Тёмный

WAZEE WA IKUNGI WAONGEA MAZITO WAKATI WA KUMPOKEA TUNDU LISSU 

Chadema Media TV
Подписаться 204 тыс.
Просмотров 182 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

11 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 303   
@ambrosdavid4484
@ambrosdavid4484 4 года назад
Tundu lissu unapenda sana wananchi wako safi sana mtani wangu
@annapeter4994
@annapeter4994 4 года назад
Inaniliza bado. Hongera sana mkuu, pole sana mkuu, na hongereni sana wazee wa Singida na watanzania wote mlioko hapo
@barakawangao2258
@barakawangao2258 4 года назад
Mungu wetu ni mwaminifu sana
@marcusraina3682
@marcusraina3682 4 года назад
Akuna kitu ni kinacho nifurahisha kwenye maisha Yangu kama kumuona tundu Lissu hivi. Sina cha kukupa Mola wangu zaidi ya kusema asante
@thomasnyahende188
@thomasnyahende188 4 года назад
Ahsanteni sana wana Singida Mashariki kwa mapokezi mazuri na mapenzi yote kwa Mhe Tundu Lissu.
@lazaruschalomhola9035
@lazaruschalomhola9035 4 года назад
Nafurahi kumwona Tundu anaongea kikwao. Inaonyesha alilelewa. Move foward!!!
@cruzjefferson6191
@cruzjefferson6191 3 года назад
InstaBlaster...
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
Wewe hukulelewa?
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Год назад
​@@jumakapilima7295 Genge la wasiojulikana bado wamenuna.
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 Год назад
@@modestwenceslaus9 huna ulijualo masikini!!
@janeenock2370
@janeenock2370 4 года назад
Rais rais mungu akutunze
@nasonchisota6241
@nasonchisota6241 4 года назад
Nimefurahi sana japo me siyo mtu wa singida ila nimeenjoy., nimependa sana huyo Mzee wa kwanza busara nyingi sana na imani kubwa., Amina inshiallah🙏
@lessingondaine1581
@lessingondaine1581 4 года назад
Jamani lissu I love you
@derickthobias6393
@derickthobias6393 4 года назад
Tusitukanane jaman kila mtu achague anachotaka. #Niyeye lissu 2020---2025
@amosgerald7763
@amosgerald7763 4 года назад
Safi sana rais wetu Tundulisu Mungu akutie nguvu
@wezydullah2678
@wezydullah2678 4 года назад
Wanyiramba hatupo nyumaaa tupo na wewe mnyanfaaaaaa
@hurumamboya3072
@hurumamboya3072 4 года назад
Mzeee wa kwanza ni mwana siasa na ni mcha MUNGU wa pili ni Emc mzuri sana na mhamasishaji na mpambe mzuri sana
@tawfiqissa6123
@tawfiqissa6123 4 года назад
Kabisaaa
@janeobure1859
@janeobure1859 4 года назад
Serikali ilifanya kosa kubwa Sana kwa huyu jamaa. Yaan MUNGU hashindwi najambo hakuna magumu yanayomshinda.
@lindambilinyi6253
@lindambilinyi6253 4 года назад
Hakika,na wanateseka Sana na lisuuu hahahaha
@gizakazeno1688
@gizakazeno1688 4 года назад
Kawaida sana
@adelinelyaruu3036
@adelinelyaruu3036 4 года назад
Mungu Ana huruma na neema. Hakuna linaloshindikana kwake🙏
@janeobure1859
@janeobure1859 4 года назад
@@adelinelyaruu3036 hakika hakuna linaloshindikana kwake muumbaji wetu.
@cosmaswilliam3805
@cosmaswilliam3805 Год назад
Ipo siku utakuja nyumban ntakupa jogoo
@georgepondelo4845
@georgepondelo4845 4 года назад
Hongera wananchi kwa kumuunga mkono na kuonesha upendo kwa kamanda wetu
@kizakakozi4600
@kizakakozi4600 4 года назад
Our president, no matter what, we behind you 100%, ccm sote tumehamamia kwako, Tunahofu, yakujihonesha, hii serikali yakidictecta tumechoma
@eliasfijabo945
@eliasfijabo945 4 года назад
Hawa wazee kiboko yao,hongera mheshimiwa lisu kukanyaga ardhi yanyumbani. Mungu akuzidishie kuimarika.
