Тёмный

Nyumba 1500 zinazojengwa Kigamboni na Milionea Mtanzania aliyeishia la 7 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 339 тыс.
50% 1

Hamidu ni Mtanzania ambaye elimu yake ni darasa la saba tu lakini ukubwa wa mafanikio yake umedhihirisha kuwa akili ya maisha inaweza kukupa ushindi ukizingatia inavyotakiwa, ameshaanza ujenzi wa nyumba zake 1500 Kigamboni Dar es salaam.
MAWASILIANO YA HAMIDU CITY: +255 22 21 23 075 MOBILE: 0672 918883, 0756 980000 & 0659 500 100. sales@hcgctz.com INSTAGRAM: @Hamiducity

Опубликовано:

 

26 ноя 2016

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 322   
@Bbwaoy
@Bbwaoy 7 лет назад
Nili bahatika kukaa na huyu jamaa alipo kuja Mwanza. Alini inspire sana.
@ghatimakonge9383
@ghatimakonge9383 2 года назад
Hongera Sana kamanda 🙏🙏 baraka hiyo Ni kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Umetusaidia ufahamu la 7 wenzio Utajiri sio Elimu.
@BongoHabariTv
@BongoHabariTv 5 лет назад
Mungu akuzidishie ujuzi mkuu....big inspiration
@mwamgundasamson2192
@mwamgundasamson2192 7 лет назад
mungu akupe nguvu mtanzania mwenzetu ila punguza kabei kidogo basi😀
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
Mwamgunda Samson ameen ameen
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
Kwani we una sh ngap?
@hamiduhamisi2371
@hamiduhamisi2371 2 года назад
@@ahz6907 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@tracyjustice1600
@tracyjustice1600 7 лет назад
Hongera sana kaka Hamidu mungu aendelee kukubariki na kukupa Afya njema
@faysalmahmuddidar7135
@faysalmahmuddidar7135 7 лет назад
nimependa-sana-kaka-hamidu-mungu-anisaidie-nifate-nyayo-zako
@zittotv9972
@zittotv9972 4 года назад
Faysal Mahmud Didar duuuuuu
@NdayizeyeAline-zr6zc
@NdayizeyeAline-zr6zc 3 месяца назад
Asante sana kwa maelezo unae tupatia Mimi Ni myarwanda nataka ku nunua nyumba hiyo Tanzania kwa kuripa kidogo kidogo Sasa naomba maelezo zaidi ili nijue xakufanya
@ernestonesmo405
@ernestonesmo405 25 дней назад
Hamidu hemedi Mvungi mkoa Kilimanjaro Wilaya ya mwanga Kijiji Cha Lembeni Kijiji kwetu kabisa nafurahia kuona hili wapare hoyeee Kuna mwamba mwingine anaitwa Vigu Daaah Ila Mungu kampenda zaidi naye aliifanya Lembeni ijulikane Sanaa tupo nyuma yenu hakuna kukata tamaaa mpk mwisho
@mkolamrua9494
@mkolamrua9494 7 лет назад
Mungu wetu sote wallahy Hamidu nipo nyuma yako
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
Mkola Mrua naam
@mkolamrua9494
@mkolamrua9494 7 лет назад
azh zha yassin ipo siku tu
@sajdatomar6025
@sajdatomar6025 2 года назад
Hata mm nipo nyuma yake mungu ni mkubwa tuamini hilo jamani
@franklinkessy586
@franklinkessy586 2 года назад
Nomrango
@carlosmzena548
@carlosmzena548 5 лет назад
Set a dream believe in your dream work on your dream then live your dream, no limits in life 💪💪
@angelavayinga914
@angelavayinga914 6 лет назад
Ni watanzania wachache sana wenye kuthubutu,wengi wao hata wakipata chans km hiyo wanaishia kugombania wake hata za watu ili mradi tu wajue ana pesa,hongera sana kaka.
