma8872
@faridajuma8872 Год назад
Alaisallahu biahka mil hakim (hasbillahu waniimal _wakil)
@briceking24
@briceking24 Год назад
am so sorry bruh.....worry out Mwenyezi Mungu atakuonekania2
@seciliasebastian6014
@seciliasebastian6014 Год назад
Nyie nnae sema uongo utafikiri mnayajua yaliotokea 😏 acheni mtu aseme ukweli kutoka moyoni mwake fungeni bakuli zenu.mnakeraaah na pia halinawakuteni...
@janethmgonja409
@janethmgonja409 Год назад
Pole mate
@shersaid7988
@shersaid7988 Год назад
Sauti yake kama ya Moj
@mannyboytz
@mannyboytz Год назад
Daaah mzee pole Sana Ila ongea na clouds wakupe mchongo hao ni watu wa michongo
@LuCyAloyce-ty9mu
@LuCyAloyce-ty9mu Год назад
Pole Sana Kaka utapona
@carolinemariki4029
@carolinemariki4029 Год назад
oooh Tariq Mungu ni mkubwa
@abuomary8715
@abuomary8715 Год назад
namuonea huruma aisee Tariq Allah akufanyie wepesi bur Sasa story zake zipo mbili tuelewe ipi
@kulwanzobe7657
@kulwanzobe7657 Год назад
Pole Sana Kaka mungu atakusimamia utapona.
@fathmamwkto9250
@fathmamwkto9250 Год назад
Pole kkaa mmm Jamani binadamu twajisahau wamfanyia mwenzako unyama kanakwamba utokufa pole kakaa
@engelasimwe938
@engelasimwe938 Год назад
duh inauma sana jaman haya maisha sio pole kaka angu utapona
@raheliezekiel2913
@raheliezekiel2913 Год назад
sauti tu😘
@amriyalibent5900
@amriyalibent5900 Год назад
Pole sana tarik
@hafidhileylahassani1802
@hafidhileylahassani1802 Год назад
pole kk utapona
@tabithamathias8370
@tabithamathias8370 Год назад
Pole sana kaka
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 Год назад
Mungu wangu pole sana jamani
@josephinemuselu-eq8ke
@josephinemuselu-eq8ke Год назад
Kah jamani alikuwa mzuri hatari plus hyo sauti uwii,,,watu wanaroho ngumu aisee
@tumainirichard5678
@tumainirichard5678 Год назад
🤣
@husseinkonz5192
@husseinkonz5192 Год назад
Ndio maana Hawa jamaa ni kuwaua tuu hakuna namna maana wao wanahatarisha maisha ya watu kama hvo
@jinikisirani7928
@jinikisirani7928 Год назад
Utakufa wewe na mabwege wenzako
@vickieeddie2230
@vickieeddie2230 Год назад
Nyie jamani Dunia hii daah pole sana kaka
@josephchristian1873
@josephchristian1873 Год назад
Nakuitaji
@fikiriseleman3460
@fikiriseleman3460 Год назад
Jamaa ni msomi na anajieleza vizuri
@GermanaThomas-tf8kw
@GermanaThomas-tf8kw Год назад
Pole sana bro,naweza kupata namba Yako?! If you don't mind?!
@elibarikimaganga9571
@elibarikimaganga9571 Год назад
Inawezekana hilo lijamaa lilianza kumfuatilia huyu mshikaji muda mrefu mpaka likagundua anapoishi na likahamia hapohapo ili liweze kumpata jamaa kirahisi.
@josephevaristi8923
@josephevaristi8923 Год назад
Siamini kama mwanaume ndo anaongelewa hvi ama kweli tupo mwishoni mwishoni mwa zama hizi,,mwisho wa kiumbe mwanadamu upo mbioni tusiporudi kwenye misingi
@mwajumarahim3255
@mwajumarahim3255 Год назад
Pole sana kaka angu
@shamsakiobia6421
@shamsakiobia6421 Год назад
Pole sana TaliQ ila mungu atamhadhibu tu tunamuomba mungu atoe hukumu yake kwa huyo shoga
@mainermgunga1952
@mainermgunga1952 Год назад
Mkaka mzurii Tuu
@ZainabHamza2
@ZainabHamza2 Год назад
Pole Sana mpendwa Kwa yaliyokukuta
@harvaboy
@harvaboy Год назад
Voice yake yeye na mo j ni zao la Millard hayo mpeni pandee
@luludenic4581
@luludenic4581 Год назад
Daa anasaut nzur blaa km ya milard jmn
@hanifa9153
@hanifa9153 Год назад
Hii ni shida tuchunge sana kuamiliana na madhalim. Hakika hii ni dhulma kubwa mno hyo jamaa anafaa kuuawa🤔 hawez mharb mwenzake ivi aki woiye nmeumia sana😢
@domisonrichman6499
@domisonrichman6499 Год назад
Pole sana
@jabirysadick1677
@jabirysadick1677 Год назад
Story mwanzo ingine na sasa baada ya kurise vitu vya hizi taasisi tukabadilishiwa juu kwa juu kikubwa mche Allah kwasababu ukweli unaujua mwenyewe na hutausema wote .......
