Тёмный
No video :(

Uso kwa Uso Meena Ally na Frida Amani, utacheka vituko vyao, vibe kama lote!! 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 139 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 187   
@user-zc5cv1bo4r
@user-zc5cv1bo4r Год назад
dah, meena motivational speaker aisee, vibe kweli. one love from kenya
@davidcurtis8556
@davidcurtis8556 5 лет назад
Napenda kuona wadada kama hivi wanapendana wanapambana na kupeana support kama hv safi safi sana sio.
@maryflorenceinvestment7532
@maryflorenceinvestment7532 4 года назад
Huu ndo urafiki sasa
@Goodluck_G8
@Goodluck_G8 4 года назад
Frida very humble girl
@aloycemasele7236
@aloycemasele7236 5 лет назад
Sura za usafi lkn si wasafi! Ooh point meena
@francothadey8932
@francothadey8932 5 лет назад
Mena daah so beautiful your words
@henrypatrick7312
@henrypatrick7312 4 года назад
1st time nilikutana na frida studio za wanene and man this chix is straight, sio wakung'ata ng'ata kucha, pia nilijifunza kitu kwake, wherever u ar fifi big up and keepon pulling up.
@elijohofficial1049
@elijohofficial1049 9 месяцев назад
ila frida karembo na macho yake ❤❤🥰🥰
@aksantedeborah7913
@aksantedeborah7913 5 лет назад
Meena ka mimi ati anasema Sana 😂😁😂 nakuwaga ka yeye when I talk alot najisemaga naongeaga ka kasuku kusema saana aise🤣
@rahimukakozi1574
@rahimukakozi1574 3 года назад
Meena zidi ya mausiano umefunguka vyema apo naisi umefungua masikio ya wengi zaidii, Lov u more sistr
@lemonadesoldier1377
@lemonadesoldier1377 5 лет назад
Mi binafsi meena nimekuelewa nilitamni uwepo katika hiyo interview wewe ni binti wa kipekee Sana Tofauti na Mabinti wengi katika entertainment industry. Wengi wakifika hapa wanajisahau kuwa wao ni WANAWAKE Bado. Pia na appreciate kazi yako dada na wewe Ndio wife material
@rahelmakala5440
@rahelmakala5440 5 лет назад
Ahahahahaha nimecheka sana eti samahani naongea sana mmmmmm we meena ally nomaaaaa
@arafakiloli749
@arafakiloli749 4 года назад
Ohoooòo! jamoon jamoon nawapenda hawa wa dada..😘😘😘😘😘
@nasraabdallah850
@nasraabdallah850 4 года назад
Dah nema unaongea sana🤣🤣🤣ila nawapenda sn wote pamoja na frida 💕💕👌👌😘
@beatriceangel6456
@beatriceangel6456 2 года назад
Napenda meena anavyo ongea point
@julianagolden4359
@julianagolden4359 5 лет назад
Hii ni interview kubwa na Nzurii sana yaani Dah sijui nisemeje Creez to me your are the best This is my best interview kwakweli Big kwa kuamua kuwaweka pamoja Meena na FIFi imekua interview nzuri sana
@thobiaspoul
@thobiaspoul Год назад
Amina ally hongera sana kipind chako nakifatilia sana
@thobiaspoul
@thobiaspoul Год назад
Hongera Amina unasaut nzl
@meshackiswai2005
@meshackiswai2005 4 года назад
Meena unaakili vibaya sana we dd
@faiswalisuleiman8612
@faiswalisuleiman8612 5 лет назад
Dada asante sana maneno mazuli sana yakujenga mtu au kijana ambae anawaza mafanikio
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 5 лет назад
Wadada ninaowaelewa Frida Hip Hop girl
@fatmakombo7584
@fatmakombo7584 4 года назад
😘😘 muko juuu wadada nawapenda sana
@abdulmbutu8916
@abdulmbutu8916 5 лет назад
Lové u minally
@damasabas8
@damasabas8 5 лет назад
Sema meena me namkubali mpka kesho asee
@fatumashaban7931
@fatumashaban7931 4 года назад
Meena huwa nakupenda sana dadaa
@user-ep8ob5ty3e
@user-ep8ob5ty3e 3 месяца назад
Big up sana dada zangu
@faizsaleh3709
@faizsaleh3709 5 лет назад
Mbn huyu minna ally mm nampenda xn sjui kwa uongeaji wke au sjui uzanzibar .... Ila dar
@angelakhaday6000
@angelakhaday6000 5 лет назад
nakupendaaa saaaan meena ally ....mwaaaaaaaa baby
@abdytownie3094
@abdytownie3094 2 года назад
Kizuri hakichakai🖤
@abdytownie3094