@nassorsaid2331
@nassorsaid2331 7 лет назад
hongera kaka lakini hizo nyumba,site sizani kama zitauzika kwa maisha ya kibongobongo ungeanza na few hubdreds uwone uoeoo
@elpiemghoi8004
@elpiemghoi8004 2 года назад
Waa hongera sana mimi pia nambana ila bado.Haminu nisaidie nimalize yangu ni moja tu
@mossymtwana6422
@mossymtwana6422 2 года назад
Mwenyeezimungu azidi kukubariki Baraka za Roho na mwili Hamid all the best mbarikiwa
@Patricia800
@Patricia800 7 лет назад
Nakutakia kila la kheri Mungu azidi kukuinua zaid ya hapo. Hongera sana.
@jimmycliff6977
@jimmycliff6977 2 года назад
Kaka Ayo Unatupa nguvu sana ya kupambana katika maisha ya Kila siku
@elijahthomas7855
@elijahthomas7855 6 лет назад
The sound track is legit. I love the years of the sum action movie
@amanichanga3448
@amanichanga3448 7 лет назад
Mungu amzidishie na hongera sana kwake
@jumaramadhani5861
@jumaramadhani5861 7 лет назад
Mwenyezi Mungu akuzidishie wepesi,yaani kaka Hamidu umedhubutu,kweli akili ni nywele
@rosehillary8742
@rosehillary8742 7 лет назад
Mtani wangu Mpare Shikamoo...Faida yakula ugali na picha ya Samaki. Wapare Shiakamoo Kaka najiona mbulula na mavyeti yangu jamani.
@superwarema2309
@superwarema2309 2 года назад
Marahaba mtani. Thamaki thi kindu, kindu ni mshombe.
@hamismndeme9501
@hamismndeme9501 2 года назад
mtani tulia ufuate nyayo
@blackpanther4825
@blackpanther4825 2 года назад
Rose Hillary usipagawe mie ndugu yake najua yaliyo nyuma ya mradi mzima.
@dorcaskidoti249
@dorcaskidoti249 2 года назад
@@blackpanther4825 ohoooooo kama nimekuelewaaaaaa😥
@hajjighanji5667
@hajjighanji5667 4 года назад
@hakika shemeji yangu amethubutu darasa la saba lawakati wa nyuma ni kama form 6 kwa sasa nataka nikwambie kufanya hivii ulivyofanya zaidi ya chuo kikuu. big up mlamuwa.havaache sana.
@zainabukalinga5000
@zainabukalinga5000 5 лет назад
Hangera sana na mungu akutie nguvu uweze kusaidia na wengine.
@africanchild4525
@africanchild4525 7 лет назад
Mungu amzidishie. ameniinspire sana. ntafuata nyayo zake kujindeleza.
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
Swahili 101 ameen
@rogertmshana9226
@rogertmshana9226 2 года назад
Sisi tulikuja baada ya Kuona Zamarad kapost like 🤣🤣🙈🙈
@freddymello3227
@freddymello3227 5 лет назад
Eti aliyeishia la 7! maisha ya mafanikio hayana vigezo hivyo vya hizo elimu zenu za kikoloni.ambazo mnaandaliwa muwe watumwa wa watu. mfano:wengi mkihitimu huwa Hamna la kufanya punde mnapokosa kuingia katika huo mfumo(wa kitumikia hao masters wenu) Wapo wengi tuu wa aina hii.
@aminaathumani6832
@aminaathumani6832 3 года назад
Hata mm napigania Kaka anguu ni we kama ww tupo pamoja hongeraa sanaaaa mungu akuzidishieee pamoja nawengnee aminiii 🤲🤲🤲🙏🙏🙏🤝🤝🌹🌹🌹🌹❤️❤️😎❤️😘😎❤️❤️❤️❤️
@ashazaharan1750
@ashazaharan1750 6 лет назад
Mansha Allah. hakika hakuna linalo shaindikana jamani hongera kaka
@EmainaEmanuel
@EmainaEmanuel 7 лет назад
hongera bro Allah azid kukuongoza .
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
mashaallah kila kitu kinawezekana waweza soma hadi kidato cha sita lakini ukatoka patupu alie soma mpaka lasaba akatoka kimaisha zaidi mungu akupe zaidi ya apo kaka angu.