@delverosedastan5730
@delverosedastan5730 Год назад
Mungu mwema,umepona kwa uwezo wa mola
@millionbill7587
@millionbill7587 Год назад
WHAT'S ITS iG he has a clean heart
@annethalfredmarealle3633
@annethalfredmarealle3633 Год назад
Nyumba za kupanga hizi .... Jaman tusizoee watu ovyo watu wabaya #AmStillLearning
@rachaelmbega9691
@rachaelmbega9691 Год назад
Nimewah kuchanwa Na nyembe kwenye nyumba ya kupanga Na mpangaji mwenzangu
@floramichael3053
@floramichael3053 Год назад
@@rachaelmbega9691 mhmm!!! Pole sana dear!!!
@ammsuya9400
@ammsuya9400 Год назад
Wanasaidia watoto wasiojiweza af wanawaingiza kwenye mambo yao
@Aishajj-ob8yf
@Aishajj-ob8yf Год назад
Pol San brother
@saraphinasahani5104
@saraphinasahani5104 Год назад
Dah inahuzunisha kwel yaan Mungu azidi kumsaidia apone Na Amsamehe huyo aliemsababishia
@yassirgiya6743
@yassirgiya6743 Год назад
Dah😢
@ashurahaji4794
@ashurahaji4794 Год назад
Mi nakupenda hivyohivyo ulivyo uko vizuri tu
@samwelimwaim7136
@samwelimwaim7136 Год назад
Pole ndugu
@hamidangitu227
@hamidangitu227 Год назад
Pole sana tarik mungu yupo utapona ttu.
@elineswai2933
@elineswai2933 Год назад
Pole san talik,lkn napata hasira sana cjui kwann alafu na serikal imekaa kimya pumbavu
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 Год назад
Duh aisee kumbe sababu ni choko
@mwahijaali2074
@mwahijaali2074 Год назад
Pole mjomba. ila usijali malipo dunian
@pendomarco8928
@pendomarco8928 Год назад
Mungu wangu tuepushee na mashoga
@Agneskiki1
@Agneskiki1 Год назад
Nifikisheni hata 200 subscribers watu wangu ❤😢 love you guys ❤
@josephineokama2200
@josephineokama2200 Год назад
jaman kaka tarq jamani natamani kusikia kauli kwamba unaona jamani
@calvinkimario6718
@calvinkimario6718 Год назад
Huyo jamaa alie fanya ivi funga kwaajili yake sku 30 ala muachie mungu ukitoka hapo nenda same ndani ndani tafuta mganga 😢😢😢😢😢😢😢😢😢 alafu muachie mungu
@athumanikhamisi3377
@athumanikhamisi3377 Год назад
Duuu umetisha ndugu!!! Afunge alaf aende kwa mganga!!?
@shamsahaji6202
@shamsahaji6202 Год назад
​@@athumanikhamisi3377hahaha nimecheka sana
@hopeeve3558
@hopeeve3558 Год назад
@@athumanikhamisi3377 😁😁😁
@beatricemosha4215
@beatricemosha4215 Год назад
Mungu ni mwema 🙏
@2PAC.77
@2PAC.77 Год назад
👀
@stn4873
@stn4873 Год назад
NGO's hizo zina mambo ya kishoga sanaaaaa kumamae hasa huko mikoani.
@achirafisaid4322
@achirafisaid4322 Год назад
Kiukweli DC anamhurumiya
@mariamwandulusya8968
@mariamwandulusya8968 Год назад
umeona ee
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Год назад
Uzuri umemponza huyu kaka
@josephjohnmagesa8256
@josephjohnmagesa8256 Год назад
Jamaaa anafaa kuwa mtangazaji
@westchugagang5323
@westchugagang5323 Год назад
MCHOMVU AFUKUZWE JAMAA APEWE KAZI 💪💪💪💪 ANAJUA HATARI
@ruthkasumba7739
@ruthkasumba7739 Год назад
Kosa lake kuwa HB jmn plus hiyo saut🤯
@SulemanMakenzi-yk1fq
@SulemanMakenzi-yk1fq Год назад
Subra tu fanya Subira mzee
@amyna2024
@amyna2024 Год назад
Mwijaku sio kwa mtazamo uo jmn
@joshuandaki8077
@joshuandaki8077 Год назад
😂😂
@PROFESSOR_OF_THE_CENTURY
@PROFESSOR_OF_THE_CENTURY Год назад
Sauti kama mbarouk khan
@valenakomba9218
@valenakomba9218 Год назад
Mchangieni jamani akafanyiwe plastic surgery. Atarudi Sawa.
