Тёмный
No video :(

#PART 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 15 тыс.
50% 1

#PART 2: TUMAINI ALIYEFUNGWA MIAKA 60 kwa KUSINGIZIWA ASIMULIA MSOTO wa GEREZANI, KIPIGO, CHAWA...
Kijana Tumaini Mfinanga mkazi wa Siha asimulia mkasa wake wa kufungwa jela miaka 60 maisha ya jela na alivyotoka...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

4 авг 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 68   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
@maryamhussein1868
@maryamhussein1868 Год назад
Oppo P
@blessingmapazia9545
@blessingmapazia9545 Год назад
Yaani hata maneno ya kusema yameniishia.pole sana kaka Mungu afute vidonda vyako
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Год назад
Wanasheria si mumsaidie huyu kijana apate haki yake kuanzia kwa huyo mpelelezi mpaka hiyo famila ya kina maria,inasikitisha sana.
@joramkimario9321
@joramkimario9321 Год назад
Wengn wanasamehe tu ili waendleee kuteseka mioyo yao
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Kwa nchi yetu hii ,mtu akidai haki atapotezwa au atatafutiwa jingine la kusingiziwa. Nchi mbaya sana hii
@sabihahamadi2287
@sabihahamadi2287 Год назад
Mtihani pole kaka mungu atakulipiya kwani anaye muharibiya maisha ya mtu makusudibasi ajuwe huo ni mkopo utakuja kurudi na riba
@Naw89
@Naw89 Год назад
Hakika
@dinesschamanga
@dinesschamanga Год назад
Kabisa
@mcbalozi2519
@mcbalozi2519 Год назад
Maisha ni fumbo kubwa sana naamini kupitia mtihani uliopitia utafanikiwa na kufika mbali zaidi bora mwanzo mgumu wenye wisho mzuri
@janebandihai1961
@janebandihai1961 Год назад
Ila uyo kaka jamani ndo mana ata akasingiziwa mbona mpole sana yani ata kujielezea kwake kwa shida sana kha!!!! Maskini😢😢😢😢
@colethamkota5745
@colethamkota5745 11 месяцев назад
Pole sana Mungu aendelee kukupa Nguvu hakuna lililokupata Mungu akajua auliwez Haya n mapito Mungu ahimidiwe daima
@femidayahaya4882
@femidayahaya4882 Год назад
😭😭😭pole sana Brother..ila mungu ni mwema sana
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 Год назад
Pole sana mtoto wangu, mungu atakulipia tu
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Amen 😭
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 Год назад
Amina
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Asant
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
@@FrankMfinanga-jj1fd Pole sana ni uchungu mkubwa sana
@mkombozsanga
@mkombozsanga Год назад
Pole sana
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Asant
@witnessmakoi6616
@witnessmakoi6616 Год назад
Pole sana Mungu akufanyie wapes
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Год назад
Pole sana Mungu anakusudi na wewe🙏🙏
@salemmwakibinga8107
@salemmwakibinga8107 Год назад
Pole mwanangu,Mungu atakulipia
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 Год назад
Hivyo ndo vyombo vyetu vya sheria yaan unamhukumu mtoto wa mwenzio miaka 60 kwa ajili ya rushwaa hakika hii ni laana kwa vizazi vyenu
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Ndio maana Mahakimu hujiua au hupata mateso hapa Duniani
@liesharehema5193
@liesharehema5193 11 месяцев назад
Yaani hizi rushwa hawajui ipo siku watazilipia hawajui Kuna MUNGU anayewaona hasinzii wala halali
@aishaissa2512
@aishaissa2512 Год назад
Pole sana kijana wangu
@esterkiyongo2316
@esterkiyongo2316 Год назад
Daa Leo wa 1
@kotadapotar5094
@kotadapotar5094 Год назад
Kwanini Akahe miaka yote mtoto Alipozaliwa kwanini hasipimwe DNA???
