IM PROUD OF U LAWYER FATMA U R AN AMAZING N GREAT PERSON! AT LEAST U CAN TALK N LET PPL THOSE THEIR MENTALITY THOUGHT WEMAN PLACE IS IN THE KITCHEN ONLY! THEY CANT TALK OR WORK! ONLY MEN CAN! BUT WE CAN AS WELL WELL AS WE CARRY MALES N FEMALES IN OUR TUMMY! STOMACH FOR OVER 9 MONTHS N DELEIVERS THEM N TOOK CARES OF THEM UNTIL THEY GROWS BIG TO KNOW HOW TO STAND BY THEIR OWN FEATS! KEEP IT UP MY DEAR SWEET CREATION OF GOD"💙💜💚❤👌👍 GO ON N FIGHTS FOR THE WRIGHTS"👌👍"
Naipenda Sana huyu bi Fatma anaongea Sana kwa hekma na busara mungu akuongezee muda mrefu wakuishauti democracy ndani ya nchi,na mungu akupiganiye ndani ya Hawa wakoloni weusi.
Mahojiano hayakuwa mazuri kwa ufahamu wangu naona yalikuwa ni mazungumzo zaidi kuliko mahojiano. Muulizaji alitumia muda mwingi kutoa maelezo marefu lakini pia alikuwa akifanya vipande vipande zaidi kuliko kutafuta ufafanuzi. Hata hivyo hongera.
Kwa jambo la Rais kukatiza safari na kwenda kuwafariji wana Hanang lilikuwa tendo la uungwana. Nakumbuka yaliyotukuta sisi wana- Kagera baada ya tetemeko. Mungu ndiye anajua.
Huyu hakuwa Kama Muislam Hana tafauti na Mzungu wewe ni mtoto wa Kiislam hebu jiheshimu Kama mtoto wa Kiislam mikwapa nje huna tafauti na shetani la Kizungu
Cha kwako kina nini hebu jieleze kama Fatima tulinganishe kama hatutagundua utopolo Fatuma ni jasiri ana kitu kichwani ndiyo maana juhudi za kumzima na kumkwamisha ziko juu mpaka kumsimamisha uwakili ni kwa sababu anaonekana ni tishio
Mzungu hata akaishi miaka 40 Tanzania,kisha arudi kwao lazma lugha yake atazungumza fresh tu hata hanganya na kiswahili,leo wewe eti hadi ucjanganye na kizungu tuseme maneno mengine ya kiswahili huyajui,au kwa vile wajifanya msomi sana,muangalie mkaa uchi wahed
Huyu amekulia ughaibuni so amekuwa affected na mila za kimagharibu ndio maana yeye anaamini ushoga na usagaji ni sawa kwake maana huyu utamaduni wa ulaya umemuathiri sana na hata mavazi yake yamebase kimagharibi sio ya kizanzibar kabisa
@@mohdkhatib223 kafa kaniacha mdogo nitajuaje maovu yake na km anayo sipaswi kumuhukumu mm atamuhukumu Allah full stop usinitag story ishapita hadi uokote hela ya bando ndy uje kureaplay why?
mgeni mzuri lakini mtangazaji Babbie maswali yapo chini ya viwango..mtu ana miaka 30 sio mtoto tena ni mtu mzima ana maisha yake apewe ulinzi wa nini? uliwai mkosoa baba yako? why not?
Unataka unayotaka wewe yeye ni mtu mzima huyu na kwa taarifa yako kuna wanaojificha ndani ya hayo mavazi uchafu wa hali ya juu sana na kama huelewi historia Waafrika walikuwa kwa asili hawana mavazi ya gubigubi Waarabu na Wazungu wameturithisha mavazi yao lakini haimaanishi mavazi ndiyo utakatifu bali usafi unatoka moyoni
Kinachonisikitisha ni ile kuchanganya lugha mbili kwa wakati mmoja.Kiswangereza Hata accent ya kulee wakati anaongea kiswahili.Kasumba ambayo JK NYERERE ALIKUWA A N AICHUKIA SANA.Kasumba mbaya sana.😅
Wakati baba yako alikua raisi kulikua na mambo mengi ya uvunjwaji wa sheria mpaka mauwaji kwa zanzibar na bara pia,ila cha kushangaza huyu mdada mwenye sura kama chupa ya konyagi hakuwahi kuwa mpinzani mpaka pale baba yake baada ya kuondoka kwenye madaraka ndio upinzani ulipoanzia,lakini hatushangai kwa ajili muamsho ilikua ni ya baba yake na kupendelea upinzani,na shemeji yake karume pia akapelekwa upinzani mansuri kwa kutegemea wametoka kwenye utawala na watarudia kwenye utawala kupitia upinzani na sasa mpaka Ali karume pia ni mpinzani munawaona watu ni wajinga
Mbona Fatma hujasema baba yako alipopata urais ukataka kutumia political power ya baba yako kwa kuvamia makaburi ya wa Anglican pale Mbeni?eti ukijidai ni eneo la babu yako ilhali makaburi yapo kabla ya babu yako kuzaliwa!
