Тёмный

WAZIRI MKUU AMFOKEA MKURUGENZI, MADUDU SUMBAWANGA - ''UNATAKA KUMHARIBIA MKUU WA NCHI? ''... 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 65 тыс.
50% 1

WAZIRI MKUU AMFOKEA MKURUGENZI, MADUDU SUMBAWANGA - ''UNATAKA KUMHARIBIA MKUU WA NCHI? ''...
WAZIRI MKUU KassimMajaliwa amesema hajaridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa miradi ya Hospitali ya Manispaa ya Sumbawanga na Kituo cha Afya cha Matanga mkoani Ruakwa ambapo tayari Serikali imeshatoa zaidi ya shilingi bilioni mbili.
Hivyo, Waziri Mkuu amemuagiza Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sumbawanga James Mbungano ahakikishe uchunguzi wa matumizi ya fedha za miradi hiyo unakamilika kwa wakati.
Miradi hiyo ni ya ujenzi wa hospitali ya Manispaa ya Sumbawanga ambayo ujenzi wake umegharimu shilingi bilioni 1.5 ambao bado haujakamilika licha ya kujengwa chini ya viwango. Amesema kwa kiwango hicho cha fedha walichopokea walitakiwa wawe wamekamilisha majengo matano.
Waziri Mkuu amesema mradi mwingine ni wa ujenzi wa kituo cha Afya cha Matanga ambacho mpaka sasa wameshapokea shilingi milioni 500 lakini ujenzi wake bado haujakamilika. “ Ujenzi wa Vituo vya Afya nchini ni shilingi milioni 400 na shilingi milioni 500 katika maeneo ya pembezoni. Hapa mlitakiwa muwe mmemaliza na kituo kianze kuhudumia wananchi.”
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 713 750910)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

14 дек 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 197   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉 bit.ly/3MraYdQ
@alexlipili9343
@alexlipili9343 Год назад
We baba unafanya kazi sana ya kizalendo,,, hongera sana Mheshimiwa daaa one day tutaona matunda ya kazi zako,,Mungu tu akusimamie Waziri Mkuu!!
@wadhhasuleiman2621
@wadhhasuleiman2621 Год назад
Uyo mwenyewe kapiga pesa mpk zamabehewa kama kuna wazir mkuu mwizi huyu namba moja Mpk akimaliza Miaka Yake atakuwa tajir namba 2 Kwa viongoz WA serekali wa Kwanza kikwete
@mohamedkigwehe3561
@mohamedkigwehe3561 Год назад
@@wadhhasuleiman2621 unauhakika na unacho kisema? andaa nyaraka zako jisalimishe mwenyewe kituo Cha police chochote unachokijua kabla ya tarehe 20 ikifika tarehe 20 hujariport kituwo Cha police tunakutafuta popote ulipo ndani ya hii inchi.
@vivianvivian8585
@vivianvivian8585 Год назад
Sana aise nampenda anafanya kazi sana
@marymsele1743
@marymsele1743 Год назад
Sio uyu mama ana magumashi
@nahiriali1405
@nahiriali1405 Год назад
Sijapata kuona waziri mkuu kama huyu masha Allah 'Allah akuondeshee husda waziri Mkuu wa Tanzania 🇹🇿
@CharlsLusambo
@CharlsLusambo 3 месяца назад
Kazi nzuri mheshimiwa waziri mkuu hata wakikuchukia lazima wasimamie majukumu yao
@ramajuma5620
@ramajuma5620 Год назад
Wew ni maguful na nusu mzee nakupa hongera sana
@tumbwenekilale6962
@tumbwenekilale6962 Год назад
Ahsante Samia Raisi wa jamhuli ya Muungano wa Tz.