@brightnesstwins2998
@brightnesstwins2998 4 года назад
Mungu ana sababu na wew Mhs wetu, tusemenin juu yako Rais wetu 2020
@fubanjenjele521
@fubanjenjele521 4 года назад
Daaa, nilizani uchaguzi Ni mwepesi ila sasa uchaguzi ni mgumu sn
@pascalstealthy8378
@pascalstealthy8378 4 года назад
Ugumu wake nn..wakat wapinzan kura zap zinagawanyika hao....
@fabiolapanga8680
@fabiolapanga8680 4 года назад
Ee mwenyezi mungu tunakushukur kwasababu umetuhakikishia shetan hana nafasi tena
@oliviaseth4652
@oliviaseth4652 4 года назад
Kweli tumshukuru Mungu kwa maajabu yake.
@meshackanania2373
@meshackanania2373 4 года назад
Wazeehawa wanatumikatu
@heavenlymusicproduction4360
@heavenlymusicproduction4360 4 года назад
Duuuuuu mzeee ana IMANI sana
@fredrickmuganyizi9657
@fredrickmuganyizi9657 4 года назад
Niyeyee kweli Raha Sana kipenzi chawatu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏✌️✌️✌️✌️
@annapeter4994
@annapeter4994 4 года назад
Hapa mkiniambia huyu atakuwa Rais wa wanyonge ndo naweza kukubali. Kinyume na hapo ni mbwembwe tuu
@barackramathan4871
@barackramathan4871 4 года назад
rais wa mashoga wezie
@annapeter4994
@annapeter4994 4 года назад
@@barackramathan4871 maneno yako ndo utambulisho wako, kuwa we ni mtu wa aina gani. Pole zako
@barackramathan4871
@barackramathan4871 4 года назад
hukuna rais apo jingailo
@issamunga9039
@issamunga9039 4 года назад
@@barackramathan4871 wewe unaonesha ni mtu wa aina ile ya wale wa Hai huko Kilimanjaro , wasiokuwa na akili ambao wanapewa pesa ili kuja kutoa upuuzi humu.
@issamunga9039
@issamunga9039 4 года назад
Hivi hadi leo kuna ambae hajaelewa tu kumhusu huyu Lisu ? Kama bado kwa kweli cha kuvumba hakina dawa kajitibu kwanza maradhi yako ya utahira.
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 4 года назад
Tembo anapigwa risasi moja chali kafa lkn lissu lisasi16 anadunda
@jumabakari813
@jumabakari813 3 года назад
So binaamu wakaiwada tundulissu
@nickolassaimon7874
@nickolassaimon7874 4 года назад
Wewe ni rais
@robertmwagala8280
@robertmwagala8280 4 года назад
Safi sana mzee wetu!
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 4 года назад
Jamani angalia wasimuue mzee wa watu .Mafisadi hawapendi kuelezwa ukweli
@sudibabu8828
@sudibabu8828 4 года назад
MUNGU NI MKUBWA
@charlesiwambura2508
@charlesiwambura2508 4 года назад
hongera kwako Mhe lissu huu mwaka wetu
@sophiemsuya6507
@sophiemsuya6507 4 года назад
Mimi nimeipenda tu hiyo sala.
@kinglabanziku9100
@kinglabanziku9100 4 года назад
Naipenda chadema kutoka moyoni
@linkreuben5804
@linkreuben5804 4 года назад
Atawaua huyo lisu tangu awembunge hajawajengea hata choo. Mwenzenu huko ulaya anashirikiana na mashoga, mnampigia makofi ya nini!
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 Год назад
Mbunge gani aliwajengea vyoo wapiga kura wake?
@Dd-mu4fj
@Dd-mu4fj Год назад
@@linkreuben5804 wabunge waliopo wamejenga nini huko kwenu mhh
@nururobert7172
@nururobert7172 4 года назад
Ushauri wangu kama unapitia comment naomba andaa siku maalumu yaibada yakumshukuru Mungu ,wanaoweza kukuunga mkono watakuunga yaani wewe ukitazamwa nimuujiza wa Mungu unaweza fanya watu wengi wamwamini Mungu.
