Тёмный

THOMAS SANKARA: Rais wa BURKINA FASO aliyeuawa, jinsi ilivyokuwa siku ya MAUAJI yake *INASIKITISHA 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 101 тыс.
50% 1

Makala hii itakupa historia fupi na mambo machahe ya kusisimua usiyoyajua kabla ya kifo cha Thomas Sankara ambaye wengi wanamwona kama Che Guevara wa Afrika

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 113   
@elimumwaipaja74
@elimumwaipaja74 2 года назад
#Skywalker SAUTI YA MAMLAKA🔥🔥 Story hii inaweza ikawa imesimuliwa na watu wengi sana ila Kupitia sauti hii adhimu ya Sky inaonekana mpya kabisa masikioni mwangu. #bless
@amanramadhan5928
@amanramadhan5928 Месяц назад
Mtangazaji wa story hii inanifanya niwe nafatilia makala zako❤
@magrethpoulpoul8585
@magrethpoulpoul8585 2 года назад
Yaan watu kma hawa kuwapata ni ngumu sana😭🙏 miss you magufuli💔❤🙏
@MahdouMomba
@MahdouMomba 2 месяца назад
Kutoka Sankara to Ibrahim traore ni miaka 36, kutoka Nyere to Magufuli ni miaka 16, hivyo huchukua muda mrefu sana kupata wapambanaji wa namna hiii..... ni mungu tuu huamua kunusuru waja wake kwa kutuletea viongozi kama hawa
@stephenndonyi6204
@stephenndonyi6204 Год назад
The legacy of cptn thomas sankara will continue .
@eksielo4608
@eksielo4608 2 года назад
Hakika sisi waafrika tutatawaliwa miaka yote, maana tunapopata viongozi kama hawa wanaopinga ubeberu na misaada, tunawaua sisi wenyewe. Rest in peace uncle magu pamoja na thomas sankara
@dangotee5051
@dangotee5051 2 года назад
Thomas Sankara alikua mzur MashaAllah👌🏼👌🏼Sky Allah abarik kazi ykoo 🙏🏽una sauti nzuri jamani😊
@saitawilson7307
@saitawilson7307 2 года назад
R.I.P JPM 💔 daima tutakukumbuka
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 2 года назад
Tatizo waafrika hatupendani huwa tunauana kwasababu ya kuwaabudu watu weupe
@amaniadrien7372
@amaniadrien7372 Год назад
Mungu azidi kumuweka mahara pema pepuni
@jeanpierrekwizera6400
@jeanpierrekwizera6400 2 года назад
Rafiki yako ndie adui yako kabisa. Asante sana Sky
@yusuphyunusi-zz1hx
@yusuphyunusi-zz1hx Год назад
Ni kweli aliuawa na rafikie Blaise compaore
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 2 года назад
Hata magufuli itakuwa ali uwawa maana baada ya kifo chake saahivi mambo ya IMF na world Bank zime anza kuja Tanzania
@abuanzal7355
@abuanzal7355 5 месяцев назад
Ni hakika Magufuli aliuwawa
@PhilipoMwita-b2x
@PhilipoMwita-b2x Месяц назад
Yani Kila nchi inawatu wa karibu hasa mataifa ya nje ambayo yananufaika Kama rais aliepo MADARAKAn anawakazia wazungu qtafanyiwa mbinu afe ili aje yule mama mikopo
@athumanimhanga2053
@athumanimhanga2053 19 дней назад
Ndug yangu kwani hujui
@hkmeme5437
@hkmeme5437 2 года назад
Marais bora kuwahi kutokea Africa #Gaddafi #mangufuli na #Sankara na ruto kenya
@nickalreadyknows
@nickalreadyknows Год назад
+ Mandela
@kalawajames-fw8gw
@kalawajames-fw8gw Месяц назад
which Ruto😂😂😂
@hkmeme5437
@hkmeme5437 Месяц назад
@@kalawajames-fw8gw William ruto
@kalawajames-fw8gw
@kalawajames-fw8gw Месяц назад
@@hkmeme5437 you can't be serious😅😅
@user-yh6nz6ri2m
@user-yh6nz6ri2m 10 месяцев назад
He was very strong soldier in africa we can't forget him may god bless him we will never forget his views and economic agenda.
@rukiaiddyyahaya9506
@rukiaiddyyahaya9506 2 года назад
Hii ndio Africa kuwa mkweli ufe mapema
@bizomenyimanaelias5455
@bizomenyimanaelias5455 2 года назад
Thomas Sankara Héros of africa Number 2 Khadafi
@siliviasimon7970
@siliviasimon7970 2 года назад
Sky Mungu akuinue kuelekea kilele cha mafanikio yako 🙏🙏
@busindevyote3519
@busindevyote3519 2 года назад
Great, go ahead to inform us!!