@abdytownie3094 2 года назад
Mpaka leo 2022 unaview bado inasound good, love yoh gals🖤
@lilianjerome4192
@lilianjerome4192 5 лет назад
frida anataka kuongea km Zama 😍
@lenardmdee7563
@lenardmdee7563 5 лет назад
Nakukubali kinyama meena
@aminamohamed9955
@aminamohamed9955 5 лет назад
Mina wa jina nakupenda Sana hunifaliji Sana nipo muscat
@yasserabubakar6167
@yasserabubakar6167 5 лет назад
Nimejifunza kitu kipya kwa hii interview
@beatricekamengekamenge5543
@beatricekamengekamenge5543 5 лет назад
Mena love nying kwako
@amosjoseph9493
@amosjoseph9493 4 года назад
Namuelewa sana ccta Mina
@abdulmasali3422
@abdulmasali3422 4 года назад
Good meena ally bigup
@itzsnazzyjazzy472
@itzsnazzyjazzy472 3 месяца назад
I'm jealous I wish I could have someone like meena or Frida in my life anyways I wish them all the best in life
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 5 лет назад
Meena ally umeongea point kuhusu wanawake
@malley041tv9
@malley041tv9 5 лет назад
queen fifi ckujua kama frida aman nd ww, bigup san nmekupenda bure
@ramyclassic322
@ramyclassic322 5 лет назад
Iyo sauti ya mina inanivutiya mno
@dominicnzai8256
@dominicnzai8256 5 лет назад
Lakini Fridah nimpole Kama anahojiwaa,...ata uwezi sema Ni presenter sindio ee•√
@dominicnzai8256
@dominicnzai8256 5 лет назад
Ipo natural...na vizuri...kizuri kinajulikana and she is blessed with a fantastic Voice for sure•√
@samkissay1155
@samkissay1155 5 лет назад
Fridaaaa iloveuuu
@renfridamilanzi2324
@renfridamilanzi2324 5 лет назад
much respect kwko meena nakupenda unaongea kwa kujiamn
@youngxhadah7951
@youngxhadah7951 5 лет назад
naipenda sana sauti yako my meena ally
@happywahat7256
@happywahat7256 5 лет назад
nakupenda meena ally wallah 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘 nainjoy sana endapo nakuangaliaaaa
@hashirisiraji317
@hashirisiraji317 5 лет назад
Interview bora kabisa
@mwanajumaomahundumla6504
@mwanajumaomahundumla6504 5 лет назад
Meena umesema kipenzi wanaume wa Tanzania wamekalili wanawake matilio waweje hakuna zaidi. wamesahau hata malaya pia ni wife material sema maisha yamemvuruga kuwa hivyo alivyo
@mussaissa5270
@mussaissa5270 4 года назад
Mwanajuma O Mahundumla wewe kweli umeamua kufumua mambo yaliyojificha
@makyone4471
@makyone4471 Год назад
Acha umalaya wewe
@mwanagodfrey6112
@mwanagodfrey6112 5 лет назад
Love u mina ally napenda sauti yakoooo
@zumbeshauri8114
@zumbeshauri8114 5 лет назад
hata nimechukia nacheka nikimuona huyu mina kwanza nilijuaga kwamba ni wachuga kumbe mzenji
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 5 лет назад
Zumbe Shauri Mpemba huyo
@teefahbaby2811
@teefahbaby2811 5 лет назад
@@salimkhamis3638 kmbe mpmb mwnzng
@salimkhamis3638
@salimkhamis3638 5 лет назад
teefah Baby ndio nitafute hem +255777059780
@brendaguez4486
@brendaguez4486 5 лет назад
nawapendraa sawa Yan mena ally na frida aman
@mwambietv7614
@mwambietv7614 5 лет назад
Hakika huyo Meena kiboko ana point sanaa
@barryjeremiah1099
@barryjeremiah1099 5 лет назад
#meen ally Nimependa xnaa the way umeongea thaman ya mtyu iko ndani yake nasio kwa muonekan wake that is good
@barakaemmanuel8082
@barakaemmanuel8082 5 лет назад
Huyo @meena namkubali kinoma
@SululuZungu
@SululuZungu 3 месяца назад
We amina mcharuko sn sema poa utatulia kwa mapenz hapanag ucharuko
@lunyabamapesa3831
@lunyabamapesa3831 5 лет назад
Love moreee Meena
@ghosttalkvibe
@ghosttalkvibe 4 года назад
Gal #meena you hit it
@mariamkimossa1833
@mariamkimossa1833 5 лет назад
Yaaani nampenda minna ally sana anajielewa sana
@nananyota1906
@nananyota1906 5 лет назад
Meena napenda sana sauti yako khaaaa!
