Тёмный
No video :(

ALI BONGO ONDIMBA: RAIS wa GABON aliyepinduliwa, ameitafuna nchi bila HURUMA, alianza BABA yake 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 120 тыс.
50% 1

Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 218   
@ndikumanaismail5419
@ndikumanaismail5419 Год назад
We so happy about new change in Africa we tired 😫 😩 about old generation we need new generation now
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 Год назад
Mwenyezimungu atusamehe na atuepushe na Tamaa na kuwadhurumu watu,,mungu akikuteua kama kiongozi kuwa muadilifu mana Kuna kesho,,eeh mola tusamehe mazambi yetu sisi waja wako wadhaifu na utupe mwisho mwema sisi na vizazi vyetu innshaala
@Muda27
@Muda27 Год назад
Amen.
@FatumaMuya
@FatumaMuya 11 месяцев назад
Amiin
@kalebphilip3426
@kalebphilip3426 11 месяцев назад
Familia moja imeikula Gabon kwa miaka 55,hvyohvyo na ccm yetu imeitafuna nchi Ni vle wanabebwa tu na katba Ila utafka tu wakat wa Mungu maana malipo Ni hapahapa dunian
@Mbeyaconscious
@Mbeyaconscious Год назад
Kikubwa Mapinduzi Hayo Yasiwe Ni Uroho Wa Madaraka 🙏🏼🙏🏼
@georgerichard4902
@georgerichard4902 11 месяцев назад
Uwe unasikiliza kwanza unaelewa ndo uncomment
@allyhassan7169
@allyhassan7169 11 месяцев назад
Mwanajeshi wa kweli na mwanamapinduzi mzalendo hapa kwetu alikuwa hayati maqufuli bahati mbaya alikuwa jeshi la mtu mmoja aliyejitolea uhai wake kwa kuwatetea wanyonqe wa Tanzania kutoka raslimali zao tunaimani ukombozi wa Africa utaenea bara lote dhidi ya mabeberu na vibaraka wao wote
@Halfanhemedi-ec2cp
@Halfanhemedi-ec2cp 11 месяцев назад
kamtetea nani kajitetea mwenyewe mi anayenitetea ni aliyeniumba tu
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 11 месяцев назад
​@@Halfanhemedi-ec2cpUpo sahihi Bro Wazalendo wa kweli walikuwa ni wakina Mwl.Nyerere, Thomas Sankara,Colonel Muammar Gadaffi,Kwame Nkrumah,Gamal Abdel Nasser,Patrice Lumumba na Ahmed Ben Bella wengine waliofuata ni Wachumia matumbo yao
@Halfanhemedi-ec2cp
@Halfanhemedi-ec2cp 11 месяцев назад
watu wengine akili mchwa
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 11 месяцев назад
@@Halfanhemedi-ec2cp Hakika Mtaalamu
@lucasngalawa8826
@lucasngalawa8826 11 месяцев назад
Binafsi mimi magufuli kwangu ni shujaa❤❤❤❤
@nasrinairi9556
@nasrinairi9556 11 месяцев назад
Hii Safi Sana. Pongezi kwa Maamuzi Hayo Kwa Niaba ya Wananchi Wanyonge kwenye Nchi Yao. ✊🔥
@anosiata8242
@anosiata8242 Год назад
Mimi napenda nchi wanajeshi wanaojimbua. Safi sana wanajeshi Gabon.
