Тёмный

UKWELI UGONJWA UNAOMTESA MZEE ALIYEKUWA AKIMFICHA NYERERE KWAKE WAKITAFUTA UHURU 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Wakati wa kudai Uhuru wa Tanganyika tunaambiwa Mwalimu Nyerere alipokwenda Tabora, alifikia nyumbani kwa kiongozi wa TANU, Mzee Rehani B. Waikela.
Sasa taarifa mpya kwasasa inayomuhusu Mzee Rehani ni kwamba amelazwa katika hospital ya MOI Muhimbili Dar es Salaam.
Ayo TV & Millardayo.com imefika kumjulia hali na kuzungumza na Mtoto wa Pili wa Waikela ambaye anatusimulia hali ya mzee na chanzo cha ugonjwa.

Опубликовано:

 

11 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 63   
@rubensaitoti6839
@rubensaitoti6839 2 года назад
Pole sana babu yagu Mungu akuponye ishala naamini kwamba Mungu yupo nawe
@leotena8456
@leotena8456 2 года назад
Historia ya Tanzania inafichwa sana! Hawa watu ni muhimu sana kwny historia ya nchi
@chidiwarashidi5658
@chidiwarashidi5658 2 года назад
kabsa yan dah akija kufariki ssa ndyo wanamjali
@saidjuma9782
@saidjuma9782 2 года назад
Kuna Dhulma nyingi zilifanyika ndio maana wanaficha hao Washenzi
@ramadhanimbulu4941
@ramadhanimbulu4941 2 года назад
Malipo ya wema wake akawekwa kizuizini!! kweli tenda wema nenda zako.Mzee Bilal Rehani Waikera historian iliyofichwa.Mungu akuponye inshaallah!!
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ 2 года назад
Wako wengi mno, kuna waliomkaribisha Mwl ktk harakati, Mzee tambaza, Mzee Dossa
@ramadhanimbulu4941
@ramadhanimbulu4941 2 года назад
@@ndukulusudikucho_ historia ya nchi hii kuna mengi yamefichwa.
@saidjuma9782
@saidjuma9782 2 года назад
Kuna Dhulma nyingi zimefanyika
@SaSa-n2t1w
@SaSa-n2t1w Год назад
Dini tatizo Islam ungejijenge bs nchi ingehalibika
@meshackntoga1566
@meshackntoga1566 2 года назад
Siasa ya Tanzania Inasumbuliwa na Ubinafsi na Wivu wa Uchamaaa na Umimiiii. Historia hii ni njema na nzuri saana.
@Gilbert-w9e
@Gilbert-w9e Месяц назад
Mungu akupe wepesi mzee wetu, inshallah!! Tumuombee heri na moyo wake na maisha aliyopitia yanabidi kufanyiwa andiko na ikibidi kumpendekeza kuwa Mwenye Heri!! Hakuna namna yoyote ya kumlipa fadhila ni kumsaidia yeye na familia wanaomhudumia..😮‍💨🙏
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 2 года назад
Mungu amponye babu yetu inshaalla
@nasoroabdallah6253
@nasoroabdallah6253 2 года назад
Aamiin
@marryg4235
@marryg4235 2 года назад
Eee mwenyezi mungu mwing wa rehema,mponye babu ye2 wa taifa hili,laana nyingine 2nazipata kwa kuwasahau wa2 km hawa waliojitoa kwa moyo naku2fanya cc 2we na aman.mungu mponye mzee we2.
@yousuphnzira3209
@yousuphnzira3209 2 года назад
Mzee Muhimu sana kwa Taifa
@lutenganocharles7194
@lutenganocharles7194 2 года назад
Nyerere had 2022 alikua awe na Miaka 100, Huyo Mzee ana 90 so Nyerere alimzd Huyo Mzee Miaka 10 Sio mbaya inawezekana ni kweli kabisa wamsaidie jaman
@rayisadesigns2646
@rayisadesigns2646 2 года назад
huyu alikuwa mpigania uhuru, andika jina lake RU-vid utaona anaelezea kwa mdomo wake hatua kwa hatua namna walivyokuwa wakipambana ktk kutafuta uhuru. wapo wenzie kina Abdulwahid Sykes, Ally Sykes na wengineo. Huyu ni mtu muhimu sana tofauti na unavyofikiri. NB: NCHI HAIWEZI KUKOMBOLEWA NA MTU MMOJA PEKEE!! wapo wengi waliojitoa kwa ajili ya ukombozi wa nchi hii.
