Тёмный
No video :(

TAZAMA WACHINA WANAVYOPIKA CHAKULA CHA KITAZANIA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 140 тыс.
50% 1

Aisha na Mume wake Akko ni Raia wa China ambao wamejichukulia umaarufu kwenye mji wa Guangzhou kwa uwezo wao wakuongea Lugha ya Kiswahili na Kupika vyakula vya Kitanzania na Mgahawa wao wameupa jina la Tanzania.

Опубликовано:

 

20 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 303   
@focuspolitics4622
@focuspolitics4622 5 лет назад
Safi kabisaaa hicho ndicho kiswahili anachokipigia debe mhe.magufuli kinakua duniani kote
@pendosaid7787
@pendosaid7787 4 года назад
Inapendezana
@shabanichaye8255
@shabanichaye8255 5 лет назад
Kama umesikia jina la Rais Magufuri gonga like
@mwajumakoshuma5417
@mwajumakoshuma5417 5 лет назад
Manshallah Aisha. So amefunga hata hajavaa shungi. Maskin mdogo2 ataweza uislam. Nimependa Aisha kuwa muislam
@queengee988
@queengee988 5 лет назад
Safi sana yan halaf unakut mtz anajifany hajui kiswahili washenzi kbs
@butondodavid2105
@butondodavid2105 5 лет назад
Yaan wagen wanasamin lugha milimbuken sasa ikiwa ugenn hatakiswahl hawaongei
@queengee988
@queengee988 5 лет назад
@@butondodavid2105 yana jifanya kizungu mbele shwain yan huw nakerek bac tu na ndo maan rais wa chin hat akiend nchi yyt anaongea lugha yake na si nyingn asa Tz yet sas majanga😂😂😂
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 5 лет назад
@@queengee988 Wapuuzi
@jacksonmathayo6510
@jacksonmathayo6510 4 года назад
Huwa wana niboa kiukweli bhasi tu Mamy 😱
@hajjiqasim5977
@hajjiqasim5977 4 года назад
😁😁😁love you tz love you kiswahili
@rodicostantino7278
@rodicostantino7278 5 лет назад
arie Sikiaa anapika kuku samaki firigisi like zangu
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 5 лет назад
Maasha Allah Aisha muislam😘
@issaathumani4682
@issaathumani4682 5 лет назад
Hahahaaa! Hiki kiswahili ni nomaaaa! Nimefurahi sana
@mmlove9127
@mmlove9127 4 года назад
Huyu Demu akikaa bongo wiki mbili tu ataongea kiswahili zaidi ya profesor kabudi....
@onefineday7613
@onefineday7613 5 лет назад
Jamani tuwachangie ticket za kwenda Tanzania...mchina bwana..hongerini sana. Wafanya kazi as Ubalozini wanafaa kuwa tembelea😊
@santegotoronto5803
@santegotoronto5803 5 лет назад
Safi kama umesikia Kuku kinyenzi Gonga like twende sawa
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 лет назад
😅😅🤣🤣🤣😃
@elizabethjoseph2116
@elizabethjoseph2116 5 лет назад
😂😂😂😂😂
@bimsinan8743
@bimsinan8743 5 лет назад
🤣🤣🤣🤣
@hopedavid1556
@hopedavid1556 5 лет назад
Mungu yuwakuona🤣🤣👌
@leahadamu7973
@leahadamu7973 5 лет назад
Tekita. Bei😂😂😂😂😂😂😂
@hersheymoge1232
@hersheymoge1232 5 лет назад
Wow Tanzania is very famous in China 🇨🇳
@boniphacenyamhanga9395
@boniphacenyamhanga9395 5 лет назад
Napenda Ayo tv, sana hongereni sana
@musahussein3206
@musahussein3206 5 лет назад
Kama umesikia dona sembe napika gonga like
@mukhsinsalum9871
@mukhsinsalum9871 5 лет назад
Duuu kajifunza kiswahil hata kufika ajafika ongera sanaaaa
@OnesmoEmmanuel-xr2rf
@OnesmoEmmanuel-xr2rf 8 месяцев назад
MUNGU nisaidie siku Moja ikukupendeza niende hii nchi ya china MUNGU nisaidie Mimi🙏🙏🙏🙏
@jonamnyone8014
@jonamnyone8014 5 лет назад
AISHA UKO VIZURI KWENYE KISWAHILI
@mohamedbinfadhil1396
@mohamedbinfadhil1396 5 лет назад
Mtangazaji unapomuhoji mtu kama huyo uwe unaongea taratibu sana ili akuelewe na ajifunze zaidi kutoka kwako.