@shubebunyesi542
@shubebunyesi542 11 месяцев назад
Ndugu pale Gabon hakuna mapinduzi ila kuna bifu ya kifamilia kwann kaka uanakula peke yako na cc tunataka kwaiyo apo hakuna mabadiliko yyte bali ni bifu za kifamilia kwamba upande flani unanufaika kuliko we jiulizie maransa anapiga kelele au marekani c unawaona wako kimyaa manake wao hawakuguswa wanaendelea kula so hakuna shida kwao c umeiona Niger usaransa kakataa kuondoka kisa haitambui serikali basi ya gaboni ataitambua coz haijagusa wala kutishia maslai yake sasa apo utasema mapinduzi au wanagombea ulaji ,, ndugu Sio kila mapinduzi lengo lake Uzalendo hapana kikundi kiomoja kinaona wenzao wanakulakeki ya taifa pekee so na cc tuingie tule lkn c kwaaajili ya maslai ya taifa wala wananchi cjui umenielewa
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 11 месяцев назад
Wanajeshi wanaojua wajibu wao kwa nchi zao Mungu awaongoze na wao wasiwe km Watangulizi wao
@IsaacParuz
@IsaacParuz 11 месяцев назад
Proudly sns Asanteni sana sns Kwa kutujuza mambo ya msingi sana
@jassonnelly3445
@jassonnelly3445 Год назад
Nchi yetu sis watu hawana mda wame umbea na udaku baasi kuwaza vitu vya msingi hakuna
@allymwilu8089
@allymwilu8089 11 месяцев назад
Kwakweli tunaangamia😂😂😂😂
@salimalaquimane3077
@salimalaquimane3077 11 месяцев назад
Jeshi Lina taka sale zao tu😅😅😅😅
@rogersiddy
@rogersiddy 11 месяцев назад
​@@salimalaquimane3077ndo wanachokiona chamuhimu kuliko vyote lkn hili wanalofanya wenzao wala hawalioni kuwa lamuhimu zaidi ili kuwasaidia wananchi na kuisaidia nchi pia
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao 11 месяцев назад
Mungu Ikomboe Afrika🙌🏾❤️🇰🇪
@Muda27
@Muda27 Год назад
Mioyo inaumia,tunasikitika,tunateseka ila Mungu anasikia kilio chetu..muda wa Mwenyezi Mungu ndio muda sahihi.
@lilianambokile6832
@lilianambokile6832 11 месяцев назад
Kabisa
@redockbracard9455
@redockbracard9455 2 месяца назад
We're so happy with our lovely new generation African leaders
@allymtunge5530
@allymtunge5530 Год назад
Asante kaka skay kwa makala nzur sns ninatuabalisha vizur
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 11 месяцев назад
❤kwa brog yenu kwa uchambuzi mzuri na hasa jamaa namwelewa Sana ❤ djsma kupasua brog za umbea tupa kule mbelembele
@MrNoNonsenseYes
@MrNoNonsenseYes 11 месяцев назад
Blogg*
@msangodiesel3132
@msangodiesel3132 11 месяцев назад
@@MrNoNonsenseYes sawa nimekuelewa
@yusufuheri6524
@yusufuheri6524 Год назад
Asante sana my brother from another mother
@victormalelemba4324
@victormalelemba4324 11 месяцев назад
Mungu ibariki africa yajayo yanafurahisha kinachofuata nchi zote viongozi ambao ni mafisadi wapinduliwe
@esternjauzi6310
@esternjauzi6310 11 месяцев назад
Nakupendaga we kijana simulizi zako asante kwa taarifa nzuri
@user-qy5qw1jv4s
@user-qy5qw1jv4s Год назад
Yaani mi nasema je nchi zetu nyingi za afrika zinaita kufanyiwa hivyo,maana marais wengi wa afrika wamejifanya miungu watu kutaka kutawala milele tena kwa matumizi mabaya ya madaraka kwakutujali raia wanaowaweka madaraka,mi naona mapinduzi yaanedelee tu labda wengin akili zinaweza kuwasogea
@SaimonKazimoto-xt1zo
@SaimonKazimoto-xt1zo 11 месяцев назад
