Uwezo wa sugu ni mdogo sana ktk mjadala, anarukia rukia issues ambazo zinakitia dosari chama kama office nk na kuacha maswali ya msingi, pia ana jazba na anasahau huo ni mdahalo ndani ya chama sio dhidi ya ccm , kuhusu utendaji sijui sana lkn ikiwa tutaamua kwa kufuata mdahalo basi sugu bado sana!
Kwa mtazamo wangu , msigwa Hana hoja na ajajibu maswali aliyoulizwa na maswali yalikuwa yakawaida sana haitaji ata kufikiria mara mbili kwa mtu mwenye uzoefu hajaonyesha ukomavu ni ubabaishaji na maneno ya ngonjera na bwana fisi. Sugu ametulia na ana reason kwa anachokijibu . Msigwa anakurupuka ni aibu kwa mtu mwenye experience kujibu kwa kukurupuka au kutokuwa na critical thinking katika kujibu maswali kwa usahihi . Naona sugu ana asilimia kubwa ya kuchukua nafasi hii na anastahili kupatiwa hiyo nafasi kuonyesha uwezo wake wakuleta mabadiriko katika Kanda ya nyanza .
Bila ushabikimdahalo umemuongezea sugu credit,,,,, Utulivu ,ujibujimaswali Kwa mantiki Mahalo unauonyesha msigwa tofauti, anahamanika,,,, Kwa mdahalo huuu Kura yangu Sugu Sugu Sugu
Msigwa amemzidi sugu Kwa kila jambo, shida ya Sugu akuelewa kuwa hapo kwenye mdahalo alitakiwa akijengee heshima chama na huku akishawishi apewe kura, lakini huku mwisho ameonekana akimkosea adabu mwenzake Kwa kusema alikuwa ahaminiki ktk chama, Sugu ameonyesha uwezi mdogo sana wa stahimili hoja chungu. Hivi anawezaje kusema Msigwa alikosea kutokwenda ikulu Kwa wakati ule. Sugu ametumia kila aina ya lugha chafu ili apate uongozi. Hii ni hatari Kwa Chama.
Nimewashangaaa ssna, huyu Bint Mayemba wa Njombe ni mtupu na namna nilivoona Wametoka vipande hawajakubaliana lakini itoshe kwa Sugu kuelewa Mbeya anakaboliana na nani ? Lakini pia namuona Mungai aki influence kuondoka kwa Msigwa ni wazi Iringa haitapoteza jimbo hata moja mbeya pia , ila Songwe ndiko kuna kazi ya kweli....Chadema wamepoteza sanaaaa....Once a Legendary ktk Medani wanapaswa wajue Sugu ni compromised fellow.
Wawili hawa ni wazuri na walijaribiwa na JPM wakastahimili. Ingawa hivyo wanapaswa kuongeza uelewa, kila mmoja ktk eneo au maeneo fulani. Sugu alibughudhiwa zaidi pale alipofungwa na nadhani ndipo alipompoteza mzazi wake-jambo zito kuliko yote hilo! Hata hivyo, kwake kudai Msigwa angekubali mwaliko wa ikulu ya JPM ilhali ilijulikana ni kutaka kumnunua (hongo) ni kuyumba! Huwezi kuitikia wito wa Rais wa nchi anayetaka kukurubuni halafu utuambie ukifika ikulu utamgomea, HUWEZI na nadhani haishauriwi!!! Hivyo Msigwa anastahili pongezi ktk lile. Nahisi Sugu ana PR nzuri na watu, lakini nahisi ni mtu wa nadharia kuliko kutenda. Msigwa alipaswa kudai ushahidi kutoka kwa aliyemtuhumu kudai pesa, badala ya kulijibu kijuujuu suala nyeti kama rushwa. Mwisho, nadhani waboreshe uhusiano kati Yao itawasaidia ktk majimbo yao dhidi ya ccm tunayotaka iondoke madarakani
Mch. Msigwa bado anao uwezo mkubwa wa kuongoza na pia sugu mbilinyi ana vision kubwa sisi wengine tunatakiwa kupata SoMo kutoka kwenye mlengo ya mdahalo huu hasa kuona uchaguzi ni ligi nzuri yenye irafiki sio vita!
Msigwa ni public speaker mzuri laki kama anaamini chadema ni kubwa kuliko MTU ni muda muafaka akae pembeni miaka kumi ni mingi aache vipawa vingine vitoe mchango
Wameanza vozuri lakin MWISHONI nimeshangaa maneno ya Sugu kuropoka siri za ndani ndani kuwa Msigwa haaminiki ktk chama... Hili ni tatizo. Nasema tena hilo ni tatizo
Msigwa ni philosopher, kiongozi. Sugu ni mtendaji anafaa sana kuhanasisha matukio My take ni kuwa, A Nation is governed by philosopher. Msigwa anafaa zaidi kuongoza kanda, kuwajenga watu kisaikolojia. Sugu anafaa sana kuhamasisha matukio ili yafanikiwe.
Mjadala huu unaonesha kuwa CHADEMA kimekomaa sana. Hii ndo tunataka CCM ifanye. Wagombea wa CCM wafanye midahalo ya aina hii ili tuwaone na kuwauliza maswali. Na vilevile vyama vikubwa (hususan CCM, CHADEMA na ACT WAZALENDO) vikutanike na kufanya midahalo ya ya aina hii ili wananchi tuweze kuchagua viongozi wanaofaa. Hii ndo kazi ya luninga yetu ya TBC. Chacha Ryoba aachane na "cheap" programs na interviews ambazo zinaelekea kusaidia chama kimoja. Ryoba asisahau kuwa kesho chama anachokisukumasukuma huenda kisiwepo madarakani. Big Up CHADEMA,
Msigwa nafikiri hata yeye anajua kuwa sugu anamzidi kitu fulani katika kadamnasi. Msigwa anafaa zaidi kufanya kazi makao makuu ya chama kama political officer (commissioner) kama nafasi hiyo ipo katika katiba ya CHADEMA.
Ukiangalia kwa makini unagundua kuwa kabla msigwa hajahama comment nyingi zinambeba kuwa bora na alistahili ila baada ya kuhama unaona comment zinambeba Sugu. Mwenye akili haambiwi tazama
msigwA is the head lnto. Chadema political party let be frank has to be avoided such debeghty on one political party Your analysis vary brave as the professional tanzania janalist
Mbilinyi even late julias kambarege Nyerere during his life time in politics he was asking help to odinary people why you can be a leader but you don't hame money into opposition we need sacrifice both sides leader and odinary people together we building one thing
Chilwa songea town nisawa hanaf 33:48 aa poent kafanya nn? Tumpe sugu tuone karamazake. Viongozi wachini wanatengwa sana ndikowanakotenngenezwa wanachama!
Hata mimi naona ni vyema alivyokataa kuenda, muda huu angekua akhera tu, japo na magu naye yupo huko huko, na mimi nitaenda huko huko, ila kuna kutangulia, ama kutangulizwa.
Tatizo sugu amefungwa mdomo sanaa haswa kwenye huu uongozi wa mama na hii ni baada ya kufanyiwa tamasha kubwa kule mbeya na mama akiwa mgeni rasmi sijawahi sikia sugu akihoji au kuchallange chchte kile kinachoendelea kwenye uongozi huu wa mama mimi kula yangu nampa msingwa