Тёмный

Fatma: Baba Alikuwa Rais Mimi Nina Kazi Yangu I Sikuwahi Kumsaidia Kwenye Kampeni 

CLOUDSMEDIA
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 59 тыс.
50% 1

#CloudsDigital tumekuwekea mahojiano ya Mwanaharakti Fatma Karume katika kipindi cha #Shajara ya #CloudsTv na mtangazaji Babbie Kabae.

Спорт

Опубликовано:

 

17 дек 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 149   
@isaachayes9783
@isaachayes9783 6 месяцев назад
Fatma, she is very straightforwardness, strict and justice lover.
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 5 месяцев назад
Lover of gay n lesbian rights huh
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 месяцев назад
Ila nampenda she's so beautiful❤
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 7 месяцев назад
She is intelligent fatma❤
@bas2823
@bas2823 7 месяцев назад
IM PROUD OF U LAWYER FATMA U R AN AMAZING N GREAT PERSON! AT LEAST U CAN TALK N LET PPL THOSE THEIR MENTALITY THOUGHT WEMAN PLACE IS IN THE KITCHEN ONLY! THEY CANT TALK OR WORK! ONLY MEN CAN! BUT WE CAN AS WELL WELL AS WE CARRY MALES N FEMALES IN OUR TUMMY! STOMACH FOR OVER 9 MONTHS N DELEIVERS THEM N TOOK CARES OF THEM UNTIL THEY GROWS BIG TO KNOW HOW TO STAND BY THEIR OWN FEATS! KEEP IT UP MY DEAR SWEET CREATION OF GOD"💙💜💚❤👌👍 GO ON N FIGHTS FOR THE WRIGHTS"👌👍"
@Lumi063
@Lumi063 6 месяцев назад
I like her personality she has very strong personality, she deserved to be leader in Tanzania “may be one day”..
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 6 месяцев назад
She deserves one when Chadema takes Tanganyika.
@user-wh7gj9ug9s
@user-wh7gj9ug9s 5 месяцев назад
Forget
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 5 месяцев назад
A lesbian president no way
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 5 месяцев назад
President for LGBTQ in east afrika may b
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 5 месяцев назад
oooh munajuana eeeh​@@nasirmohamed1589
@aliiyvuai116
@aliiyvuai116 6 месяцев назад
Hongera sana muandishi wa habari. Uko vizuri sana❤❤
@ahmedbashash3672
@ahmedbashash3672 7 месяцев назад
Me nataka nikuoe ur still.beautifull and smart ❤❤
@ahmedhamdan8526
@ahmedhamdan8526 7 месяцев назад
Dear ❤ fatma safi uko juuu
@michaelngalo1808
@michaelngalo1808 7 месяцев назад
Hata Mahakamani hukuwahi kutaka au kupewa priority bcse we mtoto wa Rais. Watu wana uelewa potofu sana kuhus life ya Fatuma
@pauloropian2367
@pauloropian2367 5 месяцев назад
Naipenda Sana huyu bi Fatma anaongea Sana kwa hekma na busara mungu akuongezee muda mrefu wakuishauti democracy ndani ya nchi,na mungu akupiganiye ndani ya Hawa wakoloni weusi.
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 месяцев назад
Huyu Fatuma sheria alisoma na ikakubali. Limeenda Shule kweli na linajiamini kinoma.
@jumaseifjuma4185
@jumaseifjuma4185 6 месяцев назад
Mahojiano hayakuwa mazuri kwa ufahamu wangu naona yalikuwa ni mazungumzo zaidi kuliko mahojiano. Muulizaji alitumia muda mwingi kutoa maelezo marefu lakini pia alikuwa akifanya vipande vipande zaidi kuliko kutafuta ufafanuzi. Hata hivyo hongera.
@JacksonNovatM
@JacksonNovatM 7 месяцев назад
Kwa jambo la Rais kukatiza safari na kwenda kuwafariji wana Hanang lilikuwa tendo la uungwana. Nakumbuka yaliyotukuta sisi wana- Kagera baada ya tetemeko. Mungu ndiye anajua.
