Тёмный
No video :(

IBRAHIM TRAORÉ, MAMADY DOUMBOUYA na ASSIMI GOITA: Wanajeshi Miamba wanaowanyima usingizi MABEPARI 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 219 тыс.
50% 1

KAPTENI IBRAHIM TRAORÉ: Mwanajeshi Mtata na RAIS wa mpito wa BURKINA FASO aliyempindua BOSI wake
• KAPTENI IBRAHIM TRAORÉ...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Опубликовано:

 

27 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 260   
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 Год назад
Huyu mwamba kajitowa sadaka Kama alivyojitowa jpm mungu mlinde Ibrahim troure kwa majeshi yako usimuachie wanadam wanadamu wengi ni mawakala wa wajomba na ni vibaraka wa wajomba tunakushuru mungu kwa kutufuta machozi ya jpm
@jamalmohamed8195
@jamalmohamed8195 Год назад
Nataman Sana Kuona Hii Isue Yao Wote Wanaungana Na Kua Kitu Kimoja Ili Kusaidia Kuziba Nafasi Za Kibepari Na Sisi Tutajifunza Kitu Kupitia Kwao Respect ❤
@rahmahersi6584
@rahmahersi6584 Год назад
Nafurahia Taarifa Zako. Kwani matamshi Yako ya Lugha ya Kiswahili ni fasaha Sana I enjoyed. Asante.
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 Год назад
Tatizo viongozi wengi Africa ni vibaraka big up Ibrahim troure
@ramachaly3521
@ramachaly3521 Год назад
Kati ya wote Ibrahim namkubali sana👍👍👍
@dadambiki5132
@dadambiki5132 Год назад
Magufuli did the same and they killed him... he sacrificed his life for Tanzania 🇹🇿... this young man is doing the same... I pray the rest of the African leaders stand with him instead of selling him to west as they do.... God bless Africa..
@bish_daddiyao
@bish_daddiyao Год назад
Ukombozi Afrika Unakuja,🙌🏾❤️🇰🇪
@Babudicky-zn1kp
@Babudicky-zn1kp Год назад
Yaani Tanzania tuitaji mwamba kama huyu mungu ampe mwisho mwema katika upambanaji Wake wa kutetea Africa
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 Год назад
Mashallah, Allah akubariki Ibrahim Traore 🙏
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 Год назад
Mungu lisaidie bala la Afrika. Walinde waafeika ss sio masukini wa ombaomba. Ni mipangilio tu. Afrika ni matajiri sana duniani.tumebarikiwa sana. Mungu tulinde waafrika I m proud to be born in Afrika.
@ramadhanisalum3898
@ramadhanisalum3898 Год назад
izi Ndio habari sio kila kukicha kajara na harmonize tokeni ukoo
@kingmichael1234
@kingmichael1234 Год назад
Asante sana kwa kutupa hii historia nzuri ya hawa viongozi mahari wa kijeshi wa west Africa
@belzylucas7275
@belzylucas7275 Год назад
Africa tunaitaji leadership vijana Africa is rich ❤❤❤
@salama1113
@salama1113 Год назад
Tumpemauwayake na baadhi ya wengine wajifunze wasiogope watusemee mungu amlinde naamuepushe na wabaya wote
@Zenny89
@Zenny89 Год назад
Hii iwe fundisho kwa viongozi wa Africa.. hasa hapa Bongo.. Huko Bungeni tunaviongozi ambao wapo madarakani tokea miaka ya tisini na hawafanyi kitu zaidi ya kusinzia tuu na kujishibisha
@adkajisi4536
@adkajisi4536 Год назад
Akina m7
@user-rg5sg1xz8p
@user-rg5sg1xz8p Год назад
Daaaaaa nimependa hawa majamaaaa saaaana yani afrika inatakiwa iwe na serikali ya shirikisho moja lenye nguvu chini ya jua
@Hillary_Daudi_Mrema
@Hillary_Daudi_Mrema Год назад
Bado Nchi ya DRC Congo natumai Jeshi la Urusi kupitia Wagner PMC (Private Millitary Contractor) wataingia kuondoa Mamluki ya Ufaransa na Ubelgiji. Changes is Coming to Africa. Lets support Russia and China against Western Countries. Ifike Mali Waafrika tutamani kubaki Afrika na siyo kwenda Marekani na Ulaya. Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kazi Iendelee.🇹🇿🇹🇿
@grationkato7658
@grationkato7658 Год назад