@msafirlaizer2368
@msafirlaizer2368 5 лет назад
That's true bro
@tuphujekumuhkunonyiile3739
@tuphujekumuhkunonyiile3739 5 лет назад
Nikweri maana kunaswali limempita
@hawamkamba2407
@hawamkamba2407 5 лет назад
mhojiwaji mwenyewe yuko moto kujibuuuu
@abdulyabdunuru1476
@abdulyabdunuru1476 5 лет назад
😂😂😂😂😂 nimecheka Sana Hawa wachina kiboko
@Queen-te3lz
@Queen-te3lz 4 года назад
@@hawamkamba2407 😆😆😆😆😆
@mohammedabdallah6390
@mohammedabdallah6390 5 лет назад
Mimi pia funga hamna kula
@aidarousshaban9580
@aidarousshaban9580 4 года назад
Hamdulillah nimeipenda sana mimi funga hamna kula halafu wewe mzaliwa kwenye uislamu unakula mchana wa ramadhan bila udhuru wowote unazidiwa na aisha mchina huoni haya?
@saidhamisi2795
@saidhamisi2795 3 года назад
😂😂
@jeremiakaridushi7974
@jeremiakaridushi7974 4 года назад
Mtangazaji uko vizuri sana mana watu wengi huwa wanakiona kiswahili hakina diri umeona wakina aisha wamejifuza kiswahili wana piga helatu
@Sangoyamboka
@Sangoyamboka 4 года назад
Chinese are really very cool. We call it inculturation. They speak african language and eat african food cooked in african way. Waouh! Bravo. Welcome to Afrika.
@bananatz4216
@bananatz4216 4 года назад
Maashaallah Muslim 🙏🙏
@mariamahmad8261
@mariamahmad8261 4 года назад
maa shaa Allah nimeipenda sana Tz juuu
@gallousgosbert4993
@gallousgosbert4993 4 года назад
NIMEWAPENDA SANA HAWA WA WATU WAPO VIZURI SANA NINGEKUWA NA UWEZO WA KUFIKA CHINA NINGEKWENDA NIONJE MAPISHI YAO NIMEFURAHI SANA KUONA WANAONGEA KISWAHILI VIZURI SANA NA HAWAJAWAHI KUFIKA TANZANIA I LOVE YOU ALL CHINESE PEOPLE SO MUCH WELCOME TO TANZANIA MWUAAAAAAAA!
@rajabuhondo4973
@rajabuhondo4973 3 года назад
Daa nime penda ucheshi wa dd Aisha safi Sana mungu aku zidi shie
@charlesmakuri792
@charlesmakuri792 5 лет назад
Safi friend of tz mnatia moyo nchi nzuli sio kupenda vita na maandamano ovyo badae maisha yanakua magumu
@gretamaheri8437
@gretamaheri8437 5 лет назад
Kaka angu unajikaza kucheka sana 😂😂😂😂
@hadijajohn7434
@hadijajohn7434 2 года назад
Aisha uko vizuri hongera dada kwa kujuwa kiswahili
@mubanduvuai7876
@mubanduvuai7876 2 года назад
It soo awesame....
