Тёмный
No video :(

Ukatili kwa watoto kwaongeza hofu wazazi Mbagala 

UTV Tanzania
Подписаться 74 тыс.
Просмотров 1 тыс.
50% 1

Hofu imetanda kwa baadhi ya wazazi kuhusu usalama na ustawi wa watoto wao kufuatia matukio ya ukatili yanayowatokea watoto ambapo kwa mujibu ripoti ya polisi kwa mwaka 2023 imeonyesha matukio 30 hutokea dhidi ya watoto kila siku.
Hatua hiyo imewafanya wazazi wa Mtaa wa Kibonde maji Mbagala, Dar es Salaam kuchukua hatua ya kuwalinda watoto wao wenyewe kutokana na kushtushwa na vifo vya watoto vilivyotokea hivi karibuni kutokana na ubakaji.
✍@official_jennifersumi
#azamnewsupdates

Опубликовано:

 

29 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии    
Далее
Chelsea gym be like.. 😅⚽️
00:20
Просмотров 15 млн
Bilasizmi?
00:12
Просмотров 480 тыс.
KUOTA MTU ALIEFARIKI//DUKTUR ISLAM MUHAMMAD
5:05
Просмотров 226 тыс.