Wewe ndio unaleta udini na ukabila. Kwani mpaka utaje uislamu au uzanzibari? Huyo Magufuli ulinayedai nae ulimsema mbona hukutaja ukristo wake au usukuma wake? Acha shobo. Mtoto wa kiume unasimama jukwaani na pumbu zinaning'inia unamsema mwanamke! Siasa imekushinda kajiunge na kundi la jahazi la Mzee Yusufu uimbe taarabu.