#UpepoWakisulisuli #MamaRwakatare #BongoTouch
'
Askofu mama Rwakatale amepoteza maisha leo alfajiri baada ya taarifa juanza kusambaa na kijana wake amethibitisha hilo,aliwai kutajmba na msemo wa Upepo wa kisulisuli wakati wa mahubiri yake na hilo lilimfanya watu wengi zaidi waendeleee kumpenda zaidi
24 сен 2024