Тёмный

WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI MGOGORO ARUSHA - MWANANCHI ATAKA KUNYWA SUMU BAADA ya KUVUNJIWA NYUMBA.. 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 59 тыс.
50% 1

WAZIRI SILAA AMWAGA MACHOZI MGOGORO ARUSHA - MWANANCHI ATAKA KUNYWA SUMU BAADA ya KUVUNJIWA NYUMBA..
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

15 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 182   
@globaltv_online
@globaltv_online 4 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
Binadamu tunadhulumiwa hapa duniani 😭😭wenye pesa wanatudhulumu 😢😢😢tulio lia pamoja na huyu baba like plz 🙏🙏🙏😥😥😥
@dinakyoma5977
@dinakyoma5977 4 месяца назад
Mungu akutunuku mheshimiwa Jerry Slaa , akupe maisha marefu
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 4 месяца назад
Ameen 🙏
@gfydfdf8869
@gfydfdf8869 4 месяца назад
Jamani haya machozi ya watu nilaana kwenye taifa,huyu baba aripe nyumba zao,wote ario wafunjia, Mungu nimwema atamtumia Jeri silaa,kupata haki zenu,
@TatuHaji-k8s
@TatuHaji-k8s 4 месяца назад
Silaha na makonda Allah atawafanyie wepes katk uongoz wenu tunawapenda sana
@kassimmanaramalika8592
@kassimmanaramalika8592 4 месяца назад
Allahumma Amiin
@KhadijakassimMwaipaya
@KhadijakassimMwaipaya 4 месяца назад
Aminaa
@edlumala9428
@edlumala9428 4 месяца назад
Nchi ngumu sana hii, kama uji wa moto! Ukitaza kwa juu unaona umepoa, ukianza kunywa unakuja ule wa chini ambao ni wa moto sana! Mungu akupe afya na umri Mh Jerry Silaha kwa kazi nzuri.
@RobertsonNandime-eo9fp
@RobertsonNandime-eo9fp 4 месяца назад
Hangela waziri silaa yani tanzania 🇹🇿 hii wew na Makonda ni viongozi kabisa❤
@MonicaMassawe-eh4xf
@MonicaMassawe-eh4xf 3 месяца назад
Pole kaka Mungu akupe nguvu inaumiza usikate tamaa Mungu yupo.
@uredmwasembo8579
@uredmwasembo8579 4 месяца назад
Ktk teuzi za mama akika uyu wazili na makonda akika mungu awalinde sana
@section8ight174
@section8ight174 4 месяца назад
*WaziRi
@deokulaya450
@deokulaya450 4 месяца назад
Jerry na Makonda Mungu azidi kuwawekea uwigo
@Waky-h8u
@Waky-h8u 3 месяца назад
Huyu waziri aokoa Maisha ya huyu baba. Pole sana baba watoto. Nimesikia machozi moto...kwangu. i wish niko karibu...nikusaidie pia kidogo. Mi ni Mkenya. ❤❤ your tears are hurting me kabisaaaa kama mama.
@MonicaRaila-tn5rb
@MonicaRaila-tn5rb 4 месяца назад
Mama samia mungu akushidishie maisha uokoe watanzania
@penuelmmbaga1118
@penuelmmbaga1118 4 месяца назад
Pole sana kaka,hongera mh.Jerry Slaa,umeokoa maisha ya watu.
@kayombotv9758
@kayombotv9758 4 месяца назад
Mungu akubariki sana mheshimiwa Jerry Slaa kwa kazi njema unayofanya. Hicho kitu wajifunze na watu wa mazingira wafanye kazi bila ya kumwonea aibu aliyetenda kosa. Kitu kiko dhahiri lakini wanachojua ni kuzungusha watu bila sababu hii ina umiza bila sababu.
@reginaedward4883
@reginaedward4883 4 месяца назад
Pole sana kaka yangu mwenyezi mungu atakulipa, mh JERI SILAA NA Mh Makonda watakusaidia.
@Dorka12-n7b
@Dorka12-n7b 4 месяца назад
Waziri siraa na makonda ni wachapa kazi live long to help the voiceless in the society
@dorahmushi-we6ts
@dorahmushi-we6ts 4 месяца назад
Mungu azidi kuwatangulia na kuwatunza
@dennishyera5448
@dennishyera5448 4 месяца назад
Mwenyezi Mungu mlinde mh. Slaha ,(waziri).