@peterkalimaowa4144
@peterkalimaowa4144 4 года назад
napenda
@jumamnyambwa3490
@jumamnyambwa3490 4 года назад
Mungumkubwa
@joshuabanda8673
@joshuabanda8673 4 года назад
panga siku ya kumshukuru mungu kwa uponyaji wa maadui waliokusudia ufe lakini mungu akabatilisha ni jambo jema ukifanya hivyo lakini pia songa mbele acha kusikiliza maneno ya wakatisha tamaa
@jeremiadaudi5780
@jeremiadaudi5780 4 года назад
Napata raha sana kua na mtu makini kama lissu kwenye nchi yangu ila ccm hawajui umuhimu wako ipo day 1
@allybakari5917
@allybakari5917 4 года назад
Mambo nionvyo Mimi kweli uchaguzi huu utakuwa mgumu tuombe mungu
@ndootowilliam5453
@ndootowilliam5453 4 года назад
Barikiwa sana Lissu ..Utashinda ndo maana ulishinda risasi 16
@evansm8802
@evansm8802 4 года назад
To God be the glory, honour and adoration on the life of Tundu lissu.amen
@zawadikamwela6465
@zawadikamwela6465 4 года назад
mzee mungu akubariki
@noelbabuya
@noelbabuya 4 года назад
Dah huyu mzee kanigusa moyo wangu
@hansmhalila9019
@hansmhalila9019 4 года назад
Tumshukuru Mungu!
@philliminusmugereza8952
@philliminusmugereza8952 4 года назад
Hongera Sana Wazee.
@ngosimabwai322
@ngosimabwai322 4 года назад
Mungu nimwema
@natafutamatatizo4382
@natafutamatatizo4382 4 года назад
POMBE AJIANDAE MAANA WAZEE TAYARI WAMESHAPIGA KURA!😄😄😄
@barackramathan4871
@barackramathan4871 4 года назад
tundu tobo shoga lamashoga
@annapeter4994
@annapeter4994 4 года назад
Hawa wazee jamani, mbunge wa fursa... 😀 😀 😀 😀
@boeihongoa1436
@boeihongoa1436 4 года назад
😂😂😂
@kudraahmad6003
@kudraahmad6003 4 года назад
Maguful namba moja tz
@georgekandonga6538
@georgekandonga6538 4 года назад
Kaka gwamaka naona unavyo pambana mkuu
@juliethmtangoo6210
@juliethmtangoo6210 4 года назад
Mzee wa pili ana mzuka😂😂
@tawfiqissa6123
@tawfiqissa6123 4 года назад
Kabisaaa
@anabassesimbinegerle355
@anabassesimbinegerle355 4 года назад
🤣🤣🤣
@watakaniitaje1215
@watakaniitaje1215 4 года назад
😂 😂 Mcharuko yaani hapoi
@florameshak2042
@florameshak2042 4 года назад
Mungu akutangulie mh.lisu
@amenyemwansile631
@amenyemwansile631 4 года назад
Kama alivyopona na shambulizi la lisasi kimujiza hakika hata urais atashinda kimujiza
@anthonyzambi4415
@anthonyzambi4415 4 года назад
AMINA
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 4 года назад
Amina sana
@elimwemazacharia714
@elimwemazacharia714 4 года назад
Mungu ni mkuu 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
@Ndu-wa.uroony2
@Ndu-wa.uroony2 4 года назад
Jamani nyumbani raha sana
@ruwailaomar6501
@ruwailaomar6501 4 года назад
Lissu ww ni jembe mungu atakulipa urais kwa dhulma uliyofanyiwa
@eliasmathew8471
@eliasmathew8471 Год назад
Safi sana waodemoo Rais waghea
@daudisamson8981
@daudisamson8981 4 года назад
Pamoja Sana lisu
@rashidlighuda6014
@rashidlighuda6014 4 года назад
ghunoneye ino, , inapendeza
@kinglabanziku9100
@kinglabanziku9100 4 года назад
Chadema
@jjm4583
@jjm4583 4 года назад