@matendoa.online803
@matendoa.online803 2 года назад
Thanks SNS for the info. Keep it up guys
@user-wg2gd2nl6c
@user-wg2gd2nl6c 15 дней назад
Africa tunaakili Sana. Mungu katutunuku. Lakini Akili zetu hatuzufanyii kazi. Tunawaabudu Hawa nguruwe.
@rachellebahati6126
@rachellebahati6126 2 года назад
Mungu wangu nakosa chakusema.angekua hai burkina Faso. Ingekua high kwa economic
@raiderinfos1472
@raiderinfos1472 2 года назад
JPM spirit
@zabibuamissi1141
@zabibuamissi1141 2 года назад
Mansha Allah alikuwa muzuri atakumbukwa kwa ushuja wake
@abuusufian6506
@abuusufian6506 2 года назад
Shukran sanaa kaka Sky
@deusntobi1450
@deusntobi1450 2 года назад
Kaka sky nasema kutoka moyoni kabsa, Ninakupenda sana na nikutabiria ukubwa ambao hata hujaufikia but ipo siku yaja utakuwa mkurugenzi wa vyombo vikubwa sana vya habari vyenye kupendwa na kuaminika kwa jamii. Si leo au kesho lakini uhai wako hautakoma pasi na kutimilika kwa utabiri wangu huu ambao sasa unamiaka zaidi ya 10 toa niupate ambao uliniijia nikiwa kijijini kwetu huko kahama nikiwa nasikiliza kilendio changu cha Rissing nilichokiungia betri za Panasonic national na taiger ili tu nipate kusikiliza radio. Kuna mda huwa naona tajil akija kwako akitaka kuwekeza lakin kun a mda huwa nakuona ukinyakuliwa na makampuni makubwa lakin hivi karibuni niliona ukichukuliwa na serikali! Kaka sky yote haya yatokee ama yasitokee lakini naamin hutoiacha hii dunia bila kuiachia kitu kitachoishi ktk vizazi na wajukuu zetu watajibu maswali na kufaulu mitiahani yao ktk kwakulitaja jina lako ktk majibu yao.
@user-zf3mb1cp4h
@user-zf3mb1cp4h 4 месяца назад
Waafrika tunashindwa wakwel katika nchi zetu na kua wakweli kwa mabeberu tomas sankara alikua ni kiongoz mwenye akil nyingi mno mwenye upendo na nchi yake na afrikaa kwa ujumla lakin wapumbavu watumika kwa tamaa zao mungu amuweke mala pema
@mkatavitv1014
@mkatavitv1014 2 года назад
Alikua na watoto wangapi boss
@husamtech2748
@husamtech2748 2 года назад
Wawili mmoja wapo ni wewe mkatavi tv
@dangotee5051
@dangotee5051 2 года назад
@@husamtech2748 😀😀😀
@magrethpoulpoul8585
@magrethpoulpoul8585 2 года назад
@@husamtech2748 🤣🤣🤣mahuzunisho
@juliusjaliwa9887
@juliusjaliwa9887 2 года назад
Alikua na watoto, sijajua idadi yao kamili ila wanahishi France
@hopechidera
@hopechidera 2 года назад
@@juliusjaliwa9887 aliacha watoto wawili kama #Junya alivyosema,nao ni Auguste Sankara na Philippe Sankara(wote wanaume)
@EsterPaul-jt5im
@EsterPaul-jt5im 3 месяца назад
Tomas umepata mlisi wako iblahim ichi anaibandilisha kwa kasi sana mungu awabariki .
@lwinzmohamerd8399
@lwinzmohamerd8399 2 года назад
Hv sisi waafirika mbona tunapenda sana kujikomba sana kwa wazungu kwann tusje tukajitegemea tatzo baadhi ya viongozi wetu hawako silias na kujenga nchi zao
@emmanuelgembuya8999
@emmanuelgembuya8999 2 года назад
Asantee Sana Sky
@emanuelandedela2771
@emanuelandedela2771 2 года назад
Pole mjane.
@hakizimanasaidi6650
@hakizimanasaidi6650 2 года назад
Uwe Unatupa simulizi zahivo kaka yng
@cosmasmilanzi7117
@cosmasmilanzi7117 2 месяца назад
JIHADHARINI NA WANADAMU MAANA NAWATUMA KAMA KONDOO KATI YA MBWA MWITU.....(MATHAYO.10:16-39)
@calvinpaul2171
@calvinpaul2171 2 года назад
Tatzoo waafrica 2ko wabnafsi sana..a2pendan na a2fanikiwii
@hakizimanasaidi6650
@hakizimanasaidi6650 2 года назад
Kaka Ww ndo mwenye kujua kusimuliya kwakweli Mung anajua kutoa kipaji Mung akuwekeye wepesi kwenye mambo yako Ufanikiwe
@melichmahingule2896
@melichmahingule2896 Год назад
Siasa ni uovu, utawala wa Yesu kristo tu ukiongozwa kwa maelekezo ya Yehova Mungu ndiyo itakuwa suluhu ya haki na upendo duniani
@chibunews5642
@chibunews5642 2 года назад
The sky voice
@HalfanMaulid
@HalfanMaulid Год назад
Nimeipenda.