@mussaismaili3717
@mussaismaili3717 5 лет назад
Meena love u
@lissamsalu2179
@lissamsalu2179 5 лет назад
Love you mina ally
@reyjosee9390
@reyjosee9390 5 лет назад
hawa mamanzi ni Piruuu! haha
@kimukakankan.4678
@kimukakankan.4678 5 лет назад
LOVELY 🤗
@nanceaidan6622
@nanceaidan6622 5 лет назад
Minna 😍
@vinchystyles1675
@vinchystyles1675 5 лет назад
Hao madadaz wame take control interview!
@hilarymassawe319
@hilarymassawe319 5 лет назад
.
@umarsaid9912
@umarsaid9912 5 лет назад
Waooh MEENA
@felicianimallya1310
@felicianimallya1310 5 лет назад
Ni balaa hyu fridaaman namkubali sanaaa pullup
@ombenmichael3473
@ombenmichael3473 4 года назад
I like those girls
@lucymayelias3114
@lucymayelias3114 5 лет назад
Nawapenda
@ibrahimkibira9943
@ibrahimkibira9943 5 лет назад
I love both 😍
@nessarose1863
@nessarose1863 5 лет назад
I need a Friend like Meena Ally in my life😂❤
@ramadhankambalame4681
@ramadhankambalame4681 5 лет назад
Acha kudanganya kuhusu dini, wewe na wisilamu wapi na wapi. Labda mwislamu jina a moslem woman can't behave like that: for instance your wearings are not meeting the quality as a moslem
@johnmichaellukindo21
@johnmichaellukindo21 2 года назад
I LOVE you meenally ❤️
@asinathasinath5090
@asinathasinath5090 5 лет назад
😁😁😁😁😁uyo ndio mina
@luciangeorge4642
@luciangeorge4642 5 лет назад
I don't understand this two girls are twins or. 🙄🙄🙄 Guys let me know this please
@dominicnzai8256
@dominicnzai8256 5 лет назад
Apanaa,..Awa Sio ma sisters Nawe...Ni ma rafiki tuu wa karibuuu...halafu ukiangalia walitoka mbali,...from BSS Mena ndio alimuunga mkono,...then wote Ni watangazaji that's why....
@ayadkishuga7229
@ayadkishuga7229 5 лет назад
Lucian George its not a twins but friends that doing a work at the same place.
@otarurosie
@otarurosie 4 года назад
Friends
@dominicnzai8256
@dominicnzai8256 5 лет назад
#Mina#Fridah...kiukweli Fridah Nakuzimikia kishenzi...Tangu B.S.S....mi nakufuatilia na kila day mi nakuombea uimbe zaidi tukuelewe ju utangazaji sisi tushakukubali Sana Sana Sana....#ThanksSnS
@allyseijiru836
@allyseijiru836 5 лет назад
Penda sana meena ally
@ahmedhajji1210
@ahmedhajji1210 5 лет назад
hayo ndio mawazo yako sasa ingie ktk ndoa.uone uhondo.hayo maneono tu
@BataBatanii
@BataBatanii 5 лет назад
Like you lady Fridaaaaa
@erickayo3603
@erickayo3603 4 года назад
Dah meena me sauti yako tu na vituk vako huwa napend sn kuckiz amplify huwa dsh cjuw nisemaj jmn
@musicheals1545
@musicheals1545 9 месяцев назад
Ila hapo kwenye uvaaji muhimu aiseeee,,,
@abdulykhusseni8676
@abdulykhusseni8676 4 года назад
Mama LA mama umetisha balala good point meen ally
@zawadianagabriel9768
@zawadianagabriel9768 4 года назад
Daah nakukubali San meenah ally
@agnessahia415
@agnessahia415 5 лет назад
Bawapenda sana meena& frida jamani hadi natamani niwakumbatie live
@babalois7240
@babalois7240 5 лет назад
You understand?
