Hii ni ngumu mnooo, watoto wanatia huruma sanaa!! Poleni sana watoto, kwa dunia ya sasa ingekua mimi naishi vizuri, nyumba nzuri watoto 6 , pesa ipo wala nisinge angaika kubisha na mwanaume, nafanya shughuli zangu tuu, sana sana ninge mwambia tuu awe carefully asije leta marazi kwishaa, ushauri tuu .
Yaan hasira hasara una muua mume na wewe unaozea Jela,kwa. Nini unatesa watoto sawa inaumiza mumeo kuwa na mtu mwingine lakini ungefikiria watoto wako kwanza
Millard ayo hapa umemchemka!sio sahihi kabisaa kuwaonyesha watoto hvi!unajua madhara yatakayowapata hawa watoto kisaikolojia??sio sawa Fuateni maadili ya utangazaji
Hawa siyo watoto tena! Wanaonekana washakuwa watu wazima kabisa! Madhara waliyoyapata kisaikolojia kwa kifo cha baba yao tayari ni makubwa kuliko kuonekana kwenye kamera!
Wanawake wenzangu ukishakuwa na watoto wape nafasi ya kwanza kwenye maisha yako kwanza umeshamwona mwenzio kashazaa mpaka nje Mungu amekubariki uzao mwingi watoto sita jamani si ndo wanakufariji sasa ona unawasababishia watoto uyatima usio wa lazima la kwanza hilo la pili mme akishakuwa na mwanamke wa nje mambi yanakuwa mengi wakati mwingine tunaweza kusema kaua huyo mama kimazingaombwe tu kumbe muuaji ndo huyo anayetetewa kuwa alikuwa mke siyo kimada kiulimwengu uleeeeeeee tusimame na Mungu ndugu zangu na tuwafikirie watoto wetu hafu vingene ndo vinafuata dunia tuliyo nayo siyo.
Hata mimi nasimama na Beatrice yaani simhukumu...sitaki kushikwa akili na mawazo ya wengine...hatujui alikuwa anapitia maumivu gani ndoani...michepuko mingi ni michawi na mishirikina...inaharibugi amani ya ndoa...Siipendi kama ile dawa ya kutibu KASWENDE
Kuua bila kukusudia haipo hivyo, yaani uchukue kisu, uingie kwenye gari, usafiri umbali wa mita kadhaa, ushuke kwenye gari na kisu hujakisahau, uende na utende kabisa jambo lako, huko sio kuua bila kukusudia huku kunaitwa kupanga mauaji na kuyatimiza, ingekuwa aliwakuta chumbani kwake na akakimbilia jikoni kuchukua kisu hii ingekuwa bila kukusudia, so huyo lazima aende jela la sivyo awe na pesa za kutosha kuhonga
Macameraman muwe mnajiongeza jamani.. kwani ni lazima muwarecord na mnaona wanapata shida na camera yenu. Msijali sana RU-vid channel zenu mkasahau hisia za watu. Sio kwenye kila tukio watu watafurahi camera ziwaelekee
Manaume aziniye na mwanamke hana akiri kabisaa afanya kosa litakalomwangamiza nafs yake nyie watu tuishini kwenye maandiko ona sasa watoto wanabaki na sintofahamu shetan yupo very ittelligent akivuruga wazaz amevuruga familia na anawinda hatma za watoto azivurugee inahuzunisha raha ya siku moja inakugharimu miaka kendaaa😢
Mbona hakuna sehen inayoonyesha kuwa mwanaume alichepuka. Sion watu wakimtupia maneno magumu mwanamke lkn ingekuwa mwanaune ndo kaua maneno ambayo yangekuwep ni kutukanwa wanaume wote.
Yeye hakuwataka watoto wake ndomaana akaamua kuuwa ili aende jela. Kwani angeamua kumuacha na adai taraka abaki nawatoto nini kingeharibika? Yeye pia hakuwa na uchungu juu ya watoto ndomaana aliona bora aende jela.Maana angewaza juu ya watoto basi asingemuuwa Baba yao,kwani kama yeye hakumfaa aelewe angewafaa watoto wake.