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Год назад
Tuache uvivu tufanye kazi fulsa zipo nyingi bongo,vijana mnachagua kazi mnachotaka ni kubofya bofya simu zenu na kuzurura ovyo alafu mdondoshewe pesa tutachelewa xana,Enx ayo tv kwa kutuletea mambo mazuri
@wilsondomisian9807
@wilsondomisian9807 5 лет назад
Bradha miradi ayo unapamba kwelkwel unaitangaza kaz yako hongeraa sanaa
@surusuru1994
@surusuru1994 Год назад
Ooh my god swahiili China 💖💖💖💖💖💖💖🙏🇹🇿🇨🇳👏👏🇴🇲
@amzamrid3571
@amzamrid3571 3 года назад
Safi sana nimeipenda
@nelsonmwaipaja3727
@nelsonmwaipaja3727 Год назад
Ayo tv mko mbali xana duuu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@kevincray5591
@kevincray5591 5 лет назад
hongera sana AISHA nimekukubari sana
@simbarajabu4157
@simbarajabu4157 4 года назад
Dah nmefurahi sana ajawai kufika tz lakini anajuwa vizuri kiswahili
@husnanetto4154
@husnanetto4154 3 года назад
Aki yamung Tanzania nchi pendwa
@zakaliajoseph7705
@zakaliajoseph7705 Год назад
Nmewapenda mnoo pia kwa sababu wanapika vyakula vzuri syo vinyoka nyoka hapana
@magrethelias1961
@magrethelias1961 5 лет назад
TANZANIA juu hapana chezea
@gracecharles1244
@gracecharles1244 4 года назад
China bado wanatumia Rambo 🤔🤔🤗😂😂Toto mbili mume n.a. mke...hongeraa sana aisha
@gallousgosbert4993
@gallousgosbert4993 5 лет назад
Safi sana hawa watu wanajitahidi kujifunza lugha yetu kweli nimeamini wana upendo wa kweli
@belgieboys9867
@belgieboys9867 5 лет назад
Kwa vile anamjua jina rais MAGUFULI Kwa heshima hii rais magu engemualika huyu Aisha tz. Ni heshima kubwa walilolipatia taifa hili la TZ mpaka kumjua jina rais. MUHESHIMIWA RAIS NAOMBA HUYU MAMA WENGEMSAIDIA KUKANYAGA TZ NA PIA KUWA MGENI WAKO NA WATZ WOTE KWA JUMLA
@DrSanai
@DrSanai 5 лет назад
Aisee, tujifunzeni kichina....kinasaidia sana ukikijua.
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 4 года назад
Moja mme moja mke, safi sana. Nimeipenda
@goodluckmachangu5941
@goodluckmachangu5941 5 лет назад
Vizur sana hii story ni exposure nzur
@aminamgunga6270
@aminamgunga6270 5 лет назад
Iyo kari khaaaa 😂😂mchina kavunja rekodi
@mubanduvuai7876
@mubanduvuai7876 2 года назад
I like the way she talks
@najma3268
@najma3268 5 лет назад
Watanzania mnakwama wapi wanaume kupsaidiana na mke kupika mama tilie , mko radhi mkae vijiweni kupiga swaga mchana ukifika unaenda kwenye banda la mkewako kula tena ukikuta hata wateja ww ndo unataka uhudumiwe haraka wakati hulipi
@elizabethjoseph2116
@elizabethjoseph2116 5 лет назад
Wanaudhi sio Sir ujanja wa kipuuzi tuuu msaada hakuna pumbu zao hao
@najma3268
@najma3268 5 лет назад
Elizabeth Joseph haswa
@linusrohomoja8856
@linusrohomoja8856 4 года назад
shikamoo kiswahili, mi nilidhani kawahi kukaa mbagala maana anatiririka kiswahili hadi raha.
@zainabubakari8489
@zainabubakari8489 3 года назад
Unazaliwa chikundi huko alf kesho ukihojiwa unafnya hujui kiswahili aiseeee 😂 bongo n kwikwi jmn mweeeew
@badaral6167
@badaral6167 Год назад
Mashallah mashallah mashallah mashallah Aisha
@PowerPower-ms3bs
@PowerPower-ms3bs 4 года назад
Safi sana mchina
@yassirkipemba7889
@yassirkipemba7889 5 лет назад
hamsinyii😂😂😂😂
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 5 лет назад
Magufuli ana julikana hadi China
@MtilahBlog
@MtilahBlog 5 лет назад
Safar hii nikifika China nitawatembelea Hawa jamaa.
@teychriss3248
@teychriss3248 4 года назад
Nichukue na mm! 😓😓
@nickomlimbila217
@nickomlimbila217 4 года назад
Kama na wewe umeliona dona hilo china hebu gonga like twende sawa😁
@aminamadenge8598
@aminamadenge8598 Год назад
Ayo naomba mm nifike uko niwasaidie tufike mbali kwenye bishara jaman
@queengee988
@queengee988 5 лет назад
Daah wanaume kam huyu mme wa aisha wa kusaidiana kaz hiv tz hawapo yan daaaahh🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
@nemohos4885
@nemohos4885 5 лет назад
unakaa wapi?
