Тёмный

WAZIRI SILAA AMREJESHEA MAMA KIWANJA CHAKE ALICHOHANGAIKIA MIAKA 40 -''UMPE KODI YAKE ya KUPANGA''.. 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 81 тыс.
50% 1

WAZIRI SILAA AMREJESHEA MAMA KIWANJA CHAKE ALICHOHANGAIKIA MIAKA 40 -''UMPE KODI YAKE ya KUPANGA''..
Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa amemrejeshea mama kiwanja chake maeneo ya Tegeta kilichovamiwa kwa miaka 40 sasa....
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9z...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 263   
@globaltv_online
@globaltv_online 3 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 3 месяца назад
Mama samia km wasoma hiz comment plz muache jery hapohapo kwenye uwazir anatenda haki wallah mungu ampe maisha marefu inshallah 🤲🤲
@BIGBOSS-hl3bu
@BIGBOSS-hl3bu 3 месяца назад
Mama muache huyu waziri kwenye hii wizara anaweza sana
@msafirimaulidi5054
@msafirimaulidi5054 3 месяца назад
Uyu ni mwana Sheria kwaiyo anajua vizuli Sheria inavyo wa favor matajili
@MCNgakungaJunior
@MCNgakungaJunior 3 месяца назад
​@@msafirimaulidi5054SIYO TU SHERIA NI MZALENDO NA NIMPENDA HAKI.MAANA UNAWEZAJUA SHERIA NA BADO UKACHEZESHA HASIYE NA HAKI AKAPATA HAKI.LAKINI HUYU ANA HOFU YA MUNGU.
@ShortyShorty-mr3jb
@ShortyShorty-mr3jb 3 месяца назад
Ni kweli kabisa ndg yangu wallah
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 3 месяца назад
Kabisaaaaa, yaani hadanganyiki na ni msikilizaji mzuri, ndio strength yake. Hapapariki, na kwa akili zake zilivyo nyingi, ndipo anapo wakamata. Kumbukeni kuwa Mheshimiwa Waziri ni mwanasheria pia. Yaani hilo pele la Ardhi, limepata mtusuaji 😅
@rosehaule6765
@rosehaule6765 3 месяца назад
Kazi ngumunkaka tunakuombea waziri wetu mpedwa mnoo Mungu akutunze
@chrispinrafael3831
@chrispinrafael3831 3 месяца назад
Mungu atakuongoza unafanya kazi muheshimiwa wewe na makonda mko siliasi kumsaidia mama Samia
@hadijamandanje6189
@hadijamandanje6189 3 месяца назад
Na wananchi pia
@jtheophil5499
@jtheophil5499 3 месяца назад
Daah.Slaa slaaaa umetishaaaa.Safi sana tungepata mawaziri kama 5 wa hivi Tanzania ingetisha ulimwenguni.
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 3 месяца назад
Mungu amsimamie kwa kaxi ya mikono yake kwa kutetea wanyonge❤
@babuuosama8752
@babuuosama8752 3 месяца назад
Mama Samia Kumi yake Baadae Vijana wako Mama Samia wawili Slaa na Makonda Waendeleze Kazi kwa watanzania InshaAllah "
@RestutaLeo-xq7rf
@RestutaLeo-xq7rf 3 месяца назад
Kwa hio miaka yote hio hawakuwepo viongoz wengine wa kumusaidia huyu mama mpk silaa jmn,,waziri wetu mungu akuweke miaka mingi jmn.
@agapemunyi2095
@agapemunyi2095 3 месяца назад
Ye ndo ataje aliokuwa anahangaika nao kuwepo hapo na kwa nn hana hati ,alikuwa anadanganywa
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 3 месяца назад
❤kaman huyu wazir anakhof ya mungu Allah awajaalie wazee waliomzaa fildaus yaan amafanya kazi nzur allah akalie umr mrefu❤❤❤
@farajahoptimumofficial
@farajahoptimumofficial 3 месяца назад
Aliyeteuwa mawaziri na kuwafix sehemu sahihi ni mh raisi. Kwa hiyo sifa lazima ziende kwa mh raisi kwanza. Hongera mh Jerry slaa
@OptimisticHummingbird-vh7dr
@OptimisticHummingbird-vh7dr 3 месяца назад
Sio wote ni baadhi wamesimama kwenye nafasi zao kama waziri
@LutenganoCharles-d7t
@LutenganoCharles-d7t 3 месяца назад
Sema mzee nimemuelewa sana anacheza na saikology hataki kuonesha kupanic kashaajua anamakosa na anajua hawez kubishana na mamlaka
@SwaleheSaad
@SwaleheSaad 3 месяца назад
Huyo ni mstaafu wa serikali anajua vyema Sheria na taratibu
@bigbossnkuba8632
@bigbossnkuba8632 3 месяца назад
Good job bro Jerry vijana tunapaswa kusimama hivyo💪🏿
@MrKhatibu
@MrKhatibu 3 месяца назад
Mama Samiha ni msimamizi wa haki mkipenda msipende, maraisi Wangapi wamepita hawakuwahi kusimamia haki. Hongera Mh Waziri
@Lusindehalima-si3ej
@Lusindehalima-si3ej 3 месяца назад
Mh. Jerry huyo ni mchaga wazulumaji sana wa aridhi Nasiyo huyo tu utawakuta wengi, ila ninakuombea Mwenyezi Mungu mweheshimiwa Jerry Mungu atakupa shuphaaa
@RubenMtuwaMungu-bz8ee
@RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 месяца назад
Mama Samia hapo kahusikaje mbona alimteua yule mama awe waziri wa ardhi na hakupaform. Hapa ni utashi wa waziri husika vinginevyo mawaziri wote wangewajibika ipasavyo.