Tunatakiwa kuwa na vyuma kama hivi Africa walao 5 tu afirca tunaweza sana
@lameckraphael3743
@lameckraphael3743 Год назад
Kuna waniger ssa
@bajosdamour2347
@bajosdamour2347 Год назад
Stand up for Ibrahim traore✊
@abisaimsewa1935
@abisaimsewa1935 Год назад
Ivi kwanini hata huku Tanzania tunaambiwa masikini?hii yote uroho wa viongozi wetu na ubinafsi wao
@salminbahdellah1377
@salminbahdellah1377 Год назад
😊0 LLpp😊
@TPW_FLUXY
@TPW_FLUXY Год назад
​@@abisaimsewa1935 umenena tuna ambiwa maskini kwasababu ya viongozi kuuza Mari za Tanganyika bila sababu
@msafirisaimoni9561
@msafirisaimoni9561 Год назад
We need this akili zetu zimeganda sna tunafaaa kujifunza
@ericksaid5327
@ericksaid5327 Год назад
Nashangaa sana nchi kama Kenya Tanzania na wanajeshi wao wanabeleka nchi zao kifamilia mfano kama Kenya ndio ukuwe mwanajeshi unaitaji kama nusu milioni ndio upate hiyo kazi napenda sana kazi ya hao ndugu wakweli katika Africa au Alkablan means Africa may the gods protect black people
@isaachayes9783
@isaachayes9783 Год назад
Dont ever entertain such crazy things like military coups, once they are in, it will hapen again and again, and who will come to do busoness in such environment, in our week and fragile economies a slight instability can backtrack our economies 10 yesrs back, ni wananchi ndio tuna makosa kwasababu tuna shabikia viongozi wa wabovu, problem ya Africa ni week leadership not coups, coups will bring up more distruction and poverty, look at liberia today, thats a good example.
@liviaG87
@liviaG87 Год назад
Traoure kamrithi Thomas Sankara kwa kila kitu mpaka u handsome🤗
@yayananajota5838
@yayananajota5838 Год назад
New generation's New Africa, the power in our on hand,, 🇫🇯🇫🇯
@salminbahdellah1377
@salminbahdellah1377 Год назад
P
@salminbahdellah1377
@salminbahdellah1377 Год назад
P00
@salminbahdellah1377
@salminbahdellah1377 Год назад
Pp0
@mananzizaabdul2689
@mananzizaabdul2689 Год назад
Kaka bundara mungu akilibde bro napenda saana simulizi zako kaka. Unajitahidi kufafanuw kwaustarabu ..am very proud kwasauti yako bro..big up bro
@allymatilda7519
@allymatilda7519 Год назад
I love him so much God guide him power to Niger 🇳🇪 ❤
@AndrewPaul-wy6qq
@AndrewPaul-wy6qq Год назад
Sky nakukubali✊
@user-do5mp8zl1v
@user-do5mp8zl1v Месяц назад
Baba wa Africa mtetezi wa Africa is Ibrahim traore Swali na mungu atakulinda cha kufanya weka shule kwa wafasi wakoweengi iliwatabakia kuendeleza kukataa ukoroni mamboleo pia tembelea hadi ncho za africa mashabiki mungu Akulinde milele dua nyiiingi za usalama dhidiyako Traore Ibrahim
@atrianusmutungi6612
@atrianusmutungi6612 Год назад
Aisee safi kwa makala nzuri
@Aysha_ally
@Aysha_ally Год назад
Shukran 🙏 sky
@cmantz8837
@cmantz8837 Год назад
ipo siku nasi tutampata Ibrahim wetu kama unaamini sema ndiyo
@AFRICA_D669
@AFRICA_D669 2 месяца назад
Ndio
@ericksaid5327
@ericksaid5327 Год назад
Napenda sana kuona kazi ya vijana wadogo kuwa na amaki ya uongozi
@heliudjulias7748
@heliudjulias7748 Год назад
Traore kwasasa amekuwa mtu muhimu sana kwangu kuriko mtu yeyote nili wa misi viongozi kama traore recpect traore rudisha heshima ya Africa na Ecowas waki jichanganya tuna raranao
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 Год назад
Acha Wanajeshi washikilie nchi km Viongozi waliopewa dhamana wameshindwa kujua wajibu wao wa kuwaongoza Wananchi waliowachagua na kuwaamini
@emmanuelmlowe-ew7gx
@emmanuelmlowe-ew7gx Год назад
The Congolese M-23 are from the UN group. the UN miners are protecting them. The UN is sending weapons to the Congo, they are taking minerals and sending them to the United States.
