Тёмный

THE CLASSIC DAZ NUNDAZ: HISTORIA YA DAZ NUNDAZ/KUTOSWA NA MAJANI NA KURUDI/MAJI YA SHINGO/WA KWANZA 

KuviFacts
Подписаться 12 тыс.
Просмотров 19 тыс.
50% 1

Moja ya makundi bora ya muda wote ya Bongofleva Daz Nundaz walifika kwenye The Classic na kutupa hadithi za kusisimua za maisha na muziki wao,hii ni sehemu ya kwanza ya maongezi yetu.

Опубликовано:

 

2 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 52   
@Sebastianrichard253
@Sebastianrichard253 3 месяца назад
Hakika wasanii wa zaman walikuwa kwel kioo cha jamii japo kwa sasa wachache bado wanawakilisha but all in all big up u did very good music at your prime
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk 3 месяца назад
@@Sebastianrichard253 yaani ni WA Moto Hadi sasa ttzo ni wadau wa music Kwa sasa hatuskiliz good music Bali kelele na kuzipa big promo ndio tunawapoteza wenye mziki mzuri km daz nundaz, wagosi wa Kaya, mandojo na domo Kaya, kuna sugu n.k hata video za sasa haziendani na maudhui ya mashairi Yao kabisa
@adinanfauzu8988
@adinanfauzu8988 3 месяца назад
Wakwanzaaaaaa❤
@mhinajerome5964
@mhinajerome5964 3 месяца назад
Unajua interview inahitaji umakini sana kujibu nakatika kujibu ferouz anajua kujibu sana
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 3 месяца назад
Kuvi mwanetu uko deep sana kwenye hip hop &rap! .. hawa wanetu wa DAZ wamenikumbusha mbali sana, enzi ya kuchill posta mshatoka Tanganyika Library mida flani ya jioni mnaskilizia sketi za Jite na Forodhani! Pale konda kupigwa mitama ilikua kawaida tu enzi za ma dcm bado zamoto sana
@defantasticacomedy6366
@defantasticacomedy6366 2 месяца назад
Ttz mapresenters wetu wanaongea sana kuliko wanaohojiwa
@mediking8611
@mediking8611 3 месяца назад
La Rhumba noma sana. Na anasound kama sugu enzi hizo nilijua ni sugu kwenye nipe tano
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk 3 месяца назад
exactly
@Qqambaa
@Qqambaa 3 месяца назад
Ata nmeshtuka
@mhlegusekambona2818
@mhlegusekambona2818 2 месяца назад
Ni kweli hata mimi nilijuaga ni sauti ya Sugu
@OmegaThreads
@OmegaThreads 3 месяца назад
Much respect #kuvifacts
@SkabaSkuba-j5g
@SkabaSkuba-j5g 2 месяца назад
Iyo shuka rymes ilikuwa zawad kutoka kwa pfunk baada ya kuwakataa aisee iyo hatar ukiacha iyo kuna maji ya shingo remix hatar kuna nitafanya nn sasa mm nilinunua albam nikiwa mdogo sana
@IddMussa
@IddMussa 3 месяца назад
Daz nundaz vipaji vilikua vikubwa lakn vimeharibiwa na mihadarat
@OmaryMgonja-eb4qr
@OmaryMgonja-eb4qr 2 месяца назад
Acha uongo..mfano hapo nan umeona anatumia mihadarat...a ha story za kuambiws
@vincentmaholo9179
@vincentmaholo9179 3 месяца назад
Respect sana manundaz...respect daz mwalimu...alikuwa school mate wangu jitegemee (jite-wutang). Respect kwa nyundo zao zote hakuna unayoweza kui undermine, ila kwa Leo naomba watu wautambue wimbo wao unaitwa "shuka rymes" ni balaa kuliko kawaida...naamini watu wengi sna hawajawahi kuusikia. Much respect!
@HammyVanmaarifa
@HammyVanmaarifa 3 месяца назад
Daah Ile kopo ndo funika bovu kuliko nyimbo yyt aisee goma linaamsha sanaaa
@munnadulle3558
@munnadulle3558 3 месяца назад
one love
@rashidomar1558
@rashidomar1558 3 месяца назад
Kipindi pendwa sana ....Big presenter Jabir
@luqmanmohamedy3860
@luqmanmohamedy3860 3 месяца назад
Daz bado anakula ngada
@MadembweDickson-ur4kl
@MadembweDickson-ur4kl 3 месяца назад
Muziki Tanzania Mwisho 2003 sasa ni Top shelf
@januarylyambuzi1718
@januarylyambuzi1718 2 месяца назад
leo ndio nimejua ile verse ya nipe 5 hakuimba sugu
@fahamnitwahir9249