@lunangabenjamin3121
@lunangabenjamin3121 4 месяца назад
Huyu ndo waziri wa kwanza kuwa simple safi kabisa.inauma sana kuvunjiwa nyumba.hujuwi miaka mingapi mtu alisumbuka mpaka kukamilisha ujenzi wanyumba yake.unauma sana.kuna viongozi mavi serikalini wapo.
@eveliynejoseph7944
@eveliynejoseph7944 4 месяца назад
Yaan na mtu alivojinyima,kujenga sio Kaz rahisi jaman afu mtu akubomolee
@awaynaaaa3490
@awaynaaaa3490 4 месяца назад
Yaan inaum nyie iskiye t kwa mwenzio lisikufik yaan huli hunyw kwasabb upate sehem ya kujistir
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 4 месяца назад
Mashaallah waziri slaa mungu akupe umri mrefu na afya umeokoa maisha ya mtu aliyekata tamaa ya maisha hongera sana!
@moddy8744
@moddy8744 4 месяца назад
Asante Mh Slah kwa kweli wewe na Makonda Mungu Awabariki kwa kazi nzuri mnayofanya kutetea haki kwa kweli mnastahiki sifa sana Mungu Awabarik
@dorcasjonathan9793
@dorcasjonathan9793 4 месяца назад
Pole sana kijana wangu mungu atakusaidi nyumba yako itajengwa na utaishi umtukuze mungu alie kuumba mungu ambariki Dr slaa pole kaka
@sayuni123-kl6xk
@sayuni123-kl6xk 4 месяца назад
Watu wanadai haki zao alafu kuna wengine wamekaa kwenye viti tu wanapindisha haki zao lakini Mungu anaona
@GoshaNgosha
@GoshaNgosha 4 месяца назад
Mungu akubaliki jeli nakufatilia Sana
@hassaniabdi3991
@hassaniabdi3991 4 месяца назад
Alfu mijitu mingine imekaa ofisini kazi yaoo kuwatete watu waxhache wanao waaribia maisha walio wengi.ongera Jerry slaaa
@NurueliMapunda
@NurueliMapunda 4 месяца назад
Mungu ni mwema
@smartonlinetv5144
@smartonlinetv5144 4 месяца назад
Hongera sana Mh waziri Jerry silaa kwa kweli unajitoa sana Kwa ajili ya wananchi hawa. Aidha nikuombe Mh waziri, kama itakupendeza nakuomba toa mawasiliano yako ili wananchi waweze kukupata direct kuokoa maisha ya wengi. Ninaamini wenye changamoto kama hizi ni wengi sana na wengi wao wanashindwa kupata msaada mwisho wa siku ndio wanaishia kutoa uhai. Embu tazama huyo baba kwa kweli inaumiza sana
@prettygirl8325
@prettygirl8325 4 месяца назад
Yan mimi najenga room 2 tuu mwaka wa tatu cjamaliza....alf mtu anavunja nyumba yko kirahisi rahisi ivo...yesuuu...utajenga gorofa mbona
@juliethkatabwa5306
@juliethkatabwa5306 4 месяца назад
Mungu ambariki waziri
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 4 месяца назад
Mungu,akuponye sanaa.
@cloudngoko.2679
@cloudngoko.2679 4 месяца назад
Daa MAKONDA NA SILAA MUCH RESPECT🇹🇿✅
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 4 месяца назад
Mungu akubariki Mheshimiwa Slaa
@patrinraura1397
@patrinraura1397 4 месяца назад
Mungu akubariki Mhe Slaa WANANCHI walio wengi wametiririkwa na Machozi kutokana na hili tukio ambalo ni mfano hai wa baadhi ya VIONGOZI na hasa wenye hela wanavyodhulumu haki.Umeokoa maisha ya huyo Ndugu yetu kw kutoa HAKI"MUNGU AKUPE AFYA Na akulinde Tutazidi kukuombea
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 4 месяца назад
Naombeni namba ya huyu kaka nimsaidie hata chochote 😢😢
@AminaAmine-v4m
@AminaAmine-v4m 4 месяца назад
Kwakweli inaumiza mno unahangaika unapata kwako tena unavunjiwa😢😢
@FreeGod368
@FreeGod368 4 месяца назад
Nimeangalia video zingine uko nyuma kumbe jamaa ni machinga aisee, na watoto wake wa3 na mke wamerud kijijin hawana tena makazi😢 ila mtafte insta respis blasius ,au fb U mtafte kwa nickname yake ya baloon macheni,msaidie broo kama unaweza
@jeniferlyimo8260
@jeniferlyimo8260 4 месяца назад
Mungu akutunze daima
@ip_header
@ip_header 4 месяца назад
Kudos kwa Mh. Slaa, May Godbless him
@EmilyMsacky-hq9qy
@EmilyMsacky-hq9qy 4 месяца назад
Mungu wa mbinguni mwenye enzi yote azidi kuwatumia watu watendao haki Tanzania kwaajili ya wengi na wasiyopenda haki Wala rushwa mungu awafute kazi ktk jina la yesu.
