Hataa wakisema hakuna shidaa,,kwanii wao kwao sipalijengwa na sisi situlisubili,,cha msingii wakandalasii waachee mwendo wa kobe kwenye miradi ya selikarii kwanii wanatukwamishaa raia.🙏🙏🙏
Kwenyee uwanja wa ndege,,selikarii ongezenii juhudii maanaa imekuwa ni gharama kubwa kutumia huu usafirii ambapo hata uwanja kuwa mdogo ni chanzo cha naauli kuwa juu sanaa.
Tunaishukuru Sana serikali pia uchapakazi wako.Lakini tumieni pia sekta binafsi kwenye mega projects zingine(miradi mikubwa).Maana Kigoma tuna changamoto nyingi,tupo nyuma Sana.
Hata hivyo kigoma iko nyuma sana kwa maendeleo mfano chato ni wilaya tu lkn barabara za mtaan zina rami kuliko kigoma ten kabla hata hawajapata Rais wakiwa na waziri, kwenye kipindi chake ajitaidi afanye mengi ikiwemo vyuo viwepo vingi mkoani kigoma
Chapa kazi makamu wetu wa raisi.hao wanaosema hivyo mbona kwao barabara nzuri za lami zipo.?mtandao wa barabara ni mpango wa nchi nzima.waache wapige kelele tu.