Тёмный

Ufeminia ni Nini? | Jenerali Ulimwengu Exclusive On The Chanzo S12 

The Chanzo
Подписаться 92 тыс.
Просмотров 1,8 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 15   
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 Год назад
Hayo mambo ya kuwa na haki sawa ni mpango wa kishetani hili ndoa zisiwepo
@DamasiusPetro
@DamasiusPetro 5 месяцев назад
Dah! Nashukuru Dana Mzee zjJenerali kumleta huyu. mwanamke. Nimependa Dana sana sana Hoja ya ushndani na kutopenda kuhurumiwa! Hapa Kuna mjadala mzito sana Aitwe Tena. Natoka Kagera.Nafuatilia sana Naona Mzee umefurahi sana
@ramansitv3292
@ramansitv3292 11 месяцев назад
Nimesikiliza kwa umakini maelezo ya huyu dada, hapana nimeona kuna mambo yanaleta mkanganyiko, mbali na dini amabzo zinasemwa zinamkandamiza mwanamke lakini tunazo tamaduni za kiafrica ambazo zilikuwepo uwepo wa dini tulihisi umekuja kuondoa hizo changamoto, nadha tunalazimika kupitia tena mafundisho ya dini ishu ni kwamba hatusomi baada ya kufundishwa hivyo ulimwengu unatupeleka tuishi bila imani, kwa mujibu wa huyu dada anashaka na imani yake na mafundisho yake hayajamuingia vyema, mimi binafsi sikatai wanawake wanapitia changamoto lakini kwa namna kubwa dini imelidha utu na thamani ya mwanamke changamoto ni elimu ya dini husika, sababu hata walioleta dini waliitumia kutunyonya. kuna haja dada akapitia tena dini kwa udani kwa kusoma mwenyewe sio kusikiliza, mwanamke anaweza kuishi kama malkia kama atajitambua lakini sio kuhakikisha anamshusha mwanaume that age will never come.
@heroone4187
@heroone4187 Год назад
mwanamke anataka awe anapanga zamu ya kupika na mume wake😂😂
@odhiaodhia9898
@odhiaodhia9898 Год назад
Mwanamke akianza kutafuta haki fulani kutoka kwa mwanaume ataishi kwa mateso sana
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 Год назад
UMETUMWA
@zonko0488
@zonko0488 Год назад
Dada kabila gani huyu?
@mr.bikeman.lg2024
@mr.bikeman.lg2024 Год назад
Namkumbusha kuchana nywele kwanza.
@alijuma8009
@alijuma8009 Год назад
Hawandio wanao tumiwa na mabepari
@shenjamamzingi7950
@shenjamamzingi7950 Год назад
@deniskg310
@deniskg310 Год назад
Kwa heshima ya Jenerali, nikachagua kusikiliza kwa makini maana hata mimi nimekua na ukakasi kuhusu feminism. Kwa kweli Dada amefafanua vizuri sana na nimeelewa. Tofauti kidogo ni kwangu binafsi dini izo izo alizoeleza kama chanzo cha mifumo ya kumkandamiza m/ke, mimi ndizo ziliniamsha kuiona nafasi ya mwanamke sio ya chini kama jamii inavyochukulia. Napendekeza dada upitie kitabu cha dini kiitwacho Adventist Home, ili uweze kueleweka zaidi na waumini.
@DamasiusPetro
@DamasiusPetro 5 месяцев назад
Kinapatikana bookshop,?
@DamasiusPetro
@DamasiusPetro 5 месяцев назад
Naomba kipengele hiki Cha ushndani kikatwe na kuwekwa Kila mahali
Далее
Voy shetga man aralashay | Million jamoasi
00:56
Просмотров 161 тыс.