@rogersiddy
@rogersiddy Год назад
Kbs wanarewa madaraka sana hawatambui umuhimu wa kudhaminiwa na watu nia wasaidiwe lkn wanawadidimiza zaidi
@rogerslwitiko3915
@rogerslwitiko3915 Год назад
@@rogersiddy Sema Viongozi wengi wa Kiafrika wakisha chaguliwa wanakuwa Vibaraka wa Mabepari na Mabeberu wa America na Ulaya badala ya kuwatumikia Wananchi wao
@rogersiddy
@rogersiddy Год назад
@@rogerslwitiko3915 Hilo ndo tatizo kubwa la Africa 🌍 sasa kumpata mwanajeshi kusubutu kama hao hamna kbs ili wawatumikie wananchi
@asumtamwingira465
@asumtamwingira465 Год назад
Watu kama hawa hawadumu nikama magufuli tu😢😢
@TPW_FLUXY
@TPW_FLUXY Год назад
Baba yetu dr John alikuwa peke yake kikwete na kundi lake alijipanga na ujambazi wao dhidi ýa Tanganyika dr angekuwa amejipanga kwanzia jeshini mpaka hao viongozi vigeugeu wasinge weza kumuuwa kila hisi hivyo mpaka hao walinzi wake huwa kuina kilocho endelea
@wilsonsamsonwilliams
@wilsonsamsonwilliams Год назад
Waafrika wote Kuna cha kujifunza hapa
@mchunguliechibwa198
@mchunguliechibwa198 Год назад
Jwtz na Jw..mnasubiri nini hapa home Tanzania 🇹🇿..piga chini maccm..
@stephanomoses7694
@stephanomoses7694 Год назад
Africa inaamka. Wahuni mashakani. Maana vibaraka wao wanapigwa chini. Wanahofia hawatovuna tena madini
@TPW_FLUXY
@TPW_FLUXY Год назад
Hahaha haha kweli wanavuna wasipo panda
@eliasstafawa4935
@eliasstafawa4935 Год назад
Braza umetishaaaaa
@simonnembomadola7512
@simonnembomadola7512 Год назад
Viongozi wanajisahau,wanauza Mali za umma wakati wananchi ni maskini,wanatajirisha familia zao,ipo siku vijana hawatakubali Hilo.
@uwimana6533
@uwimana6533 Год назад
Kabisa 😂
@hamzambasha6647
@hamzambasha6647 Год назад
Wajinga kabisa
@chaucassim4123
@chaucassim4123 Год назад
Wajinga. Kabisa
@saidshaban9284
@saidshaban9284 Год назад
Vijana wapiiii,Tz au?sisi niwaoga sana kuyaendea mabadiliko,kuhoji palipo nashaka nk.tunogopa mamlaka ukifanya kuhoji tuu umepotea
@dennisnjonanje62
@dennisnjonanje62 Год назад
Aaah acha sisi tumpangishe Mwarabu wa Dubai 😂😂
@Peaceman-S
@Peaceman-S Год назад
Hizi ndio habari zinazotakiwa Kila siku Tanzania kwa ajili ya kuzikimaza akili na kuzipa uelewa wa kutambua haki zetu sio Kila siku maisha wa watu yakuigiza yanayohalibu akili zetu kabisa😊
@muddyso1953
@muddyso1953 Год назад
Hakika ni sahihi
@francisgachungei1818
@francisgachungei1818 Год назад
Africa rising 🙏🙏🙏
@MAINA_THETHERE_1704
@MAINA_THETHERE_1704 Год назад
Ibrahim troure❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@hanschuma7734
@hanschuma7734 Год назад
Sio habari za kinamond nawapuuzi wengine kila kukicha na faida hakuna zaidi ya Upuuzi tu hizi ndizo habar tunazozitaka sisi kaka AFRICA stand-up
@hassangaddafi2347
@hassangaddafi2347 Год назад
Viva African viva IBRAHIM ❤ 🔥🔥🇷🇺🇷🇺🇷🇺🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💯
@aaronswai3092
@aaronswai3092 Год назад
Mungu akubariki kwa ufafanuzi mzuri. Nafikiri Viongozi wengi waovu (wasiojali Wananchi wao) Afrika wanawahitaji akina Traore, Doumbuya na Goitta!
