Тёмный
No video :(

TARIQ KIPEMBA ALIYEMWAGIWA ACID, ASIMULIA UKWELI WAKE MWINGINE BAADA YA JICHO LAKE MOJA KUWEZA KUONA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 585 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,2 тыс.   
@fofo_Amigo254
@fofo_Amigo254 Год назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 no matter what he's still handsome Be strong bro😢
@willygraphics360
@willygraphics360 Год назад
Wamemuonea wivu bwana 😢😭 hii ni wivu kabisa!
@queendollie8792
@queendollie8792 Год назад
Dear Lord i come before you this evening am asking you to please give this young man hope, assurance, peace and faith in you, Lord Jesus umejibu maombi mengi ya watu nakuomba ukamjibu na huyu pia, wewe ni Mungu usiye shindwa, Mungu wa Musa, Abraham na Elijah nakuomba umtie nguvu na furaha kijana huyu, umejidhihirisha kwenye maisha yake kwa kumfanya kua hai inspite of everything he went through basi ukamfanye akutegemee wewe na kila mtu atakaye muona akapate kukuona wewe in Jesus Name Amen🙏
@mishiriadha
@mishiriadha Год назад
Amiin ya rabby...nimelia kama mtoto mdogo
@meryglory2012
@meryglory2012 Год назад
Amen.Mungu ni mkuu
@fatunam7721
@fatunam7721 Год назад
Ameen, Ameen
@lilychanceline6677
@lilychanceline6677 Год назад
Amen amen and amen 😭😭😭
@mouldykomba1852
@mouldykomba1852 Год назад
Amina
@halimamashimba4424
@halimamashimba4424 Год назад
Maneno yako ya mwisho yameniliza sana kijana 😭😭😭Mungu atakutetea na haki yako haitapotea mwenyezi Mungu akulinde tu sana na azidi kukupa aman ya moyo kama hivyo ulivyoona dah! Una amani mpaka raha, sijawahi ona mwenye haki ameachwa Amina Mungu yupo pamoja nawe ameshakushindia 🙏
@SamSung-do9xc
@SamSung-do9xc Год назад
Pole sana taliq Allah akusimamie malipo ni hapa hapa nae atalipwa inshallah 😢
@mwananganzi
@mwananganzi Год назад
Pole sana Tariq Jamani Mungu atakulipa INSHAALAH
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 5 месяцев назад
We love you Tariq. Maneno yako yanabatiki watu wengi na yanafungua macho wanaojipoteza ufahamu…..wajue Mungu yupo anaona kila kitu na kila mtu atawajibishwa hapa hapa diniani kabla hata ya kwenda ahera. Kila chozi la mnyonge litalipiwa haki
@teckie__songsofworship6680
@teckie__songsofworship6680 Год назад
To everyone watching and reading this may God bless you and your family and may thy Lord protect you from all evil plans and peaceful life be your portion in Jesus Mighty Name Amen 🙏🙏.
@solangecyusa7587
@solangecyusa7587 Год назад
Amen
@graceeric1232
@graceeric1232 Год назад
Amen
@apynesnzisa5045
@apynesnzisa5045 Год назад
Amen 🙏 you too dear, May the blessing of the Lord be your portion 🙌
@xclusivebtz7516
@xclusivebtz7516 Год назад
I feel his Tears😭😭😭😭 bro May our God of heaven heals and guides you
@GraceTemba-nx3mw
@GraceTemba-nx3mw Год назад
😭😭😭
@melangongo6490
@melangongo6490 Год назад
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏😭
@mariaokiring1519
@mariaokiring1519 Год назад
his mission was to make him suffer alot OMG 😢😢😭😭😭 one thing I know there's God in heaven 😭😭😭😭
@eliaichraymond1215
@eliaichraymond1215 Год назад
Yesu mnazareti uliyemfufua Lazaro wa Bethania ninakuomba umponye kijana huyu na pia serikali iingilie kati haki itendeke,huyo shoga popote alipo asipate amani moyoni mwake,awe Kama kaini( Mungu na amwekee alama popote anapokwenda asipate amani moyoni wala furaha)
@reginaldminja9880
@reginaldminja9880 Год назад
@@yohana1242 kaa kmy kw usiyoyajua
@kirigitidorothy7201
@kirigitidorothy7201 Год назад
@@reginaldminja9880 Mmmmm!!!