@timothymoshi5800
@timothymoshi5800 4 месяца назад
Duh, Mkuu poleni Sana. Inauma.
@AmerdaKavishe-pu3cf
@AmerdaKavishe-pu3cf 4 месяца назад
Tunaumia sana ukisha kua mwajiriwa wa serikali ndio vimbo yakuwatandika wengine toshekeni na mishahara yenu muezi jitoe sadaka kwa mungu zipo kazi ambazo azina lawama kwa mwananchi
@Mapenzi2635
@Mapenzi2635 4 месяца назад
Inaumiza sana. Zaburi 35 isome ili Mungu akulipizie kisasi
@karamaabood4367
@karamaabood4367 4 месяца назад
Fanya toba kwa M mungu ndugu yangu mungu pekee ndo atakusameh nasio padri
@musasaguti4760
@musasaguti4760 4 месяца назад
Mungu awatie nguvu, ulinzi na busara wale wote watendao haki, na kuangalia haki za watu wengine pia. Jerry, Mungu awe nawe, timiza wajibu wako na muogope Mungu peke yake.
@abdirizakibrahim1975
@abdirizakibrahim1975 4 месяца назад
Jerry shujaa wa kweli mzalenda wa kweli sina maneno mengine zaidi ya kusema MUNGU akubariki
@epifaniamilinga2848
@epifaniamilinga2848 4 месяца назад
Mungu Yupo kila mahali.
@KkhamisKha
@KkhamisKha 4 месяца назад
Waziri wengu mpnda haki mungu akubarik
@alexnyigo8864
@alexnyigo8864 4 месяца назад
Mungu ni mwema sanaa
@hajjisanga789
@hajjisanga789 4 месяца назад
Mungu kakuponya mshukuru Sana na utoe sadaka
@zainabamran8230
@zainabamran8230 4 месяца назад
Pole sana
@hadijaally5735
@hadijaally5735 4 месяца назад
Silaha mungu akutuze ❤
@NoorLheyNoorLhey
@NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад
wazaziwalowazaeni yiyiwatuwa will nawapongezasana makona nasilaha kamawazazi wenuwakohay munguawapeuri mrefu kamakura alotanguliyambele yahaki munguawapepepo kwakuwachawa totowema
@Oman-p8x
@Oman-p8x 4 месяца назад
Mungu akubariki
@cjrtz
@cjrtz 4 месяца назад
Wabaya sana hao wanashiriki udhurumati
@MuhinaCharse-gt7og
@MuhinaCharse-gt7og 4 месяца назад
Mungu akutie nguvu wazir jer silaa
@faridakailembo3060
@faridakailembo3060 4 месяца назад
Duh,hakika Mungu ni mwema😢.
@kanankirannko6174
@kanankirannko6174 4 месяца назад
Wanalaanika sasa hawa viongozi ?