@edinanoel6151
@edinanoel6151 Год назад
Yes upo moyon ...nmewaza hivo hivo
@FatmaMbarouk-zp3ev
@FatmaMbarouk-zp3ev Год назад
Ni Jambo jema ata yutuber washiriki kuchngia
@rashidramadhan
@rashidramadhan Год назад
oi pole sana ila unafaa kua mtagazaji
@risperladee5718
@risperladee5718 Год назад
Pole all this is because of someone who he'd a crash on you?goshhh pole sana bro
@videozaaj1069
@videozaaj1069 Год назад
Ma gay yanalazimisha uhusiano na watu wakikataa yanataka kuwaua,pumbaaavu zenu kuku nyie
@mimaemwiula385
@mimaemwiula385 Год назад
😂😂😂😂
@wanchara184
@wanchara184 Год назад
Daa kwelliiii pole jombaa
@emmaleonard3040
@emmaleonard3040 Год назад
Jamaa alikua shoga na bado aliona wivu kisa tariq alikua anapendwa na wanawake wenye hela💴💸💸 akaamua amtumie wahuni wamfanyie ukatili sema pole bro mi mwenyewe naishi kwenye hcho chumba apartment ulipokua unaishi shant apo
@tanzaniawomenyouthempowerm267
Huyu kaka apewe kipindi Cha utangazaji. Yani ana bonge la Sauti.
@ummumansour
@ummumansour Год назад
Kabisa anafaa kuwa mtangazaji
@sabanajunior3243
@sabanajunior3243 Год назад
Sikiliza mada acha uhanisi
@neemasamweli5221
@neemasamweli5221 Год назад
Uliambiwa utangqzaji ni sauti TU. Kuna wangapi wanasauti lakini sio watangazaji
@ndrwdotts4347
@ndrwdotts4347 Год назад
LGBTQ community support african youth financially to grow their community...Hizi NGOs zichunguzwe
@aminaabubakar4834
@aminaabubakar4834 Год назад
sinalakusema Ila pole sana munguu atakulipiya,
@deboramartin8111
@deboramartin8111 Год назад
Mimi sauti yako duuuuuh
@lulurubby2235
@lulurubby2235 Год назад
Umalaya tuu
@mwajumayahaya7046
@mwajumayahaya7046 Год назад
Kuhisi ni dhambi na kumzania mtu ni dhambi ila kikubwa uzima hayo yote ni mapito
@emma-9525
@emma-9525 Год назад
Anajua kutanganza
@zena6203
@zena6203 Год назад
Hello jameni hakunaga mke wamtu wala mumewamtuuu pote tupo
@hidayamotto7210
@hidayamotto7210 Год назад
Tariq ndugu yang mbn mwanzo ulisema vingne imekuaje Tena kaka
@estermathias8354
@estermathias8354 Год назад
Kuusema ukweli ni gharama alafu kuwataja wale watu ni ujasiri maana wanamtandao mkubwa ndugu
@lutenganolukali2122
@lutenganolukali2122 Год назад
Kuna jambo lingine hapo Siri za kiundani zaid ata huyu jamaa anazijua lkn hawezi kufunguka vizuri
@ahmedamary758
@ahmedamary758 Год назад
jsjsja
@sajidabakari9809
@sajidabakari9809 Год назад
Acha uongo jmn, ww si ulisema hujui ni nani na kwann umemwagiwa tindikali... sasahv mbona story zinabadilika unaleta hbr za ushoga jmn!? tulosikia interview ya kwanza kbs na ndugu zako hospital hii story haikuwepo na uliulizwa ukasema ni uongo hujui mtu alokufanyia hvyo... Binadam jmn 🙌🏾 ili tu atrend 🤣
@pinogreentv4337
@pinogreentv4337 Год назад
Kensi ilikuwa kwenye uchunguzi asingeweza kuongea lolote
@siamuchunguzi
@siamuchunguzi Год назад
Mashoga na mabahasha wafe tu hakuna namna,, sijui bunge linasubiri nini yani,
@lulurubby2235
@lulurubby2235 Год назад
Moshing kunaongoza haya masiku kwa mashoga ktk mikoa ya mwanzo kupeleka watoto boarding moshi arusha ndio kulianzaga
@bakarpaul5046
@bakarpaul5046 Год назад
Hawa jamaa tunakutana nao sana hasa hasa humu mitandaoni,chamsingi likikuletea hizo pigo unaliskip unafanya mambo yako,ulipofeli wewe ukamcharazia kwa wanao ndo mana akakumaindi akakufanyia hvyo..ila hawa jamaa ni wapo wengi hadi sio poa
@elineswai2933
@elineswai2933 Год назад
Eti anawasaidia watoto mbwa huyo ndo anayeharibu watt huyo
@loner_wolf
@loner_wolf Год назад
Machoko adimu moshi kweli bro? Mbona ndio mpk ndoa zipo huko twasikia.... 🙄
@naomikatharinaandrewmnkai6760
Naomba huyo mtu asifungwe akatwe tuu umee na atobolewe macho. Nimeongea kutoka vilindi vya moyo wangu
@evahazole6320
@evahazole6320 Год назад
Vilindi vya moyo😂,ila tusilipe ubaya Kwa ubaya maandiko yanatufundisha tuwasamee bure MUNGU ni mwema
@naomikatharinaandrewmnkai6760
Kweli dear 😘 Ila YESU atuhurumie
@ebbyfuckinrama
@ebbyfuckinrama Год назад
Huu ni uongo, why story ichange now?
