Tengenezeni programu ya kuwapa watu taarifa kuhusu vituo ambavyo vinatarajiwa kuwa vinashusha watu kuanzia Dar mpaka Dodoma, Makutopora. Hii itasaidia watu wafahamu namna ya kujipanga wakijua wapi pa kuanzia safari na wapi pa kushukia ili kuelekea makwao. Mfano mtu anaeshukia Jijini Dodoma afahamu kwamba kuna kushukia Ihumwa au Image kwa hiyo atachagua kutokana na yeye anaelekea/anakaa wapi jijini Dodoma. Kila la heri!
Wekeni Watu wa Usafi kwenye Vyoo vyote ndani ya Station na ndani ya Train kila Saa wahakikishe viko safi na Mtu anapotumia waingie kukagua kama hakuna Maji Chini ya floor na kukausha