Watt Wana uchungu na mama yao mama wa kambo atapewaje watt wa mke mwenzie hivi mnawajuwa wamama wa kambo vinzuri au mnaongea tuu Aidha Moja watt wanawenza wasimpende mm mdogo au mama mdogo asiwapende maana mama mdogo ataolewa na mume mwingine Hana shida mama ni mama tuu asikuambie mtu
Kumbukeni huyu mama hakukusudia kuua ila ilitokea kumpiga na kitu eneo la kichwani au shingoni ikawa bahati mbaya na hii yote ni hasira. Anatakiwa asamehewe maana hajakusudia.
Jamani haya mambo wanawake tumlilie mungu maana hasira ni mbaya tusirihusu hasira na visasi vitutawale hata maandiko mmatakatifu yanasema hasira hukaa kifuani mwa mpumbavu
Huzuni sana. Ungewapotezea maana bado watoto. Wataweza ku handle jamii dhidi yao kuwa mama yao katuhumiwa kumuua baba yao? Yaani utawafanya wakose amani maana unawatambulisha kinoma
Mungu awatie nguvu na kuwasapoti watoto wangu, kwenye ndoa bila msaada wa MWENYEZI MUNGU huwezi kutoboa pumzika kwa amani msele, Hapa yanaanza mambo ya msuya family
Wanaume muache umalaya wasenge nyie😏😏😏mnatuumiza wanawake mno! Ivi angetulia na familia yake yangetokea hayo?? Sometime mnasababisha familia kusambaratika
Tatizo Lao wanatamaa wanataka mboro zao ziingie kila tundu tutawaua sana km unaona mke akufai kaeni chini kubalianeni muachane kwa amani uende kwa uyo unaemuona mzuri awataki tena kwa kukataa wakiulizwa km wanachepuka ss cku nikimkuta na uyu wangu nyundo ya kichwa inamhusu au nikiona vp namuwekeq sumu yakuua kidogo kidogo umbwa awa
Hasira ya mwanadamu haitendi haki kwa Mungu. Kuna jambo la kujifunza kitu wakati mwingine mtu hata akikukosea namna gani ugonvi hauwezi kuwa sababu ya kutatua na wakati mwingine unaweza kuongeza matatizo zaidi. Huwezi kusuruhisha jambo kwa kufanya ukatili au kulipa kisasi.huyu mwanamke tukio hili litamtesa kwa kipindi kirefu sana.mume amekosa, watoto wamebaki yatima na yeye anashikiliwa na polisi.
Wanawazalilisha kwani hawana nguo? au wamekufa? mbona mama yao alioneshwa hukusema kadhalilishwa? maoni yako siyo maoni ya wengi, kumbuka hiki ni chombo cha habari kinaujuwa utaratibu, ndiyomaana hujawahi kukuta picha ya maiti ikirushwa hapa, wamevaa nakujistri vizuri wala hawajaandika vibaya kuwachafuwa! lengo la habari hii nikuwafanya watu kujifunza kuzuia hasira ili usijikute matatizoni nakuacha familia ikiteseka.