@fahadfahmy
@fahadfahmy 7 месяцев назад
Fatma ninachompendea ni mkweli hafichi miaka yake
@user-fl3yl4or3e
@user-fl3yl4or3e 7 месяцев назад
Uko sawa anti
@roudhamahmoud763
@roudhamahmoud763 7 месяцев назад
Ulikuwa so beautiful lady 🎉
@TM-zs3rm
@TM-zs3rm 6 месяцев назад
She is so beautiful still. Not she was she still is.
@marionelias1621
@marionelias1621 6 месяцев назад
Good interview hongera sana Supuu
@MwanaishaHemed-xi6rj
@MwanaishaHemed-xi6rj 7 месяцев назад
😂😅Nimecheka eti wanataka kujua tunarudi saa ngapi Maisha mulioishi ni mazuri sana nimependa ❤❤❤❤
@rahmaidd8818
@rahmaidd8818 7 месяцев назад
Ana good skin care routine period
@mako331
@mako331 7 месяцев назад
Thou grew up in the first family but very humble
@neemam5042
@neemam5042 6 месяцев назад
Hongera sana mahojiano mazuri sana👏👏👏👏
@nyerere1259
@nyerere1259 7 месяцев назад
Babie Kipindi kile mlikua wapi kumhoji Fatma
@zaneco
@zaneco 6 месяцев назад
Nimemuelewa vizuri Bi Fatma
@Commentsplus
@Commentsplus 6 месяцев назад
Nilichogundua watoto wa viongozi wengi hawana raha kabisa
@anandemalaki1878
@anandemalaki1878 6 месяцев назад
Fatuma nakupenda jinsi ulivyo mwanamke shujaa kwelikweli
@user-jl4br2rg3e
@user-jl4br2rg3e 6 месяцев назад
Huwa nakukumbali sana wakili Fatuma
@oyay2821
@oyay2821 7 месяцев назад
Super woman
@EshaHamd-ed9yv
@EshaHamd-ed9yv 4 месяца назад
Huyu hakuwa Kama Muislam Hana tafauti na Mzungu wewe ni mtoto wa Kiislam hebu jiheshimu Kama mtoto wa Kiislam mikwapa nje huna tafauti na shetani la Kizungu
@user-gr9wc7bc2m
@user-gr9wc7bc2m 7 месяцев назад
Atakuja kuwa rais wa znz huyu akili nyingi sana
@kassidpandu866
@kassidpandu866 7 месяцев назад
zanzibar ipi hiyo aje awe Rais!
@laylatabdallah2796
@laylatabdallah2796 7 месяцев назад
Hawampi hata cku1
@allykigatta7564
@allykigatta7564 6 месяцев назад
Upo usingizini jamaa??
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 5 месяцев назад
Mnaoandika ze english comments humu jaribuni kujitathmini make kingereza chenu kinasikitisha isitoshe sioni ulazima hamna mzungu hapa huyu ni mwenzetu tu kutetea mashoga hakutamfanya awe mzungu
@autoimmunesecurity2140
@autoimmunesecurity2140 7 месяцев назад
Hii kichwa haiko sawa trust me.
@jerrybasaya5377
@jerrybasaya5377 7 месяцев назад
Wewe ndio una matatizo
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 месяцев назад
Pata Kesi halafu aisimamie ndio utajua kichwa kikosawa au la
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 7 месяцев назад
Cha kwako kina nini hebu jieleze kama Fatima tulinganishe kama hatutagundua utopolo Fatuma ni jasiri ana kitu kichwani ndiyo maana juhudi za kumzima na kumkwamisha ziko juu mpaka kumsimamisha uwakili ni kwa sababu anaonekana ni tishio
@kassimchuo5290
@kassimchuo5290 6 месяцев назад
Kabisaaaaaaaaa haipo Sawa kweliiiiii 😅😅
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 6 месяцев назад
Naamini hayo maneno yako kwa kweli ..!