@MercyJayden
@MercyJayden 3 месяца назад
Mungu muogose ibrahim
@kahmardintebe9266
@kahmardintebe9266 Год назад
Dalili nzuri kwa bukinafaso mali gine mungu awatanguli katika kuwatumikia wananchi wenu
@rogersiddy
@rogersiddy Год назад
Kwetu sijaona wa kulifanya hili maana sielewi kinachofanyika hapa Tanzania 🇹🇿 kwakweli siasa za ujanja ujanja tu hawatoi haki za uchaguzi unaenda kupiga kura bunduki ipo krb yako mawakala wa vyama pinzani wanatolewa nje wagombea wa ccm wanapitishwa bila kupigwa yaan tumechoka kwakweli Mungu atuongoze
@peacemuzaliwa2563
@peacemuzaliwa2563 Год назад
Magufuli alikuepo mka amua kumtoa sadaka ,Madiliko yanaitaji zaidi.
@rogersiddy
@rogersiddy Год назад
@@peacemuzaliwa2563 Sio kweli usio lijua ni sawa na usiku wa giza kama unaona vinavyoonekana barabara magorofa basi bado hujajua nini maana ya uhuru wawatu maana yake nini ndugu siliza
@TPW_FLUXY
@TPW_FLUXY Год назад
Ni magufuli tuu tulikuwa naye wanajeshi wanao jiita jwtz wapo kuka rushwa ya nyama za NGO'MBE shenzi kabisa hao
@MrChachaboyKingmselfLinu-de6yx
Kwenye namba 4 dunian za viongoz bora na Ibrahim hakosi🙌🙌🙌🙌✍️✍️✍️✍️
@mohammedkombo9798
@mohammedkombo9798 Год назад
Asante sana kwa makala hii
@user-qm7wy2ms4r
@user-qm7wy2ms4r Год назад
Hongera sana.vizuri sana wanajeshi.hayo ndivyo tunataka Afrika viongozi wabinafsi.wala rushwa.wanaogawa raslimali za nchi kwa maslahi yao.kupinduliwa bado Tz
@KuwakuMalumba6895
@KuwakuMalumba6895 Год назад
MUNGU Ibariki Africa 🌍 yetu! Let see what next 👀 we need peace ✌🏿 in Africa 🌍 we need food every way in Africa 🌍 we need good education all Africa 🌍 we need good health care all Africa 🌍 we need good fare political to all Africa 🌍 we need seriously President's who care about people's in Africa 🌍 we need Africa who everything things is good 👍🏿 we need big company all Africa make jobs 😢 so all Africa gets jobs and work hard for live. We need better Africa 🌍 we want best Africa 👌🏿in everything work ok 👍🏿 electricity wate, in all Africa 🌍
@jonasizack6712
@jonasizack6712 Год назад
EXACTLY ✅✅✅✅
@hamsikrasheedi1796
@hamsikrasheedi1796 Год назад
🫡
@mooztiree6158
@mooztiree6158 Год назад
Iam kenyan..iam with you bro...
@deusntobi1450
@deusntobi1450 Год назад
Hongera sana bro sky. Ndo maana Mimi nilikushauri uanzishe taarifa ya habari walau kwa dakka 5 tu kila siku.
