Тёмный

VIDEO: TAZAMA JAMII INAYOISHI KWA MATUNDA NA NYAMA,UTACHEKA MAJINA YAO 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 219 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

21 авг 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 453   
@keiyalaitayo7903
@keiyalaitayo7903 Год назад
Ana miaka tatu gonga like tuendelee kwenda na nchi yetu ngumu
@trendvibeke
@trendvibeke Год назад
This is great Africa is rich in culture bigup Ayo tv 🇰🇪🇰🇪 ❤
@maryamsaleh8438
@maryamsaleh8438 Год назад
🤣🤣🤣🤣shikamoo nchi yangu Tanzania nakupendajee!
@elizabethjakobo279
@elizabethjakobo279 Год назад
😂😂😂🇹🇿
@mkongomanidrc849
@mkongomanidrc849 Год назад
Allah Akbar mwenyezi mungu ndie muumbaji wa mbingu na ardhi na wana Adam
@mohamedramadhani2868
@mohamedramadhani2868 Год назад
Dunia ina maajab
@saljam82
@saljam82 Год назад
Influence is power... Msanii gani unaempenda au kumsikiliza.? Madogo wa kihadzabe wanajibu Diamond.
@jumakibe5032
@jumakibe5032 Год назад
Hatar mzee
@nishaabdula5015
@nishaabdula5015 Год назад
Nishida mondi adi. Mpolini. Ankulikan. Kweli simba
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Год назад
Haya majina yanasababisha NIDA kugoma kutoa Vitambulisho vya Uraia.Umakini unahitajika kwakweli.
@saidimbinga6543
@saidimbinga6543 Год назад
Ahahahahahahaha
@SheikhNassorMuhammad
@SheikhNassorMuhammad Год назад
😆😆😆😆😆😆😆
@lucymoris1707
@lucymoris1707 Год назад
Hahahahahh
@hawaoo3130
@hawaoo3130 Год назад
🤣🤣😂😂😂
@wazirmlogi7532
@wazirmlogi7532 Год назад
Nimegundua uzaben hawamjui allykiba wanamjua diamond,we diamond umemfanya nini allykiba!! "Kamongo umemfanya nn pegelee hana maketi"😂😂😂
@mtabiriwanyotashekhadinans7494
Aisee nimecheka sana hii nchi ni ngumu sana
@Willem_Mah
@Willem_Mah Год назад
Mandishi be like; jina lako nani? Hadzabe; Oleh-ka-fuf-dwa-ah-su-du-ika. Kwa kiswahili haiwezekani 😁😁😁😅😅 Mwandishi; de ka brrizz!!! 😁😆😆😆
@kachubemaulid717
@kachubemaulid717 Год назад
Salut Sana 🔥🔥 dudu kwee
@Johny255Official
@Johny255Official Год назад
Love this from kenya
@aishawhite1107
@aishawhite1107 Год назад
😂😂😂😂😂😂Tanzania nakupenda nchi yangu wewe
@neemaruhembe6360
@neemaruhembe6360 Год назад
Wapo mkoa gani jamani kumbe Tanzania ni story nzuri aisee
@vibetz9991
@vibetz9991 Год назад
Majina yao yana swaga kinomaa😍😍😍
@kreamagdfsa1697
@kreamagdfsa1697 Год назад
😀😀😀
@mwaneyseifseif3059
@mwaneyseifseif3059 Год назад
Dudu kwaya
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Год назад
Wana lafudhi nzuri ya Kiswahili kuzidi Masai na Wachaga.
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 Год назад
Mtuache wachagga
@ahz6907
@ahz6907 Год назад
Wachaga zero kabisa na wezi haoooo
@palokuthereza2555
@palokuthereza2555 Год назад
@@ahz6907 zero kwenye nini na wezi wamekuibia nini ebu jaribuni kuwa na respect jamani
@emmanuelzani2889
@emmanuelzani2889 Год назад
@@palokuthereza2555 pole sana, mengine yaache yapite.