@joyceshayo680
@joyceshayo680 Год назад
Mungu ni mwema utaona kaka jipe moyo
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 Год назад
Eliach umeongea vizuri na unaonyeaha huna ukabila huna udini na moyo ulonao na hayo ulosema ni maneno ambayo hayaanguki
@youngmaster4127
@youngmaster4127 Год назад
Ameen
@messaabbas739
@messaabbas739 Год назад
Allah kareem,,,you still handsome Tariq,,,,I pray for you broo,, INSHA'ALLAH 👏 and Allah he's with you
@musamsawanga9266
@musamsawanga9266 Год назад
Tatizo atembea na wake za watu(Mario) na jamaa alishaonywa
@itNeza
@itNeza Год назад
​@@musamsawanga9266 Jamani na Wao Yani usoni Tuu ? 😢 Ila aliye onja anajua Mashini ilivyo anaweza akarudi tena kulamba asali. 😂
@messaabbas739
@messaabbas739 Год назад
@@musamsawanga9266 ,,alitembea na mke wako ww mbwa ww,,,,,acha makasiriko,,,,,, and next do not comment on me this nonsense,,, better be quiet
@sakinamsafiri8660
@sakinamsafiri8660 Год назад
Ndio nyie nyie...hovyoooooo
@rosemkono
@rosemkono Год назад
Mungu akusaidie may god bless you 😢😢😢😢😢😢
@queensarah860
@queensarah860 Год назад
Oh lord our savior, please watch over this man and heal him so that people will see your glory through his testimony 😢🙏🙏🙏❤️❤️❤️
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 5 месяцев назад
Tariq nimekusikiliza kwa makini wewe ni mwanaume hasa. Very smart, Jasiri mpenda haki na mwenye busara na hekima. Uko vizuri kichwani na moyoni na uko handsome Mungu akutetee zaidi na zaidi. Vita umeshaishinda wala usiogope kitu
@abuuhafsin2224
@abuuhafsin2224 Год назад
Dah, imeniliza hii, wanadamu tumekuwaje sijui, hv aliyemfanyia haya anajiskiaje sasa. Malipo ni hapa hapa duniani, Allah atawanyoosha tu, Dua zangu mbaya ziko juu Yao.
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 Год назад
anafurahi maana alidhamiria Allah atamlipa😢😢
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 Год назад
Unajua ukiwa na maasi Sana Allah anakuacha hivyo wewe unakuwa na shetani hatua kwa hatua hivyo vitendo unavyovifanya vinatusha maana Allah hakuwekei hofu yeyote na shetani anakusifu kwa ushindi,yaani ni suala la kumuomba Allah asituache katika maisha yetu ni mtihani mzito sana
@user-fs7xc2bb5d
@user-fs7xc2bb5d Год назад
Kwanza Alhamdllah Rabbllaamin kwa uwezo wake Mwenyeez Mungu kwa kukuwezesha kuona macho ni muhimu sana kabla hujafa hujaumbika dua zetu tunazoomba Allah ndie atakae muhukumu huyo shoga tumchangieni ili akufanyiwe na jicho lingine
@ufundi_tz
@ufundi_tz Год назад
Alhamdulillah for this stage ... Allah ajarie shifaa inshaAllah ...
@atuluvalamo2772
@atuluvalamo2772 Год назад
Jamani polesana kaka mungu akutunze akulejeshe kwenye Hali ya kawaida 🙏
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Год назад
Pole sana mdogo Mungu yupo pamoja na ww 😭😭 huyo muhalifu alaaniwe daima
@apynesnzisa5045
@apynesnzisa5045 Год назад
Kweli mtu hajui kesho yake😢😢Eeeh Mwenyezi mungu tutangulie Kwa Kila jambo... Quick recovery
@lilianwaflotina1288
@lilianwaflotina1288 Год назад
ee mungu wa mbinguni msaidie huyu kaka
@ashajumakivugo4293
@ashajumakivugo4293 Год назад
i believe whoever did never knew that Allah had bigger plans than him, still strong still handsome nothing has change just scars to remind you who you are bro
@gilbertnyangares7052
@gilbertnyangares7052 Год назад
I found myself crying, Take easier broo, God has a reason why he restore your sight and He also will give u strength and hope. From Ke
@florencemlay9333
@florencemlay9333 Год назад
Pole sana kaka yangu, Mwenyez Mungu atakupigania, is not easy at all to be in your situation but nina imani atakupa njia ya kutokea 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
@nyachikomesi315
@nyachikomesi315 Год назад
Mungu akuponye kaka 🙏🙏🙏
@giftibrahim
@giftibrahim Год назад
Ijumaa yaleo tuna muomba Allah akufanyie wepesi upone inshallah ila tuna muomba Allah kweny ramadhani hii uyu aliokufanyia unyama huuu Allah ampe pigo Mara 3 zaid binadam utu umeisha kabisa ila hapa tz yetu kupata Hak n mtihan snaa ila Allah akufanyie wepes tuko nyuma yako na tutachanga uone tena much love bro❤ ......