@juliethkatabwa5306
@juliethkatabwa5306 4 месяца назад
Mungu Yupo
@EsterNdosi-ud4xp
@EsterNdosi-ud4xp 4 месяца назад
Mungu yupe slaa na makonda Kila wilaya ni
@siamollel6051
@siamollel6051 4 месяца назад
Mungu tunaomba utuinulie viongozi wenye uchungu na watu masikini
@yousifyousif-p7f
@yousifyousif-p7f 4 месяца назад
Huyu kaka kaniliza 😭muheshimiwa Saha mungu akupe maisha marefu 🙏mtete WA wanyonge tunakupenda tunakuombea🤲
@RASHIDMOHAMMEDI
@RASHIDMOHAMMEDI 4 месяца назад
Munampata vipi mh waziri maana mzee wangu anamtafuta kupita maelezo kazurumiwa mali zake na hajui anampata vipi mh kwa ajili ya msaada wa kurusha mali zake
@SalimKombo-xo4pq
@SalimKombo-xo4pq 3 месяца назад
Mungu yuko nawe.
@juliusdominic-uk4bu
@juliusdominic-uk4bu 4 месяца назад
Mungu wa haki na wema akulinde mh slaa
@RiddoRiddo-jj1bx
@RiddoRiddo-jj1bx 4 месяца назад
Wakati wa Mungu ni wakati sahihi
@MwakisimbaMwakisimba-l9l
@MwakisimbaMwakisimba-l9l 4 месяца назад
Mungu yupo kaka
@annazacharianmko4657
@annazacharianmko4657 4 месяца назад
Hakika Jerry slaaa ni wa mungu mwenyewe mungu akulinde kila hatua unayoiendea maana sio wote wanaokupenda kwenye huu ulimwengu ukiwa mkweli ni vita maana nafasi za wengi zimejaa udhalimu na uongo mwingi ulindwe na malaika kama musa
@JUSTINPiniel
@JUSTINPiniel 4 месяца назад
Hii serikali yuko Rais, slaa waziri na Makonda wengine wasindikizaji tu bila kuwasahau Bulaya, na mpina na mdee
@maryamabdallah3140
@maryamabdallah3140 4 месяца назад
Wanajua kutuletea robot Eunice, eti anawasalimia bungeni! Huku wakiwasahau wananchi waliowachagua ili kutetea haki zao!
@KkhamisKha
@KkhamisKha 4 месяца назад
Pole san kk mungu akipambanie
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 4 месяца назад
Yaani am speech less Hata mimi clip ya mh Jerry Slaa akiwa bungeni nilifatilia kwa kweli ile hotuba yake kwanza inakupa moyo na msimamo na kukupa mwanga ufanye nini? Kwa kweli libarikiwe tumbo lililokuzaa na Mungu akusimamie kwa kila jambo 🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@geraldlyimo2859
@geraldlyimo2859 4 месяца назад
Kwani haya anayofanya waziri mahakama hawaonagi mapungufu yoote hayaa Samia mama anza na watu wa mahakama
@ntangiregemfuruki5478
@ntangiregemfuruki5478 4 месяца назад
Bba silaga love❤ aana
@petercostakisoka
@petercostakisoka 4 месяца назад
Poleni sana uyo jamaa jinsi anavongea alikuwa anajiuaa kweli
@NelsonMuindee
@NelsonMuindee 4 месяца назад
Poleni. Ni.arusha.wapi
@amospetro8789
@amospetro8789 4 месяца назад
Aseee poleee kaka
@LovelyOmbreSky-pu4jt
@LovelyOmbreSky-pu4jt 4 месяца назад
Inauma sanaaaa
@jeromejulius238
@jeromejulius238 4 месяца назад
Kwenye hii dunia kuna watu tunateseka sana
@khadjamhozya
@khadjamhozya 4 месяца назад
Bongo Ni ya kwanza
@aminasittusaid3830
@aminasittusaid3830 4 месяца назад
​@@khadjamhozya wanaoteseka ni wengi sana palestina, kongo.... dhuluma ni kubwa sana hapa duniani yaani mtu akiwa na vijisenti kidogo anajiona yeye ndo yeye wengine wote sio - INASIKITISHA SANA
@ttss7716
@ttss7716 4 месяца назад
Wanyonge haki yao kwa mungu ukiipata duniani mpaka watu wana muogopa mungu kama kina makonda na kina silaa 😢😢😢😢
@AshaMwamba-v2o
@AshaMwamba-v2o 4 месяца назад
Waziri adi kalia pole sanaaaa nchi inadhuluma hiiiik
@MzeeKagambo
@MzeeKagambo 4 месяца назад
Nikweli tusicheze na maisha ya watu
@MarthaBura-or8fe
@MarthaBura-or8fe 4 месяца назад
Mheshimiwa Jeri silaha njoo kinyamwezi pungu dar tumedhulumiwa viwanja na Matapeli .wanaochukua aridhi za watu.sasa ni mwaka watano. Tunateseka. Jamani mungu akulinde.