Kweli kaka lakini kumbuka atujui anavo waalika malafiki zake kitatokea Nini ila namalizia Afrika bara tajiri sana ila imekua ni mladi mkubwa sana kwa wazungu wanafulai kuona tuna uwana waafrika wao wanatumia nafasi iyo kuiba Mali zetu sio sawa inauma sana mungu ibariki gaboni isitokee vita tuiombee gaboni
@thomsanga7956
@thomsanga7956 Год назад
Makala nzuri sana aisee 👏🏿👏🏿
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 11 месяцев назад
Kwani Bongo familia Kama za BONGO OMARI MBONA ZIPO NDO ZINATAFUNA KEKI YA TAIFA.KILA MMOJA ATAKULA KWA UREFU WA KAMBA YAKE😢😢😢😢
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 11 месяцев назад
Kweli kabisa
@libetztanzania-kiswahilina2845
@libetztanzania-kiswahilina2845 11 месяцев назад
@@christinewomanoffaith5479 BABA RAIS MSTAAFU, MAMA MBUNGE , MTOTO MBINGE NA WAZIRI SASA KUNA TOFAUTI GANI HAWA WATANZANIA NA FAMILIA YA MSEVENI AU KAGAME 🤣🤣Tanzania mnawafaham mpaka wakww
@emmanuelmwakibolwa735
@emmanuelmwakibolwa735 11 месяцев назад
Tamaa ni kitu kibaya sana. Fikiria mtu ungekwapua uchumi wote wa nchi. Ni maisha yepi hayo utakayoishi ambayo ni tofauti na maisha ya mwanadamu? Kumbuka sote tunakula, tunaugua, tunalala, tuanakufa. Kama ni chakula ni kile kile tu, kama ni wali ni ile ule, kama ni nyama ni ileile, kama mbuzi ni wale wale tu, kama ni kuku ni wale wale tu, tena wa kienyeji ni watamu zaidi, tena usipokula mboga mboga za majani unatafuta matatizo, je kuna wali wa dhahabu, kuna nyama ya tanzanite! Je, kuna pizza za almasi? Je, au ni sahani na vijiko vya dhahabu? Ndio tuite tunakula maisha??? Ni nini tukikila tunakuwa tofauti na wanadamu wengine?? Au tukisafiri sana Ulaya au America tunakuwa tofauti kivipi? Je, afya yetu itabadilika? Au hivyo tutakavyoviona huko vinatuongezea nini maishani? Au tukiwadhulumu wananchi na kuwaibia kwa ufisadi tunatofautiana vipi nao?? Je, kufa kwetu kutatofautiana? Je, hao hawatazikwa na kusahaulika kama wengine tu??? Je, kuiba uchumi wa nchi nzima kumemsaidiaje kiafya??? Mbona mguu wake mmoja umeshakufa angali yu hai??? Pesa alizoiibia Gabon zimemsaidia nini?? Mbona anatetemeka na kuweweseka tu??? Pesa imemsaidia nini??? Mbona aliowaibia wananchi maskini wana afya zao wanadunda vizuri tu??? Fahari iko wapi?? Wananchi Aliowaibia na yeye, ni nani aliye nafuu??? Japo wengi wamelala njaa mara kadhaa, lakini tofauti yao na huyu rais ni nini kwa sasa??? Tumwogope Mungu! Mungu anapotupa nafasi za juu kama hizo ni ili tuwatumikie wananchi sio, tutumikie matumbo yetu!!!! Aibu huwa haiwagi mbali itawapata tu siku moja!! Hata wangeficha mabillioni ya dollar nje ya nchi, hawawezi kukwepa aibu na kifo. Siku ikifika wala hizo pesa hazitawasaidia kabisa. Aibu ya mwisho inakuwaga ni mbaya kuliko utukufu wao waliojipatia walipokuwa madaraka ni!! Tumwogope na kumheshimu Mungu!!!
@user-bq9jt9uj7q
@user-bq9jt9uj7q Год назад
Bro your the best story teller
@emanuelyigwira2511
@emanuelyigwira2511 11 месяцев назад
Bro wewe ukiweka sauti yako ktk simulizi Aise u sound so professional, sound track iko poa sana
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 11 месяцев назад
Asante kwa Historia....
@user-bu9hc1tp8y
@user-bu9hc1tp8y 11 месяцев назад
Noma
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 Год назад
Kwani sky hajawahi kupata tunzo ya mtangazaji bora wa TANZANIA jamani dah!
