Тёмный

USTADHI KONDOBUNGO APINGA KUTUMIA PETE NA MAJINI KUVUTA UTAJIRI KAMA DR SULLE, AMKUBALI UST. SHAFII 

SIMULIZI ZONE (SZ BONGO)
Подписаться 222 тыс.
Просмотров 4,4 тыс.
50% 1

TUMEPATA WASAA WA KUONGEA NA USTADH KONDOBUNGO KUHUSIANA NA MATUMIZI YA PETE NA MAJINI KATIKA UISLAMU NA KUPINGA KWA MUJIBU WA MTUME

Опубликовано:

 

3 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 44   
@jasminmohamed6145
@jasminmohamed6145 2 месяца назад
SUBHANALLAH LAILAHA ILLALLAH WAHDAHU LASHARIKALAHU LAHULMULKU WALA HULHAMDU WAHUWA ALA KULLISHAIIN KADER WAANNA SAIDINA MUHAMMADIN RASULULLAHI SWALLAAHU ALAIHI WASALLIM WA BARIK ALAIHI ALLAHUMA SWALLI ALA SAIDINA MUHAMMADIN WAALI SAIDINA MUHAMMADIN WA BARIK ALAIHI WASALLIM Barakallahu Feek
@yusuphomary7410
@yusuphomary7410 2 месяца назад
Huyu sheikh yupo sawa kabisa anaongea kweli anaongea tawhid mzima ya kumpwekesha MUNGU MMOJA TU hakuna mwingine na hatotokea mwingine milele.
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 2 месяца назад
Uislamu haumrazishi mtu ila kwa hiyari yake mwenyewe. Uislamu ameushika Mwenyezi Mungu mwenyewe, akishirikuana na wanaoutaka uislamu., na anaye uchafua uiskamu ni sawa anajichafua yeye mwenyewe, uislamu wenyewe upo safi.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 2 месяца назад
Mashalah mashalah mashalah tunajifunza
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 2 месяца назад
Sheikh ni wa kwanza katika masheikh ambayye anampwekesha Mwenyezi Mungu katika ufalme na uweza wake Mwenyezi Mungu. Na ndio nilipata kummwambia Dr. Sule kuwa unapotosha imani za watu ole usipojieousha utasujudu kuzimu. Huko kuna UJI WA CHUMA. Nikasema hakuna jinni mwema kwa mwanadamu.
@Abdulrahmanhassan18
@Abdulrahmanhassan18 2 месяца назад
Kwenye hii video amechemka upande wa Pete mara anakataa kuhusu pete kuwa na nguvu lakini muda huwo huwo anakubali kwamba wachawi na freemason wanapete za kishirikina hapo maana yake Pete yenye nguvu zipo bila kujali za kishirikina au sio za kishirikina ila zipo kukubali au kukataa ni utashi wa mtu binafsi. Pete ikipata mtaalam anayeweza kuifanya mambo na ikatenda miujiza, swala inafaa au haifai ni swala lingine. DR SULE yupo mbele ya muda amewazidi maarifa upande wa elimu hii ya pete na majini
@pammymoraamoraa6702
@pammymoraamoraa6702 3 месяца назад
Tunataka watu wa eliminate kama hii anaweka kilakitu hatharani kuelewesha watu, ameogea kama watu mia na Mia , Asante nauendelee Mutugi fish’s zaidi kwawale hawaelewi waelewi zaidi
@IdrissaMoussa-tx7jy
@IdrissaMoussa-tx7jy 3 месяца назад
Allah akibaru Dr sulle ni nja tu
@zuberkasim7150
@zuberkasim7150 3 месяца назад
Ukosawa kabisa ustadh uNaeleweka
@keidykudrat2533
@keidykudrat2533 3 месяца назад
Dr sule kazimguwa
@yusuphomary7410
@yusuphomary7410 2 месяца назад
Utajiri na umaskini na vyote ni milki ya MUNGU tu mwenyewe.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 2 месяца назад
Uyo mtangazaji maswali yake yakujiludia ludia muda wote na haelew
@Chrishenryson-beats
@Chrishenryson-beats 3 месяца назад
Me ni mkristo mkatoliki ila huyu shekhe ameongea vizuri sana. Sule anapotosha UISLAM unakua uchawi.
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 месяца назад
Wewe mkristo unatetea Nini kuhusu uislamu wakati majini ni ndungu zao mashetani mapepo wachafu mkristo autakiwi kuwatetea majini ju ya mwanadamu Yesu aliamlisha kuyafukuza mapepo wachafu majini
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Wewe ni mpinga kristo maana hakuna mkristo wa hivyo
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 месяца назад
@@FridayMwassa mpinga kristo ni yoyote anayeamini Kuwa Kuna majini wazuri mapepo wachafu wakati Yesu alituambia tuwafukuze mapepo wachafu majini Toka huko njoo Kwa Yesu kristo mwokozi wetu hupone jehanamu ipo