@BigZhumbe
@BigZhumbe 3 месяца назад
Kwaivo Magufuli alikua hasaidii wanyonge moja kwa moja kwenye mikutano yake?
@swalehbakari2667
@swalehbakari2667 3 месяца назад
Nawengi katika viongoz uwa awapendi khaki ila uyu wazir na rais mungu awaongoze inshaallah
@ChoroTesla
@ChoroTesla 3 месяца назад
we jamaaa unyonge ni neno la kipumbavu​@@BigZhumbe
@taifaonlinetv.3670
@taifaonlinetv.3670 3 месяца назад
Aseee kumbe Ardhi yetu imekaliwa na watu wababe wenye nguvu za pesa zao. Waziri Slaa safi sana.
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 3 месяца назад
Kabisaaaaa, yaani hadanganyiki na ni msikilizaji mzuri, ndio strength yake. Hapapariki, na kwa akili zake zilivyo nyingi, ndipo anapo wakamata. Kumbukeni kuwa Mheshimiwa Waziri ni mwanasheria pia. Yaani hilo pele la Ardhi, limepata mtusuaji 😅
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 3 месяца назад
Wakati mwingine sio ubabe bali maafisa wa Ardhi hufanya makosa eneo lako wanalichukua na kumpa mtu mwingine bila ya kukujulisha je hapo utaitwa mbabe na unakaa kwa mabavu.
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 3 месяца назад
Kweli wababe wapo ila kwa huyu mzee ukimsikiliza vizuri watu wa Ardhi wamemtenda
@AyoubKhatib-p4k
@AyoubKhatib-p4k 3 месяца назад
Jerry Slaa awe raisi wa Tanzania waziri mkuu awe paul Makonda atakapo ondoka raisi Samia
@anastazialushika
@anastazialushika 3 месяца назад
Umenena vyema sana ndg
@Lundege_Hips
@Lundege_Hips 3 месяца назад
Safi
@vincej9275
@vincej9275 3 месяца назад
kweli kabisa.
@joyce55727
@joyce55727 3 месяца назад
Ingekua vizul sana
@diti4899
@diti4899 3 месяца назад
Kabisa jamaa anafaa kuwa raisi
@BernadethaMihele
@BernadethaMihele 3 месяца назад
Uko vizuri mh Jery slaa mungu azidi kukulinda piga kazi. Unasaidia sana
@BakariImran-q6l
@BakariImran-q6l 3 месяца назад
Allah akupe afya njema waziri wa ardhi tuko pamoja na ww na inshaAllah utakuwa kiongozi mkubwa sna ktk taifa letu🫡🇹🇿
@SaidKarama-m1w
@SaidKarama-m1w 3 месяца назад
Mama samia hapa umepata waziri uhakika
@thomastemu3332
@thomastemu3332 3 месяца назад
Safi sana waziri wangu Jerry slaa hoyee
@MoshiOmary-p7x
@MoshiOmary-p7x 3 месяца назад
Huyu waziri mtoto wa mjini pia msomi kwahio humdanganyi hata kidogo wachaga mmezid kudhulum
@kiberakishimba9691
@kiberakishimba9691 3 месяца назад
Mheshimiwa Waziri mungu akuongoze.
@MdAr-q7i
@MdAr-q7i 3 месяца назад
fanyakazi baba mie nimeipenda watu wanazulumu wenzio sana sio haki mungu awabariki kwa mvavyo saidia watu
@kayombotv9758
@kayombotv9758 3 месяца назад
Mh. Silaa sijui tukupe nini Mungu akutunze
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 3 месяца назад
Yaani huyu ni kiboko. Na hadanganyiki na pia ni msikilizaji mzuri, ndio strength yake. Hapapariki, na kwa akili zake zilivyo nyingi, ndipo anapo wakamata. Kumbukeni kuwa Mheshimiwa Waziri ni mwanasheria pia. Yaani hilo pele la Ardhi, limepata mtusuaji 😅
@issashunda444
@issashunda444 3 месяца назад
This Guy is great. He has a diplomacy answers and street answers too. Hongera Mhe great job
@lawrencegwerino1656
@lawrencegwerino1656 3 месяца назад
Matapeli wa alithi mutaisoma namba
@selector728
@selector728 3 месяца назад
Ardhi sio alithi
@abbynimel-kindy5107
@abbynimel-kindy5107 3 месяца назад
Wapige Za usoo Mweheshimuwa😂😂😂 Muache Adondoke tu😂😂😂😂
@elinurukitomali6008
@elinurukitomali6008 3 месяца назад
Muheshimiwa ongera sana. Weka number zako wazi ili upigiwe wapo ambao Hawana uwezo wakukufikia.