@husnaabuu8341
@husnaabuu8341 Год назад
Allah nimuweza wa yote allah atakujaria utapona
@savioursimon458
@savioursimon458 Год назад
Pole sana kaka yangu!! Tunamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa ajili yako!! Mungu wetu ni mwenye haki na atatenda haki kwako!! Mungu ataleta neema na baraka zake utafanikiwa kupata matibabu, utakuwa sawa na utaishi kwa namna Mungu alivyopanga tangu uumbaji wake tumboni mwa mama yako. Nakuombea Mungu akuinulie kila mtu unaemuhitaji katika uponyaji wako wa mwili na hisia. Lawyers, Doctors, Therapists, Financial Help and everything that you need physically and emotionally. In Jesus' Name. Amen 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
@ester283
@ester283 Год назад
Amen🙏🙏🙏
@OmanOman-ns3iw
@OmanOman-ns3iw Год назад
Amina
@issagihozo8316
@issagihozo8316 Год назад
😢😢😢
@marylazaro4625
@marylazaro4625 Год назад
Huwenda aliyemfanyia Hivi yupo anaangalia hii interview ... Kama upo... Muombe Mungu msamaha... Tubu tu! Kisha kamuombe msamaha TARQ
@Neemakilimba
@Neemakilimba Год назад
Kaka yangu Mungu anampango na wewe Rudi Msalabani ,Hata hivyo ulipofikia Ni Neema tu Love you my Brother
@HarimahtheAnny
@HarimahtheAnny Год назад
Kwer😭😭😭😭🙏🙏🙏
@FatmaMbarouk-zp3ev
@FatmaMbarouk-zp3ev Год назад
Msalaba Tena Allah atamuafu yy ni juu ya kila tunachokijua au kuwahi kukisikia
@sharifuahmed8340
@sharifuahmed8340 Год назад
Msalaba wa nyokwe, wakt uyo muislam na pp yy anamtegemea muumba mbing na ARDHI na alieumba MITUME yte akiwemo yesu wenu
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k Год назад
​@@FatmaMbarouk-zp3ev😂😂
@user-dn7gn6ib4k
@user-dn7gn6ib4k Год назад
​@@sharifuahmed8340 amni
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 Год назад
Alllah mkubwa. Kwa uwezo wa Allah utaona macho yote amin
@irenewilfred6072
@irenewilfred6072 Год назад
Nimechoka kulia kwa Ajili yako Tariq,,, Acha Huyu Mungu tunaemuabudu aseme nao😢
@lyidiamrema7294
@lyidiamrema7294 Год назад
Mama yetu Samia msaidie huyu kaka nimtanzania pia hakupenda kuwa hivi na aliefanya hivi yupo huru inaumiza sana jaman
@kissamlowe4685
@kissamlowe4685 Год назад
PoLe Mungu Akuponye kijana na Akulinde
@JustineMathias-wj7bd
@JustineMathias-wj7bd Год назад
kweli kabisa yan sio poa kabisa😢
@janethobadiah8062
@janethobadiah8062 Год назад
Aiseeee naandika nafuta sina mengi.. Mungu baba wa mbinguni akutetee tu kaka yetu 😭😭😭
@Zai-vh7jd
@Zai-vh7jd Год назад
Pole sana Tariq! Mungu akuponye. Raisi wetu Mama Samia tunaomba ingilia kati hili kijana atendewe haki mhalifu ahukumiwe. Tunakuamini mama kwa huruma yako. Mungu akulinde daima uwasaidue watanzania wanaoonewa na kukosa haki zao kama Tariq.
@salimharrasy7047
@salimharrasy7047 Год назад
Tariq! Baba Pole sana. Mtegemee Allah. You will stand on two feet. Allah naomba mlipie Tariq wetu kwa kumfedhehesha na kumuadhibu alofanya unyama huu.
@sein.208
@sein.208 Год назад
SUBHANA ALLAH 😢😢😢 POLE SANA KAKA. ALLAH AKUZIDISHIE SIHA NJEMA KILA KUKICHA. KILA KITU KINA ASBABU, HALIKUFIKI JAMBO ILA KWA #IDHINI YAKE MOLA... ALLAH NI MJUZI ZAIDI. UTAPONA BIIDHIN LLAH KAREEM.
@mariamzkinogo6775
@mariamzkinogo6775 Год назад
And he still look handsome and attractive ❤😢😢
@amanimanase8798
@amanimanase8798 Год назад
Wabaya ndo nyie sasa handsome ya nyokho badala ya kumuombea apone mnaanza ushetani wenu inawezekana ndo nyie wanawake mlotaka mmbadilishe sura kwa kumng'ang'ania kwa uzr wake wamalaya nyie
@kingkapessahofficial6716
@kingkapessahofficial6716 Год назад
Bdo ana confedence god is great
@brownie_dee8655
@brownie_dee8655 Год назад
@@amanimanase8798 umemwelewa vby,amesema ht km walimmwagia acid kuharibu sura yake wamefail coz bado ni mdhur vilevile...