Kila mtu na makuzi kwani amemtukana mtu hatuwezi kufanana wewe chukua yaliyo mazuri kwa faida yako hakulazimishi kumsikiliza huyu ni msomi hivyo yataka utulivu kumsikiliza na siyo lazima kila mtu amwelewe
Big layer ni muongo hupangi foleni na upo tofauti na watanzania wengine muongo sana wala hampo public diwani tuu hapangi foleni vipi mtoto wa Raisi mlikuwa mna ulinzi mkubwa tuu
Mwanaharakati wa Nini ambaye amelelewa na kukuzwa kwenye system ya uchafu, ufisadi uonevu na dhuluma. Ni kizazi cha mafisaidi kizazi cha nyoka wamekuwa kwenye ufisadi na kufanyiwa kila kitu na kodi za watanzania masikini ila Leo wanawadharau hao masikini kodi zao zilizotumika kuwasomesha na kuwalisha
Siyo hawa domo, hawajui kiingereza. I really don’t know how they got their degrees. Look at Ali Kamwe wa yanga, couldn’t speak in English in front of the UK Ambassador.
Your argument In this case is quite irrelevant and English mastery and proficiency has nothing to do with this conversation. Why pointing out Ally Kamwe in particular? Seems as if you have some grudges with him.
Kwa hiyo elimu ni kingereza? kweli mwafrika akili yake bado iko chini sana! elimu ni english? Dah! ndio maana hatuendelei sababu tuna wrong perception of education. Koreans, Chinese, et al, they don't use english lakini maendeleo yako juu. Waafrika ambao wameng'ang'ania english kama ndio usomi, ndio wako zero kwenye maendeleo
Terrence mzungu humkwepi utasema tuu maneno.Hyooo mchina Hong Kong katawala muingereza tusijiliwaze uongo.Aliyekutangulia kakutangulia tuu.Lugha inayotumika Kwa ku guide ndege ulimwenguni ni English why ndege zilitengenezwa na right brother's.Sasa basi kama unataka uswahili uwe juu.Hzooo suruali za mzungu unazovaa ,magari ya mzungu unayopanda na mifumo yote ya kizungu ibomoe Jenga yko ili tuone maendeleo ya mswahili si Sawa mzungu kafanya yake hayooo yameonekana ya mswahili nionyeshe mmoja tangu uambiwe uwache kuvaa ngozi ulirudi kuendelea na ngozi zako ili ujikite kwenye uswahili wako.Tuwache kujiliwaza upuuzi soma lugha ya kingereza elewa kabiliana na changamoto alizokuachia mzungu hutaki tengeneza mifumo yko ya Kiswahili ifuatwe na wengine tukuone wa maana.Tuache ujinga mpk leo tuna arguments za kijinga huku umevaa koti la mzungu jeans ya mzungu gari ya mzungu ndege ya mzungu computer ya mzungu.Bora unge argue huku umevaa ngozi ili tujue kweli unatetea uswahili midomo tuu hatuna lolote nionyeshe kitu kimoja cha muafrika Sawa tuna madini tumeyafanyia nini.Aliyewafungua akili mzungu kwamba hii ina thamani hamukuona.Mi huwa nashangaa hata viongozi baadhi ya wafrika unampinga mzungu umevaa suti ghali umeingia na Mercedes Benz Kali ya mzungu viatu vya mzungu kompyuta uliyochapiwa makaratasi ya kusema maneno ya ovyoo ya mzungu tuwe kwenye senses zetu waafrika kama hatuna jipya Bora tukae kimyaa.Hujui kingereza tembea na mkalimani.Lakini kusema kuwa oooh kuongea kingereza ni kujirudisha nyuma na tayari upo nyuma na ma professor wa makaratasi theory no practice.Hyooo mchina nyuma alikuwa kachoka kaenda ulaya kuchukuwa technology ndio maana kumkwepa mzungu bdo kizungumkuti.Mtu kama aliwahi kukutawala bro kaa kimyaaa.
@@terrence9477ndio lugha ya kimataifa na pia ni lugha ya wasomi saiv huwez kufanya kaz tz tu kuna nchi na mashirika mengine ya nje yaweza kukuchukua muda wowote Kwa iyo English lazima kwa wasomi wenye maono ya kufika mbali
Jasho la menoupose limekupata Fatma unajipepea na kunywa maji, pole sana. Wanawake kuanzia miaka 45 kwenda juu hali hii ni kawaida kutoka jasho pasipo joto ushauri mywe maji mengi ni hatua ukimaliza hedhi unaingia hatua ya menopause
Ivi jameni tusaidiane jibu ivi mwanamke mwenye makucha kama ayo ya fatuma mkono wa kusho anachamba vipi uyu anajisafisha vipi uyo au ndo usafi wa nje ndani ovyoo
Yaani wewe kuchamba tu ndiyo umeona cha maana tekinolojia iko juu sana kucheza na uchafu watu wamesahau ndiyo maana kipindupindu kinatadhibu kwa kucheza na kinyesi
@@Kwelihukuwekahuruacha kuingia mada zinazohusika na uislamu unaingia bila kujua bora ungerudi kujadili inshu ya pope kuruhusu ushoga ingekuwa Mali sana..!
@@hassanmfaume4522 hata ushoga ni uchafu tena wa hali ya juu siwezi kuunga mkono uchafu na mtu mmoja akiamua kumkufuru MUNGU haimaanishi ni watu wote na kuhusu kucha za Fatuma sijazifungamanisha na uislam kwani kuna Waislam wengi nawafahamu na wanafuga kucha na bado ni wacha MUNGU kufuga kucha na kutunza nywele ni umaridadi wa mwanamke mwanaume akifanya hayo tutamtilia shaka