Jamaa professional sana kuna vitu nilikua naviona tu na ata nikiwauliza madereva walikua awanijibu kwa ufasaha lkn leo umenifundisha udereva yani kama ningekua nipo na gari kilichobaki ni uzoefu tu, ubalikiwe sana kwa kutupa elimu na maana ya alama mbali mbali zilizopo kwenye magari.
Aiseee kipindi chenu ni kizuri mnooo.. Big up. Kuanzia wanaochanganya video kutuelewesha vizuri watazamaji, mtangazaji na Jembe Engineer Kyando.. Ndio kipindi pekee naweza kaa chini kukiangalia. Mnatuelimesha watu sana
hiyo option ya gear lever kua na S, an B is only available kwa gari zenye CVT transmission yaan continuous variable transmission.. Bwana Ben, ebu one day uje ufanye kipindi cha kinacho husiana na utunzaji wa engine na gear box kwa upande wa OIL na hydrolic za gear box maana hapa kuna majanga mengi sana.
Ukiwa kwenye mizunguko midogo ya kawaida mtaani unaweka off hiyo O/D ila kama unatembea kwa haraka zaid ya speed 60 mfano upo safarini weka On hiyo O/D.