KARIBU KATIKA RU-vid CHANNEL YETU HII KWA KUPATA QASWIDA MBALI MBALI KUTOKA TANZANIA ZENYE UJUMBE TOFAUTI UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KU-SUBSCRIBE KU-LIKE NA KU-SHARE ILI UWE UNAPATA TAARIFA ZETU KWA WAKATI HUSIKA.
Assalaamu alaykum..ogopa kuhukumu jambo huna dalili nalo kutoka kwenye qur'an wa hadith. Usije ukaulizwa siku hiyo nzito umeyatowa wapi. Na usipati jibu. Weye una feni ya kasiwda ..kaitafute feni ya ilimu ya dini..kucanga haramu na halali ni haramu kwenye dini yetu ya uslam .ikiwa weye ni muislam
Ukhty umeongea kitu cha ukwel taarab na qaswda ni sawa saw ila tofaut ni 1 tuh waimb qaawda hawavai uchi waimba taarab wanavaa uchi ila na nyinyi waimba qasswda mupunguze kujipambaaaaaa😅