Unawajua ultra orthodox Jews vizuri wewe😂😂😂 hawa wanafuata misingi ya Torati yaani inshort wana itikadi kali za torati kwa kuifuata ,kwao torati ndo kila kitu maisha yao yote wanasoma torati hata kazi hawafanyi wapo busy kusoma torati na kuijua vizuri ,lifestyle yao ni full misingi ya torati huo ushoga wanaanzaje kuufanya wataufanyaje yani while watu wapo busy kufuata toratii inasema nini kwa hali ya juu saana😂😂 mmeng'ang'ana waisrael ni mashoga mashoga😂😂kwa hiyo tuseme Tanzania yote ni mashoga kisa kuna baadhi ya watu ni mashoga??,ushoga ni tabia ya mtu sio nchi,acheni kuwapa watu laana wasizozitaka na wala hawahusiki nazo.Israel ni nchi yenye watu mbalimbali kama ilivo Tz ,Judaism kama Judaism na yenyewe pia imegawanyika mfano wa Judaism practice ni hao ultra orthodox Jews unaowaona hapo,kuna messianic Jews ndani ya Israel hawa wameshamuamini KRISTO na wanaenenda kama wale waliookoka yani waliopokea wokovu sasa unageneralise vipi nchi nzima ni mashoga??kuna wanaisrael wao hawaamini chochote yaani ni secular sasa matendo yao machafu utalazimishaje yawe ya nchi nzima mbona wewe hatukulazimishi kujulikana kama shoga ilhali Tz kuna mashoga?? Mnahangaika sana na Israel itambulike kama mashoga kwa kueneza hiyo ideology ili wachukiwe,mmeshashindwa,uarabuni mbona wanafirana sana na hatusemi ni mashoga,marekani huko mashoga wapo wengi lakini kwani kila mmarekani au aliyeko marekani ni shoga??😂 one thing ISRAEL hamna mtu wala shetani atakayeimaliza na kuifuta ktk uso wa dunia mtahangaika saaaaaana.Israel kimwili ni hilo taifa ila pia kuna israel ya Kiroho sasa uthibitishoWa israel ktk mwili ni hilo taifa mnalo hangaika kulifuta ,MUNGU amechagua hilo taifa kujidhihirisha kimwili na alishajidhihirisha,anajidhihirisha na ataendelea kujidhihirisha.HE who watches ISRAEL neither SLEEPS nor SLUMBERS!!
Wanajificha kweny kivuli cha Torah lkn sio kweli, walikaa wakachukua baadhi ya amri za Torah nakuchanganya mengine yakwao wakaandika kitabu kinaitwa *Talmud* Ndo kitabu wanchoamini wao na ndo wanachotumia kwny ibada zao, HAKUNA TORATI HAPO UWONGO MTUPU labda kwa asiye wafaham MAYAHUDI 😅
@@josephkiwale374 Watu msiopenda kuukabili ukweli huwa mnakimbilia et ni chuki,niwe nachuki nao kwalipi lasasa, Wayahudi wazayuni (ZIONIST) wanaamini katk TALMUD kitabu walichokiandaa wao baada yakuichakachua Tourat huo ndo ukweli kubali kataa
@@yahayaannu3663 wanaamini kwenye Torah bro Talmud is just rabbis extensive interpretations of Torah by most prominent rabbis in jewish history from Rav akiva to gaon na cyo kwamba wanaiabudu Talmud kama unavyodai,,ila ucjal nimekupata🙏🙏
Hapo washashindwa kwa maana hawa jamaa hawatakubali kuingia vitani kwa sababu wao wanjiona spaciel kuliko wengine wao wanataka kukaa mezani na kuona wengine wakipigana na kufa mfano ni neta paka watoto wa wenzake wako vitani yey wanae wa kiume wako marekani wametulia sasa je? Atakubali mwanae aende vitani kupigana na watu ambao wao kufa ndio wanapenda kuliko kuishi wao wao wanapenda kuishi kuliko kufa kazi wanayo
Dini ni moja Duniani umpendeze Bwana Mungu wako kwa kumcha Yeye na matendo mema sawa na alivokuelekeza Moyon mwako. Hiyo ndio Dini ya kwel ikupelekayo mbinguni.
Hao Hawana muda na Vita, wanataka kuwaingiza na kuwalazamisha Kwa Nguvu Ili Hali Wao hawaamini katika Hayo. Hao ni Katika Wale wachache Walioendelea kushika Misingi ya Tourati.
Nabii yusufu unajua alipeleka kizazi chake wapi wakazaliana, wakateswa, NA ALOWATESA MPAKA LEO FUVU LAKE HALIOZI MISRI. 2. MNAJUA WALIVOFUKUZWA NA DOLA KAMA ZA KIRUMI, IRAN, UTURUKI WALIKIMBILIA NCHI ZA WAZUNGU NAO WAZUNGU WALIWAUA (KINA ADOLF HITLER) sasa wanarudi kwao na bado mnataka muue kizazi cha manabii ?