@zainabwage4658
@zainabwage4658 11 месяцев назад
Anastahir kwer ipo sk atapata tu
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 11 месяцев назад
Familia 1?? 1963 mpk 2023?🙌🙌🙌😩😌Lord have mercy 55 yrs???? Nyie noma aiseee
@Callkingb
@Callkingb 11 месяцев назад
Kazi nzuri sky na mtayalishaji
@jeffyasin2977
@jeffyasin2977 11 месяцев назад
Sometimes najiuliza sana hivi watu hawaridhiki mbona ukiwa unakula vzr unafamilia unaweza kula utakacho na kwenda popote inatosha sio lazima uwe na mabillion peke yako dah maisha yenyewe haya ya kupita tu mbona me nashangaa sana kwa kweli asee sijawahi kuelewa watu wanatamaa gani kwenye haya maisha
@davidmarik4633
@davidmarik4633 11 месяцев назад
Binadamu aridhiki ata apewe nni tumeumbiwa Tamaa nikurudishe nyuma kilocho waponza Adam na Eva ni Tamaa kwahyo ata uwe bilione wa namna gani Bado tuu autaridhika
@lalesmhina5090
@lalesmhina5090 11 месяцев назад
​@@davidmarik4633uhakika
@yayananajota5838
@yayananajota5838 Год назад
Pls God make thing happen in est Africa, in Indian Ocean pls pls🙏🏽🙏🏽🙏🏽🌊
@Bama959
@Bama959 Год назад
Bro Sky tunataka makala ya utawala wa kikwete nayo pia maana hata yeye ni kama huyu mamba Bongo.
@ahmuhally4430
@ahmuhally4430 Год назад
Mambo hayo azungumzie Mtangazaji wa Nchi nyingine ila yeye atafunguliwa mashtaka
@zainabwage4658
@zainabwage4658 11 месяцев назад
Umtakii mema sky 😂😂😂
@khadijazungu8627
@khadijazungu8627 11 месяцев назад
😂😂😂😂😂😂😂 labda azifanye kisha azitume kwa mtu wa nchi nyengine aichambuwe tena huyo mtu awe msiri wake hivi hivi watamuuwa paleeeee
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 11 месяцев назад
Haswaa maana lilikuwa jizi kweli kweli hilo jamaa
@BonnyMwajombe-iu7hb
@BonnyMwajombe-iu7hb 11 месяцев назад
​@@salmaalimusa6809 salma Acha hila hata wewe upate urais utakwiba tu ,
@mdl6463
@mdl6463 11 месяцев назад
Tatizo africa nzima na mimi nikiwemo ni wapumbafu sana Kuna familia zinajifanya kama hawakukopeshwa school fees na serikali wanapata hela wasahau walikotoka usengerema kabisa upo 😅😅😅😅
@renatusrevocatus3895
@renatusrevocatus3895 11 месяцев назад
😄😄😄😄😄😄
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 Год назад
Viva Putin viva African ❤❤ Kitawaramba wote fibaraka Viva African 🇷🇺🇷🇺🇷🇺💪🇰🇪🇰🇪
@MrNoNonsenseYes
@MrNoNonsenseYes 11 месяцев назад
Vibaraka*
@monicahovda5890
@monicahovda5890 11 месяцев назад
Yaani Africa imejaa vibaraka SiO Viongozi Bali ni vibaraka na masrahi Yao. Hata Tanzania Bongo wapo Vibaraka Bara lote hili
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 11 месяцев назад
Kenya afadhali, Uganda je?