@toshirohitsugaya6421
@toshirohitsugaya6421 7 лет назад
hongera sana kwa mtanzania mwenzangu
@kadzomangi484
@kadzomangi484 7 лет назад
mungu ni wetu sote hongera sana nd mungu akuzidishie
@DrMbonea
@DrMbonea 2 года назад
Hii ndiyo tofauti ya wasomi wa bongo na darasa la saba Wasomi huamin katika madaftari yao na vyeti lakin hawa wengine huamin katika nguvu zao maana hawana elimu na hapa ndio wanawazidi waliosoma Mzee ameni inspire
@saumuhassan1365
@saumuhassan1365 7 лет назад
MashaAllah, hongera sana Brothar, umepiga hatua Allah akusimamie.
@momatv2019
@momatv2019 2 года назад
Maa Shaa Allah. Mwenyezi Mungu akupe ulinzi wake na akulinde na macho ya watu.
@Awatee
@Awatee 2 года назад
Amiin yarabal alamin
@rukiyatajir8064
@rukiyatajir8064 2 года назад
Hongera sana sana Mungu amekubariki, hakikisha kizazi chako kinaendeleza uliyoanzisha
@superlevy9389
@superlevy9389 7 лет назад
🙌🙌🙌 hongera saaaana na mungu akubalikiiiiiiiii
@kamkubwa
@kamkubwa 7 лет назад
nilikuwa nakunywa beer nimemwaga naelekea shamba kutafuta
@mariammbughi2702
@mariammbughi2702 7 лет назад
anicet njovu 😂😂😂
@stevenp.kongoche5503
@stevenp.kongoche5503 7 лет назад
anicet njovu hahahaha we jamaa umetisha,nmecheka mpka mbavu zmeuma
@khadijambuta4360
@khadijambuta4360 6 лет назад
anicet njovu 😂😂😂mbavu zang
@theoriginals3240
@theoriginals3240 6 лет назад
haha
@marysimon8899
@marysimon8899 6 лет назад
kha😂😂😂
@michaelsamson9663
@michaelsamson9663 Год назад
Wa Tz walio wengi waoga kufanya kazi zao au biashala zao Wana aminijuu yakuajiliwa nakulipwa mwisho wamwezi nawengine Hawana elim Wana nyonywa nama boss awashtuki wanazidi kupoteza muda wao
@nikitadiamorelivingstone2831
@nikitadiamorelivingstone2831 7 лет назад
hongera, sana hiyo ndio njia mojawapo ya kuleta mabadiliko katika nchi,
@abdallahibwe3101
@abdallahibwe3101 7 лет назад
wazo lake zuri lkn bei hainiingii akilini
@azizayassin3623
@azizayassin3623 7 лет назад
Abdallah Ibwe haaahaaahaa
@shariwogolle2881
@shariwogolle2881 5 лет назад
Bei hahahaha wa Arusha huyo lzm bei hiyo.
@shsjjdjhd9624
@shsjjdjhd9624 3 года назад
.
@samsonkatigiri2344
@samsonkatigiri2344 2 года назад
Na muda si mrefu utasikia zimeisha,kuna watu pesa kwao si tatizo tatizo lao ni kupata kitu kizuri tu.🤣🤣🤣🤣
@annabaramay3793
@annabaramay3793 2 года назад
Dah! Kaka uko vzr nilidhani utajiri ni vyeti kumbe ni akili tyu hongera saaana
@samiakikwete1762
@samiakikwete1762 3 года назад
Mungu humpa amtakae napia hutoa kwa wakty ukifyka
@hongerakkachawasemewwkzbut4996
kaka umenivutia na nimejifunza kutoka kwako hongera sana kaka angu
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 4 года назад
Asante sana kaka amidu ,kila kitu kujituma
@lulugama1547
@lulugama1547 7 лет назад
big up Hamidu we ni noumaaaa
@habauagway7251
@habauagway7251 5 лет назад
Hongera kwa kujituma kaka Hamidu
@mobileshop818
@mobileshop818 7 лет назад
hongera sana
@dungayusufu1954
@dungayusufu1954 2 года назад
mashaalah Mungu akubariki ndugu kwa ubunifu wako
@dotoe.a7869
@dotoe.a7869 7 лет назад
Hongera saaanaa kaka Hamidu
@donaldmwangasa852
@donaldmwangasa852 7 лет назад
So inspiring
@sarajackson7373
@sarajackson7373 7 лет назад
Hongera sana kaka Mungu ni mwema wewe ni mfano wa kuigwa
@man.lule.585
@man.lule.585 6 лет назад
Iga ufe kila mtu kazaliwa na zali lake.