@pus.4506
@pus.4506 Год назад
Sio vizuri kuingiza ukabila humu ndugu unakosea
@ignaszyinzile5094
@ignaszyinzile5094 Год назад
Millrd ayo daaaaaaaaaaaa hiii noma sanna
@leahally4618
@leahally4618 Год назад
Chibuu km chibuuu 💪💪💪
@hamidaalhabsi8568
@hamidaalhabsi8568 Год назад
Subhanaallah kuna lugha jamani duniani watu wamanyala ndio wanao zungumza hivyo nilifikiria kuwa watu wa Africa ya kusini
@georgemassebu2083
@georgemassebu2083 Год назад
Huku siyo Manyara, ni Wilaya Karatu mkoa wa Arusha... Lake Eyasi
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Год назад
@@georgemassebu2083 Makongoro Nyerere ni Mkuu wa mkoa wa Arusha !!!😂😂😂?? .Hapo Manyara sikiliza uzuri utaelewa.
@manyaraboy
@manyaraboy Год назад
MANYARA is my home and it's blessings for everything tanzanite tarangire mbuga maziwa tribes yani full fululu mpka mbulu
@highzacknnko9685
@highzacknnko9685 Год назад
@@manyaraboy nakubali
@khalidngwembele9075
@khalidngwembele9075 Год назад
Hilo jina Ol'enka soe w'an'usuein'ka!🙌😂
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Год назад
Kwa hawa form six wa miaka hii,hawatoweza kuandikisha hayo Majina.
@kasukukasuku3896
@kasukukasuku3896 Год назад
Majina yao yanatamkwa kwa klick language🤣🤣🤣🤣🙌hii jamii inahitaji kumulikwa zaidi Ina kitu Cha kujinfunza ni kivutio kwakweri
@mariammkwabi7101
@mariammkwabi7101 Год назад
😂😂
@hijazhija316
@hijazhija316 Год назад
Oya kausha
@estermathias8354
@estermathias8354 Год назад
Hahaaaa umetishaaq
@maigecharles301
@maigecharles301 Год назад
Daaaaaah noma sana hata mtoa talifa kashindwa kulitaja hilo jina 😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
@faithjonathan3845
@faithjonathan3845 Год назад
Nimependa huyo mwenye miaka tatu🤣🤣🤣
@mariamomar1735
@mariamomar1735 Год назад
Miaka 3 alafu kwa kujiamini mjanga kweli huyo hajui miaka yake alafu kamuiga diamond
@magidalenarauya4286
@magidalenarauya4286 Год назад
Mwanangu diamond unakubalika mpaka Kwa hadzabe huko porini hebu wanunulie TV ya Sola wawe wanaangalia wasafi
@teychriss3248
@teychriss3248 Год назад
Point! Aende hata aiapige show bila vyombo mradi wamuone live tu
@teychriss3248
@teychriss3248 Год назад
Makarani wa sensa kazi mnayo!!
@neemazee1864
@neemazee1864 Год назад
Huyo alovaa kofia jina lake 🤣🤣
@uledimtumwa2406
@uledimtumwa2406 Год назад
Ila analafudhi nzuri ya kiswahili kuliko Masai na Wachaga.
@salumjrsaidjr7150
@salumjrsaidjr7150 Год назад
Hapo wahesabu sensa kazi wanayo!!
@saidymatejoe2212
@saidymatejoe2212 Год назад
😂😂😁 niwenzet hawa kwelii. Nchi ya mama iyooo
@mosesg.pendael8381
@mosesg.pendael8381 Год назад
Huyu "Ole ka kuku kiswaika" aoe sasa!.... Ok, kuna swali umeli skip sana mtangazaji! Hao nyani ni chakula au ufahari?
