Jenerali Shukrani Sana kwa kipindi chako unafumbua wa Tanzania macho kweli mzalando wakweli mwenyezi mungu akubaliki na usichoke niko pamoja na wewe Amani na upendo 🇹🇿🇹🇿!!**
Shajara hii inanikumbusha makala za Daily News enzi hizo zaidi ya miaka 50 iliyopita.. .... The way I see it, .. With A Light Touch.... nk Nakumbuka waandishi wa enzi hizo - Adam Lusekelo, Philip Ochieng, na Jenerali Ulimwengu!. Walikuwa wanandika makala nzuri sana. Nakumbuka mada mojawapo iliyoandikwa ilikuwa " Be ye A Good Messiah" na ilitoka baada ya Ochieng kwenda Kenya.
Huyu Mhenga nilimkuta Tabora Boys' Secondary School, Tabora School, a.ka. Berlin, meals 1968,nikijiunga na shule hiyo ambayo awali ikianzishwa mwaka 1925 wasome wana wa Machifu. Mhenga Jenerali Twaha Ulimwengu alikuwa House Prefect wetu, na alina Lipumba [mwaka 1968 akiwa Form III] bweni la Mkwawa. Mhenga Ulimwengu alikuwa gwiji wa kuigiza plays za William Shakespeare, k.m. JULIUS CAESAR, MERCHANT OF VENICE, nk ndiyo ilikuws speciality yake, akiutema Ung'eng'e ile mbaya. Na ile Column ya THE WAY I SEE IT ililifanya Gazeti liuzike. Shughuli nyingine Ulimwengu alifanya Tabora School ilikuwa masuala ya burudani, yaani madansi na pia sinema za 007 Bond, James Bond. Wana TS tulishikwa na butwaa alipozuliwa la si raia!
Duh kumbe muigizaji mzuri toka shuleni ...ndio maana bongo movie wamewahi kumtumia kwenye movie kama mbili hivi na alifanya vizuri sana ...he is a good actor
mzee ulimwengu wee muongo mohme swallahu aleyh waslam hakiazisha dini ya uisilam bali aliikutoa dini ya kiislam ni toka kwa adam aleyh salam afu unajiita mtoto wa sheikh daah mtihani kweli huyu mzee
Kweli kabisa dini hazina majina,,,,,! Hata ukristo ungeanzia tz bible ingebeba majina ya kichaga,kigogo na makabila mengine,,,,,,! So haya ni majina ya kizungu na kiarabu.
Binadamu anaongozwa na mambo mawili tu hapa Ulimweguni Nafsi na Akili na mara kwa mara nafsi inakuelekeza mambo ya Ovyoovyo lkn Akili ikiveshwa joho la Elimu nafsi haina Nafasi