Тёмный

Walimu waliuliza huyu ‘bubu’ anafuata nini shuleni? 

BBC News Swahili
Подписаться 617 тыс.
Просмотров 917
50% 1

Pamoja na kuwa ni kiziwi, Anneth Isaya ameweza kusoma hadi kuhitimu chuo Kikuu cha Dar es Salaam na sasa anasomea shahada ya uzamivu na ni Mkurugenzi wa taasisi ya wajasiriamali viziwi-FUWAVITA
Alipata hali hiyo akiwa na umri wa miaka mitano lakini aliweza kupata elimu hadi ya chuo kikuu.
Je safari yake ilikuwaje?
Tazama
#bbcswahili #waridiwabbc #tanzania
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Опубликовано:

 

9 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 3   
Далее
Israel Mbonyi - Nitaamini
12:58
Просмотров 26 млн
KADANGANYA
10:21
Просмотров 273 тыс.
MFANYIE MUMEO HIKI AKUPE KILA UNACHOTAKA
14:29
Просмотров 65 тыс.