@ainsesseverest1136
@ainsesseverest1136 Год назад
​@@amanimanase8798 umemwelewa vibaya ajamanisha hivyo ulivyowaza wewe
@user-sq7pz9ex5g
@user-sq7pz9ex5g Год назад
​@@amanimanase8798 lakini hajasema Kwa ubaya....
@khalsasalim7930
@khalsasalim7930 Год назад
Still ur handsome tareq ❤️
@neemareuben311
@neemareuben311 Год назад
😢😢😢😢😢
@pendo8082
@pendo8082 Год назад
😢😢Mungu atamponya
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Год назад
Yes
@beckybeeomosh3818
@beckybeeomosh3818 Год назад
Shame on those who did this! Our boy is still handsome
@joshuatarimo2168
@joshuatarimo2168 Год назад
Girls mmawazia tu u handsome
@hanifa9153
@hanifa9153 Год назад
Am so sorry my brother Allah akupe amani ya moyo akfute machungu yako😢 inshaallah utakua sawa kwa uwezo wa mungu
@aminaluliho8456
@aminaluliho8456 Год назад
Mungu ni mwema talking awo mbwa mung awape adhab za kabli 😂😂😂😂
@marosgodfrey2089
@marosgodfrey2089 Год назад
@@aminaluliho8456 wq2w
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de Год назад
Hakika maisha haya jmn" ukiona watu wanakuchukia mtaan hama bado mapema Hujui kesho yako" pole Sana kaka angu malipo n hapa hapa dunian
@hanifa9153
@hanifa9153 Год назад
@@aminaluliho8456 sasa mbona umemaliza nakcheka we nae
@ZainaNdijah
@ZainaNdijah Год назад
Nina uhakika mtu ulomfanyia ukatili huyu kaka huna ani zaidi Sana nakuomba utubu usipofanya hivyo wewe na filia yako yote mtateseka sana gharama na muda maumivu anayoyapata mtalipa lazima mnywee kikombe chake mungu ndo faraja yake pole mdogowangu kikubwa uzima.
@qatarworls1902
@qatarworls1902 Год назад
Watu ni wanyama Aki 😢😢 wivu ni kitu baya sana Mungu ni mwema utaendelea na kupokea miujiza Mahandui wahaibike but kikulacho kinguoni mwako mungu akulinde popote utakuawepo 🙏🏼
@felisterdioniz8113
@felisterdioniz8113 Год назад
Sorry my brother God can protect you and forgive brother
@BarakaGwakisa-fv7pd
@BarakaGwakisa-fv7pd Год назад
Mungu akikupa kilema uwa ana kupa na mwendo pia , fear not brother JESUS IS WITH YOU FOREVER. JUST LOOK ON HIM CAUSE HE'S A CAPABLE GOD.
@ahmedimarusu-rp3bk
@ahmedimarusu-rp3bk Год назад
😢😢😢😢 dah..mungu ata kusaidia kaka..siku hiz watu ni wengi kuliko binaadamu
@praisejonas5896
@praisejonas5896 Год назад
Tarique ushuhuda wako umefanyika Tiba kwenye maisha ya watu wengi na kurudisha hofu ya Mungu kwetu Kama wanadamu, Mungu atakubariki na atakupanya kwasababu yeye ndio aliyekuumba na anakujua HAKUNA MTU AMBAYE NI BORA KULIKO MTU MWINGINE INATUFUNDISHA KWAMBA HAKUNA MWENYE HAKI ILA MUNGU.. ❤
@nancywanjiku1554
@nancywanjiku1554 Год назад
Healing is your potion much love from kenya
@mwanduelizabeth2282
@mwanduelizabeth2282 Год назад
😭😭😭pole Sana Kaka Yesu akuponye Kama alivyomponya kipofu aliyekuwa haoni tangu kuzaliwa kwake na wewe akuponye uweze kupona na kuona tena.