@adrianoadam8741
@adrianoadam8741 7 лет назад
dah!hayo ndiyo matamanio yangu hongera zake kafanya kitu kikubwa,sisi vijana inatusa tuige mfano wake
@idyjumanne9796
@idyjumanne9796 5 лет назад
mashaaaaalah unanipa mzuka kwel Na mm nifanye business
@fayeezomar2902
@fayeezomar2902 7 лет назад
salm, fayeez and Hi support u
@vincent9132
@vincent9132 7 лет назад
i really like his idea
@user-jk5ir4ke3z
@user-jk5ir4ke3z 2 года назад
MashaaalH
@yohanamagele3633
@yohanamagele3633 3 года назад
WOW classic inspiration
@pilimwanza8117
@pilimwanza8117 2 года назад
Wa Tanzania ndio hapa tunafeli. Those houses could be better. Kuna dada Anaiwa Leah Wambui yeye yuko Kenya amejenga Nyumba 200 lkn zinavutia zaidi ukimwambia mtu 300 hata km hana anaridhia kwa muonekano. Mungu akuongoze zaidi, lkn watu wengi zitawashinda kwa sababu inabidi mtu akope bank ambayo inachaji riba. Mtu ataishia kulipia hiyo Nyumba kwa bei kubwa sana kuliko thamani halisi. Hongera nonetheless
@abdallahmbonabona8860
@abdallahmbonabona8860 4 месяца назад
Mungu akuraisishie kwenye mradi wako
@saidkhalfan1607
@saidkhalfan1607 7 лет назад
mungu akitaka kukupa hakuandikii baruwa
@hillsgate386
@hillsgate386 7 лет назад
Very inspiring footage to succsess
@ahz6907
@ahz6907 2 года назад
Ukiwa na nidhamu na malengo na mpango wa kuyafikia hakuna kitakachokwamisha mafanikio.
@rahmashaban8693
@rahmashaban8693 7 лет назад
Duuh kaka ana juhudi sijawahi kuona. nimezipenda sana jamani sio siri
@saifalrajhi5001
@saifalrajhi5001 7 лет назад
big up Mr Hamidu
@maryamtanzania9743
@maryamtanzania9743 2 года назад
Naomba hamidu unioe mke wa pili
@sheezy96sarah55
@sheezy96sarah55 2 года назад
Ur the best hamidu
@priscadaniel7
@priscadaniel7 3 года назад
Safi Sana Kaka Mimi Sina hata uwezo WA kukunuwa hata basikeri
@nambuacassandramlaki3516
@nambuacassandramlaki3516 2 года назад
Yessss...hongera sana Uncle😘😘😘😘
@arafsaaa8844
@arafsaaa8844 7 лет назад
mashaallah allah akuzidishie
@TheEric7777777
@TheEric7777777 5 лет назад
real estate ni biashara nzuri sana... lakini one factor ya ku have in mind ni economic progression ya walengwa... with the current "credit crunch" in Tanzania.... real estate market is one of the worst hit sectors in the economy!
@allythabit5175
@allythabit5175 5 лет назад
Albin Eric one day when I was young nlimsikiaaa baba akisema nataka nianzishe biashara ya nyumba lakn ndugu hatukumsapoti lakn now my father is one of the famous person ambaye ana nyumba nyingi mjiniii
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 года назад
Zamani nilikuwa naamini kusoma ndio kupata kumbe sivyo sasa ndio haya, nilivyokuja kujitambuwa nikaikataa hi imani ama kweli kusoma si kupata 😪
@editatairo9667
@editatairo9667 2 года назад
Lakini elimu pia ina umuhimu wake ila ni namna gani unaitumia kutoka kimaisha ndio mziki sass
@deusmhapa2400
@deusmhapa2400 2 года назад
Hongela Boss Hamidu
@davidjoshua129
@davidjoshua129 7 лет назад
Mungu akuzidishie
@aishashomali2716
@aishashomali2716 2 года назад
Mmmh vifaa vya cm tu utajiri huuu mbona inakuja inakataa 😅😅
@sambayo2440
@sambayo2440 Год назад
So rahisi kwa kweli
@joetemba6376
@joetemba6376 2 года назад
Apo tunakuombea Mungu akupe mawazo zaidi
@senatorhans6433
@senatorhans6433 7 лет назад
Hongera saaana Kaka
@petermboje5839
@petermboje5839 Год назад
Hongera bro sana nimekupenda
@shariwogolle2881
@shariwogolle2881 5 лет назад
Idea nzuri ila kwa hiyo bei ajawalenga watanzania wa kipato cha chini. Nitafute kiwanja nijenge mil 50 inatosha. Hongera sn kaka
@lovenessmushendwa1230
@lovenessmushendwa1230 2 года назад
Kabisaaaa
@michaelmchodo4887
@michaelmchodo4887 6 лет назад
nmejifunza ki2...akili yangu utajili wangu
@jaklinifaustini4259
@jaklinifaustini4259 4 года назад
Honger sijawah kuona
@maryamjuma9816
@maryamjuma9816 4 года назад
Honger xnaaa 👏👏
@zaidihussein4311
@zaidihussein4311 2 года назад
Hongera sana hamidu
@doctorzero-dj5xg
@doctorzero-dj5xg 2 года назад
La 7 mnatisha mwanzako ni msukuma .
