Nyie wachambuzi ni wajinga sana usajili wa Yanga 1 boka miaka 24, baleke miaka 23, Dube, miaka 27 Duke miaka 29, andambwile miaka 24 khomein miaka 25 ,ni chama TU miaka 32 wakati wao Kuna kagoma miaka 29, Awesu miaka 28 pia Banda ndie mchezaji ambae allkuwa na kipaji hakuna wa kufikia pale Simba lakini amefeli kindaaa
Mtasingizia sana wachezaji, mara baadhi ya viongozi walikazimisha kumweka Aishi. Sasa mkifungwa sijui mtasemaje?? Halafu hayo maneno wanawasikia, watawaonesha kama wazee.