@ester283
@ester283 Год назад
Amen
@gracesilayo7670
@gracesilayo7670 Год назад
Amen
@zahornassor5420
@zahornassor5420 29 дней назад
Tariq pole sana , Dhuluma lazima ilipwe na ww Allah atakupa faraja huwezi amini
@fridakakiko1217
@fridakakiko1217 Год назад
mama samia msaidie huyu kijana inaumiza sana na tuzidi kuomba mungu ampe afya njema
@mauldabdalah2168
@mauldabdalah2168 Год назад
Kaka sisi watanzania wenzako tunamshukuru mungu kwa wewe kuona japo kwa jicho moja tunakuomba usijinyanyapae sisi tupo pamoja na wewe hii nimitihani tumeumbiwa wanaadam kwa upandewetu sisi watanzania wenzako tumekupokea kwa moyo mmoja
@donkaloza6985
@donkaloza6985 Год назад
InshaAllah
@FatmaMbarouk-zp3ev
@FatmaMbarouk-zp3ev Год назад
Naam
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 Год назад
Amen
@furahamwakalukwa
@furahamwakalukwa Год назад
Ndugu yetu na kijana mwenzetu Pole sana tena sana kwa yote yaliyokukuta!!!Naomba niseme tu kuwa Mungu U pamoja nawe Daima,Sasa jiandae kwa ushindi Mkubwa ambao Mungu amekuandalia mbele ya safari yako ya mafanikio. Simama na tembea kifua mbele kwani Mungu yupo pamoja nawe Daima.
@ashuraissa7044
@ashuraissa7044 Год назад
Pole Sana Kaka watu wanaroho mbaya Sana mlaaniwe nakizaz chenu mliosababisha ulemav wamwenzenu
@mariamantes4203
@mariamantes4203 Год назад
Am from dubai ur words zimefanya nitokwe na machozi God bless you
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 Год назад
Subra iwe nguzo yako Tarqe. Mwenyezi Mungu atakufuta machozi unayolia kipekee. Pole sana,sana ndugu.
@najmasaid7057
@najmasaid7057 Год назад
Nimejikuta nalia na kujiskia homa ktk mwili wangu pole kaka Allah ni muweza wakila Jambo akupe wepesi in'sha'Allah
@carolinemariki4029
@carolinemariki4029 Год назад
Jamani wanasheria wetu mko wapi jamani mtoe msaada .. JUSTICE FOR TARIQ...
@amytullah2175
@amytullah2175 Год назад
Hii ni criminal wanashika wanasheria wa serikali na police dear😢 Yaani imeniuma sana
@dainesskyando1850
@dainesskyando1850 Год назад
Pole tarek mungu mkubwa Sana andika namba Apo ya sim mungu mkubwa umepona baba umepona mungu aliye juu ashindwi. Ameeen
@shukurukoll7269
@shukurukoll7269 Год назад
Binadamu tumwogope Mwenyezi Mungu. Ni vema tukaoneana huruma badala ya kufanyiana unyama. Duniani tunapita hapa. Pole sana Tariq Allah Akujalie upone haraka. Mwenyezi Mungu Atakulipa.
@paskaziasholla7471
@paskaziasholla7471 Год назад
Tariq MUNGU ndie mwenye kujua hatima ya kila mtu tnakuombea MUNGU akupe amani ya moyo na Imani juu ya MUNGU omba uzima, kisasi ni juu yake pole sana mdogo wangu
@andrewemmanuel1861
@andrewemmanuel1861 Год назад
Polee Sana'a bro Watanzaniaa tunakuombeaa uwenamiakaa ming akupewepesiii wa maisha ......
@Mery-st4nu
@Mery-st4nu Год назад
Machozi ya furaha yamenitoka kusikia kaka Tariq kuona nazidi kumuombea kwa mungu azidi kumpigania apone mungu wa mbinguni hashindwi kitu utapona kaka yetu❤
@rehemaismail1794
@rehemaismail1794 Год назад
Pole sana mungu hatakuponya kwn pk kufika hapo juwa mungu hanakupenda sana,,mungu hakupe subra juu ya afya yako
@janejonathan9846
@janejonathan9846 Год назад
Pole sana jaman Tariq Yesu Kristo atakuponya amini tu,ila Mungu atahukumu kwa haki kwaalie kufanyia ukatili huo,hadi umeharibika hivyo jaman binadam tunabadirika sana
@latifamchekenje6718
@latifamchekenje6718 Год назад
Malipo hapa hapa duniani!!! 😌Mshtakie MUNGU tu,!!!
@edjenmakwai2310
@edjenmakwai2310 Год назад
Yaani machozi yanakaribia kunitoka jmn tunaomba haki itendeke serikali ifuatilie huyu mtanzania atendewe haki. Yeyote aliyefanya hivi hatoishi kwa amani katika hii dunia
@glowingspirit606
@glowingspirit606 Год назад
Very unfair may justice prevail, huyo mtu kifo kisimpate aishi maisha yake yote akilipia aliyomfanyia mwenzake from his|her kids na wazazi wake na kila mtu anaemzunguka nimelaani.