@user-do5mp8zl1v
@user-do5mp8zl1v Месяц назад
Hakika mungu aaawe na Ibrahim na jumuia yake na Mungu awalinde kifasaha male go Yao yatafika sehemuhusika na Africa nzima Isha allah
@phantyrhymes9536
@phantyrhymes9536 Год назад
Sns is my favourity channel for mind updates
@samsoniris
@samsoniris Год назад
He is a gentleman
@KAZUNGUKITHI
@KAZUNGUKITHI Год назад
Good job men keep it up
@peacemuzaliwa2563
@peacemuzaliwa2563 Год назад
Central Afrika need such Revolution mindset, specially DRC these people surely have sufered alot alot alot alot alot yani saaaana tena, Bila Viongozi Wazalendo Nchi yenue Rasilimali zote kama zile na bado watu nimasikini. Afrika Tunaitaji kuamka sasa. Big up Sns kwa Makali Kama.izi zakizalendo.
@MkenyaN
@MkenyaN Год назад
Simulizi nzuri sana. Big up Sky!
@angelsalome2207
@angelsalome2207 Год назад
Bado kenya 🇰🇪
@ThomasBhoke-bk6jp
@ThomasBhoke-bk6jp Год назад
Uhakika brother 🙏🏼🙏🏼
@user-jr7kn7sd2y
@user-jr7kn7sd2y Год назад
African countries should follow the example of (these people, there is nothing to fear if the political governments do not do well,
@user-tk9nq4zm2d
@user-tk9nq4zm2d Год назад
❤hongera sna
@NeemaMlasu-ez5nl
@NeemaMlasu-ez5nl Год назад
Simulizi nzuri
@nellyhortensia2407
@nellyhortensia2407 Год назад
Madagascar people need a revolution like this. We suffer a lot
@ibnayub2374
@ibnayub2374 Год назад
Polen sana Africa tuko na viongozi wa ajabu sana sio Madagascar tu
@user-it6pm4rh8s
@user-it6pm4rh8s Год назад
Hizi nchi za kiafrica kawaida znatakiwa kutawaliwa na wanajeshi tu wenye machungu halisi na nchi zao
@vincentmunyao4911
@vincentmunyao4911 Год назад
Kenya pia wanajeshi fanyeni jambo
@CosmasCosmas-lb2su
@CosmasCosmas-lb2su Год назад
hiiii umeenda tuamkeni Africa we need like this
@elidiustudoy2640
@elidiustudoy2640 Год назад
Nakubali sana makala YAKO
@KasalambaJuma
@KasalambaJuma 3 месяца назад
Hongera Ibrahi
@barrynzeyimana6270
@barrynzeyimana6270 Год назад
Waafrica wanadhani kwamba watakombolewa na Rais 1 ambae anadhani kua wengine hawawezi. Magufuli alipokua madarakani alipingwa na watanzania wanzake. Hadi wamemuua tukiwa tunaona. Kudhani kua atabadirisha ni vigumu. Nchi zote za watu weusi weusi duniani ni masikini wa kutubwa japokua wanaishi kwenye kila utajiri. Hivi huu muungano wa EA unasaidia nini?
@abeidkhamis6130
@abeidkhamis6130 Год назад
Mtu mweusi ana matatizo ya kutojitathmini zama zote ndio maana hatupigi hatua na kubaki kusalitiana.
@aminaamina3972
@aminaamina3972 Год назад
Mungu awasimamie
@johnycavishe5207
@johnycavishe5207 Год назад
Jamaa yupo clearly Sanaa anafaa kuwa kiongoz il nifunzo kwa wale viongoz wasyo jali raslimal za nchi huska kpnduliwa Ni sawa kbisa viongoz wetu wamekalia kuombaomba t ovyo tnakuwa na madeni ya syo Isha vzaz na vizaz ili Ni Jambo la atar Sana ). ktowa milady Ayo naona sns ikiwa no 2 tz kwa habar nzr
@twentyacresfarms3464
@twentyacresfarms3464 Год назад
Kaka kwenye hizi makala huna mpinzani 🎉 nakupongeza sana
@Kakajambazitv..
