Тёмный

Utani wa Makongoro Nyerere kwa Masista na Abate Mbele ya Maaskofu, Watu waangua Vicheko Kanisani 

Jugo Media
Подписаться 175 тыс.
Просмотров 126 тыс.
50% 1

𝐖𝐄𝐙𝐄𝐒𝐇𝐀 𝐔𝐓𝐔𝐌𝐄 𝐖𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐈𝐓𝐈𝐀 𝐌-𝐏𝐄𝐒𝐀 𝐋𝐈𝐏𝐀 𝐍𝐀𝐌𝐁𝐀 𝟓𝟎𝟓𝟒𝟔𝟑𝟓 𝐉𝐈𝐍𝐀 𝐉𝐔𝐆𝐎 𝐌𝐄𝐃𝐈𝐀 𝐍𝐄𝐓𝐖𝐎𝐑𝐊
Follow this link to join my WhatsApp group: chat.whatsapp....
Tumsifu Yesu Kristo, Napenda Kukushukuru kwa Kuwa Mdau Mpendwa wa Jugo Media. Tunapenda kukutaarifu kuwa Tumeandaa Group Maalum kwa Ajili ya Kupokea Taarifa Mbalimbali za Kanisa, Misa Live, Vipindi vya Kanisa nk kutoka Jugo Media. Kama ungependa Kuungana Nasi Tunaomba Ujiunge kwa Hiari Kupitia Link Hiyo Juu. Mungu Akubariki Daima
KAMA UNGEPENDA KUPATA TAARIFA KUHUSU KANISA KWA NJIA YA WHATSAPP TAFADHARI TUMA UJUMBE KWA WHATSAPP UKISEMA NIUNGE KISHA JINA LAKO KWENDA NAMBA +255757560764 au BONYEZA LINK HII wa.me/+2557575...) (SAVE HII NAMBA KWANZA, ANDIKA JUGO MEDIA) UBARIKIWE SAMA
KAMA UNA HABARI NA UNGEPENDA KUSHIRIKI PAMOJA NASI TAFADHARI WASILISHA KUPITIA WHATSAPP NO +255757560764 AU BONYEZA wa.me/+2557575...)
Tafadhali Subscribe, Like, Comment na Share tone hili la upendo kwa ndugu jamaa na marafiki.
𝐉𝐮𝐦𝐮𝐢𝐤𝐚 𝐧𝐚𝐬𝐢 𝐤𝐚𝐭𝐢𝐤𝐚 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐧𝐝𝐚𝐨 𝐦𝐢𝐧𝐠𝐢𝐧𝐞 𝐲𝐚 𝐊𝐢𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢:
Instagram: / jugo_media
Facebook: / jugomedia2019
𝕄𝕒𝕨𝕒𝕤𝕚𝕝𝕚𝕒𝕟𝕠:
JUGO MEDIA,
Sokoine Drive, Posta
P. O. BOX 34014,
Dar es Salaam.
For Bookings and other Enquiries
Phone Number +255757560764/657790405
#jugomedia #kanisakatoliki #familiatakatifu #wawata #uwaka #viwawa #australia #unitedstates #canada #america

Опубликовано:

 

9 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 25   
@DevDavid-d2q
@DevDavid-d2q 38 минут назад
Baba so kwautani huu nakukubali sa
@jojigeorige1056
@jojigeorige1056 Год назад
Makongoro Nyerere tena katika ubora wake. Huyu anajua kulisha mgonjwa akala akashiba huku mwenyewe akiwa hakumbuki kama aligoma kula!... Speech flani nzuri haichoshi na yenye kuburudisha. RUKWA HOYEE😂😂
@nyamaiwayika5466
@nyamaiwayika5466 6 месяцев назад
Napenda mistari na misamiati yake jinsi anavyoipanga mwana huyu ya marehemu raisi mstaafu Mzee Nyerere,Hongera sana
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 Год назад
Yaaa Serikari rudisheni shule
@silasmwendwa7320
@silasmwendwa7320 11 месяцев назад
Huyu jamaa anatosha kuwa Rais
@deograsiusgasper8735
@deograsiusgasper8735 Год назад
Stendap comed
@tevinmae6217
@tevinmae6217 6 месяцев назад
💯
@paulyvonne1147
@paulyvonne1147 Год назад
Maisha kujipendekeza 😊 kujipendekeza oyee
@RichardMlaguzi
@RichardMlaguzi Год назад
Kiki oyeee
@auntdorah9141
@auntdorah9141 Год назад
Mtu wa amani, anapenda watu wacheke lkn ktk kazi ni jembe..
@davidgitonga7799
@davidgitonga7799 7 месяцев назад
Kiki ni nini?
@dostovan5142
@dostovan5142 Год назад
Jamaa mpenda kiki
@adsonmbosso1202
@adsonmbosso1202 Год назад
Mpeni maua yake mzee wa Manyara
@qwirinishao1003
@qwirinishao1003 Год назад
😂😂😂aisee
@velejilyomhongole1641
@velejilyomhongole1641 Год назад
😂😂😂Chai mmekunywa.
@michaelthadeos1025
@michaelthadeos1025 Год назад
Hanaga la msingi ni masihara na utani tu
@victormtani7170
@victormtani7170 11 месяцев назад
Wewe lako la usenge liko wapi pumbu sana ww. Hivi ww na makongoro Nyerere unamzidi nini kama siyo ww ni msenge tu michaelthadeos. Eti hanaga la msingi ww la chooni tu ndio unaona hanaga. Ww hata cheo cha kusimamia mashoga wenzako haujapewa. Wachana na Mh. Makongoro Nyerere hauna Legacy ya kumfikia
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm
@MichaelmotikaLaiser-dl6wm Месяц назад
Pombe pombe 😂
@victoriamazula5592
@victoriamazula5592 Год назад
Acha uongo wenyewe degree walikuwa zaidi ya kumi hasa degree za ualimu
@DICKISONJULIUS-z1x
@DICKISONJULIUS-z1x Год назад
Kama umepinga apo bas umetokea Kenya au uganda hujui lofoten kuusu histor ya tz
@jimmymbella997
@jimmymbella997 7 месяцев назад
Ulikuepo miaka hiyo au unataka Kiki nawewe??😂😂😂😂😂
@victoriamazula5592
@victoriamazula5592 7 месяцев назад
@@jimmymbella997 sikuwepo lakini baba yang alikuwrpo na akiwa mmojawapo waliokuwa na degree tena aliipata kabla ya baba wa taifa .
@MwazoaMwazoa
@MwazoaMwazoa 7 месяцев назад
Makongoro ni mtu mzuri anaejua kuchomeka points muhimu mkapokea kama utani.kumbe ndio wameshamaliza linalotakiwa
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 7 месяцев назад
madaraka kwa nini hapendi siasa naona kama angefaa sana kama kaka yake huyu
Далее
KADANGANYA
10:21
Просмотров 334 тыс.
BABA WA TAIFA ALIILILIA TANZANIA KABLA YAKUKATA ROHO.
21:57