@bryson0772
@bryson0772 Год назад
Put the children apart hawahusiki kwa malipo ya mzazi wao sio sawa hata Mungu ataepusha hilo watoto n malaika wanazaliwa hawajui lolote iweje wao waje walipe madhambi ya mzazi wao i pray for the innocent child Mungu huyu alie hai asiesinzia hapo aepushe ALAANIWE MUHUSIKA NA YEYOTE ALIEHUSIKA KWA NAMNA YOYOTE JUU YA HILI🙌
@Sham-vj4er
@Sham-vj4er Год назад
Pole sna Kaka Tariq yote muachie Allah atakulipia kw uyo mwenye amekufanyia ivo pole sna 😢 usisahau kila hatua dua 🤲
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 5 месяцев назад
Tariq Kama mungu mekuwezesha Kufika hapa Salam umeweza kuona tena basi ujue ana makusidi makubwa sana juu yako, Hatakuachia njiani, utapona kabisa na uhahubiri utukufu wake mbele ya umati. Utahubiri amani, uwajibikaji, madhara ya rushwa, visasi, kazi za shetani, upendo nk ikiwa Kama mfano hai. Mungu kujalie ufungue watu macho na mioyo imwelekee mungu wa kweli
@vincej9275
@vincej9275 Год назад
This is very very sad and what makes the matter even worse is that the person who did this to him is walking free and bragging that he bribed the system while the victim continues to suffer. Hakika hizi nchi zetu ufisadi umeharibu sana maisha ya watu wengi. Hakuna haki bila pesa.
@aminaomar7341
@aminaomar7341 Год назад
Kweli kabisa ni mambo ya africa too
@Moregun619
@Moregun619 Год назад
😪we love you man.. we pray and hope that you recover from this. Utapona kaka yetu🙏🏽 Eh Mungu mponye kaka huyu.. my heart is bleeding.. this was so so cruel 😪
@ELIZABETHYUSUPH-pn6sm
@ELIZABETHYUSUPH-pn6sm Год назад
😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏
@paulinanyanzala9072
@paulinanyanzala9072 Год назад
Utapona. Baba yesu akufunike kwa damu yake
@Moregun619
@Moregun619 Год назад
@@paulinanyanzala9072 amen
@ireneimbuhira7759
@ireneimbuhira7759 Год назад
Its sad 😥 may God be with him all the time 👏🙏
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 5 месяцев назад
Pole sana Tariq usijali mungu wako anakuoenda atakufanyia wepesi. Unonekana kuwa kujana mzuri kabisa mwenye maadili mazuri. Usiohope sababu mungu anakuoenda sana
@nibigirahassina9308
@nibigirahassina9308 Год назад
Nimefurahi kusikiya unasema alhamdulillah mwenyezi mungu akufanyiye wepesi
@hidayaswai3119
@hidayaswai3119 Год назад
Mungu asante kwa kujibu maombi ya watanzania. Mungu ni mwema kaka umepona. Tufanyie kisasi wewe mfalme wangu dhidi ya hawa watu/ team ya wanyama waliofanya haya.Hakuna usiloweza Mungu wetu😭😭 Ww ndio Mungu mwenye haki peke yako tunakuomba sana utusaidie kwa hili. Tariq achana na kesi za duniani utaumizwa moyo tu. Acha Mungu pekee atende kaka. Duniani hapa 😭😭😭 Hata ungetenda nini hukupaswa hii adhabu. Kaka Mungu hatakuacha kamwe Pia tujitahidi watanzania wenzangu kwa chochote kumfanyia Tariq wepesi.
@benjo_brighter
@benjo_brighter Год назад
Mungu yu pamoja nae. Aamini tu atakuwa sawa na atarejea katika hali yake. Amen 🙏
@mody-guyngido2792
@mody-guyngido2792 Год назад
Allah Amekuvusha Kwa hilo Na Atakuvusha na pengine tena Biidhnillah,Bro Msamehe na Nina Imani Allah Amekuandalia Mazuri zaidi Ya Huo Mtihani Aliokupa In Sha Allah. Allah Akupe Uzima na Swiha njema Allahumma Amin
@ahmadsalim6782
@ahmadsalim6782 Год назад
Broo nikuambie tu pmoja na hali yako ulio nayo wallah swali swala tano halafu shikamana na Allah wallah hutauzunika
@hidayaismail-fk1js
@hidayaismail-fk1js Год назад
kweli kbsa🙏
@GraceTemba-nx3mw
@GraceTemba-nx3mw Год назад
Mungu simama baba,huyu kaka simjui lakin,Mungu naomba umtoe kabla ya huyu kaka🙏🙏😭😭😭😭😭😭😭😭Millard Ayo Mungu akupe maisha marefu na huyu mtangazaji ana busara sana
@wakywenaky3674
@wakywenaky3674 Год назад