@aliisaid854
@aliisaid854 6 месяцев назад
Mzungu hata akaishi miaka 40 Tanzania,kisha arudi kwao lazma lugha yake atazungumza fresh tu hata hanganya na kiswahili,leo wewe eti hadi ucjanganye na kizungu tuseme maneno mengine ya kiswahili huyajui,au kwa vile wajifanya msomi sana,muangalie mkaa uchi wahed
@neemam5042
@neemam5042 6 месяцев назад
Sio wahed, na hayuko uchi ni vazi la wanawake kuvaa maofisoni
@ZainaAlly
@ZainaAlly 6 месяцев назад
Mzuri
@Ericzdeking24
@Ericzdeking24 5 месяцев назад
Fatma ni mzuri sana
@safaribuganga
@safaribuganga 6 месяцев назад
Tanzania inatakiwa iongozwe na watu wanaojua sheria ili haki itawale.Nchi hii Haki nyingi za msingi hazifuatwi
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 6 месяцев назад
Hizo za mshoga ndio haki kweli ah ah ah
@estermpagama9664
@estermpagama9664 7 месяцев назад
Fatima justiri we mwislam pia nakushauri uwe na tabia za mwanamke wa kiislam usijifanye Kama Mzungu
@frankrobert9706
@frankrobert9706 7 месяцев назад
Huyu amekulia ughaibuni so amekuwa affected na mila za kimagharibu ndio maana yeye anaamini ushoga na usagaji ni sawa kwake maana huyu utamaduni wa ulaya umemuathiri sana na hata mavazi yake yamebase kimagharibi sio ya kizanzibar kabisa
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 7 месяцев назад
​@@Official83640wewe baba yako anafanya kheri gani?
@thomaspeter2540
@thomaspeter2540 7 месяцев назад
Nchi yetu Haina dini acha upuuzi
@mohdkhatib223
@mohdkhatib223 7 месяцев назад
@@Official83640 je una uhakika hakufanya maovu kwa siri, na je una uhakika yaliyomo nyoyoni mwake?
@Official83640
@Official83640 7 месяцев назад
@@mohdkhatib223 kafa kaniacha mdogo nitajuaje maovu yake na km anayo sipaswi kumuhukumu mm atamuhukumu Allah full stop usinitag story ishapita hadi uokote hela ya bando ndy uje kureaplay why?
@Venas-uh3wz
@Venas-uh3wz 7 месяцев назад
Fatuma you are the best. Love you!❤
@user-fr7jj1bo7y
@user-fr7jj1bo7y 6 месяцев назад
mgeni mzuri lakini mtangazaji Babbie maswali yapo chini ya viwango..mtu ana miaka 30 sio mtoto tena ni mtu mzima ana maisha yake apewe ulinzi wa nini? uliwai mkosoa baba yako? why not?
@jumaseifjuma4185
@jumaseifjuma4185 6 месяцев назад
Apewe ulinzi kama mtoto wa rais, kama angetekwa nyara ?
@kassidpandu866
@kassidpandu866 7 месяцев назад
cjapenda hayo Mavazi yako kwa kweli
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 7 месяцев назад
Unataka unayotaka wewe yeye ni mtu mzima huyu na kwa taarifa yako kuna wanaojificha ndani ya hayo mavazi uchafu wa hali ya juu sana na kama huelewi historia Waafrika walikuwa kwa asili hawana mavazi ya gubigubi Waarabu na Wazungu wameturithisha mavazi yao lakini haimaanishi mavazi ndiyo utakatifu bali usafi unatoka moyoni
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 6 месяцев назад
​@@Kwelihukuwekahuru inaonesha wewe ndio wale watu wa wa pope Benedect aloowabiriki maana unapenda sana hayo mambo kwani huyu ndie mtetezi wenu..!