@naomikimaroh1205
@naomikimaroh1205 5 лет назад
😂😂😂😂wakufa vita vya pili
@mathewkabulwa4273
@mathewkabulwa4273 5 лет назад
Mi nipo dada angu ....japo sijapata wa kupika nae .....
@danieljoseph6309
@danieljoseph6309 5 лет назад
😂😂😂kila mtu anamajukumu yake wewe utaenda kazini kumsaidie
@ndossiadventurestz.6796
@ndossiadventurestz.6796 5 лет назад
Nipo mma
@priscalameck8700
@priscalameck8700 4 года назад
😀😀kiswahili kinachanja mbuga duuh
@saidiissa8729
@saidiissa8729 5 лет назад
Mashaa Allah muislam dah
@zulfamohamed4549
@zulfamohamed4549 5 лет назад
Aisha nimekupenda ujawai kifika tz lakin unsongea kiswahili vizr wadada wa tz wenyewe wanakwambia kiswahili awakijui yan wanaboa kwel uko ndy mkataa kwao mtumwa
@babuallyabdallah2964
@babuallyabdallah2964 4 года назад
Wapigaji tu hao Wanajifanya kizungu kwa wiiiiingi!!! Ukizubaa imekula kwako
@jumaramadhan3380
@jumaramadhan3380 4 года назад
Aisha kiswahili chako cha privet kwelii 😂😂😂gonga like nyingi nyingi kwa Aisha
@najmanassoro308
@najmanassoro308 2 года назад
Mashallah
@kassimjuma8713
@kassimjuma8713 5 лет назад
Harafu eti vijidada huku vinajifanya havijui kiswahili
@elizabethjoseph2116
@elizabethjoseph2116 5 лет назад
Kweeeli utakuta vi english viiiiiiingi
@babuallyabdallah2964
@babuallyabdallah2964 4 года назад
Ukiwachunguza sana hao utagundua ni vipigaji tuu
@gullaalex6590
@gullaalex6590 4 года назад
😂Umeonaee
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 4 года назад
Umeona 🤣🤣🤣
@dainapendo5444
@dainapendo5444 4 года назад
Si vijinga tu
@ambrosekituyi2199
@ambrosekituyi2199 5 лет назад
Kwa kasi hii wachina wameshaiteka dunia nzima. The future is exciting.
@jp1780
@jp1780 5 лет назад
Ambrose Kituyi wamesha taker over dunia American hawajajuwa tu ila soon they will see most countries will start using the dollar and that will be the end of it
@faridaothman
@faridaothman 5 лет назад
Safi sanaaa
@fettyameir4514
@fettyameir4514 5 лет назад
Nic
@mcnjovu3525
@mcnjovu3525 4 года назад
Big up sana milard ayo wachina saizi wamekua kwa rugha
@batulimohamed6088
@batulimohamed6088 4 года назад
Nimekupenda cn aisha
@am12ghh37
@am12ghh37 4 года назад
Mashallah she is very nice lady ❤👌💕💕
@esthernsami7732
@esthernsami7732 4 года назад
Watanzania mwe macho.Mtapikiwa Mbwa na Nyoka
@veronicadickson1859
@veronicadickson1859 4 года назад
safi Sana, Sasa unawakuta watanzania wajifanya hawajui kiswahili eti aonekane kingereza kimemuathiri hovyo 😂😂
@mwanadamtz1298
@mwanadamtz1298 5 лет назад
Amazing nilicho jifunza kutumia fulsa
@officialsalmazayn2938
@officialsalmazayn2938 5 лет назад
Unamuliz A anajibu H 😂😂😂😂Watangazaj poleni
@batromeombogo7131
@batromeombogo7131 5 лет назад
Huo uguli uwe mgumu basi maana kuna wasukuma huku wakija huko kama ugali laini watamaliza sufuria nzima walai
@elizabethjoseph2116
@elizabethjoseph2116 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umetisha et watamaliza sufuria
@madinabilos6617
@madinabilos6617 5 лет назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 4 года назад
😂😂😅😂🤣😂😅🤣😂
@walivyojuma7095
@walivyojuma7095 4 года назад
Kweli kabisa maan ugali unaonekana laini laini hatari
@blessmsolina727
@blessmsolina727 4 года назад
Jamani
@teychriss3248
@teychriss3248 4 года назад
Aisha anaongea kama masai!
