Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web... Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali
Yesu ni njia ya kweli naipo siku watu watashangaa maana ndie mfalme kati ya wote walio mtangaza Mungu baba wa mbinguni.akumjuwa mwanamke Wala wanamke akumjuwa yesu naalikuwa mwanaume timilifu hapo inatosha kuamini kuwa yeye ndie njia yetu.kumbuka kwa mama wa yesu bikila Malia Yani maliam akumjuwa mwanaume nawala mwanaume akumjuwa Malia tunao muamni yesu like 10 basi sijawah kupata like
Kuna watu wanatesekaga wakisikia neno YESU TU wanaropokaaaaa wanasahau herode alianza kumtafuta YESU toka ciku kazaliwa tuacheni na YESU WETU tunachokiamini tokaaaaaa Pepo kwa JINA LA YESU
Asante sana hi inanisaidia sana Mimi napenda kusoma bibilia nakujifunza mengi ila hizi historia hazipo kwenye bibiliana wafwata sana ili kuendelea kujifunza Asante sana MUNGU azidi kuku weka na kukupa afya njema
Mkiendelea kubishana nani anaHaki basi Tambueni Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema anayaona yote na Akiamua ata leo hii migongano iishe basi Anaamua. Basi Yeye Aturehemu pale tunapokosea.
Izo ni ibada za sanamu atakama ukipata nywele za YESU upaswi kutumia izo nywele ati kisa ni za YESU, yeye mwenyew anasema tumuite atatuitikia. Yermia 3:33
Swali langu sky kwanini ugriki ya zamani ilikuwa na nguvu hasa dini ufumbuzi walipoteaje kwenye nguvu walikosea Nini imekuwa nchi ya kawaida Sana kwa sasa
Suala muhimu zaidi kwa Wakristo wa kweli linapaswa kuwa kama inafaa kuabudu kifaa kilichotumiwa kumuua Yesu. Iwe aliuawa kwenye mti wa mateso, msalaba, kwa mshale, au kisu, je, inafaa kutumia kifaa hicho katika ibada?
Kaka sky nakufatilia sana hasa unapotuletea story za ukristo huwa nakuelewa sana na nakuomba siku ukipata muda jaribu kumtafuta mtu mmoja anaitwa Bishop ngonyani au jaribu kufuatilia video zake you tube akielezea kuhusu ukristo naamini atakupa madini
YESU ALIANZA KUWINDWA KABLA HAJAZALIWA NA UKITAKA WATU WAKUCHUKIE WEWE MKILI TUU KUWA YESU NI BWANA NA MWOKOZI WAKO APO HATA NDUGUZO WATAAKUKATAA😭😭😭 SIKIA ANAVYO SEMA Mathayo 10:34-39 “Msidhani kwamba nimekuja kuleta amani duniani. Sikuja kuleta amani bali upanga. Maana nimekuja kuleta mafarakano kati ya mtu na baba yake, kati ya binti na mama yake, kati ya mkwe na mkwe wake. Na maadui wa mtu ni watu wa nyumbani mwake. “Ampendaye baba au mama yake kuliko anipendavyo mimi, hanistahili. Ampendaye mwana au binti kuliko mimi, hanistahili. Mtu asiyechukua msalaba wake na kunifuata, hanistahili. Anayeyashikilia maisha yake, atayapoteza; lakini anayeyapoteza maisha yake kwa ajili yangu, atayapata.
Wakristo mpk leo bado mnatafta dini ma mungu alishawatabilia hlo mtaangaika sna coz mnaamini sna kweny miujiza na vitu ambayo vimeumbwa na mungu kuliko mungu mwenyew na mbaya zaidi ni wepesi kuaminishwa uwongo , ndio maana mnakufa kama kule kenya
Mi nilisikia kwamba katika hiyo vita walitekwa ma sister wawili na vitabu vya bible ndipo wakachukua baadhi ya vitabu kuweka kwenye kitabu chao...mungu awarehemu.
Na bna waislam wanasema yesu hakusurubiwa😢, Bible yenye tunasoma inasema yesu alikufia kwa msaraba,so kama quran yenu inasema sijui Issah was not crusified,huyo ni wenu na ni tofauti na Yesu mwenye sisi tunatabua sababu mwenye tunajua alisurubiwa,alah msituletee🦜
Ebana jamaa kabla ya kuchenjua vitabu na kuweka uongo wao walitumia akili kubwa sana waliondoa maneno ya ukweli baadhi wakaweka maslai mpaka leo watu wamepokea na wanatumia maandiko yao pasi na kujua ila bila shaka mashetani waliusika katka kutunga mana c mazingaobwe yale
Kwa sbbu ukitafakkar utaanza kusoma na kuutafuta ukweli na ukiutafuta ukweli utabaini ukiristo ni mpango mzima wa watu waovu wakishirikiana na mashaitwani wa kijini kupotosha wanaadamu.
Historia ya true cross inapatikana kwa Ethiopian Orthodox. Wanaamin kwamba kipande cha msalaba kilipelekwa kule. Kila mwaka wanasheherekea siku mbili kama sikukuu ya finding the true cross, sherehe inaitwa meskel.
Wewe usiejitambua endelea kusikiliza uongo WA Muhammad, Yesu amekufa miaka 500 kablaya ya Muhammad na uislam then anakuja Muhammad anasema hakufa sasa hizo ni akili au matope
@@francisjoseph1074 bwege ww mana bee wote ni wa mmungu mmoja na wote wameletewa mafundisho mwingine bada ya mwingine ww karate hao wazungu walio badilisha sasa mbona hukumfata ibrahim au musa na wote ni mana bee ibrahim ndio na bee alie anzisha uislam mmpaka leo watu wanahiji na ushahidi upo na isa ni muislam hakuna dini ukristo ni cheo ama mpaka mafuta
Msalaba'... Aah Wapi! Misalaba yote Duniani haina uhusiano na Dini ya Yesu Ushahidi ili uwache Ubishi ingia 'RU-vid' andika(Zeitgeist-Part1) uone kabla Yesu kuzaliwa,Misalaba ilitumikaje?
Kwa Wayahudi Misalaba ilitumika kama Adhabu kwa Waarifu, Ndomaana Yesu alihesabika Kama Muarifu ndo maana akaunganishwa na wale wezi wawili kwakuwa Yesu alikuwa ni Myahudi
Msalaba ulikuwa ni ishara ya laana kakini baada ya Yesu kutundikwa msalabani kwa ajili ya dhambi za wanadhamu msalaba umekuwa ishara ya ukombozi kwa wafuasi wa yesu yaani wakristu. Wayahidi na watu wengine si lazima mkaamini hili. Hili ni jambo letu sisi wakristu.