@neemam5042
@neemam5042 6 месяцев назад
Ni business outfit
@abbiecox1
@abbiecox1 5 месяцев назад
lakini hukuwahi kupinga udhalimu wake kwa kina hanga
@keyla3641
@keyla3641 7 месяцев назад
Jaricri sana
@gracekagoma3231
@gracekagoma3231 6 месяцев назад
Kinachonisikitisha ni ile kuchanganya lugha mbili kwa wakati mmoja.Kiswangereza Hata accent ya kulee wakati anaongea kiswahili.Kasumba ambayo JK NYERERE ALIKUWA A N AICHUKIA SANA.Kasumba mbaya sana.😅
@abelsonda4486
@abelsonda4486 5 месяцев назад
Accent ni nini mkuu? Naona umechanganya pia
@ZainaAlly
@ZainaAlly 6 месяцев назад
Fet we mzurii ujue
@user-uk3iw1su4i
@user-uk3iw1su4i 6 месяцев назад
hy bituu
@yusuphabel5530
@yusuphabel5530 5 месяцев назад
Miss independent
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 месяцев назад
Uyu anaonekana mkali Sana,hapendi ujinga,very complicated
@nagekitunga8714
@nagekitunga8714 7 месяцев назад
Wanasheria wengii ndivo walivo
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 месяцев назад
@@nagekitunga8714 kumbe wow,,very interesting,, kwaiyo ndivyo walivyo
@barakamwasenga2143
@barakamwasenga2143 7 месяцев назад
Anauelewa mkubwa Sana huyu mama sio mbinafsi
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 6 месяцев назад
Kweli​@@zanzibarboyzanzibar509
@kingwandeinvestment8002
@kingwandeinvestment8002 6 месяцев назад
uyu dada ata mama samia hajaona kua ni kiongozi mwenye msimamo
@Commentsplus
@Commentsplus 6 месяцев назад
Kuna mtetemo wa sauti ya Fatuma #chidbenzlaw
@mwanaishaabubakar5013
@mwanaishaabubakar5013 5 месяцев назад
Karifhi sauti ya bibi yake Fatma Karume Sr.
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 7 месяцев назад
Akuna feni hapo
@eliajimmy95
@eliajimmy95 7 месяцев назад
Fatma karume wa sasa sio yule wa miaka miwili iliyopita, amepoa sana
@daimavlog
@daimavlog 7 месяцев назад
Sababu nchi imetulia pia, alikuwa anawaka sababu ya Magu kuvunja haki za binadamu.
@eliajimmy95
@eliajimmy95 6 месяцев назад
@@daimavlog bado kuna sakata la ngorongoro
@jerrybasaya5377
@jerrybasaya5377 7 месяцев назад
Kuna kipande kikubwa kilikatwa alivyoanza kumwongelea Rais.
@amanimlengwa9202
@amanimlengwa9202 6 месяцев назад
Unacho?
@joniajonhson2909
@joniajonhson2909 6 месяцев назад
😂😂😂 dah atakuwa nacho
@htx1873
@htx1873 5 месяцев назад
Article zangu zilikua za kisomi Sanaa 😂😂😂😂 shangazi 😂😂😂 utawauwa wenzako hawajui kidhungu jamani😂😂😂
@ShabanJames-rp1jl
@ShabanJames-rp1jl 7 месяцев назад
Kibenten
@lukullikiwamba6494
@lukullikiwamba6494 6 месяцев назад
Most people scare of unknown, shangazi she one of the kind … it’s not easy for ordinary person to understand her…
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 6 месяцев назад
So poor😢I thought there is something wrong 😂inabid utulize akili kumfaham
@aminattai2676
@aminattai2676 6 месяцев назад
Wakati baba yako alikua raisi kulikua na mambo mengi ya uvunjwaji wa sheria mpaka mauwaji kwa zanzibar na bara pia,ila cha kushangaza huyu mdada mwenye sura kama chupa ya konyagi hakuwahi kuwa mpinzani mpaka pale baba yake baada ya kuondoka kwenye madaraka ndio upinzani ulipoanzia,lakini hatushangai kwa ajili muamsho ilikua ni ya baba yake na kupendelea upinzani,na shemeji yake karume pia akapelekwa upinzani mansuri kwa kutegemea wametoka kwenye utawala na watarudia kwenye utawala kupitia upinzani na sasa mpaka Ali karume pia ni mpinzani munawaona watu ni wajinga
@user-wv9fb3ck5x
@user-wv9fb3ck5x 6 месяцев назад
Umeolewa Shangai nataka nikuoe
@MaryamChuma-jp6nq
@MaryamChuma-jp6nq 7 месяцев назад
She looks like Celine dion❤❤♥️♥️🤍🤍🤍
@sleeprelaxation8431
@sleeprelaxation8431 7 месяцев назад
mmmh
@kaizamulinda633
@kaizamulinda633 7 месяцев назад
Exactly. I love the discovery
@luganolukali2638
@luganolukali2638 7 месяцев назад
Dongozuri,hazeeki.