@jumawaziri8501
@jumawaziri8501 Год назад
hongera saan majaliwa PM kwa kazi nzurr
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 Год назад
Tumerudi kule kule😭😭😭🇹🇿 Watalamba asali, mpaka watakula na nyuki wenyewe 😢
@yudanziku6030
@yudanziku6030 Год назад
Kweli kabisa
@nelsonjonathan7660
@nelsonjonathan7660 Год назад
@Emmaculate Kasinsa yule mama kusema kila mtu ale urefu wa kama hakua na maana waibe ila alimaanisha kila mtu alidhike na mshahara wake😂😂sasa kwa kinachoonekana hapa ni kwamba watu wamekata kamba wanakula hadi kwa jiran😲
@rishedkhalid50
@rishedkhalid50 Год назад
Hii nchi ina watumishi wengi wa hovyo sana kwakweli
@TECHTZTV
@TECHTZTV Год назад
Namuombea kwa mungu siku moja awe raii wa nchi
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Год назад
Yan mm 2025 bor asimame huy tutapat faid hanag maneno maneno 😏ni kazi
@anangisyejoseph925
@anangisyejoseph925 Год назад
Daaaah hiiii nchi ina watu wa hovyo san ukiwa kiongoz wawez kuf mapem
@jovitusjonas985
@jovitusjonas985 Год назад
Mambo ya hovyo sana yaan mnazungushana na mtu mmoja nafadi yenyewe ya uteuzi si atenguliwe mara moja tu arudi uraiani shida iko wapi. Mambo mengine mnayasababisha wenyewe acha wavurunde tu
@davidkimaro1860
@davidkimaro1860 Год назад
Asante mh waziri.mkurugenzi huyo anatia mashaka na ufanyaji wake wa kazi.kamanda takukuru wajitathimini kwa hakika wanashindwa kumsaidia mh rais kusimamia utendaji wa watumishi waovu
@petromwashusa9948
@petromwashusa9948 Год назад
Huyu mchapakazi za watu. Safi sana anajua kazi yake.
@mwigafarajakawageme2155
@mwigafarajakawageme2155 Год назад
Wazili mkuu mungu akubariki sanaaaaa
@user-nw8jk3et7l
@user-nw8jk3et7l 5 месяцев назад
Long live John Pombe Magufuli through Kasim Majaliwa,wewe Kasim waziri Mkuu bila kufikicha macho nafasi unayostaili ni ya Dr lsdore Mpango"
@mohammedikingazi5109
@mohammedikingazi5109 Год назад
Safi sana waziri mkuu wetu
@mwalimumstaafu8529
@mwalimumstaafu8529 Год назад
Inasikitisha sana. Hakuna kabisa value for money. Magufuli alikuwa nasema yeye sio mkali lakini kwa hali hii ilibidi awe mkali. Mimi nimeumia sana kuona kodi za wananchi zinatumika ovyo. Imefika wakati sasa nafasi za wakurugenzi ziwe zinatangazwa.
@rithakuyala9951
@rithakuyala9951 Год назад
Mungu akubariki sana BABA majaliwa
@saadyahaya5896
@saadyahaya5896 Год назад
Yes kazi iendelee,ila mheshimiwa njoo na huku dar maeneo ya chanika kumeoza sana sana kama umesikia kilio changu nitakushukuru sana,mungu akuongoze inshaallah
@magrthmakandi7224
@magrthmakandi7224 10 месяцев назад
Mkulungezi sukuma ndani nawengine iwe fundisho
@magrthmakandi7224
@magrthmakandi7224 10 месяцев назад
Hongera mazili mfano wa kuigwa aijaeahi tokea
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 Год назад
Hongera mh
@rashidkalabi8212
@rashidkalabi8212 Год назад
Katibu mkuu yupo na good representation skills
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 Год назад
Safi sana waiti wetu wa Tanzania tunajivunia Mungu akulinde
@kakamau0384
@kakamau0384 Год назад
TAKUKURU nao yani daah!!!
@willymwasakyeni4393
@willymwasakyeni4393 Год назад
Daaah kwa kweli nchi yetu balaa na tunasafari ndefu sana kufika yaaan kwa namna hii sijui laana gani iliyoachwa kwenye nchi hii
@yakobomaganga6557
@yakobomaganga6557 Год назад
Sukuma ndani huyoo!!,, Inaumiza Sana Kwa kweli 😭
@adeliphinusgabone7431
@adeliphinusgabone7431 Год назад
Yani na viongozi wengine wangekuwa kama Majaliwa hii nchi ingekuwa mbali sana piga kazi mkuu Mungu akusimamie.