@dayana5513story
@dayana5513story Год назад
Kijana mzuri hatari, but kila kitu kimetokea kwasababu mungu hakutangulie
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Nashukur
@joycehashim2040
@joycehashim2040 Год назад
@@FrankMfinanga-jj1fd pole sana ndugu
@zainabamran8230
@zainabamran8230 Год назад
Pole sana, sikufaam ila nilikuwa naomba uwe huru ni mitihani tu ya ulimwengu
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Nashukuru kwa maombi
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Nashukur
@sautikaliitz934
@sautikaliitz934 Год назад
Daaah
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj Год назад
Dah😢 hii ndio dunia
@maryamhassan7000
@maryamhassan7000 Год назад
Mungu mwema 😢
@frankwarembosaloon5316
@frankwarembosaloon5316 5 месяцев назад
Watuwengi munaongeaga hakuna hivi haki yamtu kufungwa alafu anakuja kuambia hanahatia hakiyake ikowapi
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Год назад
Duuuh
@user-nw7el9os7n
@user-nw7el9os7n Год назад
Pole kaka, pole sana
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
Serekali jitahidini muwajali wafungwa afya zao,kwenye kusafisha choo kwa mkono?msitese watu kiasi hicho 😢
@mwinukafundibombanjombe
@mwinukafundibombanjombe Год назад
God is Good all the time❤Pole sana mkuu
@sashaswalehe7313
@sashaswalehe7313 Год назад
Echeka
@sashaswalehe7313
@sashaswalehe7313 Год назад
😂😂😂😂😂😂😂😂nimecheka na kulia
@eliamanifrank
@eliamanifrank Год назад
Hakika hilinalo limeisha kaka yangu ukohuru
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Ndy
@bebebebe5677
@bebebebe5677 Год назад
Yan roho inaniuma san had nimelia ila waliofanya ivyo mung atajua atawaukumu vp
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Kwl
@user-mt8op1gl4v
@user-mt8op1gl4v Год назад
Huyo kaka aliyevaa nguo nyeupe sura yake sio geni namkumbuka kumbe huyo ni ndugu yake jomon
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Jomon ni nan tn
@user-mt8op1gl4v
@user-mt8op1gl4v Год назад
Nilikua namuona Sanya juu kipindi nasoma Sanya juu sekondary
@bensonjohn9633
@bensonjohn9633 Год назад
Hyo Mpelelezi,Alitakiwa kufukuzwa kazi,Pia awe Gerezani.
@annagipson6528
@annagipson6528 Год назад
Uyo askari popote ulipo utapitia magumu kuliko ya huyu kijana 🥹🥹💔
@saitawilson7307
@saitawilson7307 Год назад
Duuuuuu😢😢
@OmanOman-vb4uj
@OmanOman-vb4uj Год назад
Part 3iko wap naitakaa jmni
@kitwanabuggatti8480
@kitwanabuggatti8480 Год назад
uyu maria mtomb… kweli xaxa mwanang
@azizahassan6803
@azizahassan6803 Год назад
Mungu mkubwa hakika haki ya mtu haipotei
@edwardsadala4851
@edwardsadala4851 Год назад
Zingine zinapotea ndugu
@FrankMfinanga-jj1fd
@FrankMfinanga-jj1fd Год назад
Nimelijua hilo
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
😭😭😭
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 Год назад
Mpka Bata zinashangaa jamani
@RukiaHussein-bi8ov
@RukiaHussein-bi8ov 11 месяцев назад
Mungu mkubwa na wailipia hi wote
@user-bo5qp9gz8m
@user-bo5qp9gz8m 10 месяцев назад
Dah yani machozi yannitoka uku nacheka
@nakilingwembele9504
@nakilingwembele9504 Год назад
Maskin babaake
@geofreymtweve9048
@geofreymtweve9048 Год назад
Pole sana
@marthageorge5043
@marthageorge5043 Год назад
Pole sana
@user-vn2ni9vm4b
@user-vn2ni9vm4b Год назад
Pole sana
Далее
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Просмотров 5 млн
Муж на час 😂
00:37
Просмотров 1,1 млн
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!
01:39
Просмотров 5 млн