@MrKhatibu
@MrKhatibu 6 месяцев назад
Mbona Fatma hujasema baba yako alipopata urais ukataka kutumia political power ya baba yako kwa kuvamia makaburi ya wa Anglican pale Mbeni?eti ukijidai ni eneo la babu yako ilhali makaburi yapo kabla ya babu yako kuzaliwa!
@nasirmohamed1589
@nasirmohamed1589 5 месяцев назад
Swali baba yako alikuwa rais tunajua lakini alikuwaga anatetea mashoga na washenzi kama wewe
@abelmbijima4324
@abelmbijima4324 7 месяцев назад
Uzungu mwingi aibu
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 7 месяцев назад
Kila mtu na makuzi kwani amemtukana mtu hatuwezi kufanana wewe chukua yaliyo mazuri kwa faida yako hakulazimishi kumsikiliza huyu ni msomi hivyo yataka utulivu kumsikiliza na siyo lazima kila mtu amwelewe
@citygraphics6670
@citygraphics6670 6 месяцев назад
Maji ya jioni dada..bye bye
@spreadlove5300
@spreadlove5300 5 месяцев назад
Is it a crime??? 😮😮 mtu hakui kurudi chini hata nawe unakwenda maji ya jioni
@omarsaid673
@omarsaid673 6 месяцев назад
.
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 7 месяцев назад
Shangazi yangu nikwambie tu ukweli kwenye kujieleza sifuri kabisa mbele nyuma mzunguko hata sijui interview ilikua ya jambo gani?
@hassansalum2572
@hassansalum2572 7 месяцев назад
Sasa mlaumu alouliza maswali mbona Shangazi yuko vizuri
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 7 месяцев назад
That's selfness
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 7 месяцев назад
Laumu uwezo wako wa kuelewa😂😂😂
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 7 месяцев назад
​@@gibsonjosephat6352exactly sisi tumemwelewa saaana
@amanimlengwa9202
@amanimlengwa9202 6 месяцев назад
Zuzu hili
@bimumaulid1171
@bimumaulid1171 7 месяцев назад
Big layer ni muongo hupangi foleni na upo tofauti na watanzania wengine muongo sana wala hampo public diwani tuu hapangi foleni vipi mtoto wa Raisi mlikuwa mna ulinzi mkubwa tuu
@stonedicksonkisamo809
@stonedicksonkisamo809 7 месяцев назад
Inategemea ni customer wa aina gani na amesema hajui kwa sasa.
@Kabwela776
@Kabwela776 7 месяцев назад
Mwanaharakati wa Nini ambaye amelelewa na kukuzwa kwenye system ya uchafu, ufisadi uonevu na dhuluma. Ni kizazi cha mafisaidi kizazi cha nyoka wamekuwa kwenye ufisadi na kufanyiwa kila kitu na kodi za watanzania masikini ila Leo wanawadharau hao masikini kodi zao zilizotumika kuwasomesha na kuwalisha
@yasminjuma9146
@yasminjuma9146 7 месяцев назад
Chuki tu.