@rich.kizza10
@rich.kizza10 Год назад
Mwanangu Charles TZA tumesoma wote chuo🔥
@charlesmangwe7510
@charlesmangwe7510 Год назад
Hakika Kaka
@peninamsuko4858
@peninamsuko4858 Год назад
Jamani unaezasema huko nidunianyingine mungu aliumba kwrli
@hadeeegahalmawali504
@hadeeegahalmawali504 Год назад
Jmn tz yetu kubwa 🤣🤣🤣👌👌
@faustinewilliam4908
@faustinewilliam4908 Год назад
Hahahahahahahahah Waliyopangiwa uko kazi wanayo😂😂😂🤣🤣🔥
@mwaneyseifseif3059
@mwaneyseifseif3059 Год назад
Watajidownlod
@mohamedabdullahi8874
@mohamedabdullahi8874 Год назад
They have links with south Africa tribes u use clicking sound dialect 4 communication
@tumaliciou8889
@tumaliciou8889 Год назад
Makarani wajipange na kuandika ayo majina Dah😂😂😂😂
@kelvinjustin8168
@kelvinjustin8168 Год назад
Ebu nitajie jinamoja2 ulio sikia
@mmn7480
@mmn7480 Год назад
@@kelvinjustin8168 dododonkoteaj
@majaliwajohn481
@majaliwajohn481 Год назад
Mmmmh haya majina tema mate chini so powa kama umeskia jina la mshikaji wa pili vizuuuri litaje.
@whatisthetruth.8793
@whatisthetruth.8793 Год назад
hayo majina huwezi andika eti . lakini wamepata heshima yangu
@yusrashabani2983
@yusrashabani2983 Год назад
Ilo jina la mtu wa pili nimecheka sana hata kwa mzizi siwezi kulirudia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@makereziron2918
@makereziron2918 Год назад
Nmesikia majina mengi ya kihadzabe Ila huyo wa pili duu....
@shyfettymtunda4619
@shyfettymtunda4619 Год назад
Mi napenda sana wanavyoongea eti.🤣🤣🤣🤣
@gakatheboy4494
@gakatheboy4494 Год назад
Mamb mtoto mzur
@eliassteven5575
@eliassteven5575 Год назад
Duuuh hayo majina ni hatari 🔥🔥🔥🔥
@professorbenjamin1027
@professorbenjamin1027 Год назад
Dahh Huku sijui kama nitapaweza nimeomba kuamishwa mtu anaitwa dudukwaaa mara kwakwakuokwaako 😂😂
@mwaneyseifseif3059
@mwaneyseifseif3059 Год назад
Ako kakuku ni kakwako kaka wew😂😂😂
@chanjamtagwa8565
@chanjamtagwa8565 Год назад
Ayo mwambie mondi akapige show huko awape burudani jamani wa tz wenzetu ikiisha sensa
@mkobaofficial8037
@mkobaofficial8037 Год назад
Diamond Platinum
@janetdaniely7945
@janetdaniely7945 Год назад
Jamn Tz 🇹🇿 yanguu pend sana inchi yangu
@Masai_kifimbo
@Masai_kifimbo Год назад
💚 TANZANIA
@eliaspeter4017
@eliaspeter4017 9 месяцев назад
Tanzania nchi yangu, du!! Mungu alitupatia kila kitu, hawa ndugu na hii lugha sambamba na watu wa NIDA kazi wanayo
@anordjoseph6644
@anordjoseph6644 Год назад
😂😂😂😂😂 yaani w mwaandishi unanifurahisha kweli kweli ndugu zangu ni jamii wasandawe
@stinaismail846
@stinaismail846 Год назад
😂😂😂nimekubali aisee majina magumu mtangazaje kasema jina unalijua mwenyewe 🤣🤣
@nemesapollo4846
@nemesapollo4846 Год назад
Aaah hyo Kwa kiswahili haiwezekani
@highmedland9280
@highmedland9280 Год назад
Hawana dini hao au wanaadubu jua au.mbn hujawauliza wanachokiabudu , ungewambia mwenyezi mungu ni mmoja tu ,Allah s,w,t. Na mtume Muhammad s,a,w.
@kreamagdfsa1697
@kreamagdfsa1697 Год назад
Allahu Akbar Allah tabaraq rahman
@telaamtauta2227
@telaamtauta2227 Год назад
Jamani jamani serikali iwaongoze hao watu japo dini wajuwe kwamaana hayo majina tu mimihata moja sikuweza kulishika hata elufi mojatu viongozi waongozeni vizuri hawanduguzetu
@lucyjeremia1381
@lucyjeremia1381 Год назад
😂 😂 😂 😂 😂 😂 Jmn mim mwenyewe nimeshindwa ayo majina watu wa sensa kazi wanayo
@tumainimtingitingi4883
@tumainimtingitingi4883 Год назад
Mwenyewe nimechoka iyo lugha
@ruu6592
@ruu6592 Год назад
Mungu isaidie Africa
@zainakibiki3489
@zainakibiki3489 Год назад
Atarii sana kitoweo nyani!!!!
