Тёмный

Jenerali Ulimwengu Anaifungua Shajara Yake Kwa Babbie Kabae 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 14 тыс.
50% 1

Mwanahabari mkongwe Jenerali Ulimwengu Akiifungua Shajara yake mbele ya Babbie Kabae katika mahojiano maalum #ShajaraCloudsTV

Опубликовано:

 

13 янв 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 28   
@hansdedes1903
@hansdedes1903 6 месяцев назад
Jenerali Shukrani Sana kwa kipindi chako unafumbua wa Tanzania macho kweli mzalando wakweli mwenyezi mungu akubaliki na usichoke niko pamoja na wewe Amani na upendo 🇹🇿🇹🇿!!**
@user-ii9jl9vi5i
@user-ii9jl9vi5i 5 месяцев назад
Shajara hii inanikumbusha makala za Daily News enzi hizo zaidi ya miaka 50 iliyopita.. .... The way I see it, .. With A Light Touch.... nk Nakumbuka waandishi wa enzi hizo - Adam Lusekelo, Philip Ochieng, na Jenerali Ulimwengu!. Walikuwa wanandika makala nzuri sana. Nakumbuka mada mojawapo iliyoandikwa ilikuwa " Be ye A Good Messiah" na ilitoka baada ya Ochieng kwenda Kenya.
@user-nt4ov8uv4n
@user-nt4ov8uv4n 5 месяцев назад
Culture image na Fred Macha!
@mwasakafyukasamson
@mwasakafyukasamson 6 месяцев назад
Jenerali , asante kwa kazi njema na uaminifu kwa Taifa lako
@eacoratz2331
@eacoratz2331 6 месяцев назад
Huyu Mhenga nilimkuta Tabora Boys' Secondary School, Tabora School, a.ka. Berlin, meals 1968,nikijiunga na shule hiyo ambayo awali ikianzishwa mwaka 1925 wasome wana wa Machifu. Mhenga Jenerali Twaha Ulimwengu alikuwa House Prefect wetu, na alina Lipumba [mwaka 1968 akiwa Form III] bweni la Mkwawa. Mhenga Ulimwengu alikuwa gwiji wa kuigiza plays za William Shakespeare, k.m. JULIUS CAESAR, MERCHANT OF VENICE, nk ndiyo ilikuws speciality yake, akiutema Ung'eng'e ile mbaya. Na ile Column ya THE WAY I SEE IT ililifanya Gazeti liuzike. Shughuli nyingine Ulimwengu alifanya Tabora School ilikuwa masuala ya burudani, yaani madansi na pia sinema za 007 Bond, James Bond. Wana TS tulishikwa na butwaa alipozuliwa la si raia!
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 6 месяцев назад
Duh kumbe muigizaji mzuri toka shuleni ...ndio maana bongo movie wamewahi kumtumia kwenye movie kama mbili hivi na alifanya vizuri sana ...he is a good actor
@aloycemwambwiga2318
@aloycemwambwiga2318 6 месяцев назад
Elimu degree moja! Maarifa zaidi ya elimu yoyote. Asante Ulimwengu.
@barakafundo9208
@barakafundo9208 5 месяцев назад
Siku zote ni wakati mwema sana kumsikiliza Jenerali Ulimwengu.Asante sana Babie Kabae Kwa shajara
@giztony2009
@giztony2009 6 месяцев назад
Brilliant!@ Ulimwengu
@tassyulimwengu4049
@tassyulimwengu4049 6 месяцев назад
Hii interview ilipaswa kuwa ndefu, Jenerali ametuacha kiu kubwa ya kujua zaidi....
@jumamdoe3090
@jumamdoe3090 6 месяцев назад
Ahsante Sana General!
@dominickyaruzi9191
@dominickyaruzi9191 6 месяцев назад
Huyu ndiye Jenerali. Asante Clouds kuongea na huyu nguli
@childrengospelmissiontanza1474
@childrengospelmissiontanza1474 6 месяцев назад
Namheshimu sana huyu Mzee,nimekuwa nikimfatilia sana toka zamani nikiwa mtoto.
@uwezokinahi7870
@uwezokinahi7870 5 месяцев назад
Nimemfuatilia tangu nikiwa Primary
@boniphacetesha1152
@boniphacetesha1152 6 месяцев назад
Andaa part 2 mulize kuhusu nchi @baby kabaya
@user-sl2dr6iy8n
@user-sl2dr6iy8n 4 месяца назад
mzee ulimwengu wee muongo mohme swallahu aleyh waslam hakiazisha dini ya uisilam bali aliikutoa dini ya kiislam ni toka kwa adam aleyh salam afu unajiita mtoto wa sheikh daah mtihani kweli huyu mzee
@user-zd5pc5nc9c
@user-zd5pc5nc9c 6 месяцев назад
Kweli kabisa dini hazina majina,,,,,! Hata ukristo ungeanzia tz bible ingebeba majina ya kichaga,kigogo na makabila mengine,,,,,,! So haya ni majina ya kizungu na kiarabu.
@user-ii9jl9vi5i
@user-ii9jl9vi5i 5 месяцев назад
Babies muulize Phillip Ochieng yupo wapi? .... "Be ye a Good Messiah"
@jumamkwanda8031
@jumamkwanda8031 5 месяцев назад
Binadamu anaongozwa na mambo mawili tu hapa Ulimweguni Nafsi na Akili na mara kwa mara nafsi inakuelekeza mambo ya Ovyoovyo lkn Akili ikiveshwa joho la Elimu nafsi haina Nafasi
@eliasnganira7661
@eliasnganira7661 6 месяцев назад
Kumbe Ndivyo ilivyo kwa Ulimwengu!
@ndalahwakulwa4517
@ndalahwakulwa4517 5 месяцев назад
Je unakumbuka tarehe uliyosafiri kwenda Algeria?
@begukulemosobe9685
@begukulemosobe9685 5 месяцев назад
Huyu mzee ni hazina ya tz
@ephraimndelwa4073
@ephraimndelwa4073 6 месяцев назад
Kumbe Bebie Kabae bado yupo Clouds?
@user-vz4xv7lg3x
@user-vz4xv7lg3x 5 месяцев назад
Generali ww utabaki kua Generali tu siku zote
@Jefa_Adili
@Jefa_Adili 6 месяцев назад
@39:25 Pan Africanist = Mmajumui wa Uafrika
@Kim19onlinetv
@Kim19onlinetv 5 месяцев назад
Mzee umri wako uko mbali sana kwahiyo chagua kua upande. Mbona kwenye itikadi zako za kisiasa uko bayana?
@user-sl2dr6iy8n
@user-sl2dr6iy8n 4 месяца назад
sio kosa lake huwenda mke aliemuoa
Далее
Sheria Ngowi Aifungua Shajara Yake Kwa Babie Kabae
55:41
SHAJARA || Uwekezaji katika soko la Hisa
19:29
Просмотров 2 тыс.
Shajara ya Selemani Nyambui part 2
53:43
Просмотров 258