Uislamu haumrazishi mtu ila kwa hiyari yake mwenyewe. Uislamu ameushika Mwenyezi Mungu mwenyewe, akishirikuana na wanaoutaka uislamu., na anaye uchafua uiskamu ni sawa anajichafua yeye mwenyewe, uislamu wenyewe upo safi.
Sheikh ni wa kwanza katika masheikh ambayye anampwekesha Mwenyezi Mungu katika ufalme na uweza wake Mwenyezi Mungu. Na ndio nilipata kummwambia Dr. Sule kuwa unapotosha imani za watu ole usipojieousha utasujudu kuzimu. Huko kuna UJI WA CHUMA. Nikasema hakuna jinni mwema kwa mwanadamu.
Kwenye hii video amechemka upande wa Pete mara anakataa kuhusu pete kuwa na nguvu lakini muda huwo huwo anakubali kwamba wachawi na freemason wanapete za kishirikina hapo maana yake Pete yenye nguvu zipo bila kujali za kishirikina au sio za kishirikina ila zipo kukubali au kukataa ni utashi wa mtu binafsi. Pete ikipata mtaalam anayeweza kuifanya mambo na ikatenda miujiza, swala inafaa au haifai ni swala lingine. DR SULE yupo mbele ya muda amewazidi maarifa upande wa elimu hii ya pete na majini
Tunataka watu wa eliminate kama hii anaweka kilakitu hatharani kuelewesha watu, ameogea kama watu mia na Mia , Asante nauendelee Mutugi fish’s zaidi kwawale hawaelewi waelewi zaidi
Wewe mkristo unatetea Nini kuhusu uislamu wakati majini ni ndungu zao mashetani mapepo wachafu mkristo autakiwi kuwatetea majini ju ya mwanadamu Yesu aliamlisha kuyafukuza mapepo wachafu majini
@@FridayMwassa mpinga kristo ni yoyote anayeamini Kuwa Kuna majini wazuri mapepo wachafu wakati Yesu alituambia tuwafukuze mapepo wachafu majini Toka huko njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo
@@FridayMwassa Hoja ipi inapingana na ukristo kaongea au sababu ni muislam sitakiwi kumuunga mkono? Me naona yupo sawa juu ya majini . Hakuna jini anaepaswa kuabudiwa. Ni uchawi. Me naamini kutakua na waislam safi tu hawaamini kama sule.
ME NI MKRISTO NA NIMEKUELEWA VIZURI SANA NA UMEONGEA SAHIHI. Mwenye anaetumia majini ndio lazima akupinge na asikuelewe. Ila tunawaelewa WANAKAZAVICHWA KUMKUBALI MUNGU.😅
Majini siyo wakushirikiyana nao, maana adhabu ya Moto imeshatolewa kwao, hakuna msamaha tena kwamajini. Nikama mwizi ukishirikiana naye na wewe ni mwizi
Usitukane tu sikiliza elimu iliotolewa hapo.kwa kweli waislamu ni wasomi sana na wako na elimu kubwa sana..ambazo wewe mwenyewe niko na imani hapo ulipo unashangaa