Morio Elizabeth ameeleza Safari ya maisha yake kutoka kuumizwa na mahusiano na wabongo mpaka kuamua kuangalia upande mwingine na kuwaza kuingia kwenye mahusiano na wazungu
Alitumia Online dating lakini aka kutana na mume wake kupitia mtu wao wa karibu.
Anasema unaweza kuingia kwenye mahusiano na mtu yoyote kikubwa ni kupata mtu sahihi tu na kusikiliza sauti ya Mungu akisema na wewe.
Changamoto ya kupata Visa na safari.
Thank you Morio for allowing this to be online
www.oda.international
14 окт 2024