@Kakajambazitv.. Год назад
Na mkubali ila iwaga wana geuka au ku huwawa 😢😢😢
@ibrahimfarha3853
@ibrahimfarha3853 Год назад
Africa ina wanaume wamesimama vizuri
@danielmgeni1703
@danielmgeni1703 Год назад
Wachambuzi wengi Wa Tanzania wana uwezo mkubwa wakuchambua mambo ya selikali ya nchi ya Hapa nyumbani Hawawezi
@taslimanyange2850
@taslimanyange2850 Год назад
😂😂😂
@patriciatumain172
@patriciatumain172 Год назад
Hawa viongoz watatu mi nawakubali Sana wako vizuri waache wwaletee maendeleo wananchi wao wako right kbsa coz nchi za mangaribi wanatutawala sana nchi nyingne zijifunze kuptia hawa viongoz
@robbyrobson6998
@robbyrobson6998 Год назад
Watafika na inatakiwa nchi zengine zifate long livi the commando 🏴‍☠️
@abuusufian6506
@abuusufian6506 Год назад
@abdallakhamis8708
@abdallakhamis8708 Год назад
Wakiungana kwaudhati watafika wanakotaka lakini muungano uwewakweli ucwekama ulewa Zanzibar na Tanganyika uweni muungano wa hakina usawa
@chrismahinga5854
@chrismahinga5854 Год назад
Maswala kama aya ya Kivita na siasa uwe unamuachia DJ SMA255, Wewe baki kwenye muziki na mengineyo. Haufai huku.
@user-fc1im3uf8i
@user-fc1im3uf8i Год назад
Nice story
@adammed6037
@adammed6037 Год назад
Mi kwetu tz siikubali democrasia maana ndio chanzo za mizozo Kama haki za binadamu.leo ndoa hazi dumu wanawake hawaolewi single mama . Siasa chanzo cha mipasuko
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 Год назад
Unahakili sana kaka
@michaellilahenda2110
@michaellilahenda2110 Год назад
Naiona aflika ikiungana kupitia wanajeshi siyo demoklasia
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Год назад
Mwezi January 2022 na akapinduliwa September 30/2020??? How come?? @Sns
@pauloegbert515
@pauloegbert515 11 месяцев назад
Heroes of africa
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Год назад
Nauku uzalendo ungekuwepo ili takiwa iwe ivyo ivyo wanao kula matunda ya nchi ni baazi ya familia zina fanya kufulu
@musanassibu
@musanassibu 5 дней назад
Sijui lini kwt
@juliusbrush3202
@juliusbrush3202 Год назад
Damiba alipinfuliwa 2022 then akapinduliwa 2020 imekaaje hii, but kazi nzuri kaka
@marijanimohamed8875
@marijanimohamed8875 Год назад
wako vizuri kama wanakomesha ufisadi natamani inchi nyingi zitawaliwe na jeshi hasa Africa viongozi Asilimia 99 ni vibaraka
@thimotheedundji-ck5ip
@thimotheedundji-ck5ip Год назад
Una tafsiri sawa alivyo Sema.
@charlesassey5642
@charlesassey5642 6 месяцев назад
Kwa Africa hii ndiyo dawa yao , maana viongozi wetu wakisha kamata madaraka wanajisau sana , kwahiyo walichofanya hawa miamba ni sahihi kwa asilimia 100
@FrankKashamakula-xb1pc
@FrankKashamakula-xb1pc Год назад
Stop corruption and invest & save money from natural resources invest in infrastructure & education India & China invest their money instead of hiding it in west who is to blame West or yourself out na Apo tutaendelea kupinduana naku walaumu Western or wazungu
@BahatiDotto
@BahatiDotto Год назад
wananchi wamataifa hayo waonyeshe msimamo maana mateso yamezidi
@asifiwekayole-ft7er
@asifiwekayole-ft7er Год назад
Watafika mm nilivyoon mungu awatangulie
@inaciobernardo6491
@inaciobernardo6491 Год назад
🎉 Moçambique 🇲🇿
@user-jr7kn7sd2y
@user-jr7kn7sd2y Год назад
In fact, I am very happy to see that now is the right choice because our African leaders are there for their benefit and their stomachs and their families and their friends as well as Western countries and Mare
@hermanminani6284
@hermanminani6284 Год назад
I agree with you
@edwarddaniel5683
@edwarddaniel5683 Год назад
That's the truth 💯 👏
Далее
Кого из блогеров узнали?
00:10
Просмотров 291 тыс.