@selestinfrancis5904
@selestinfrancis5904 Год назад
Pumzika kwa Amani Sankara, hakika Mungu akupe pumziko la Milele,Ungana naye JPM huko mlipo,mpunzike kwa Amani.
@EzzyEddy-il3ce
@EzzyEddy-il3ce 11 месяцев назад
Huyo compaole sijui alompindua Sakara ameirudisha nyuma sana Burkina Faso.Sakara alikua anampango maalumu wa kuiendeleza Burkina Faso
@silasikeyoo632
@silasikeyoo632 Год назад
Kwer vzr havidu
@norascomacho3504
@norascomacho3504 2 года назад
Viongozi wa Africa vizungu mkuti tu.
@ShadrackJoel-iu3dr
@ShadrackJoel-iu3dr Месяц назад
yaani Africa 🌍 tutakuwa watumwa miaka yote maana ufisadi na kujipedekeza Kwa mabeberu ndy maana tunaletewa ushoga kudadeki
@umojaafrika2447
@umojaafrika2447 2 года назад
Thomas Sankara daima
@user-zf3mb1cp4h
@user-zf3mb1cp4h 4 месяца назад
sky endlea kutuelimisha kwa yote ambayo hatuyajui lakn ukwel wang mm ni shabaki san wa kazi yako hi mungu akup umri mref il tuzid kujfunza kupitia wewe
@frankmganda9585
@frankmganda9585 2 года назад
Nimekwisha gundua wazuri hawadumu
@ellymakongo656
@ellymakongo656 2 года назад
Tupe na ya uncle wetu JPM mkuu.. maana hawa ni mapacha
@RamadhaniJuma-o9b
@RamadhaniJuma-o9b Месяц назад
RIP sankala
@magrethpoulpoul8585
@magrethpoulpoul8585 2 года назад
😭😭😭😭😭so sad.
@emanuelmlelwa6595
@emanuelmlelwa6595 2 года назад
Umefanya jambo jema tuna ombi uendelee na simliz Za aina hyo pia
@mussajuma7460
@mussajuma7460 2 года назад
Africa ni vichekesho utampaje uraia mtu aliyefanya uhalifu nchi kwake tena akiwa rais Ivory coast ni vibaraka wa ufaransa ambao walimpa kazi compore kumuua sankara
@WilliamChibambu
@WilliamChibambu Месяц назад
wauwaji wa uwawe ili ifike mahali afrika tujitambuwe
@lwinzmohamerd8399
@lwinzmohamerd8399 2 года назад
Tutamkumbuka kiongizi ama rais wa bukinafaso THOMAS SANKALA inauma sana walio fanya mauaji hayo lazma wa fungwe, hii itatukumbusha kwa rais wetu mpendwa JOHN JOSEPH MAGUFULI inanitia huzuni sana.
@ummidullah9974
@ummidullah9974 Год назад
Kizuri hakidumu
@Saidmakame-hn8ze
@Saidmakame-hn8ze 3 месяца назад
Kweli boc
@fatmasalima3847
@fatmasalima3847 2 года назад
R.i.p
@Ndaizee
@Ndaizee Год назад
R.I.P Magufuli daima ulitufumbua macho
@yussufrabba2282
@yussufrabba2282 2 года назад
💯💯😣😣😣
@Udindigwa
@Udindigwa Год назад
Daaa
@mndambokilavo2502
@mndambokilavo2502 Год назад
wazungu wanasema waafrika hawana akili lakini kila kiongozi anayetokea mwenye akili wanaua kama unabisha fanya hayo mambo aliyofanya thomas halafu uone kama utatoboa ndio maana siku afrika ikiwa tajiri ulaya itakuwa maskini na hilo halitarusiwa imebaki kutuwekea viongozi wabovu halafu baadae wanatuita hatuna akili
@yezagproducts8567
@yezagproducts8567 Год назад
Africa siyo mbaya wabaya ni wana Africa wenyewe. Tunakulana wenyewe na wale wanaojiona wasomi.