@mkambamaulid447
@mkambamaulid447 Год назад
Mm sina Mashaka na Kassim Majaaliwa unafuata nyao mbona wengine hawatumbui why🤔 Mkuuu endelea mm mtu wachini huku ninakufuatilia vzr saaaanaa big up 💪🏽🙏🏼 Mm nataka watu kama ww mtu akifanya vzr mpatiae heko yake na akiharibu toa out Baaaaaasi 🤗
@novatidamian7236
@novatidamian7236 Год назад
Hata Hao takukuru ni wapigaji kama wao
@ramsdenjames9782
@ramsdenjames9782 Год назад
Safi sana wazir kazi nzuri
@imaima9181
@imaima9181 Год назад
Anacho kifanya Mh Waziri Mkuu kinawakera wapiga hela lakn ni faida ya watanzania wote. Eeh Mwenyezi Mungu ikikupendeza huyu Majariwa aje kua Raisi wa Nchi yetu Amina
@alexjackson5960
@alexjackson5960 Год назад
Kuna haja ya kutembea na fimbo kama hayati waziri mdogo na dc pia ktk awamu ya kwanza mh John nzunda ,NI kutandika tu
@richardgervas2310
@richardgervas2310 Год назад
Tozo zetu zote wanakula wao ,,,maisha kwetu magumu wanakula wao
@gaspercharles2244
@gaspercharles2244 Год назад
Upigaji hoyeeeeeee!!!!!!
@ismailmasanilo7018
@ismailmasanilo7018 Год назад
Mawaziri wanao chaguliwa awafanyi kazi vzr mpaka wazir mkuu aende kujua changamoto sehem wenyewe wapo kimya
@kaliskaguzkalis4424
@kaliskaguzkalis4424 Год назад
Ongela kwa kazi lkn punguza ukali kidogo
@muhenasaid1319
@muhenasaid1319 Год назад
Kwanza hapo wameweka mradi wakukamatia ng'ombe
@thieryniyonkuru5023
@thieryniyonkuru5023 Год назад
Wazuri hawafii 😭😭😭
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Год назад
Hii kauli kweli sijui alikuwa anamaanisha nn yule mzee ila tulimuelewa yani wazuri kama hawa wanaopiga Hela hawafi!!!
@pastorb.alaurent1006
@pastorb.alaurent1006 Год назад
@Baba waziri mkuu nakuombea sana piga kazi Mkuu dhawabu yako ipo
@stefanontandu2041
@stefanontandu2041 Год назад
Kopi ya mwenda zake mh. Majaliwa anafanya kazi yake iliyotukuka mwenyezi mungu amsimamie
@johnmizunguofficial
@johnmizunguofficial Год назад
Huyo mkurugenzi ni mwizi saana alituzurumu pesa ya post code
@omarmnungu5364
@omarmnungu5364 Год назад
Pole muheshimiwa Waziri Mkuu na Morogoro usiiche Kuna madudu ya ardhi
@hajimnubi4581
@hajimnubi4581 Год назад
Unamsaidia sana mama mheshimiwa kassim...waziru mkuu ndio anatakiwa kuwa hivi sio rais
@OPERATORSGARDAWORLD
@OPERATORSGARDAWORLD Год назад
RITA temeke shida sana mama hafanyi kazi vyeti vina kaa mwezi na compyuta zote zimezimwa wanatumia compyuta za mitaani
@pyzzocatto1829
@pyzzocatto1829 Год назад
Nchi hii imesha shindikans kilasehem madudu Daaaah watu wanatafuna sana pesa
@imelidamfikwa7954
@imelidamfikwa7954 Год назад
Waliweka kitambaa cha nembo ya taifa kumbe ndani madudu
@pacomezouzoua9175
@pacomezouzoua9175 Год назад
Uzuri Mama yupo zake marekani
@ziadamtebwa3712
@ziadamtebwa3712 Год назад
Pole waziri mkuu unapambana kweli binaadam ni mtihani
@abelmkayala1573
@abelmkayala1573 Год назад
Aliye sikia unaijua asilimia 91 wewe agonge like
@abuumuhammad7133
@abuumuhammad7133 10 месяцев назад
Lakini baadhi yetu Watanzania ni ukatili mkubwa sana mbona ufisadi unakuwa km ndio sera ya kuajiriwa na Serekali?