Ingekuwa mwanaume ndo kaua tungekuwa tushatukanwa hadi hatuna pa kupumulia. Ila kwa kuwa mwanamke ndo kaua basi kinachosemwa ni mwanaume kuchepuk kana kwamba kuna ushahidi huo. Hebu mnuyoosheeni kidole huyo mwanamke kama haki ni sawa ili iwe darasa na kwa wanawake wengine ambao wanaubabe wa kuua kama hv
Ela ndyo kila kitu. Uyo mama kujifunika ivyo n dalili tosha ya kuwa anauwakika wakutoka so kuna kaushaid wa sura anaficha ila ingekuwa n kapuku kama mimi asinge funikwa
Millard Ayo Umekuwa Mwanahabari Mkubwa Mitandao Hauna vitendekazi shindani na mitandao mingine camera 📷 unazotumia zimepitwa na wakati kabisa inalezi mbinuko Habari zako ziko ki CCM CCM Nunua camera uwezo abao hata kama amejifunika minguo camera inauwezokumtoa vazi usoni kuleta habari yeye uhalisia unampiga picha kajifunika nguo kama ameshikilia sumu ama amebebe kisu hakuna camera hata Moja yenye uwezo kuvua nguo usoni camera zenu ni vipofu vya Habari kulikuwa na haja gani kuwa record watoto wa mtuhumiwa ungewa wa record ndugu wa mtuhumiwa Millard Ayo nunua camera vinginevyo tutakuharibia kazi yako siku hizi upo ki CCM CCM
Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu
Upelelezi wa nn akati ngoma iko live,msimcheleweshee hukumu yake,sukumeni haraka afungwe,ingekuwa ni mwanaume ungesikia haki za binadamu sasa kwakuwa kauawa mwanaume aaah wanaume hatunaga wa kutusemea...cku za mwisho mjue Mungu ndie mtetezi wetu
Mimi sioni kama unafanya sawa ku wa expose hao mabinti . Unge cover tu issue na picha za watu wazima. Kama hawana miaka 18 unawakosea hao mabinti. Wao wamejikuta kwenye kizungumkuti tu
Shindwa, huyo ndo chanzo chahaya yote halafu unasemaje eti? Hatuwezi kujua huyu mama katoka wapi nahuyo mmewe hadi hapo walipokuwa wamefikia, halafu anakuja kumjengea mwanamke jumba lakifahari kwa pesa walizochuma pamoja? aah wee maumivu yake yasikie tu
@@GraceMarine-vo9hu Huyo hajui hata kidogo, Kumbuka hao watoto ni wakubwa wanajua kuwa kuna mchepuko wa mzee na ndio aliye trigger hayo yote, nina uhakika hawawezi patana kabisa. Tena kwa asilimia 100.
Wewe unavyooona watapata hao watoto wa kike na huyo wa nje ??? Kwanza huyo mama wa hata kwenda kwa ndugu wa mwanaume hatakuja kwenda hata siku moja labda mwanae tuuu.
Kwanza huyu mama wa nje ndo ana makosa. Unaishije na mme wa mtu bila kutambulisha more than one year. An hakuna kitu kimeniuma kama huyu mama na watoto wake wachanga. Naomba serikali ichukue sawa sheria lakini pia ilee hawa watoto mana had sas wana psychological problems hawana chochote wanachoweza kujifanyia
Lakini pia niwape ushaur wanaume wenzangu. Unavokuwa na mke wako jichunge sana usitoke nje ya ndoa yako mana hakuna kitu kinachoumiza kama kuwekeza hisia kwa mtu. It comes automatically that u can do anything kwa sabab tu ni emotions zinazokuendesha na wala so akili husika.
Nadhan kwa wale ambao mpo kwenye ndoa mnajua maumiv ya moendwa wako kukucheat. Inauma lkn tujitahd unapokuw na mtu wako. Stay with her mana anaumia kukuona na mtu mwingne. Please wapendwa nawaomba lets be humble to our partners
Maskin wanajificha kamera sio vzr kuwaonyesha hawakupendezwa millard umekosea sana, lkn pia kwa upande wa mama baada yakuwaona watt wanahuzunika kunakitu kimeniijia "fikir kabla ya kutenda" ona sasa watt mnawaweka ktk wakat mgumu mnoo jmn wabb na wamama mnapofikia suala lakuchokana achaneni kiroho saf ili kunusuru maisha ya watt jmn. Huyu mama angemuacha huyo bb akaenda hangaika huko alikokwenda kivyake yy akabak kweny nyumba yake analea watt wake kungekuwa nn? 😢😢😢
Kulikuwa na umuhimu gani kuwaonesha watoto? Hivi mumesoma Law of Child Act na kanuni? Hivi ni maslahi ya watoto hao kuwaonesha katika TV? Nini mnalenga kukipata? Proffessional ethics haijazingatiwa hasa kwa kukuzingatia wanayopitia watoto hawa.