Amekuwa akipush jambo la mkataba wa bandari lisitishwe au vifungu vibadilishwe hii nchi hii Yuda wengi xna mtu anachekelea kuingia mikataba mibovu Magufuli alituambia kila kitu sisi wananchi na hao watu wa upinzani wanasema mulemule mm xna Imani kabisa na huu uongozi wa kinafiki.Angalieni watoto wetu wanaokuja lkn ujinga umetujaa hii nchi na siasa za ubabaishaji, hatuwez kufika.🇹🇿
Ukipenda mwenza afe na wakati muumba wetu anasema( mimi sikufurahii kufa kwake mtu yoyote na kwa kwamba amchukia mwenza ni muuaji wewe ni namba moja. Rais sio mungu, na yeye anamshujudia mungu. Kumbuka ni chaguo la.wananchi ili kuwahudumia watu wa mungu. Yesu alitukakanwa sana, na kukataliwa sana lakini hatukuona DCI. Kuna mahali yesu aliitwa mwalimu Mwema akakata akisema yeye sio mwema isipokuwa mmoja tu ,( Muumba wa kila kitu). Kama mtu amezungumza adharqni ajibiwe adharani kwa hoja ndiyo upendo huo na sio chuki bila hoja kujibiwa. Wewe ukijihesabia haki, kuna anyejua hiyo haki yako ni ya kiwango gani. Rumi 19: 21... inasema usilipe baya kwa baya bali lipa wema( kwa maana ya jawabu). Mnapomuwazia mwengine mabaya...ataendelea kuishi. Nakumbuka Lowasa wengi walisema atakufa, lakini bado yupo na wamekufa wangapi wakamuacha? Bro jifunze.
Wanasheria wa nchi hii fanyeni kazi moja ya kutafusiri huo mkataba kwa kiswahili sambaza vijijini na mijini ata kwa njia ya simu watu waelewe kilichoandikwa mle kwa kujionea sio kwa kuambiwa
Ni wakati pia ya kuoji muungano wa Tanganyika na zanzibar Kama ni muungano tuwe na rais moja wa Tanzania bendera moja nchi moja katiba moja Zanzibar ilishajitenga, lina katiba yake, rais wake, bendera yake , mipaka yake na majeshi yake, na bado wananufaika na kumiliki ardhi ya bara ambayo siyo sehemu ya muungano huku watanganyika hawaruhusiwi kumiliki ardhi Zanzibar hivyo wazibari wasiongeleh ubaguzi pale watanganyika wanapoibua hoja ya kero ya muungano hoja za watanganyika zisibezwe hata kidogo au kuzikejeli
Nape akuita police akiwa km nani mpuuzi huhu sana rais akikosea lazima umwelenze ukweli ili ajue kwani marais hawakoseagi? Mbona kawaida hakuna mwanadamu asiekoaea hapana sisi siyo malaika broo elewa hilo
Babu kuishiwa huyu kabaki kupuyanga na kuropoka mchanga alilazimisha hauna thamani wapelekewe tu bwana zake leo anajishauwa nini?sakubimbi mkubwa kibaraka.
Kukosoa kupo ila si kila mtu utamkosoa tu kivyovyote utakavyo lazima kuna kuchunga maneno ndo mana hata baba na mama huwezi kuzungumza nao pindi wanapo kosea kama unavyo zungumza na wanao wanapo kosea,,,, elimu bila ya adabu ni kazi bure huwezi kuongea hovyo juu ya mtu ambae ni amiri jeshi mkuu je akiamua ukichaa na yeye utabaki salama!?
Hata ujaambiwa wewe ni mtu mzima sio kila jambo litaandikwa kwenye katiba kuwa na nidhamu hata wewe kuna watu wanakuheshimu achana na ujuaji uliopitiliza brother