@msabahaali758
@msabahaali758 7 месяцев назад
kulelewa sio ttzo unaweza ukalelewa na bado ukawa mtu mzur t
@user-gd2xj3xd1b
@user-gd2xj3xd1b 7 месяцев назад
Nabii mussa alilelewa na friaun ambae alikuwa mchafu zaidi ya KARUME na kizazi chake na alikujakuwa mwema tu kwa umma wke ko sio hoja ya msingi sana.
@Kabwela776
@Kabwela776 7 месяцев назад
@@msabahaali758 ni mnafiki mkubwa huyo
@Kabwela776
@Kabwela776 7 месяцев назад
@@yasminjuma9146 mnafiki mkubwa huyo kizazi cha mafisadi
@AdamSaffi211
@AdamSaffi211 7 месяцев назад
Siyo hawa domo, hawajui kiingereza. I really don’t know how they got their degrees. Look at Ali Kamwe wa yanga, couldn’t speak in English in front of the UK Ambassador.
@sylvestercameo6263
@sylvestercameo6263 7 месяцев назад
Your argument In this case is quite irrelevant and English mastery and proficiency has nothing to do with this conversation. Why pointing out Ally Kamwe in particular? Seems as if you have some grudges with him.
@terrence9477
@terrence9477 7 месяцев назад
Kwa hiyo elimu ni kingereza? kweli mwafrika akili yake bado iko chini sana! elimu ni english? Dah! ndio maana hatuendelei sababu tuna wrong perception of education. Koreans, Chinese, et al, they don't use english lakini maendeleo yako juu. Waafrika ambao wameng'ang'ania english kama ndio usomi, ndio wako zero kwenye maendeleo
@fatmakhanii1676
@fatmakhanii1676 7 месяцев назад
@@terrence9477kweli kabisa
@MrA24G
@MrA24G 7 месяцев назад
Terrence mzungu humkwepi utasema tuu maneno.Hyooo mchina Hong Kong katawala muingereza tusijiliwaze uongo.Aliyekutangulia kakutangulia tuu.Lugha inayotumika Kwa ku guide ndege ulimwenguni ni English why ndege zilitengenezwa na right brother's.Sasa basi kama unataka uswahili uwe juu.Hzooo suruali za mzungu unazovaa ,magari ya mzungu unayopanda na mifumo yote ya kizungu ibomoe Jenga yko ili tuone maendeleo ya mswahili si Sawa mzungu kafanya yake hayooo yameonekana ya mswahili nionyeshe mmoja tangu uambiwe uwache kuvaa ngozi ulirudi kuendelea na ngozi zako ili ujikite kwenye uswahili wako.Tuwache kujiliwaza upuuzi soma lugha ya kingereza elewa kabiliana na changamoto alizokuachia mzungu hutaki tengeneza mifumo yko ya Kiswahili ifuatwe na wengine tukuone wa maana.Tuache ujinga mpk leo tuna arguments za kijinga huku umevaa koti la mzungu jeans ya mzungu gari ya mzungu ndege ya mzungu computer ya mzungu.Bora unge argue huku umevaa ngozi ili tujue kweli unatetea uswahili midomo tuu hatuna lolote nionyeshe kitu kimoja cha muafrika Sawa tuna madini tumeyafanyia nini.Aliyewafungua akili mzungu kwamba hii ina thamani hamukuona.Mi huwa nashangaa hata viongozi baadhi ya wafrika unampinga mzungu umevaa suti ghali umeingia na Mercedes Benz Kali ya mzungu viatu vya mzungu kompyuta uliyochapiwa makaratasi ya kusema maneno ya ovyoo ya mzungu tuwe kwenye senses zetu waafrika kama hatuna jipya Bora tukae kimyaa.Hujui kingereza tembea na mkalimani.Lakini kusema kuwa oooh kuongea kingereza ni kujirudisha nyuma na tayari upo nyuma na ma professor wa makaratasi theory no practice.Hyooo mchina nyuma alikuwa kachoka kaenda ulaya kuchukuwa technology ndio maana kumkwepa mzungu bdo kizungumkuti.Mtu kama aliwahi kukutawala bro kaa kimyaaa.
