Tuishini kwa kupendana kwa Mungu hakuna uongozi...tajiri wala vyeeo vya aina yoyote......ila amali zetu pekee.... Kama vitenge vina thamani kubwa juu y binaadamu yeyote basi Mungu angeumba nguo kwanza kabla y binaadamu.... Acheni siasa zakijinga Dunia tunapita... Pole sana mama kwa maumivu.... Waliofanya hili wajue nao wana ndugu zao n nafsi zao pia zaeza pata haya ama zaidi ya haya... Ukiambiwa akhera hesabu tu..tuelewe tunavyofanyia wengine basi vitalipwa hapa hapa kabla tufe...na tukifa hutujalipwa basi twende kwa Mungu tukijuua kizazi ama ndugu tuliowaacha duniani watalipia..
Piganieni dini zenu acheni mambo ya siasa haitokusaidia kesho yako kiama mama zaidi zaidi unaukaribisha moto wa Mungu kwako Mungu haijui siasa anajua ibada zake tu
Siwezi pigania dini hata siķumoja maana dini zimejaa wanafiki kwani uhislam au ukristo unafaida gani kwangu ikiwa dini hizi mbili hazi wezi ishi kwakupendana?😂😂😂😂
Maneno sahihi kabisa maana Uislaam unakataza kabisa kutoheshimu Mamalaka ni lazma kila mwanadamu aheshimu Mamalaka sasa yeye kama anaona jihadi ataeleza jihadi gani
Mmh😢😢😢 pole Sana mama wee jamn Atari Sana Sasa sikumojatu umefanyiwa ivyo walio zuiriwa Muda wanahaligan? Saizi mungu wanusuru na,azabuhii inayo anzia hapa,Dunia😢😢
Siku mukithubutu kumfanyia hivi Mama Yangu sitoweza kuwafikia ninyi wasenge mulio juu ila hizi UMBWA zenu nilizonazo mtaani nahakikisha nimechinja MBWA kadhaa 😡😡😡
Mama ungejielekeza ktk mambo ya kumtumikia Mungu ukawa unafagia hata msikiti si ungefanya jambo jema? Kwanza kwa nini ulichoma nguo moto kama sio wehu ,? Pole sana yaliyokusibu
@@JoellJoel-h9q sina mama anayechoma mpaka nguo ili hali kuna maskini hawajui hata kesho yao ! Angewagawia wajane si angepata hata thawabu ! Acha apate hata ngeu na kwa Allah atajibu matendo yake
Japokuwa utekaji haukubaliki, lakini hawa wamama walifanya makosa sana, zile nguo wangezikataa au wangezipeleka kwa wahitaji hasa wajane nawatoto yatima, kuna watu wanatamani kupata kile mlichokichoma moto, Mimi wazazi wangu walitangulia mbele za haki nikiwa mdogo sana najua mateso namasononeko wanayopitia
Kumbuka hata huyo arie watuma. Nimwanamke nani muislamu. Inakuaje picha imuume. Picha namtu kip Cha thamani. Akumbuke pia naye atakufatu nae nibinadamutu
Viongizi wa dini mko wapi jeshi la wanchi achaneni na mipaka huku ndani mnacholinda ni maumivi tupu. Mimi naamini sasa turudishe kilio kwa wakuu wa vyombo vya ulinzi waliostafu kuanzia kwa mkapa walio hai kwa kuwa Hawa waliopo inaonesha lao Moja hakuna Ata mmoja anamkemea waziri wa mambo ya ndani ni kimya tuu
Sio siasa bro, hivi kwani hii democracy imeletwa kwa niaba ya nani. Kwann chama kisiwe kimoja, bro hii nchi ni yetu sote, kila mtu anahaki sawa. Ukimuazibu mwezio na wew yatakufika siku moja. Dhulma ni dhulma haiegemei siasa, wazungu wanaakili, wanajua lazima mtazongana kuuwana, mwisho wa siku, hampati maendeleo lolote, Tanzania haiendelei chochote nipo pale,😂😂😂😂
Umauti hautakupata endapo utatulia na familia yako nyumbani ukaacha mdomo mwingi kwenye mambo ya siasa. Chaguzi ni lako uamue kufa au kuishi Mama.Mnauwana wenyewe Kwa wenyewe chadema hiyo ndo siasa
we mambo ya kijinga unamuweka mungu? Achen ujinga hakimu wa kweli ni mungu wakati mtu katekwa kaumizwa unaona kabisa halafu et unamwachia mungu ujinga lazima tuchukue hatua tujue nan anafanya matendo haya? Unaposema unamwachia mungu ni ujinga mkubwa kesho watakuchukua ww je tutaendelea kumwachia mungu mpk ln?
Mambo kam haya yanafanyik alaf wanakaa kmy tu hkn hatua uonevu kila siku,,nawaapia wote wanaohusika Mwenyezi Mungu awalaani na kuwapatieni adhab kali hakika choz la mweny haki halitapita wataadhibiwa tu
Zambi mamasamia sjui atakua na wakati Gani mungu ampe nguvu na hekima maana mambo ayo ausiki nayo kabisa ...............tumia akili iv mama amteke uyu Kwa Nini...😢😢😢😢
Ila sijui kunawatu wanaroho gan ,naona wanafurah tu eti wakisema kwanini achome nguo, sasa watu wanachoma pesa wanachoma magari na hawawapi hao maskini na mnawaona wajanja afu kuchoma tu nguo kisa ina picha ya mtu asiemkubari yeye watu mnaona kafanyiwa kitu anachostahili..😢 jamani ,,awamu ya sita..apana haijawah kutokea..😢😢
Tanzania tunakwenda wapi? Mnampiga mwanamke kiasi hiki dah! Jeshi la polisi ebu msichafuliwe katika hili tuakikishieni amani haya matukio ni mengi sanaa chukueni hatua katika hili hii ni aibu kwa taifa letu.
Mrs comforter in chief wa Tanzania huyu ni mama wa mtu ni mtanzania mwenzetu mwenye mawazo tofaut na wew namna ya kuongoza nchi Huyu mama sio fisadi nimsafi Mrs President ongoza taifa hili kwa haki