@fredrickjoseph2907
@fredrickjoseph2907 Год назад
Takukuru hapo wamehusika kula
@AishaJuma-wd8xd
@AishaJuma-wd8xd День назад
Hivi tutaendelea lini
@mankajuddy9856
@mankajuddy9856 Год назад
Aiseee. Hayaaa.
@hanifa9153
@hanifa9153 Год назад
So sad aki😔😏
@ufugajiwetu7782
@ufugajiwetu7782 Год назад
Hatat
@majaliwaharuna4064
@majaliwaharuna4064 Год назад
Kweli mh waziri mkuu anafanya kazi yake sawa sawa lakini mama samia hayaoni haya?????? Ina maana waziri mkuu hamwambii rais juu ya wateuliwa wa rais madudu wanayoyafanya?? Au mama yupo upande wa Hawa wafujaji ??? Inaboa Sana aisee
@jimpazclimpaz1794
@jimpazclimpaz1794 Год назад
Huyu Mkurugenzi hafai hata kuwa balozi hovyo kabisa Profesa Asad alisema asilimia 80 ya waajiri wa serekali Hawana uwezo nchi ina laana hii
@naturelle1097
@naturelle1097 Год назад
This is a disciplinary issue ma HR na wakili wa serikali mko wapi?? Msaidieni Mheshimwa Waziri Mkuu kuterminate hawa vilazaa. Walikosababisha hasara kwa mwajiri mkubaliane watakavyo fidia au kurejesha fedha...tuna wasomi kila kona but hamtumii elimu mliopata ipasavyo!
@shinipapaya846
@shinipapaya846 Год назад
Elimu gani hiyo unayosema kumbuka mitaara yetu yote ni ile ile ya MKOLONI ndio maana hata usome mpaka chuo kikuu huwezi kugundua au kutengeneza hata saa ya mkononi 🤣🤣😳😳 na kama unabisha jaribu kuchunguza kwa undani utakubaliana na mm kwa mfano watoto wetu mashuleni chekechea wanafundishwa jinsi ya kuchora CHURA,MENDE,JONGOO na SIAFU wakati watoto wa KICHINA wanafundishwa jinsi ya kuwa injinia wa ufundi wowote ule ndio maana namkubali MAGUFULI kwa kila kitu maana alikuwa na mipango ya kuifuta mitaara ya MKOLONI isiokua na maana yoyote RIP mzee baba Magufuli 😭🙏
@josephchilongani2057
@josephchilongani2057 Год назад
Kwakweli Waziri Mkuu anafanyakazi kubwa Sana. watendaji mumuunge mkono Kwa kutimiza wajibu wenu. Haiwezekani mtu mmoja apambane na uozo wooote nchi nzima!!!!
@annamfinanga3944
@annamfinanga3944 Год назад
Matatizo ya upigaji!!! Paying without evaluation/certificate. Mh. Majaliwa unda team ya kufuatilia hizi kazi nchi nzima! Wakurugenzi hawako serious!