@OmerSuley-gl7go
@OmerSuley-gl7go 6 месяцев назад
​@@terrence9477ndio lugha ya kimataifa na pia ni lugha ya wasomi saiv huwez kufanya kaz tz tu kuna nchi na mashirika mengine ya nje yaweza kukuchukua muda wowote Kwa iyo English lazima kwa wasomi wenye maono ya kufika mbali
@darajalakidatukilomgi2362
@darajalakidatukilomgi2362 7 месяцев назад
Jasho la menoupose limekupata Fatma unajipepea na kunywa maji, pole sana. Wanawake kuanzia miaka 45 kwenda juu hali hii ni kawaida kutoka jasho pasipo joto ushauri mywe maji mengi ni hatua ukimaliza hedhi unaingia hatua ya menopause
@MegaAlexison
@MegaAlexison 7 месяцев назад
Wale kwa kina bunyoni burundi walikuwa na walinzi
@johnmike6059
@johnmike6059 7 месяцев назад
Ivi jameni tusaidiane jibu ivi mwanamke mwenye makucha kama ayo ya fatuma mkono wa kusho anachamba vipi uyu anajisafisha vipi uyo au ndo usafi wa nje ndani ovyoo
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 7 месяцев назад
Yaani wewe kuchamba tu ndiyo umeona cha maana tekinolojia iko juu sana kucheza na uchafu watu wamesahau ndiyo maana kipindupindu kinatadhibu kwa kucheza na kinyesi
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 6 месяцев назад
​@@Kwelihukuwekahuruacha kuingia mada zinazohusika na uislamu unaingia bila kujua bora ungerudi kujadili inshu ya pope kuruhusu ushoga ingekuwa Mali sana..!
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru 6 месяцев назад
@@hassanmfaume4522 hata ushoga ni uchafu tena wa hali ya juu siwezi kuunga mkono uchafu na mtu mmoja akiamua kumkufuru MUNGU haimaanishi ni watu wote na kuhusu kucha za Fatuma sijazifungamanisha na uislam kwani kuna Waislam wengi nawafahamu na wanafuga kucha na bado ni wacha MUNGU kufuga kucha na kutunza nywele ni umaridadi wa mwanamke mwanaume akifanya hayo tutamtilia shaka
@AaAa-vm8bb
@AaAa-vm8bb 6 месяцев назад
Anajisafishia mashine
@amanimlengwa9202
@amanimlengwa9202 6 месяцев назад
Kama Mimi tu nimeshasahau kujigusa Nyoro kitambo, huyu je? We bwana endelea na maisha yako ya kubebana na makopo kwenda msalani, wengine hayatuhusu.
@fadhilmohamoud
@fadhilmohamoud 7 месяцев назад
Uyu teja😂😂😂
@zmclassictv
@zmclassictv 7 месяцев назад
ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-UKWZsDge8cA.htmlsi=F7A1iO-vd4kKJr6h Vita kali
@omarsaid673
@omarsaid673 6 месяцев назад
.
Далее
Недооцененный котел в Симс 4
00:37
Amazing weight loss transformation !! 😱😱
00:24
СДЕЛАЛА БРЕКЕТЫ ДОМА
01:01
Просмотров 1,2 млн
Mjue Ukht Raya Omar,kipenzi cha wengi
12:13
Просмотров 8 тыс.
SHAJARA || Uwekezaji katika soko la Hisa
19:29
Просмотров 2,1 тыс.
The Goat in 2012 #shorts #football #goat
0:24
Просмотров 2,8 млн
Next level practice 😦 (via rafaelfortaoo/IG)
0:12
So satisfying! 🎯
0:26
Просмотров 9 млн
FOOTBALL BOWLING CHALLENGE 🙈🎳
0:17
Просмотров 7 млн
ENGLISH OR SPANISH
0:13
Просмотров 1 млн