@elizabethsjoberg5734
@elizabethsjoberg5734 4 месяца назад
😭😭😭pole kaka
@nehemia397
@nehemia397 4 месяца назад
huyu mbona yupo kimkakati sana.
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg
@BardenBensonMwamfupe-dk3yg 4 месяца назад
Aisee mungu yupo
@TRAVELER288
@TRAVELER288 4 месяца назад
Aliyetokw na chozi kw hii video tujuane 😢
@fatmamdihiri4164
@fatmamdihiri4164 4 месяца назад
Sijui nalia nini 😰😰
@hyacintagugu7
@hyacintagugu7 4 месяца назад
Maumivu ndugu yangu.Duniani hapa kuna huzuni nyingi mnooo
@SuzanMairy
@SuzanMairy 4 месяца назад
😢😢😢😢
@goodlucknnko5493
@goodlucknnko5493 4 месяца назад
Kiukweli JERRY, MUNGU AKUFANYIE WEMA WOTE UNAOHITAJI. MIMI SINA INTEREST YOYOTE KWA SILAA ILA NINAUHAKIKA WA DHATI KUWA NI MTUMISHI NA SIYO BOSI, ENDELEA HIVYO MKUU KWANI MUNGU UWANYANYUA WANAOTETELEA WENYE SHIDA
@akademkkz
@akademkkz 4 месяца назад
Dahh 😢
@neemanziku5403
@neemanziku5403 4 месяца назад
Watanzania tunateseka sana
@mkombozifreshoil
@mkombozifreshoil 4 месяца назад
Halafu mtu ajitokeze kuwabeza viongozi kama hawa.
@WaziriOmari-f3h
@WaziriOmari-f3h 4 месяца назад
Wanaume wanatoa machoz mbele ya camera hili choz halishuki Bure 😢😢
@robertzamani5612
@robertzamani5612 4 месяца назад
Waziri huyo aliyebomoa nyumba za watu ajenge sio kuwalipa fidia
@abdulbonomali6548
@abdulbonomali6548 4 месяца назад
Hivi ndivyo halo halisi ilivyo nchi nzima
@martinlema4192
@martinlema4192 4 месяца назад
1. Tanzania 2. Samia 3. Makonda 4. Jerry 5. Wananchi (mwisho)
@NoorLheyNoorLhey
@NoorLheyNoorLhey 4 месяца назад
mamaikibidi hawa watuwawili waogezemshahara munguawaepushiyeni maaduwi awavizekama mayayiviza nawapendasana
@newbornhaule
@newbornhaule 4 месяца назад
Kwasasa tunahitaji vijana nasio vijana ni VIJANA MAKINI kama hawa Mungu awalinde wafanikiwe sana katika mambo yote
@tumainichanya3268
@tumainichanya3268 3 месяца назад
Mwaume kumfikia hapo ujue ni maumivu ya kupitiliza
@edithlameck8170
@edithlameck8170 4 месяца назад
Anatia huruma sana huyu kaka. Viongozi MJITAFAKARI. Kuna wananchi wangapi wanaumia kama huyu kijana jamani.....
@Happizo
@Happizo 4 месяца назад
Unajiuliza kwanini MTU kajinyonga... 🙏🥺😭😭😭Kumbe ni Mambo Kama haya jamani... Uwiiiiiiiiiii Mungu tusaidiee Wanyonge
@lindakapongo8421
@lindakapongo8421 4 месяца назад
pole
@JumaKamasa-kl6pz
@JumaKamasa-kl6pz День назад
😭😭😭pole
@johnnkelebe7360
@johnnkelebe7360 4 месяца назад
HUYU jamaa kaongea kwa uchungu sana. Serikali ya Samia imkate huyo jamaa alievunja nyumba za watu.
Далее
Это было очень близко...
00:10
Просмотров 1,6 млн
Part 5. Roblox trend☠️
00:13
Просмотров 2,9 млн
다리찢기 고인물⁉️😱 Leg Splits Challenge
00:37
Это было очень близко...
00:10
Просмотров 1,6 млн