Ikiwa huyo kaka anamwamini mungu,bas aachane na mambo ya kesi, yeye amuachie mungu tu ndio atatoa hukumu ya kweli, daima siku zote mwambie mungu tu,lkn hao watu popote walipo hawatapata amani,kwa jina la yesu wasipate amani milele
@vailethmaji2158
@vailethmaji2158 Год назад
amina tena adhabu ya mungu ni kubwa hakuna anaweza kupinga mungu wa mbinguni mponye kabisa huyu kaka mpe wepesi kwa kila jambo
@malaikalihuda2831
@malaikalihuda2831 Год назад
Wivu ni kitu kibaya sana ila malipo ni hapa hapa Mungu akuinue sana 🙏
@SamiryOmary-yw6se
@SamiryOmary-yw6se Год назад
Yanii uyu kaka anaongea kwa uchungu kwaninni hawatendi haki jamanii 😢😢daa inauma sana usikate tamaa kakaa angu mungu kila mtu anaruhusu apewe jaribu analoweza kulimudu be strong my brother mungu atakuwa na wewe mbaka mwisho😢
@ngowibeatrice1701
@ngowibeatrice1701 Год назад
Kweli anaongea kwa uchungu sana inauma amemualibia maisha
@irenelukumay877
@irenelukumay877 Год назад
hapo ulikofikiya nikwa neema za mungu usijali kaka tuko pamoja na wewe usijione wa tofauti hakuna kilichoharibika hata kidogo kuwa na amani sisi niwatanzania wenzako tutazidi kukusapoti mungu ni mwema sana kwa hatua uliofikiya inaumiza sana usijali ndugu yetu kaka yetu tunakuombeya kila leo kwa mungu
@joyceathanasi8435
@joyceathanasi8435 Год назад
Nasikia uchungu sana,sijui ni kwann watu wanakuwa wakatili kiasi hiki,Bwana Yesu wasamehe tu,inasikitisha sana,pole sana Kaka.
@stanleymartin2943
@stanleymartin2943 Год назад
Pole sana aisee binadamu sisi ni watu wabaya sana pole pole na pole sana😭😭😭😭
@LavishHatTV
@LavishHatTV Год назад
😢😢😢 Daaa It's So Depressing but what I can assure you man #Tariq this perpetrator won't get away with it..god is faithful and trust the process. This is one of the greatest interviews that are so touching...ayo congratulations keep inspiring generation.❤
@rehemasharifu8985
@rehemasharifu8985 Год назад
Pole sana TARIQ allah atakufanyia wepes utapona hakuna aijuae kesho hata sisi hatujui kesho yetu allah atufanyie wepes
@mandajamaly4843
@mandajamaly4843 Год назад
Du jamaa alikukatiri sana pole sana brother🙏🇹🇿
@evarinenathaniel9838
@evarinenathaniel9838 Год назад
Mungu Baba katika Jina la Yesu Azidi kukupigania.
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 Год назад
Alhamdulillah una uhai kwasabb hakuna kinachogharim kama uhai mungu ni huyu huyu Alhamdulillah aliekupa huo mtihani ndo anajua anakuandaa na nini usilalamike ukakufuru stay positive only your heart matter hakuna kiangazi kilochokosa masika only God knows ❤
@fatmasaid7093
@fatmasaid7093 Год назад
Allahu Akbar alhamdhulilah Allah qarim😢😢😢😢inshaAllah everything gonna be fine
@aishaissa2512
@aishaissa2512 Год назад
Dah wamemtesa huyu kijana walahi si kwa adhabu hii mungu anawaona 😭😭nakuombea upone tariq🤲
@salimkassim6020
@salimkassim6020 Год назад
Broo M/mugu akufanyie wepesi katika kila zito kwako,,, akupe subra na akupe mwisho mwema Inshaa Allah maana duniani tunapita tu hakuna wakusalia,,,,kuna mengi ya kujifunza kupitia hili tukumbuke kufanya ibada na kumshkuru sana Allah kwa neema alizo tupa kuanzia kupumua kuona kuskia na kila kitu bila kulipia chochote,,, ndugu yetu anaona ila jicho halitakiwi kuingia maji wala vumbi ni mtihani sana,,, ila kwa Mungu hakuna kubwa amjaalie apone awe kama awali...inahuzunisha kwa kweli dah
@DorisZephania-ci8ym
@DorisZephania-ci8ym 2 месяца назад
* Yaaani kama hujakusudiwa kufa, hautakufa hata shetani asimame mbele yako! Pole sana Tariq
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 5 месяцев назад
Uko sahihi kabisa kaka. Watu tumeweka mbele pesa kuliko utu. Pole sana naamini watu pamoja na ushetani wa mioyo yao ujimbe wameupata.