@maidasaid9449
@maidasaid9449 5 лет назад
nimefungua miaka bili hapa..hihihihiiii umejitahid aisha
@michelletv5648
@michelletv5648 3 года назад
Nasikia Raha Sana💕💕💕💕💕💕
@abdallahkambangwa7215
@abdallahkambangwa7215 5 лет назад
karibu sana kwenye dini yako ya asili Msalimie sana kaka Jet lee
@mrholela7906
@mrholela7906 5 лет назад
Haha hahahaha ....mnachekesha sana
@Johnmasanja27
@Johnmasanja27 3 года назад
Kama umesikia dona gonga like hapa😂😂
@faridaothman
@faridaothman 5 лет назад
Meini mombe jaman
@amnemkubwa7353
@amnemkubwa7353 5 лет назад
@Kay Ji 😅😅😃😃😃
@africanbeautyx4128
@africanbeautyx4128 4 года назад
Huyu mchina kanifurahisha sana anmjua hadi muheshimiwa rais Magufuli
@e.b.m.y.c.b4848
@e.b.m.y.c.b4848 5 лет назад
Mchina ametisha sanaa
@estherdeo1858
@estherdeo1858 3 года назад
Good job
@zenaycechanzinho6702
@zenaycechanzinho6702 5 лет назад
Nimetaman dona hilo jmn😋😋😋
@bilalihamis1975
@bilalihamis1975 4 года назад
Tian tian jina langu la kichina
@frankassey5971
@frankassey5971 5 лет назад
Kumbe kuku wa kienyeji wapo
@selemanikapara1972
@selemanikapara1972 5 лет назад
ila nilicho jifunza wenzetu huwa hawaachi fursa. aisha huyo kama ni huku kwetu huyu ni mama ntile kabisaaa wa kitaa, lkn kajiongeza kaenda kusoma kiswahili ili ahudumie wateja wake lkn kwetu huku anaye jifunza kichina ni tour guide lkn kwa mama ntile kibongo bongo bado sanaaaaa japo kuwa wachina wako kibao wanafanya shughuli za ujenzi. watanzania tujifunze kitu kutoka kwa AISHA kujiongeza ni kitu muhimu sanaaaa
@mosimba467
@mosimba467 3 года назад
Kweli kabisa ndg yangu
@mgendimussa7224
@mgendimussa7224 4 года назад
Kama umesikia meni baada ya maini gonga like twend sawa
@user-or9wt6vo6p
@user-or9wt6vo6p Год назад
I like to eat Tanzanian food, but I don't know where in Guangzhou.
@wilsonmaduhu5610
@wilsonmaduhu5610 5 лет назад
Safi sana Aisha
@justinekipkorir7156
@justinekipkorir7156 4 года назад
Kama umeskia mombe like
@nicksape6598
@nicksape6598 4 года назад
Ugali samaki 50000,chips mayai elfu 60000, endelea kusema 2000, n bei
@kijanamatata7135
@kijanamatata7135 4 года назад
Sio elfu 50, ni Yuan 50 ni ya kichina sio elfu50 ya kitanzania kaka.
@hawasaleh504
@hawasaleh504 4 года назад
Hamshinyi Hhhhh nmeshjua kmbe kichna
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 4 года назад
Safi sana dada
@kristinaojambo3611
@kristinaojambo3611 5 лет назад
Asante saana bint
@zakayomusa9933
@zakayomusa9933 4 года назад
Hongera Aisha
@giftnyakipande1253
@giftnyakipande1253 4 года назад
Wow
@cocomangungu6415
@cocomangungu6415 4 года назад
Nc
@ramamongi3479
@ramamongi3479 4 года назад
Majina ya watoto kiboko
@deboramushi8471
@deboramushi8471 4 года назад
duuuh mchina nomaaa
Далее
I'll do it for you!
00:37
Просмотров 2,1 млн
WACHINA HAWANA MIZIGO | DAY 3 - USWEGE MURDERER
7:46