@b-creative4662
@b-creative4662 2 года назад
@@rayisadesigns2646 na Dully sakys sema nini nahis hata mkuu wa enzi hizo hakutaka wajulikane!!
@kurshidsaleh1499
@kurshidsaleh1499 2 года назад
Allah azidi kumpa shifaa..na amjaaliye mwisho mwema aamiin
@IbrahimKuhunguru
@IbrahimKuhunguru 2 месяца назад
Mungu amponye mzee wetu shuĵaa
@hajiramadhanihaji355
@hajiramadhanihaji355 2 года назад
Historian ya kweli ya nchi hii huwa inafichwa.
@sabinaonline6575
@sabinaonline6575 2 года назад
Daah mtu muhimu sana katika kukomboa nchi ya Tanzania, na nyinyi wanahabari kwasababu gani mmechelewa kutoa habari zake mpaka mnasubiri aumwe??
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
WALIWAHI KUITOWA NIMEIONA KWENYE MTANDAO.
@edinawilliam2943
@edinawilliam2943 2 года назад
❤️
@nipautago8574
@nipautago8574 2 года назад
Mungu amjalie apone!
@mayusay1225
@mayusay1225 2 года назад
Rip mzee bilali waikela Allah akupe kaulidhabit
@ashadonge3556
@ashadonge3556 2 года назад
Mungu akupe shifaa babu yng tumekubakiza wewe tu babu hatuna mwingine
@siriyangu4724
@siriyangu4724 2 года назад
Allah ampe shifaa ya araka
@hatujuaniimani4425
@hatujuaniimani4425 2 года назад
Mungu amfanyie shifaa apone mpigania Uhuru wetu jamani ,kwa Mimi maona na yeye amehusikia ktk kupigamia Uhuru wa Tz na inatakiwa auguzwe pia akisha pona serikali imtengenezee mifumo mizuri ya kuishi angalau kwa kipindi alicho baki nacho.
@brownasia5787
@brownasia5787 2 года назад
First👍💪
@veronicasulle1849
@veronicasulle1849 2 года назад
Mungu akuponye babu yetu
@joejoshua7791
@joejoshua7791 2 года назад
Julias alikuwa hataki mtu mwingine awe maarufu zaidi yake
@badymedia9648
@badymedia9648 2 года назад
Mkundu wewe angekua mbinafsi ungekua waning'iniza pumbu zako huru saizi,pili Kama nimbinafsi hao wano mjua wamemjuje ,mbwa Tako wwwe
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Mpeni tiba
@rachelkakala2273
@rachelkakala2273 2 года назад
Apewe tiba
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 2 года назад
Historia huwa inafichwa sana kwa sbb waliopigania uhuru walikuwa ni waislam ndiyo maan historia imefichwa n'a kueneza historia za uongo, kama tu ilivyofichwa historia ya mtu mweusi.
@amoschaina8190
@amoschaina8190 2 года назад
Wewe ni mpumbavu, kwan historia inasema waliopigania Uhuru ni wakristo
@simonmwandu2214
@simonmwandu2214 2 года назад
@@amoschaina8190 huna akili ww hujuwi historia y nchi hiyo vzur kilaza wew
@rashidramadhan7708
@rashidramadhan7708 2 года назад
Nchi ina MIAMBA hii halafu hairingi wala nini
@abuumkumbalu9123
@abuumkumbalu9123 2 года назад
Akifa ndio utakuta watu wanajifanya kujitokeza kwa wingi katika msiba
@reganshao
@reganshao 2 года назад
Kinachoumiza ni kuwaibua watu hawa wakati muda wao wa kuishi umeshakwisha , inauma sana , wapo watu ambao waliipigania sana tanzania na saivi wana hali mbaya kwann wasihudumiwe kabla hali zao hazijawa mbaya ? Ni laana hii na itaitesa sana nchi na viongozi ole wenu.