@prochesernest5439
@prochesernest5439 3 месяца назад
@@FridayMwassa wewe mkristo Gani mpenda mapepo wachafu majini wewe hao unaowatetea wanakupinga Kuwa Yesu Sio mwana WA Mungu na hakufa hachana nao
@Chrishenryson-beats
@Chrishenryson-beats 3 месяца назад
@@FridayMwassa Hoja ipi inapingana na ukristo kaongea au sababu ni muislam sitakiwi kumuunga mkono? Me naona yupo sawa juu ya majini . Hakuna jini anaepaswa kuabudiwa. Ni uchawi. Me naamini kutakua na waislam safi tu hawaamini kama sule.
@Chrishenryson-beats
@Chrishenryson-beats 3 месяца назад
ME NI MKRISTO NA NIMEKUELEWA VIZURI SANA NA UMEONGEA SAHIHI. Mwenye anaetumia majini ndio lazima akupinge na asikuelewe. Ila tunawaelewa WANAKAZAVICHWA KUMKUBALI MUNGU.😅
@Jonas-t9h
@Jonas-t9h 3 месяца назад
Bas itabidi mkubaliane kama pete ni uchawi mchawi wa kwanza suleman
@FridayMwassa
@FridayMwassa 3 месяца назад
Suleman mwarabu ndiyo alikuwa na mapete ya kichawi lakini suleman mwana wa David myahudi hakuwa na upumbavu huo
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 3 месяца назад
Darsa imenyooka sana...
@KZee-f7n
@KZee-f7n 3 месяца назад
100%
@GodenBMDaniel
@GodenBMDaniel 3 месяца назад
Majini siyo wakushirikiyana nao, maana adhabu ya Moto imeshatolewa kwao, hakuna msamaha tena kwamajini. Nikama mwizi ukishirikiana naye na wewe ni mwizi
@msemakweli243
@msemakweli243 3 месяца назад
Huyu sheh amejitahidi kueleza lakn bado ukweli anauficha
@ramadhanimandoa716
@ramadhanimandoa716 3 месяца назад
We inaonekan ni mjinga na km sio shoga wew sijui
@msemakweli243
@msemakweli243 3 месяца назад
@@ramadhanimandoa716 upo sahihi kwa ulichofikili, njia ya mpumbavu ni safi kwa macho na moyo wake mwenyewe kama wewe
@kdloon2030
@kdloon2030 2 месяца назад
Sheikh kamaliza,ila wewe uelewa wako ndiyo mdogo!Kama huna bando za mawazo,tazama tena utang'amua wapi ume miss
@RashidiMwanongo
@RashidiMwanongo 3 месяца назад
Huyu bado hajielewi anatafuta umarufu
@saidisaidi4502
@saidisaidi4502 3 месяца назад
Yah wewe inaonyesha ujielewi huyu sheikh kondo ni sheikh mkubwa maarufu Hao kina sulle waulize wakufahamishe
@Chrishenryson-beats
@Chrishenryson-beats 3 месяца назад
We utakua unamajini ndio lazima umpinge😂😂😂 Hahiitaji D mbili kukuelewa mtu kama wewe.
@user13375
@user13375 3 месяца назад
Waislam mnatupigia kelele tu, mtume aliwasilimisha wakawa waislam ndugu zenu😮😮😮
@kdloon2030
@kdloon2030 2 месяца назад
@@RashidiMwanongo wewe na yeye nani maarufu hasa,au ndiyo mara yako ya kwanza kumuona!Mtoto mdogo
@maase2023
@maase2023 2 месяца назад
Huyu mjamaa hajui tafsiri ya ushirikina ! Namshauri kwanza akasoma na ajue tafsiri ya ushirikina kabla ya kuvamia kujieleza
@chaco1466
@chaco1466 3 месяца назад
Yaani bado sija Helewa wakina nani wako sahihi
@FelixMurishi
@FelixMurishi 3 месяца назад
Waislam na dini yenu woote ni washirikina ,hamna lolote😮😮😮😮😮
@saidnaggy5209
@saidnaggy5209 3 месяца назад
Usitukane tu sikiliza elimu iliotolewa hapo.kwa kweli waislamu ni wasomi sana na wako na elimu kubwa sana..ambazo wewe mwenyewe niko na imani hapo ulipo unashangaa
@saidnaggy5209
@saidnaggy5209 3 месяца назад
Nyinyi hamna hata wanachuoni ndio maana hamuelewi mambo mengi munadanganywa na wazungu ambao hao wazungu wenyewe wanatumia qur'an kufanyia tafiti zao
@vijasa1124
@vijasa1124 2 месяца назад
@@FelixMurishi Unamaana tukiwa mahakamani ushahidi tayari unao
@mohagurey2214
@mohagurey2214 3 месяца назад
Huyu shehe anaongea kama mawahabi
@isihakaabdul1134
@isihakaabdul1134 2 месяца назад
@@mohagurey2214 kumbe mawahabi sio waislamu kumbeee, ndo umenifundisha leo
@mohagurey2214
@mohagurey2214 2 месяца назад
@@isihakaabdul1134 kweli sio waislamu
Далее
ЭТО НАСТОЯЩАЯ МАГИЯ😬😬😬
00:19
🦊🔥
00:16
Просмотров 584 тыс.
SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBE
31:10