MFALME KWENYE UFALME WAKE: Tazama Bondia Twaha Kiduku alivyomchapa Iago Kiziria kutoka Georgia kwa pointi na kufanikiwa kutetea taji lake la UBO huku akishinda taji jipya la PST hapa katika Ukumbi wa Tanzanite, Morogoro.
Mfalme aendelea kuulinda ufalme wake.
1 окт 2024