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Год назад
Afukuz tu ukikutwa mrad haujatimia kaz hun na mshahar na kiinua mgong hupat wangenyook kuach wiz mrad wa million 500 unaib million 200 utatimia vip mrad million 500 iba million 2 au 3 sasa unaib nus ya mrad
@aloycefrancis6003
@aloycefrancis6003 Год назад
Mbadala wa mzee wetu anafanya Kaz Sana mtetezi wawanyonge tusaidie baba na mikoa mingine Ni uozo unaendelea. Rip magufuri
@magrthmakandi7224
@magrthmakandi7224 10 месяцев назад
Sumbaeanga tu akuna docta vifaa vipo ilaawajui kufvitumia hosp tu ya mkoa ni zito watu wanakufa bila uduma jamani sumbawanga kweli😢😢😢tunadhukuru hosp za watu binafsi napo uwe na kipato
@alexykalhimosile3439
@alexykalhimosile3439 Год назад
Mr majaliwa huwenda ukajakuwa president kwasa babu moto wa JPM ukondaniyako 🤞🤞🤞
@jeremiamaduhu2127
@jeremiamaduhu2127 Год назад
Mungu akutie nguvu
@daudpatrick1173
@daudpatrick1173 5 месяцев назад
Yaan hao baada ya JPM kuondoka tutaliwa mpaka mwisho.
@OPERATORSGARDAWORLD
@OPERATORSGARDAWORLD Год назад
MH waziri takukuru nae mla rushwa
@kilogreekachananawatuwasio4054
SUKUMA NDANI WOTE HAO MUESHIMIWA MAJALIWA 🙏
@amirimadagala8967
@amirimadagala8967 Год назад
Kiufupi Rukwa pameozaaa....na hakuna siku huu mkoa utaendelea
@tanzaniaoman6423
@tanzaniaoman6423 Год назад
Uwiii watu wanajua kujaza matumbo yao loh hilo jengo lenyewe sasa mmmh jamani jamani mkila na kipofu usimahike mkono hata kama kuiba ibeni kwa akili
@evancetarimo1310
@evancetarimo1310 Год назад
Ee mungu wangu Siku kasimu majaliwa akigombea urais kwa tiketi ya chama chochote Mimi nampa kura yangu😭😭
@varelianmwajombe4417
@varelianmwajombe4417 Год назад
Kwenye hii miradi kiukweli kabisa watumishi wanazipiga hela hizi ninyi cna hama.
@rukiamwinyihija7849
@rukiamwinyihija7849 Год назад
😭😭😭😭fedha za umma.
@faidhamyovela179
@faidhamyovela179 Год назад
Ndo maan kil siku shid haziishi hii kaz mag aliiwez angekuwep miak 10 tungeneemeka san
@mannabu9333
@mannabu9333 Год назад
lakin alisema mwenywe kila mtu atakula kwa urefu wa kamba yake sasa iyo sasa
@festokemibala5832
@festokemibala5832 5 месяцев назад
Tatizo ni kuteua nje ya mfumo wakiutumishi nao wateule kutopata induction course
@kikongajoel5172
@kikongajoel5172 Год назад
Kazi ipo jamaani
@tanzanitejoshua3681
@tanzanitejoshua3681 Год назад
Mungu akubarik ila usimpe sifa mtu hawajibik uozo unaanza kwake kuwalea mafisadi simamia wananchi siyo tunamuangusha mtu fulani wakati yeye ndo analea wezi hakuna hatua hadi wewe inakuwia ngumu kutumbua yaaaan napata hasira bhasi tuuu
@joshuabusiliye5172
@joshuabusiliye5172 Год назад
Brother yeye mwenyew anateuliwaa na Raisi ataachajee kumsifiaa ili arudii tenaaaah???Anapigaa kaziii kwelii ila ndio kmaa hvyo
@emilianchibinda82
@emilianchibinda82 Год назад
Nyie GlobalTv wapi huyo, mkurugenzi alipofokewa??
@user-wc8qm1lk7n
@user-wc8qm1lk7n 2 месяца назад
Wazirimku waendereze maeneo
@ndimimaskati3641
@ndimimaskati3641 Год назад
Majengo yote ni ya wananchi sio ya chama cha CCM, Miradi yote inayofanywa ni kwa ajili ya wananchi haihusu chama.
