Napenda sana mafunzo yako kaka joel nanauka ipo cku tutakutana live nanitakuambia kiasi gani umebadilisha maisha yangu kifupi tu mm na familia yangu tunakuombea kwa mungu azidi kukupa uzima
Namba 5 imenitokea kuna Brother alinipatia kazi yake lakin changamoto nikwenye malipo alinipiga tarehe basi sikuendelea kumdai ikapita kama Mwaka sjaonana naye siku nimekutna naye sikuwa na mchongo daah yule Brother MUNGU amuweke salama alinionganishia kazi mpka sahvi naendelea nayo je ningegombana naye kisa akunilipa (Joel unacho fundisha ni kweli MUNGU akubariki)
Haya maneno ninayopitia mimi wakati huu,kiukweli kama vile unanisema mimi kwa ninayopitia wakati juu ya watu wanavyonisema,,,,japo siyajali naendelea kupambania future yangu!!!! MUNGU AKUBARIKI SANA KAKA JOEL NANAUKA
Heheee kaka watu wanajua kuhukumuuu yaaani pitia changamoto uone uhalisi wa mioyo ya wanadamu wanajua kumdharau mtu mpaka unaweza jishtukia kwamba umekuwa sio binadam nini!! So painful
Dah, Mungu akubariki sana kaka, 7:18 haya unayoyaongea mm nimeyaishi na kama si huyu Mungu sijui leo ninggekuwa wapi ila namshukuru kwa kuwa alinipa uwezo wa kunyanyuka tena na sasa nipo napambana maana najua kesho yangu ni fumbo.
Nashukuru sana pro kwa hio elimu Niko nakudwatilia sana kutoka kenya mungu akupe maisha marefu umetusaitia sana hatukujua kuishi na watu lakini sasa tumejua❤❤❤❤❤
I see Watu wengi WApo hivo ..Mimi ninapitia changamoto hiyo Sasa .umeeleza kama uliniona Mimi ninayopitia. Ashukuriwe Mungu jibu la maisha Yetu analo yéyé pekee.
Habar Mwalimu Joel, mimi kuna mtu namdai na nilikuwa tayari namuona hafai Lakn kumbe nakosea sana, nimejifunza na nitaendelea kushirikiana nae. Ubarikiwe sana
Mimi nimemdai mtu laki moja kakaa nayo mwaka mzima nimeongea maneno yote mix kumtangaza kwa watu kua sio mlipaji na ni mbaya sana!!!!! Bwanae nashangaa kumbe kuna sehemu kawekeza akapiga ela kanipa laki 6 na msamaha hd naona aibu //// ningejua
Je kama ni kiburi wkt wa changamoto zake kwanini unamwelekeza haelekezeki na anaharibu vitu kw jicho la husuda kisa changamoto zake, utafikiri mimi sina zangu, unamsaidiaje sasa mbishi na muharibifu
Ya mwisho imenigusa aisee Kuna rafk yang nilimkopesha pesa nilidai San ila hakunilpa ,,,ila mwak mmoja baadae alinisaidia San msaada mkubwa Zaid ya Ile pesa
Hii ni hali halisi ya maisha tunayoishi nayo. Na daima tunapaswa kujikita katika misingi ya kusaidiana. Siku mojanimekutana na mtu amelewa nyang'anyang'a halafu ananiomba nimtoa buku. Hii imekaeje?
Joeli yote haya Huwa unayapta wapi?ninaomba unisaidie video zako zote tangu ulipo Anza hii kazi ya mafundisho nijue na ghalama zako tafadhali ili nipate nafasi ya kuwafundindisha na familia yangu Elimu kubwa kama hii .