Waooooooo nafrah na mie
@adamumarwa8307
@adamumarwa8307 4 года назад
Sema raisi wetu tunakuombea tuko kwenye mfungo kwa ajiri yako utarindwe na yesu kanyaga twende
@hamiskanama1945
@hamiskanama1945 4 года назад
Kijiji hakina wa Islam hicho
@johnisrael1968
@johnisrael1968 4 года назад
Kwa kweli busara ni muhimu ni wazi na dhahiri hawa wananchi wa jimbo hili walipokwa mbunge wao na kupewa viti maalum ndg mtaturu.sasa oneni wenyewe.sasa tusubiri tuone kama ccm watashinda hapa yaani imekula kwao
@isimailimwawa2328
@isimailimwawa2328 4 года назад
Wew nomaaaa lissu
@emanuelelius3994
@emanuelelius3994 4 года назад
Raha xn kuwa nyumban
@johanesdeocles6337
@johanesdeocles6337 4 года назад
Uyu ndo laisi lisu oyee
@jeremiadaudi5780
@jeremiadaudi5780 4 года назад
Ameeeeeeni
@tawfiqissa6123
@tawfiqissa6123 4 года назад
Vzr Sana kua nawazee wakijj wakia wanaelewana na vjana
@fabianchitojo7406
@fabianchitojo7406 4 года назад
Lisu unapendwa na watu lakin yakubid usimame kwa hoja ya kujenga ktk kampen zako ili utushawishi sisi wapiga kura achana na hoja za kumponda CCM
@victormneney8236
@victormneney8236 4 года назад
kampeni Bado anatafuta wadhamini we inaelekea siyo mtz
@fabianchitojo7406
@fabianchitojo7406 4 года назад
@@victormneney8236 nikwel lakn ngoja tuone mwishowe
@ibrahimchediel4867
@ibrahimchediel4867 4 года назад
Mbunge wa viti maalum diwani wa viti maalum hii kali1
@moshiomarymnyeda8907
@moshiomarymnyeda8907 4 года назад
Monyampaa wokhayaa wodemoo😃😃
@jonhsonminja1960
@jonhsonminja1960 4 года назад
Mungu nimwema.kwakweli
@johnsonmarick45
@johnsonmarick45 4 года назад
Its difficult to win people's heart💖
@brobabuu3973
@brobabuu3973 4 года назад
DAH HAYA NI MAPENZI.. Ikikupendeza waweza pita kwenye channel yangu napost mada mbali mbali za biashara na mafanikio uweze kujifunza jambo siku ya leo. Kwa pamoja tutafanikiwa!!
@jacklinsoteli5232
@jacklinsoteli5232 4 года назад
Babu hongera sana kwa kumpa MUNGU utukufu , ila usisahau kwamba mbeba maono hafi mpaka ndoto yake itimie
@brobabuu3973
@brobabuu3973 4 года назад
@@jacklinsoteli5232 kweli kabisa Asante sana pia
@maida2710
@maida2710 4 года назад
Kwa kweli nyumbani raha mohaja wore hali na anyampaa vito vomela sayu na ogihema raa sayu
@modestwenceslaus9
@modestwenceslaus9 Год назад
Mwache Mungu aitwe Mungu, ni Kama muujiza kumwona Bwana huyu aitwaye Tundu Lissu akiwa amesimama buheri wa afya sijuhi waliopanga na kutekeleza jaribio la mauaji yake wanajisikiaje au wanajitafakari nini katika kumtumikia huyo shetani aliyewatuma kumuuwa Tundu Lissu.
@user-cx9es4yj7q
@user-cx9es4yj7q 4 года назад
💯💕
@denisimaliyaweni9183
@denisimaliyaweni9183 4 года назад
Waliosema chadema imekufa cjui wanajionaje sahz na wana bahati waluzuwia mikutano lacvyo wangepata tabu sana,,,,, et upinzani umekwisha haaaaaa
@angelusmwinuka6979
@angelusmwinuka6979 4 года назад
Raha sana
@patricknamangoa6468
@patricknamangoa6468 4 года назад
A man of the people, T.A.L.