@simonfrancisjr6591
@simonfrancisjr6591 Год назад
Wallai ktk viongoz wa siasa uyu ndo anaeupga mwingi kwel na wat hawasemi Wala kumwambia kma yy ndy mpgaji mwngi
@user-uf4tz7gi6o
@user-uf4tz7gi6o 5 месяцев назад
Wanahujumu uchumi wawekwe ndani tunatoa kodi mshahara wanalipwa bado wanatuibia wawekwe ndani wapishe uchunguzi
@almujibually
@almujibually Год назад
Hao ndio wanaangusha jitihada za serikali majaliwa dili nao hao mashubamiti
@philemonmagesa5548
@philemonmagesa5548 Год назад
Hii nchi ni ngumu kuiongoza yani Rais anakazi kubwa kuongoza watu yani serikali inania njema na wananchi ila watendaji wa serikali sio waadilifu!!!
@georgemwakalindile687
@georgemwakalindile687 10 месяцев назад
Hii mijitu bana,inapewa jukumu la kusimamia tu wala sio kutafuta pesa....alafu inaboronga....aibu!!
@petroyohana1126
@petroyohana1126 Год назад
Takukuru imeoza, naanza kumuelewa magufuli
@jumannerajabu8259
@jumannerajabu8259 Год назад
mkurugenzi Kara pesa uyo
@theophilojohn7331
@theophilojohn7331 Год назад
Huyu dada bonge Kama namuona vilee hahaaaaaaa
@eliudijustinyindi5939
@eliudijustinyindi5939 Год назад
Sosiri nchii hiii 😳🤭😢🇹🇿
@mustaphabussinescenter4127
@mustaphabussinescenter4127 Год назад
Kuna wehu wanapiga pesa serekarini nyie 😀😀😀😀😀 aya ila waziri jitaidi huenda tukafikia lengo
@theophilojohn7331
@theophilojohn7331 Год назад
Sema vimeumana sumbawanga na mkurugenzi
@kassimukipingu7917
@kassimukipingu7917 Год назад
Inatia hasira mkuu wangu mpaka hapo maamuzi ninayaona
@aairraahseif5648
@aairraahseif5648 Год назад
Jengo zima na vifaa vyote humo havina ubora, mkandarasi gani huyu jengo limekaa hovyo hovyo,tiles si za viwango,kuta haziridhishi, na frem za milango hazina umadhubuti, rangi pia haina ubora,sijui mafundi niwa mitaani🤔
@shalumramadhan666
@shalumramadhan666 Год назад
Rip mjomba
@alexandermilanzi9860
@alexandermilanzi9860 Год назад
Mtalitinya kayakanyagaaaaaa🤣🤣🤣🤣🙌
@yusuphemma9663
@yusuphemma9663 Год назад
Hii nchi tutafika tumechoka Sana
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 Год назад
Sio kuchoka tu. Tukiwa tumezimia.
@albertsisima9038
@albertsisima9038 Год назад
Angalieni bichwa la mkurugenzi kama mundu
@mlekwalulinda6551
@mlekwalulinda6551 Год назад
Hata nyumba yangu siwezi kuluhusu fundi anijengee hivyo
@paulthomas2748
@paulthomas2748 Год назад
Hivi hawa huwa wanapataje hizi kazi jamanii,,,,
@billgussy6099
@billgussy6099 Год назад
Very unprofessional indeed. It is a clear sign of mulfunctioning of various Governmental institutions in Tz. How on Earth a Prime minister is up on such minor issues that a very junior officer can do. Shameful realy.
@sylvestersamwel8210
@sylvestersamwel8210 Год назад
Kwenye huo mkoa Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, kamanda wa mkoa wa TAKUKURU na kamanda wa TAKUKURU wa Wilaya wote ni majipu.
@daud405
@daud405 Год назад
Product of Rais Pombe Magufuli.Waziri mkuu endelea kukaza buti tupo nyuma yako na Mungu atakutangulia. CCM itabakia madarakani milele. hatutaki katiba mpya. Mhe .Majaliwa pambania wanyonge sasa kama Magu.hawa watu walifurahia sana kifo cha Magu wetu ila Allah yupo halali
Далее
Mohammad bin Salman: Prince With Two Faces
54:00
Просмотров 2,4 млн