@ThomasMaico-wm4or
@ThomasMaico-wm4or Год назад
Asanteee sana sns mnatoe elimu ya bure 🙏🙏
@mwamudaniel7912
@mwamudaniel7912 11 месяцев назад
Message well sent
@shabiruponera4323
@shabiruponera4323 11 месяцев назад
Uganda munakwama wapi😂😂
@RamazaniMulongeca
@RamazaniMulongeca Год назад
Ahsante sana #Sky Na #360... we are together 😊
@isaacgwams8080
@isaacgwams8080 Год назад
Kaka tunashukuru sana kwa habari hii,
@georgeoketch9027
@georgeoketch9027 11 месяцев назад
The Same should b e done in Kenya
@hamoudcreator6343
@hamoudcreator6343 Год назад
Asingepinduliwa, NAAMINI hizi makala za Leo, tusingezipata🥴🥴
@Gody360
@Gody360 11 месяцев назад
Wapigaji wote wapigwe chini
@user-mq3nv2qr4g
@user-mq3nv2qr4g Месяц назад
Yuko wapi sasa fanya ufanyavyo Ila mungu anakusubiri
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 11 месяцев назад
Aisee haina tofauti na uganda,looo🙌🙌
@user-qy5qw1jv4s
@user-qy5qw1jv4s Год назад
Hongera kwa wanafanya mapinduzi safi sana
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 Год назад
ifike kipindi nchi ziwe zinaendeshwa na makamanda sio hawa kuku wa kisasa waliokalia ikulu.yaan rais hawezi hata kujitetea mwenyewe halafu eti ndio amri jeshi mkuu.mfalme inabidi ajue kuipigania nchi yake
@lindidistrictcouncilchanne2671
@lindidistrictcouncilchanne2671 11 месяцев назад
Napendeleza Mr Bundala nakala hizi kuziita nyuzi 360
@jacobmlumbe6653
@jacobmlumbe6653 11 месяцев назад
Bro una jua sana
@tizzyboy7745
@tizzyboy7745 Год назад
Obrigado por esta vídeo brw
@aminishebwana8660
@aminishebwana8660 Год назад
Simulizi nzuri kuliko Dj sma.
@user-tv5rb2ef6d
@user-tv5rb2ef6d 11 месяцев назад
Jeshi letu la Tanzania limezubaa sana, ndiyo maana wengine Wana mavitambi mpaka raisi wao anawashangaa
@jotafungo4622
@jotafungo4622 Год назад
Safi sana wajeda
@moxasaidi3398
@moxasaidi3398 11 месяцев назад
Hata tanzania miaka 63 sasa ipo na chama kimoja kinachoendeshwa na muengereza rasilimali zote zipo chini yao kabla kupata uhuru tanzania mpaka leo hii tumefunga nao mkataba
@user-fl5mt6dm9o
@user-fl5mt6dm9o 11 месяцев назад
Good history!!
@sponsor7882
@sponsor7882 11 месяцев назад
bado uganda na rwanda
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 11 месяцев назад
Kwakweli Nao wajanja Wameweka watt wao kwenye wizara za ulinzi ,ila ipo siku
@silvanuskisinza4303
@silvanuskisinza4303 11 месяцев назад
Hakuna jipya unalojaribu kutuambia hapa nikiongozi gani wa Africa unaweza kumtofautisha na huyu bwana? Huo ndo mfumo wa watawala wa Africa. Angalia uganda zimbabwe kongo zote. Cameroon angola etc. Hakuna jipya hapo.
@tatujuma8781
@tatujuma8781 11 месяцев назад
Toeni izo takataka uku afrika
@musaakida9951
@musaakida9951 Год назад
Bado bongo 😢😢
@moseskulola6913
@moseskulola6913 11 месяцев назад
Nakukubali sana makala zako ..uzidi kututiha raha
@pmctv787
@pmctv787 11 месяцев назад
Bundala we ni noma
@rogersiddy
@rogersiddy 11 месяцев назад
Sio GABONI TU hii hali ya kukatwa mawasiliano siku ya matokeo ya uchaguzi hata kwetu ilitokea 2015 ili waibe vzr kula watangaze matokeo yao ya uwongo
@AndrewPaul-wy6qq
@AndrewPaul-wy6qq 11 месяцев назад
Babukubwa sky💪✊
@ndikumanaismail5419
@ndikumanaismail5419 Год назад
He must be arrested Ali bongo Gabon 🇬🇦 is not kingdom no or Africa is not kingdom one family must be finish all the country we saying never never never the must put all family in side jail
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 11 месяцев назад
Eti hajui mtt wake wa kiume alipo wala mkewe! Wamwachie na familia yake akafie mvele huko Apigwe exile apelekwe nchi nyingine! Hizo mali huko ufaransa zipigwe bei pesa irudishwe Gabon
@yohanalemaiyan3076
@yohanalemaiyan3076 Год назад
Absolute power corrupt absolutely!...mchenzi bila ubongo!...!