@teddykanondo5753
@teddykanondo5753 4 года назад
MUNGU NI MWEMA SANA TUMPE KURA ZA NDIO TUNDU LISSU IWE SHUKRANI YETU KWA MAPENZI YA NCHI YAKE MUNGU ATAMWAGA NEEMA NA MIBARAKA TANZANIA. TUNDU LISU NI JABALI. "SALA HIYO MUNGU AMEIPOKEA"
@homohudulage6768
@homohudulage6768 4 года назад
Pole baba
@homohudulage6768
@homohudulage6768 4 года назад
Pole bb
@amossbuyamba3269
@amossbuyamba3269 4 года назад
Naona mzee anatafta shangwe kwa nguvu.hadi anawalazimisha wapige makofi hahaha😁😁😁😁wajumbe cyo watu wazuri
@derickthobias6393
@derickthobias6393 4 года назад
#niyeye tundu lissu 2020
@janeenock2370
@janeenock2370 4 года назад
Babu wa kwanza kanitoa machoz....si kwa maombi hayooo jamanii
@benmwasakujonga3575
@benmwasakujonga3575 4 года назад
Hadi mie machozi yamenitoka hakika inaumiza and very touching speech
@paulinamwahinda7223
@paulinamwahinda7223 4 года назад
@@benmwasakujonga3575 mi pia chozi limetoka
@abeidsanga7361
@abeidsanga7361 4 года назад
Kumbe ni Mhazabe
@emmydzoo8729
@emmydzoo8729 4 года назад
Wawili tu ,mh
@esterjackson4387
@esterjackson4387 4 года назад
Safi sana
@nelsonmasolwa8343
@nelsonmasolwa8343 4 года назад
Uchaguzi mgumu sana
@zamdakimaro1940
@zamdakimaro1940 4 года назад
Ongea kiswahili magufuli akuskie na wananchiwake
@zuhuramuhanga5400
@zuhuramuhanga5400 4 года назад
Akitaka ata ingia gugo ata afisliwa
@ibrahimchediel4867
@ibrahimchediel4867 4 года назад
Mzee wa kwanza ni mwanasiasa kwelikweli
@tawfiqissa6123
@tawfiqissa6123 4 года назад
Kabisaaa
@endwardntandu3736
@endwardntandu3736 20 дней назад
Wewe tundu lisu acha kuwadanganya wanyaturu wenzako wewe huna maana Sana
@MatronaThomas-wz5si
@MatronaThomas-wz5si 4 месяца назад
Mtu kwao❤❤❤❤❤❤❤
@samwelmgomba5214
@samwelmgomba5214 4 года назад
MUNGU akubariki wewe na family yako.
@pogbabundala8758
@pogbabundala8758 4 года назад
Ila sas kwenye kugha mmetuchenga aisee lakn so mbay M4c
@malingazeboss9351
@malingazeboss9351 4 года назад
Tumekuelewa bos wetu
@brightnesstwins2998
@brightnesstwins2998 4 года назад
Kipenz cha mioyo ya watanzania, Mungu akulinde dhidi ya ila za shetan Mh lissu
@pascalmstaarabu4372
@pascalmstaarabu4372 4 года назад
Ama kweli wasukuma ni watu wapole hawapendi kujisifu. JPM forever
@badimetwevetwev6173
@badimetwevetwev6173 4 года назад
Pamoja sana
@barick
@barick 4 года назад
Sawasawa
@dicksonkilewlakusala8519
@dicksonkilewlakusala8519 4 года назад
Napita
@barick
@barick 4 года назад
@@dicksonkilewlakusala8519 Unaenda wapi?
@sponsor7882
@sponsor7882 4 года назад
Ama kwel mtu na kwao.
@georgemanandi8523
@georgemanandi8523 4 года назад
Tatizo wamekuvalisha kaniki nyeusi. Hiyo ni ishara ya giza linalokwenda kukupata
@kaguripenina63
@kaguripenina63 12 дней назад
Napata rahaxana kukuona unafuraha ,na ninapenda kuangalia crip za nyuma
@barackramathan4871
@barackramathan4871 4 года назад
magufuli babalaooooo tundu mamalaoooo
@agustinojohn6307
@agustinojohn6307 4 года назад
Chademaaa I love u
Далее
🍏 Устарели ОФИЦИАЛЬНО! 🤡
00:32
BeastMasters Hawk just had enough #ti13
00:30
Просмотров 291 тыс.
Tundu Lissu Amjibu Fatma Karume Sakata la "Ubaguzi"
16:37
VIONGOZI WA CHADEMA WATOA MATAMKO MAZITO
6:37
Просмотров 1,5 тыс.
🔴🅻🅸🆅🅴 : TUNDU LISU ANAUNGURUMA SEGEREA
1:38:39
Mkasi | S11E07 With Mh. Tundu Lissu - Extended Version
1:17:26
🍏 Устарели ОФИЦИАЛЬНО! 🤡
00:32