Тёмный

USAFIRI WAKO: MATUMIZI SAHIHI YA GIA ZA MAGARI YA AUTOMATIC 

ITV Tanzania
Подписаться 1,1 млн
Просмотров 40 тыс.
50% 1

Kutana na Mhandisi Paschal Duwe kutoka chuo cha Taifa cha usafirishaji akizungumzia matumizi sahihi ya gia za magari ya automatic(Magari ya kisasa)

Опубликовано:

 

7 ноя 2016

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 30   
@jamilmwinge3695
@jamilmwinge3695 2 года назад
Jamaa professional sana kuna vitu nilikua naviona tu na ata nikiwauliza madereva walikua awanijibu kwa ufasaha lkn leo umenifundisha udereva yani kama ningekua nipo na gari kilichobaki ni uzoefu tu, ubalikiwe sana kwa kutupa elimu na maana ya alama mbali mbali zilizopo kwenye magari.
@johwilly8723
@johwilly8723 2 года назад
...Mtangazaji anajua sana, anauliza maswali yaliopo kichwani mwetu kabisaaa.
@yonandekirwa4635
@yonandekirwa4635 Год назад
Benjamin Mzinga na Engineer/Mwalimu wote wako vizuri, nimejifunza
@ngapox5301
@ngapox5301 6 лет назад
Aiseee kipindi chenu ni kizuri mnooo.. Big up. Kuanzia wanaochanganya video kutuelewesha vizuri watazamaji, mtangazaji na Jembe Engineer Kyando.. Ndio kipindi pekee naweza kaa chini kukiangalia. Mnatuelimesha watu sana
@mathayomawata5907
@mathayomawata5907 5 лет назад
Baraka Ngaponda o
@tanzaniacarschannel6975
@tanzaniacarschannel6975 5 лет назад
hiyo option ya gear lever kua na S, an B is only available kwa gari zenye CVT transmission yaan continuous variable transmission.. Bwana Ben, ebu one day uje ufanye kipindi cha kinacho husiana na utunzaji wa engine na gear box kwa upande wa OIL na hydrolic za gear box maana hapa kuna majanga mengi sana.
@muhidinshafii9253
@muhidinshafii9253 5 лет назад
big up sana
@sarungingomuo2874
@sarungingomuo2874 2 года назад
Nakuelewa mwalimu
@bensonpaul3672
@bensonpaul3672 Месяц назад
Baada ya service gari yangu imekuwa ikipoteza reverse ,nini inaweza kuwa tatizo?
@jovindanda6053
@jovindanda6053 4 года назад
duh nilikua najiendeshea tu asanteni sana
@erickmsuha1390
@erickmsuha1390 Год назад
Ni kipindi kizuri Sana tunamshukuru Sana,kwa c madereva,si wote tuliokuwa tunafahamu hayo mambo
@brunopeter1068
@brunopeter1068 2 года назад
me nahitaji msaada wa kuwapata mafundi sahihi wayalingi gari yangu aina Nissan murano toleo 2009 asante
@dottomakelele4571
@dottomakelele4571 3 года назад
Mafunzo yapo vzuri sana
@hamadtaib7975
@hamadtaib7975 Год назад
O/D ikisoma ON inamaanisha nini?
@majaliwahamad4053
@majaliwahamad4053 4 года назад
Msaada wa alphad ina
@merchadesmeltus7156
@merchadesmeltus7156 3 года назад
Kipindi kizuri sana,
@deusmathew8990
@deusmathew8990 3 года назад
Nimekipenda hicho kipindi
@shaffyabdul878
@shaffyabdul878 4 года назад
Nashuku kwa elimu, nimeongeza kitu kipya ktk kichwa changu leo
@sadiaabed6687
@sadiaabed6687 5 лет назад
Basi anatakiwa akielimisha aonyeshe na vitendo na vitu vyenyewe tuvijuwe
@deusmathew8990
@deusmathew8990 3 года назад
Nimepata mafunzo ya kutosha
@deboramatpapaztv
@deboramatpapaztv 3 года назад
Kipindi hiki sio siri kimenifuna mengi
@msafirikilongo2836
@msafirikilongo2836 3 года назад
Je wakati wa kutaka kurudi nyuma unapofunga break na gari haijasimama vizuri unaweza bonyeza R ikakubali?
@abukheryabdallah1107
@abukheryabdallah1107 2 года назад
Unapoweka R na gari haijasimama vizuri itasimama ghafla kama vile umeweka hand break, na kama ni mwendo mkali utahua gear box
@pandaboi8942
@pandaboi8942 5 лет назад
Je unawez kuwek O/D gar ikiw inatembea
@mwakatobemfariji5012
@mwakatobemfariji5012 Год назад
Ukiwa kwenye mizunguko midogo ya kawaida mtaani unaweka off hiyo O/D ila kama unatembea kwa haraka zaid ya speed 60 mfano upo safarini weka On hiyo O/D.
@albertmakuri8307
@albertmakuri8307 7 лет назад
je gari automatic ukitaka kuiwasha lazima ukanyage brek ndo uwashe au
@annamembe13
@annamembe13 5 лет назад
Ndio laZma
@velvethamster9809
@velvethamster9809 3 года назад
Inategemea gari na gari, kwa mfano Yaris ya mwaka 2011 haihitjaji, lkn nissan altima 2010 inahitaji kukanyaga brake
@gasperjohn6346
@gasperjohn6346 3 года назад
Ndio lzm
@hamzanyelo2266
@hamzanyelo2266 2 года назад
Sio lazima ukanyage brake pedal kama gear leaver ipo parking position.
Далее
Kazi kubwa inayofanywa na Tie rod end katika gari.
27:51
USAFIRI WANGU
11:59
Просмотров 25 тыс.
IQ Level: 10000
00:10
Просмотров 2,9 млн
MAGARI YANAVYOBADILISHWA YATUMIE GESI BADALA YA MAFUTA
11:23
How to drive Automatic  from scratch.New drivers
7:39