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
WALIOLETA UHURU AMBAO NI MUHIMU SANA WAPEWE HESHIMA ZOTE LAKI HAWAJULIKANI ANAPEWA MAGU ALIE JENGA KWA PESA ZA MKOPO KUNA WAJINGA WENGINE WANASEMA ATI PESA ZAKE IMEKAZANA RIP MAGU WACHENI UJINGA FANYENI KAZI MLIPE MIKOPO YA WATU.
@emmadeprincetv6133
@emmadeprincetv6133 2 года назад
Nchi ina siri kubwa sana!!!
@marionntomola1686
@marionntomola1686 2 года назад
Historia ni muhimu inawezesha vizazi kujitambua na kumjua nani ni nani.
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 года назад
utayasikia mafisad makina nape na kinamakamba na wazazi wao awen wao ndi wenye tenzania na ccm wakat hawa ndi wenyewe na waliyopigania uhuru kwa hao maqaafir waliokuwa wanawatesa wafrica yaani hili group la kikwete na winzake kina nauye na kinamakamba niwahuni na wafilisi wa inchi wakubwa hata aliye ikomboa tanzania aliwaona ni wasalit wa inchi
@florameza1028
@florameza1028 2 года назад
Leo hii watu wanadiriki kuwapenda wawekezaji na kuwatetea kuliko Wa TZ
@jeanmusamba3253
@jeanmusamba3253 Год назад
alitumia gari, lake,ila kufikia walipewa nyumba jirani na waikela wakilindwa na bantu group.Mzee waikela ana mchango mkubwa ndio na ana stahiri zawadi ila tuileta historia katika uharisia wake
@sakinaamani1486
@sakinaamani1486 2 года назад
Mmmmmm ssa mambo mengine yanaskitisha mpaka yani mtu muhimu huyu amesahaulika eti ssa nfo anasaidiwa nn ssa? Mungu msaidie tu
@musason1680
@musason1680 2 года назад
Hawa ndo watu wa kuwalinda ila taifa linawapgania vigogo na watoto wao
@aishaalbalushaishabalush8291
@aishaalbalushaishabalush8291 2 года назад
hapo sasa vigogo wenyewe hta nyerenyere alikataa wasipewe madaraka ya kuongoza inchi wataumiza watu na kuifilis inchi ila ndi kilichotokea baada kufa nyerere kikwete akajifanya tanzania niyake na family yake
@dintazdintaz7311
@dintazdintaz7311 2 года назад
Mzee mfichaji wa taifa
@neemajulius1256
@neemajulius1256 2 года назад
Msaidieni
@VEVOTV-d1z
@VEVOTV-d1z 2 года назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-97qjzh3dsac.html Simu ya raisi Kutoka kwa konk Don
@sandalalutubija235
@sandalalutubija235 2 года назад
Watu kama hawa serikal iwaone jicho la huluma
@kipigapasilisungu2581
@kipigapasilisungu2581 2 года назад
.
@sandalalutubija235
@sandalalutubija235 2 года назад
Hizi ndo media tunazozitaka tanzania soyo kichwa cha habal kigine maneo cyo
@Muuzambuzi
@Muuzambuzi 2 года назад
Dar kweri jamani haipendezi kabisa
@jeanmusamba3253
@jeanmusamba3253 Год назад
mwalimu hakupenda historia iandikwe katika uharisia wake,you must go and make a study on why?
@Dr.manyaunyau
@Dr.manyaunyau 2 года назад
Bc uyo mzee achukii mda anakata kamba sijui kwa nini
Далее
GENIUS FOOD HACKS 🍰 #shorts
00:36
Просмотров 7 млн