@fahamnitwahir9249 3 месяца назад
La rhumba alikuwa mkali sana
@SilajiHamani
@SilajiHamani 2 месяца назад
Kwelinnakubari.mzazi
@ChomaDeodatus
@ChomaDeodatus 2 месяца назад
Nasikia kwa mbali hapo Nas is the name
@afropatriot7769
@afropatriot7769 3 месяца назад
Most underrated talents
@cliffordathanas2957
@cliffordathanas2957 2 месяца назад
Verse ya marehemu pablo ndiyo ilikuwa kali kuliko zote.
@Lilmbunah
@Lilmbunah 3 месяца назад
Mm naombeni kuuliza nani alianza ile verse ya kwanza ya ngoma ile ya kamanda??????!!!
@EzekielLuvanda
@EzekielLuvanda 3 месяца назад
Dazi baba
@GraceKombe-ub2pk
@GraceKombe-ub2pk 2 месяца назад
Larumba ni noma san jmn ule mstari wake kwenye nipe tano ni faya
@evaristkobelo3936
@evaristkobelo3936 2 месяца назад
Larumba alitisha michano ilieleweka sama
@Fogaster1
@Fogaster1 3 месяца назад
Maswali ya kawaida mnoo, tatizo watangazaji wengi hawajui historia za watu hao, kutafuta watu wanaojua ili kuwapa madini,taasisi inahitaji vitu bora, wanaona kama wakimchukua Iddy Mwanaharamu atatajirika vile, lakini Majizo akimjua Iddy nna uhakika atafurahi....
@shafiisigera
@shafiisigera 3 месяца назад
Hili swala nililiona hata kwenye interview ya Pfunk, Ni maandalizi tu, hata story za kutaka kusikia kitu gani, unakuta msanii kama hayupo aware ataulizwa issue gani,
@KuviFacts
@KuviFacts 3 месяца назад
Njoo wewe na Iddy pia mfanye kaka ntawaachia kiti hiki mkuu
@KuviFacts
@KuviFacts 3 месяца назад
Karibu na ww uje uulize kaka vzuri ukitaka hii nafasi nakupa hata uwe guest presenter 😀
@geofreymgeni2668
@geofreymgeni2668 2 месяца назад
Wivu sasa
@SilajiHamani
@SilajiHamani 2 месяца назад
Nazi.nundazi.nawakubarisana.
@Shafi-sd7om
@Shafi-sd7om 3 месяца назад
Alianza verse ferooz
@sobelastsobe
@sobelastsobe 2 месяца назад
Larumba aliua sana
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад
Ila daz akili yake haipo hapo😊...
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 3 месяца назад
Yuko sawa ispokua yuko hivyo sku zote mtaratibu mnoo
@ramamabrok2523
@ramamabrok2523 3 месяца назад
😂😂😂😂
@ramamabrok2523
@ramamabrok2523 3 месяца назад
😂😂😂😂
@msakadoobongeladada-uh3sk
@msakadoobongeladada-uh3sk 3 месяца назад
​@@FahadAbubakari kweli namfuatiliaga Sana huyu broo Yuko Sawa
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 3 месяца назад
@@msakadoobongeladada-uh3sk ujue kila mtu kaumbwa namna yake wengine si fasaha sana kuzungumza
@salumsalum8866
@salumsalum8866 3 месяца назад
Sasa Daz Alikuwa Mandul mob yy na Temba ila akaambiwa achague Ndio akaenda Daz nundaz.sasa tulipokua Jite wote school Siku inapigwa hio Nyimbo ndio shule nzina wakajua Kwamba David nyika ndio Daz baba.Had mwalim mkuu alishangaa
@ChegeMsemakweli-cv4qb
@ChegeMsemakweli-cv4qb 3 месяца назад
Yule wa manduli mobb sio daz baba yule ni daz p
@salumsalum8866
@salumsalum8866 3 месяца назад
@@ChegeMsemakweli-cv4qb Ndio namjua sana m nimesoma na David nyika darasa moja jitegemee mpaka madaftar mengine yake yapo geto.ndio walikua watatu DAZ P. DAZ BABA.TEMBA.DAZ P SI ALIIMBA KAMA UNATAKA KUJA HOME BEBY
@salumsalum8866
@salumsalum8866 3 месяца назад
@@ChegeMsemakweli-cv4qb We uwon class mate kajala.ndio p funk anakuja Jite kwenye concet anamuona kajala alikuwa miss Bantu P anamtuma sasa RICH ONE Amfanyie mpango ndio kampata
@zakariarichard3319
@zakariarichard3319 3 месяца назад
Jaje mkongwe uwaje koo kunitambuu au jaje Nakudawia tu mkongwee
@KuviFacts
@KuviFacts 3 месяца назад
jaje hebu nambia kwanza 🤣
Далее
Лучше одной, чем с такими
00:54
Просмотров 937 тыс.
Лучше одной, чем с такими
00:54
Просмотров 937 тыс.