@Frankgamanuel
@Frankgamanuel 5 лет назад
Umesema vizuri but Mwanaume ndio mwenye kauli juu yako hilimladi hasiende tofauti na Mungu anataka nini, Halafu jua wazi mwanaume hatakaye kuja kwako na kusapoti hunacho fanya hili hufanye zaidi huyo mwanaume namifikili atakuwa sio sahii kwako knowthat, Mwanaume anaye kuja na kutaka huache yale ambayo hulikuwa hukiyafanya hata kama hulikuwa hunapenda na hutopenda kuacha huyo ni mwanaume sahii kwako. Mina najua humezungumza kwa hisia zako na Kile unacho amini bila ya kujali hisia ya mwenzako hatakaye taka kuwa na wewe ambaye yeye kwa misingi ya kidini ndio anatakiwa kukulinda.
@jacksonmtimbuka640
@jacksonmtimbuka640 3 года назад
Point sanadadang
@fadhilikwek2189
@fadhilikwek2189 4 года назад
katoto kana mwanya nzurii atarii
@michaeleustach8742
@michaeleustach8742 5 лет назад
Saut na sura tofaut daaa kumbe mrembo hvi
@hamadshein935
@hamadshein935 5 лет назад
Mie cpendi mnavyochanganya lugha. Mbna wenye lugha hta kam wanajua kiswahli.akiwa anahojiwa na vituo vyao hawachanganyi.kama nyie malimbukeni.
@fejam9223
@fejam9223 5 лет назад
Is good mambo ya mixing language...
@ladislausngoyinde4384
@ladislausngoyinde4384 5 лет назад
Wachane
@shabanmwasopo9545
@shabanmwasopo9545 5 лет назад
Yaani mm nakasirika hawajui tu
@theonlyonebeautiful3726
@theonlyonebeautiful3726 5 лет назад
Hata mimi sipendi ila kuna wakati kwa sisi tunaoishi nje unajikuta umechanganya lakini sipendi wakichanganya hao wanaishi nyumbani
@julianamaadam8838
@julianamaadam8838 5 лет назад
Kuna baadh ya maneno kwa kiswahl magumu tofaut na kiingereza Kuna maneno mengi kwa kiswahl Ni ngumu sana kutamka ukiangalia sana wengi hatuongei kiswahl sahihi
@rick_bey
@rick_bey 5 лет назад
Daaah jamaaa alipata kazi kuwahoji hao watangazajii 4 suree
@chronicmusictz595
@chronicmusictz595 4 года назад
Mina huwa napendaga vile sauti akitoa she is real girl she made me.
@abdulmasali3422
@abdulmasali3422 4 года назад
Love buree meena&frida
@emmanuelulime6315
@emmanuelulime6315 3 года назад
Babies with their talents
@nkwabitz233
@nkwabitz233 5 лет назад
Fridaaaaahhh
@rehemavictor6270
@rehemavictor6270 3 года назад
nakupenda mena
@shymedybrown1055
@shymedybrown1055 5 лет назад
Vibe kama loteeee
@musomatvumakinijadiyetu550
@musomatvumakinijadiyetu550 5 лет назад
Ongera meena ally nimekuelewa
@marymwaya9685
@marymwaya9685 2 года назад
Anaakili sana atafika mbali sana
@Jxcjs
@Jxcjs 4 года назад
Hahahaha na anaongea sana asee 😁
@beatricechrisantus7665
@beatricechrisantus7665 5 лет назад
aisee nampenda mno huyu Dada nikimuona tu nachek ...lkn napenda sauti yake ahahaha
@leonardawamu2275
@leonardawamu2275 5 лет назад
safiiiiiii
@lulually5209
@lulually5209 Год назад
Meena alivyojiweka km tom boy sijui kwa nini waschana wakinzanzibari wanakuwa hivi hata ukimuangalia salama jabir hivyohivyo wamekaa km wasagaji
@silverHeart-7
@silverHeart-7 5 лет назад
Kwa haraka haraka yaaan uyu MINA ALLY ananifanya niwe na ham ya hata kukutana na kuongea nae EM nambien nampata wapi???
@najmagudeh203
@najmagudeh203 5 лет назад
Nawapenda sana
@kicmarthawa6659
@kicmarthawa6659 2 года назад
Yeeessss meena Ally upambanaji ni muhimu
@ghosttalkvibe
@ghosttalkvibe 4 года назад
#Frida ile #Pull Up ndio ilifanya nikufuate nikufahamu mwamba, nakufeel na vyote vyako
Далее
НЕДОВОЛЬНА УСЛУГОЙ #shorts
00:27
Просмотров 19 тыс.
Почему-то хочется плакать
00:17
Просмотров 500 тыс.