@kilimohub580
@kilimohub580 Год назад
Wonderful names , dont make fun of them just bcoz una jina la kikoloni
@bujimucharles153
@bujimucharles153 Год назад
Duh! Nimependa sana majina yao na yanafurahisha kinoma japo kuyatamka ni magumu
@mariambwambo9885
@mariambwambo9885 Год назад
Jamn...nimewapenda🙈
@barakamwita1506
@barakamwita1506 Год назад
Duuuh dume tatu za nyani ndo mahari😁😁 big up Tanzania tuko pamoja na wahadzabe
@issaladi1928
@issaladi1928 Год назад
Dudu khweeee😂😂
@khadijahali4837
@khadijahali4837 Год назад
Hy kwa kiswahili haiwezekani 🤣🤣😁
@mohamedimalesa2995
@mohamedimalesa2995 Год назад
Dudukwe noma sana
@jamesmgimwa1932
@jamesmgimwa1932 Год назад
Noma sana😂😂😂
@aboubaqarally9834
@aboubaqarally9834 Год назад
Hilo jina sasa mamae😁😁😁
@zikirination6769
@zikirination6769 Год назад
Duduke ndo mayele wa apo kati😁
@shabanitetema3020
@shabanitetema3020 Год назад
Duh!¡! Atari sana dudu kweeee
@yanickmustafa7221
@yanickmustafa7221 Год назад
Diamond platnumz 👑🙌🙌🙌🙌🦁🦁🦁
@sadabahla7120
@sadabahla7120 Год назад
Make kwanza cheke dudukwe🤣🤣
@mwanziadavid5570
@mwanziadavid5570 Год назад
Huyo dogo ako na miaka mitatu🤣🤣
@nkelamei2870
@nkelamei2870 Год назад
😂😂😂kidogo nicheke
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
😂😂
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
@@nkelamei2870 😂😂
@kreamagdfsa1697
@kreamagdfsa1697 Год назад
Duh.......
@AbuubakarJuma-se9cp
@AbuubakarJuma-se9cp 9 месяцев назад
Dah ndoa
@pilabiliani9394
@pilabiliani9394 Год назад
Mama Samia angalia Raia wako hukuu😭
@davidcurtis175
@davidcurtis175 Год назад
Hata mimi na kwavile wanajua naana pia ya majina yao, sio mswahili mweusi tii utasikia anaitwa Krishna jina la kihindi au mtu anaitwa anorld kisa baba alikuwa anapenda kuangalia movie acha niishie hapa
@tedyokachu5013
@tedyokachu5013 Год назад
😂😂😂😂😂😂😄😄😄😄😄😄hilo jina la huyo mwenye kofiaaaaaa😆😆😆😆😆
@benjamininyambaso5041
@benjamininyambaso5041 Год назад
Mpaka ulimi unalia dodod
@ummuhafswa8980
@ummuhafswa8980 Год назад
Subuhanallah..!!
@astonomer
@astonomer Год назад
Duuhh mecheklaaa sn
@ommythetruth5449
@ommythetruth5449 Год назад
MY WANGU POPOTE ULIPO NALETA KWENU DUME 3 ZA NYANI NA DEBE MOJA LA ASALI KAMA MAHARI 😋😋😋
@mcback4384
@mcback4384 Год назад
Huko ni bangi free zone wanaburuza msuba ile ngumuu 😂😂😂😂
@jumakibe5032
@jumakibe5032 Год назад
Dah hii interview mbona fupi sn milard ayo
@yolenimocheng8745
@yolenimocheng8745 Год назад
Kazi kwenu makarani kwa majina hayoo😂😂😂😂 lazima mtudanganye..