@anordgerison8639
@anordgerison8639 Год назад
Tatizo la BONGO hupenda kufuatilia matatizo ya watu wengine sawa alikuwa fisadi "Mbona nyie kwenu kwenye nchi yenu ufisadi n mkubwa na hamjawahi kutolea makala 😂😂, ESCROW EPA etc , na kila siku Mama Ana lalamika na Wala hamumsaidii kuibua hizo kashifa 😂😂😂😂😂😂😂 Aya bana n maoni yangu
@victaboy7273
@victaboy7273 Год назад
Fact
@djoe8266
@djoe8266 Год назад
Wapo watu wanazungumzia hii serikal uwoni kinacho watokea
@anordgerison8639
@anordgerison8639 Год назад
@@djoe8266 ndio hapo Sasa ... Kama mmeshindwa kuzungumzia UFISADI na RUSHWA kwenye nchi yenu kaeni kimya kuzungumzia UFISADI na RUSHWA kwenye nchi za wengine b🙄🙄🙄
@khadijarashidy9304
@khadijarashidy9304 Год назад
Mnaotaka atoe makala ya nchini kwetu ili afungiwe au muacheni sky
@joshuajereman7510
@joshuajereman7510 Год назад
Tanzania siyo huru
@vidomwape7768
@vidomwape7768 11 месяцев назад
Ndio saut sasa.❤
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 2 месяца назад
Jana niliskusa mahojiano Na TBC huna baya kk
@herbertygeofrey2724
@herbertygeofrey2724 Год назад
Akaimbe muziki si alikuwa msanii uyo alii bongo
@zainabwage4658
@zainabwage4658 11 месяцев назад
Tena amapiano zitamtoa tu 😂😂😂
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 11 месяцев назад
Babaake mnigeria bongo sio baba yake mzazi
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 11 месяцев назад
Dah! Ingekuwa Dunia Inadumu tungeshakufa masikini sote.
@allymwilu8089
@allymwilu8089 11 месяцев назад
Mmbwa kabisa hawa piga risasi za kichwa wote wakajibie kuzimu huko😂😂😂
@KhalifaMkali
@KhalifaMkali Год назад
Bundara unajua saana sio kama yule chalii wa fuse.... 😃😃😃😃 Big up brooh
@mohamedismail2662
@mohamedismail2662 11 месяцев назад
Makala nzuri sana
@mtindikoja8837
@mtindikoja8837 11 месяцев назад
Gaboni nifamilia yabongo, huku Tanzania no familia ya CCM hakuna tofauti sana nahuko gabon
@hallin9561
@hallin9561 11 месяцев назад
wanajeshi wetu wapo bize kuwakamata watu waliovaa magwanda ya jeshi
@monicahovda5890
@monicahovda5890 11 месяцев назад
😅😅😅😅😅. Wana uyaga uyaga Mwingi Yaani wamejawa na usingizi wa ujinga. Stupid,dum. Kwani Mabadiliko ya Nchi Jeshi linausika kuweka nchi kwenye mustakabali wa Taifa bila kumwaga Damu æ. Pindi pale Wananchi hawajalidhia uongozi
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 11 месяцев назад
Yaan waafrica n huongozi jmn dah bdo museven
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 11 месяцев назад
Mshenzi sn
@samuelkimaniwanjiru3343
@samuelkimaniwanjiru3343 11 месяцев назад
Huyu na Uhuru Kenyatta Ni same
@RobertUledi
@RobertUledi 11 месяцев назад
Natamani ingekuwa Tanzania 🇹🇿 ningefurahii sanaa sio kwa maisha hayaa
@sebastianmwantuge5597
@sebastianmwantuge5597 11 месяцев назад
Tanzania labda Wananchi tufanye hivyo lakini kwa mfano wa Gabon, Burkina Faso,Niger usitegemee uchawa umetawala
@tatujuma8781
