Makala yanayo husiana na bahari pamoja na anga yanavutia sana lau watu wangeijua hii channel sns mngkuwa na kazi ya ziada kukata kiu ya wafwatiliaji wenu MPO VIZURI SANAAA
Allah akbar.hongera ndugu viumbe bahari vinatisha lkn pia hivo walivojaliwa kuviona naamini bado kabisa hata theluthi hawajaikaribia kujua siri iliomo ndani ya ulimwengu wa kwanza wenye ukubwa wa asilimia zaidi ya 70 ukilinganisha ulimwengu tunaoishi binadam na wanyama wenye asilimia 25 pia hatujaufikia hata theluthi seuze bahari.tumuogope muumba jamani.
Umenikumbusha kauli ya hayati Nyerere,,tupeleke shule wameru ili tujue thamani halisi ya madini,,,,,daaaaah the way u can exprole and express my dear ur the role model of real resechers ,,,🎉🎉🎉🎉🎉CHUKUA MAUA YAKO,,,,ITS ME Baraka Amani(CHAMWINO IKULU-DODOMA-TZ)
Mwenyezi Mungu kasema kuwa kaumba viumbe 400 Nchi kavu. Na viumbe 600 kaviweka Baharini. So kwa dalili hiyo sishangai kusikia viumbe vipya mashikioni mwangu. Alhamdulillah.
Sisi waislamu tunasema AllahuAkbar 🥰 Na bado kuna viumbe zaidi ya ivyo tunavo viona na kusikiya Itoshe kusema ya kwamba kwamara nyingine tena Mungu ni Mkubwa 😊
Fredrick bundara unafanya Kaz nzur san na SNS kwa ujumla hasa kwenye upende makala nashauri pia kufanya review za movies na trailers kama Wana sns tuendelee ku enjoy 😉
Mh sasa hapa najiuliza kitu, hawa bionea wa nne na mtoto wao, INAMAANA hiki chombo kinacho shuka kilomita kumi na moja, awakukiona kweli? Hadi waparamie sabufa la mchina? Ama kweli nyani haoni kundule, wengine wanasema nyani kifo kikimfikia miti yote huteleza.