@leokamil6284
@leokamil6284 Год назад
😂😂😂
@mariammkwabi7101
@mariammkwabi7101 Год назад
Haki😂😂😂
@rashidmhenga285
@rashidmhenga285 Год назад
Hiii ni TANZANIA
@athumanisalimu7771
@athumanisalimu7771 Год назад
Kweli kabisa daimond anastahili kuitwa simba
@modysultan6170
@modysultan6170 Год назад
sasa hayo majina karani kazi anayo hayaaandikiki hayo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@zaituniselemani3247
@zaituniselemani3247 Год назад
Hahaaaa yaani ni shida sijui ataandikaje do! Tanzania kubwa
@ananiamaduke2655
@ananiamaduke2655 Год назад
Wapo nchi gan
@benjaminjulius8021
@benjaminjulius8021 Год назад
Dudukweee that is my name.
@abdulswamadukasim
@abdulswamadukasim Год назад
😂😂😂😂 Nimeamua Kusubscribe Hivi hayo ni Majina ya watu au ni Bit
@aminaally8475
@aminaally8475 Год назад
Dah raha sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@petromtakati2975
@petromtakati2975 Год назад
😂😂😂😂😂😂😃😃😃😂😂😂😂
@abbymkombozi4382
@abbymkombozi4382 Год назад
Namie Naitwa Didakus okwae nyakworon tic
@anuarinyangasa9414
@anuarinyangasa9414 Год назад
Unalijua mwenewe, mmmh mtangazaji gani
@eriminewilsonpjo9540
@eriminewilsonpjo9540 Год назад
Waulize kama wanamjua Raisi watanzania watakuambia Diamond
@leahmollel6589
@leahmollel6589 Год назад
Wapatiwe nyama sawai ila sasa kazi ipo kwenye uandishi wa majina yao🤣🤣🤣
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Год назад
😂😂😂😂ni balaaa
@zulfahamissi9266
@zulfahamissi9266 Год назад
Hiv hawa wa2 wapo tanzania hii😆😆😆🤣
@allyiddi9682
@allyiddi9682 Год назад
Duuuu Dada ukovizuri Unaonekana bongeya fundi
@mwajumahamisi2006
@mwajumahamisi2006 Год назад
Sasa hapo hilo jina unaliandikaje sasa 🤣🤣🤣 maana mmh kaz
@johnbernad3990
@johnbernad3990 Год назад
Huko ndo pakwenda kuolea sasa yani dume tatu za nyani na asari unachukua jiko raha sana achana na huku mpaka uwe na milioni mbili na zaid ndo uowe
@mwaneyseifseif3059
@mwaneyseifseif3059 Год назад
Nyani sasa kumpta inshu sio km zamani wanapita ovyo kijjn kwetu
@modysultan6170
@modysultan6170 Год назад
nilitamani kuiyona ndefu hii
@freddychristopher8915
@freddychristopher8915 Год назад
Simbaaaaaaaaaa 🦁
@sayeedbinazan
@sayeedbinazan Год назад
Huyo miaka tatu atuache kidogo😂😂
@johnbernad3990
@johnbernad3990 Год назад
Jamani hayo majina duh! Yani kumbe Tanzania inamakabila mengi hiv
@Pascal1122
@Pascal1122 Год назад
😀😀😀😀😀😀 majina ni Noma kweli 😀😀😀😀
@mrmhenipm
@mrmhenipm Год назад
Hayo majina hatari Sana ,,, lakini nimewapenda
@chawawaally2020
@chawawaally2020 Год назад
Unaoji watoto
@rashidyally8715
@rashidyally8715 Год назад
Dudukweeee 😄😄😄😄😄😄😄😄
@erastomkulu6829
@erastomkulu6829 Год назад
Kwahyo wapo inch gan xx
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 Год назад
Ukioa huku ujiandae kila wiki ng'ombe.
@user-jx9qm8we4z
@user-jx9qm8we4z 9 месяцев назад
😂😂😂hii ni ngumu😂😂😂😂
@mwanaidyhassan2315
@mwanaidyhassan2315 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Watu w sensa kuandika haya majna mnalo
@peterdotto4055
@peterdotto4055 10 месяцев назад
Majina hayo yanaandikika vipi asee, raisi watakuwa hawamjui wanamjua diamond tuu
Далее
Это реально работает?!
00:33
Просмотров 1,9 млн
Это iPhone 16
00:52
Просмотров 630 тыс.
President Tinubu Addresses Nigerians Amid Protests
23:40