@tatujuma8781 11 месяцев назад
Mmhh si heri kwenu..njoo kenya uone maxingaombwe
@peninacharles9757
@peninacharles9757 Год назад
Sky ♥️♥️❤️
@hallin9561
@hallin9561 11 месяцев назад
viongoz wote wa Africa wanamioyo ya ushetani sana, siku waafrika watakapoamka watakuta mataifa ya kizungu yamejengeka kupitia rasilimali za Africa, Africa imebaki mashimo tu, Marais wengi akili zao sio timamu
@vidomwape7768
@vidomwape7768 11 месяцев назад
Sns muwe mnasoma comment zetu basi yule jamaa ambae anaita Dj hatumuelew kitaan kwetu imekuwa gumzo saut yake hatujaipenda,
@user-hx3fl4iz2k
@user-hx3fl4iz2k Год назад
Nakupata mkuu
@sekiondowarema1786
@sekiondowarema1786 11 месяцев назад
SNS, ni wachambuzi mubashara..Hongereni ila hizi habari c za Gabon pekee ni kila taifa la Afrika linatamani ivo.....😀
@AishaSalaga-rv7sb
@AishaSalaga-rv7sb 11 месяцев назад
Where is dj Sam kuja hapa Bundara is at work,,,,u need to learn from him
@johnphilipo6760
@johnphilipo6760 Год назад
Hii story ita-hadithiwa tena mwaka flan kuhusu Tz (nipo nimekaa pale)
@makenaOG
@makenaOG 11 месяцев назад
Endelea kukaa lakini ujue haitakuja tokea
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 11 месяцев назад
​@@makenaOG😂tulivo waoga akaaaa
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 11 месяцев назад
Bila kusahau Uganda
@leoncebenjamin8107
@leoncebenjamin8107 11 месяцев назад
Kama hapa bongo
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 11 месяцев назад
👊✌️👍.
@charlessikoi1657
@charlessikoi1657 11 месяцев назад
@mwajumabinwa604
@mwajumabinwa604 11 месяцев назад
huu nihukoo waajabu 😩😱😱
@surusuru1994
@surusuru1994 Год назад
Subutu hawezi kurdi hii ina itwa bai bai
@ericknyalusi2579
@ericknyalusi2579 Год назад
Much appreciated bro for good Documentary
@givenmalatu4146
@givenmalatu4146 Год назад
Hivi kwann mnajua madhaifu ya mshikaji baada ya kupinduliwa
@hamzamussa7081
@hamzamussa7081 Год назад
Kuna makala kibao za zamani youtuber kadhaa walishafanya kumuhusu
@josephvenus3259
@josephvenus3259 11 месяцев назад
Bado bongo tunayahitaji hayo mapinduzi tu 😠😠😠
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 Год назад
Si museme njinsi serekali ya Tanzania ilivyochomoa gia ya kubadisha sheria ya natural resources wealth? Mama ajiandae 😏😏😏😏🇹🇿☹️☹️☹️
@chembamsangi
@chembamsangi 11 месяцев назад
Acheni viongozi ving'ang'anizi wakutane nacho.
@onesmokiwasila628
@onesmokiwasila628 11 месяцев назад
Jamani bado kuna Paul Biya wa na Theodore Obiang Nguema awa bado wameng'ang'ania madaraka zaidi ya miaka 45 sasa na hawataki kuachia madaraka
@albertinamichael6123
@albertinamichael6123 11 месяцев назад
Kama ilivyo Tanzania kwa sasa baada ya Nyerere.
@salmamzashi3609
@salmamzashi3609 Год назад
We pambn na Hali yko
@charlesngamia8006
@charlesngamia8006 11 месяцев назад
Anaitwa bongo na Hana akili huh
Далее
Cute kitty gadgets 💛
00:24
Просмотров 15 млн
Cute kitty gadgets 💛
00:24
Просмотров 15 млн