@fatumamasudi365
@fatumamasudi365 7 лет назад
uko juu sana kaka
@charlesmazigo8106
@charlesmazigo8106 2 года назад
Wazo zuri Sana,lakini milioni 330,watanzania wangapi watamudu,nadhani angejikita k Nyumba angalau za milioni 100 kushuka chini,angepanua solo zaidi
@innocentandrea6482
@innocentandrea6482 2 года назад
Sasa milioni 100 si ndio garama za kuijenga nyumba,,au hutak apate faida
@rajabulukindo6712
@rajabulukindo6712 4 года назад
Kuzaliwa kilimanjaro ni kuwa n degreee ya biashara
@user-br3sc8bm4t
@user-br3sc8bm4t 2 года назад
Dah bei sasa mh Ongera kwakweli unanifungua akili kila la kheri
@saidkhalfan1607
@saidkhalfan1607 7 лет назад
mungu akitaka kukupa kila ukijaribu unafanikiwa ila akikuandikia no na kweli no hata ukeshe unafanya kaz ngumu
@vincentmokenye4465
@vincentmokenye4465 Год назад
Million miatatu ipo juu sana
@imanmohamed7632
@imanmohamed7632 2 года назад
MashaAllah TabarakkahAllah
@emmanuelmasanja6040
@emmanuelmasanja6040 Год назад
Duh hatari sana,wengine tumezaliwa kumaliza hewa tu humu duniani,hahahahaha
@goodafya7149
@goodafya7149 4 месяца назад
Hiii nzuri sanaa
@florabaruti8032
@florabaruti8032 5 лет назад
duuh mungu akubaliki kaka
@Bbwaoy
@Bbwaoy 7 лет назад
300 and something Mill???? Damn!
@lucysimtowe421
@lucysimtowe421 2 года назад
Hongera sana
@Boaz22
@Boaz22 4 года назад
Jamaa yupo vizuri aisee
@venancerichard920
@venancerichard920 2 года назад
V.nice brother
@seifmohamed836
@seifmohamed836 2 года назад
Hapo kwenye mtanzania wakwanza kuigiza biashara ya vifaa vya simu umechemka ndugu walianza wengi labda kwa moshi na kigamboni ila nakuombea mungu ufanikiwe
@innocentandrea6482
@innocentandrea6482 2 года назад
Unabisha na huna source ya taarifa zako
@tanjaniyoman3160
@tanjaniyoman3160 2 года назад
Hamidu lv u😘
@ellybrown8899
@ellybrown8899 7 лет назад
big up brother!
@charlzmsai8745
@charlzmsai8745 6 лет назад
Silwani Brown alimaliza darasa la saba akiwa na umri gani? Na halitoa wapi hiyo pesa ya kununua gari katika umri wa miaka kumi na tano tu!
@r14kgroup68
@r14kgroup68 2 года назад
Habidu safi sana
@halimatanzani8587
@halimatanzani8587 4 года назад
Mashaallah
Далее
Недооцененный котел в Симс 4
00:37
Breaking Boundaries: Hamidu City Park (Documentary)
10:05
Недооцененный котел в Симс 4
00:37