@mohamedyally58
@mohamedyally58 Год назад
Daaah alokufanyia hivo mungu atampa alichokitafta naamin malipo hapa hapa kweny uso wa dunia mtu Ana kufanya uteseke kweny maisha yako yote bora mtu akuue tyuu kabisa hii sio adhabu ni unyama kabisa
@ester283
@ester283 Год назад
May you be healed in Jesus Name🙏 bado nakuombea na sitaacha🙏 you are going to be fine
@hboywasasa
@hboywasasa Год назад
Talifa hii naomba mungu sana ifikie mama etu mama Samia amsaidie huyu mpiga kula mtanzania mwenzetu Tanzania tusifanyiane hivi wote ni ndugu mungu akupe walizi kaka utembe na usalama.
@lulually4864
@lulually4864 Год назад
Pole sana baba angu amini kwamba mungu yupo na huyo aliyekufanyia hvo na yeye atafanyiwa hvo hvo na ndo maana biblia imeandika ukiua Kwa upanga na wewe utauwawa Kwa upanga...Mungu akulinde upone haraka watanzania tuko pamoja na wewe maumivu Yako n maumivu yetu pia
@caritasmushi8896
@caritasmushi8896 Год назад
People are so wicked. Kwanini umfanyie mwenzio hivi? Pole sana kaka Mungu anakupenda nae atakuponya kikamilifu one day..
@geeva99
@geeva99 Год назад
Ndo maana system za wamarekani wanachukulia verbal threats very serious dah, pole sana
@InnaMussa-hd7nw
@InnaMussa-hd7nw Год назад
Naumia san wallah pol San kaka inshallah utakuwa sawa😢😢
@vincej9275
@vincej9275 Год назад
Kweli kabisa
@ednahmwasyoghe7376
@ednahmwasyoghe7376 Год назад
Pole sana kaka Mungu bado anamipangi na ww ndiyo maana mpaka sasa bado upo hai na bado ataendelea kudhihirika kwa Hili kumbuka m'beba maono hafi hautakifa Bali utaishi mpaka mpango wa Mungu utakapo timia kikubwa usisahau kuomba Rehema kila siku Mungu wetu hajawahi kushindwa na chochote 🙏🙏
@user-bw1in4ho2b
@user-bw1in4ho2b Год назад
Dah! 😮 Poleh sana Tariq. Be protected and blessed. Naamini utapona na utaona tena na maisha yatasonga tu. Maxwow Artist. Naamini tutaonan a tena.
@nyawiragathigi1992
@nyawiragathigi1992 Год назад
He is still very handsome and even more than before
@nibigirahassina9308
@nibigirahassina9308 Год назад
Polesana Allah will make it easy for you my dear brother
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 Год назад
Pole sana kijana daaaaa. Watu wabaya siku hizii. Wivuuu tuuu wa MAENDELEO
@shantalismailhassan9878
@shantalismailhassan9878 Год назад
Allah akutie nguvu ,subira na imani. Sisi hatuwezi isipokuwa Mungu pekee ndo muweza. God bless you.
@sanurahaji5194
@sanurahaji5194 Год назад
Pole sana Allah akupe shufaa kikubwa kumshukuru mwenyezi mungu
@ssaa7495
@ssaa7495 Год назад
Jamani nimesikia maumivu kichwa ghafra 😭😭😭🙌🙌
@ruthkamau4489
@ruthkamau4489 Год назад
Pole sana ndugu wetu jirani kutoka chini TZ...walio kufanyia hawatenda mbali kama hawajalipia..pia neno la mungu limesema malipo ni hapa hapa dunia
@jacklineernest3155
@jacklineernest3155 Год назад
Pole tariq 🫶🏻❤ Mungu yupamoja nawe na tunakuombea urud kama zamani pole broo, Binadam tumekuw wanyama zaid ya shetani loooooh🙌🙌🙌🙌
@mercypeter162
@mercypeter162 Год назад
Kumbe hii kampeni ya ushoga wanapoelekea wataanza kubaka wanaume MUNGU atuokoe
@FreeGod368
@FreeGod368 Год назад
Huyu jamaaa ataponaaaa complete aisee mi nawaaaambia
@ahuriladaniel9849
@ahuriladaniel9849 Год назад
Kabisa atapona hapo ni pesa tu
@ester283
@ester283 Год назад
Ameeen
@Maria-cx4kn
@Maria-cx4kn 5 месяцев назад
Wahusika wote ambao wameamua kukaa upande wa pesa na kuacha utu basi wajue mungu wetu yuko kazini hizo pesa zitawatokea puani siku si nyingi. Lazima watachapwa kwa fimbo ya mungu wataguswa pale panapowaumiza zaidi. They will pay with their blood
@nelliemwita-qh7vh
@nelliemwita-qh7vh Год назад
Oh my God😭,what a handsome guy, that evil people just had to destroy his life , moreso face!!! Mungu mbele bros & with our prayers, may our good LORD give you a total healing & your sight too🙏😪
Далее