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 Год назад
How??
@matridamwalyoyo1735
@matridamwalyoyo1735 Год назад
Sasa ukweli anajua yeye au ww?
@nadiahussein5079
@nadiahussein5079 Год назад
Kwahiyo wewe ndo unaujua ukweli ?
@nisherjabir4266
@nisherjabir4266 Год назад
Tueleze ukweli wewe
@ron3034
@ron3034 Год назад
Tuambie ww xax ukwel
@carogachie5806
@carogachie5806 Год назад
Who Ever Did This 2 This Guy Will Suffer Fo The Rest Of His Life. Hes Very Evil Wicked..
@officialkamdudu
@officialkamdudu Год назад
muongo pimbi huyu …
@aseliusbyabusha6299
@aseliusbyabusha6299 Год назад
Uongo mwingi
@mimikimanga3126
@mimikimanga3126 Год назад
Kivipiiii
@amriyalibent5900
@amriyalibent5900 Год назад
Tupe ukweli
@swaumuamani187
@swaumuamani187 Год назад
Tupe wewe basi ukweli… kujifanya much know
@jenahando2747
@jenahando2747 Год назад
Tuambie ukweli
@sesymwango5614
@sesymwango5614 Год назад
We nae walewale tuu
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
Huyu jamaa ni muongo hiyo stori ya mambo ya kishoga ametunga ili alipize kisasi kwa mtu anayemshuku ili amchafue na kumuangamiza. Wengine tuna kumbukumbu sana huyo aliwahi kuhojiwa mara kadhaa na alisema hajui ni nani amemwagia tindikali na sababu haijui. Anaongea mambo ya kumzushia huyo jamaa ushoga sababu in Tanzania ushoga ni today’s trending topic. Kuna mambo umefanya hadi kumwagiwa tindikali au chuki tu za wanadamu ingawa sio sahihi mtu kukumwagia tindikali
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 Год назад
Kwan ww ndo mlengwa mzee, yeye ndo anayejua hvyo tutamsikiliza yeye
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@denisimaliyaweni9183 kusikiliza uongo mkuu huyo mwamba alihojiwa mara kadhaa baada ya kumwagiwa tindikali na hakuwahi kuongea hivi, sasa sababu ushoga unapewa sana airtime Tz na unatrend ndio anakuja na mambo ya ushoga ili akazie ushahidi wa kunywagiwa tindikali
@elineswai2933
@elineswai2933 Год назад
Wewe utakuwa mionngoz mwa mtuhumiwa kama cyo rafiki yako bas nawe unahusika na hayo mambo moja kwa moja
@kabwelasutiviraka4765
@kabwelasutiviraka4765 Год назад
@@elineswai2933 🤣🤣😀bwege kweli wewe eti shoga amemkataa kamwagia tindikali 😆😆 mwambieni aache kulala na wake za watu iwe fundisho
@beatricepaul3001
@beatricepaul3001 Год назад
Aisee wewe ni pia unatakiwa ukamatwe kwa mapovu. Ayo unahusika kwa njia moja au nyingine
Далее
Stray Kids "Chk Chk Boom" M/V
03:26
Просмотров 34 млн
Копия iPhone с WildBerries
01:00
Просмотров 368 тыс.
YOMBO KIZIMBANI - KESI YA KUJIFANYA FREEMASON
9:31
Просмотров 316 тыс.
MSECHU AOMBA MSAMAHA !! NI KUHUSU 'KUFUMANIWA'
12:35
Просмотров 19 тыс.
Barua Kwa Tariq Aliemwagiwa Tindikali
1:36
Просмотров 18 тыс.
I meet Mr.Beast
0:15
Просмотров 9 млн
Must watch new special comedy wait for end 😆🤣
0:49