@alesantamakiko801
@alesantamakiko801 Год назад
Mungu hapendi watu wake wema wapate shida hapa duniani . R.I.P Thomas Sankara
@ibrahimshabani3544
@ibrahimshabani3544 Год назад
Wakamatwe wafunguliwe mashitska wauwaji
@saitawilson7307
@saitawilson7307 2 года назад
😭😭😭😭😭😭
@rajabdibwa6415
@rajabdibwa6415 Год назад
Your best friend your worst enemy
@armandbyangoyi8203
@armandbyangoyi8203 Год назад
❤❤❤
@EsterPaul-jt5im
@EsterPaul-jt5im 2 месяца назад
Tomas Sankar napenda ujasili wako maana ulikuwa hataki mambo ya kijinga mungu anipe ujasili kama wako kaka angu traore amefata nyanyo zako safi sana pumzika kwa amani Tomas Sankar mi nipo tazania.
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Год назад
Tulikuwa na jpm in tz
@jenyyusuph4973
@jenyyusuph4973 2 года назад
Hhh dunia tumeichoka mungu rudi
@KihangoIsmail-qn2uh
@KihangoIsmail-qn2uh Год назад
Tunawahitaji watu wazuri kama marehemu Thomas isdole Sankara lakinihuyu compaule alaaniwe milele
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Год назад
Wazungu ndio wanaoua viongozi Waafrika
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 Год назад
Tatzo yeye alipata vipi serekali kama alipindua kwa upanga.Upanga saizi yake
@thefactbook...1607
@thefactbook...1607 2 года назад
They call him African Che Guevara.
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 года назад
🇹🇿🇹🇿🇹🇿👍✌.
@uaeuae1871
@uaeuae1871 Год назад
😢😢😢
@rehemamkalawa3801
@rehemamkalawa3801 2 года назад
Kweli kikulacho ki-nguoni mwako! 🙄 Yaani walionekana km mapacha,kumbe!
@kiningashukran5177
@kiningashukran5177 Год назад
Afrika nzima ni shida
@mikaelshagilu1732
@mikaelshagilu1732 Год назад
Da aliemua Shujaa Sankara mbona kakaa muda mrefu xna bila kuwajibishwa.hadi amekimbia.huyosinch wamrudishe bukinafaso na apigwe risasi hazarani mashamba xana huyo.
@siliviasimon7970
@siliviasimon7970 2 года назад
Sky tuletee bc na simulizi ya operation entebbe
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Год назад
Magufuli ni Rais wa2 duniani kupunguza mshahara wake.wakati viongozi wengi huongeza mishahàra.
@user-hu8um8vj4r
@user-hu8um8vj4r Год назад
Yupo Paul mjika ndo alikua na mshahara mdogo duniani
@juliussilvestar8988
@juliussilvestar8988 Год назад
Emmanuel nyerere nae alipunguza mshahara
@yusuphyunusi-zz1hx
@yusuphyunusi-zz1hx Год назад
Compaore his best friend is a person who killed Sankara
@thabitngangila8562
@thabitngangila8562 2 года назад
Huzuni
@IrakozeThierry-x8e
@IrakozeThierry-x8e 23 дня назад
Niseme wewe ni msimulizi shujaa endelea kutuletea historia kadha
@florakweyunga4490
@florakweyunga4490 2 года назад
MUNGU BABA YETU.....HUTOLETA GARIKA TENA,BALI MTAJIMALIZA WENYEWE.BABA TUNAPIGA MAGOTI MBELE YAKO,TUPUNGUZIE ADHABU HIYO.MAANA WAKUFA WATU WATU WENYE UPEO MKUBWA.
@nahimanajo8993
@nahimanajo8993 2 года назад
😭😭😭
@salimukimolo7592
@salimukimolo7592 2 года назад
Niwazi kabisa inaoneka rais huyo kahusika
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Год назад
Cotonou ...tamka kotonuu sio kontunu
@matunzojr4862
@matunzojr4862 Год назад
daah basi tu yan
@abelbest4984
@abelbest4984 2 года назад
Sangara tarehe 15 ,nyerere tarehe 14 wote October
@nancynyali2362
@nancynyali2362 2 года назад
Unakumbukumbu nzuri I say
@hopechidera
@hopechidera 2 года назад
Na #LuckDube pia ni October 18...
@deograciakashaigili5973
@deograciakashaigili5973 2 года назад
Sankara
@mutalemwamarcelventure.mae2058
BurkinaFaso
@jonasijunga1568
@jonasijunga1568 Год назад
🥲🥲🙏🙏🙏
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 2 года назад
Hee
@kafwimbimilambo8556
@kafwimbimilambo8556 Год назад
Uyo mutu aletwe
@isayajoshuwa7201
@isayajoshuwa7201 2 года назад
ddddddd
Далее
Музыкальные пародии
00:28
Просмотров 22 тыс.
나랑 아빠가 아이스크림 먹을 때
00:15
Просмотров 1,7 млн
Historia Iliyotukuka ya Marehemu Thomas Sankara
6:40
Просмотров 175 тыс.
Stalin, The Red Terror | Full Documentary
1:23:53
Просмотров 24 млн