@KuyaNkalango
@KuyaNkalango 3 месяца назад
Mh.wazili kazi nzuri mungu akutangulie ,imekuwa mfano wa kwanza katika wizara ya ardhi ,
@festohaule9716
@festohaule9716 3 месяца назад
Sijui ni lini utakuwa Raisi.Unafaa kuwa juu..Mungu atakuinua!!!!!!
@Kidotii
@Kidotii 3 месяца назад
Mh.Silaa anatupa knowledge kubwa sana! Aisee
@ullymwaipopo398
@ullymwaipopo398 3 месяца назад
Watching this Guy Jerry inasisimua. Mtu wa maana kabisa.
@anastazialushika
@anastazialushika 3 месяца назад
Jerry uko vzr sana waziri kwer haki ya mtu haipotei hongera sana
@selector728
@selector728 3 месяца назад
Kweli sio kwer
@bundaman8542
@bundaman8542 3 месяца назад
Majina Yale Yale Hawa jamaa ni wezi wa Ardhi na dhuluma. Lakini ndo wanaitwa wameendelea. Dunia hii
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 3 месяца назад
Mwigulu nenda upate semina kwa Jerry slaa jinsi ya kuwa kiongoz kuwatumikia WATANZANIA maama mwigulu unadharau sn watu wako waliokuweka madarakani slaa anahekima sn mwigulu badilika
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 3 месяца назад
Waziri wa mashati meupe safi sana .sio watu wanaona ukweli alafu wanamuongopea mtu na kumpotezea mda na kumpa tamaa .mwambie mtu ukweli kiwanja iki sio chako mpe mwenyewe. Sasa jerry bila woga anapasua safi sana
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 3 месяца назад
Kula yangu haikuenda bure.Piga kazi Waziri
@ImeldaIsdory
@ImeldaIsdory 3 месяца назад
Good Job Mheshimiwa Silaa.
@VikavuOG
@VikavuOG 3 месяца назад
Jerry silaaa ni nomaaaaa 🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
@KheiriBafadhili
@KheiriBafadhili 2 месяца назад
Hongera muheshimiwa wazili kazi ngumu mno
@husseinomary4466
@husseinomary4466 3 месяца назад
Yaani uteuzi wa waziri slaa nibora zaidi kama usajili wa chama kuja yanga mungu akupe afya njema wazie
@maureenmgeni
@maureenmgeni 3 месяца назад
Mwenyezi Mungu akusimamie waziri wetu Jerry.
@seneu.2128
@seneu.2128 3 месяца назад
Ndugu zetu wachagga acheni dhuluma kwenye ardhi,kiukweli ukifika Arusha mmewaibia wamasai ardhi Yao Kila Kona ya mji mlikuja Toka Kilimanjaro mnaomba hifadhi mnapewa baada ya muda mnaenda kujimilikisha. Nyie ni watu wema ila wachache wenu wamewaharibia sifa yenu njema ya utafutaji.
@MoshiOmary-p7x
@MoshiOmary-p7x 3 месяца назад
Mpishi huyo mama Wachaga wengi matapeli .naumlipe kodi yake
@FranckDaniel-cc5rg
@FranckDaniel-cc5rg 3 месяца назад
Huyu waziri anatakiwa awe rais wa nchi kwa kaz anayoifanya ni jasiri sana anasimama upande wa haki na Ana hofu ya mungu
@HassanMfaume-oh2zf
@HassanMfaume-oh2zf 3 месяца назад
Mtanisamehe ila Wachaga wanapend San Migogoro y Ardhi
@johnluyego9353
@johnluyego9353 3 месяца назад
Thanks Jelly, safi Sana kazi nzuri sana
@kingwatabata4230
@kingwatabata4230 3 месяца назад
WAZIRI MSOMI MZEE LINACHEKACHEKA TU WAZULUMAJI MJINI
@FestoKalenga
@FestoKalenga 3 месяца назад
Wazir Mimi nakuelewa
@MariamWiliam-z8k
@MariamWiliam-z8k 3 месяца назад
Yaan slaa wewe mungu akurinde sana na familia yako wewe ni mtume kwakweli ,mama samia suruhu Hasan umetuwekea vijana thabiti slaa namakonda 🎉🎉🎉🎉 mauwa yenu wadogo zangu
@MariamWiliam-z8k
@MariamWiliam-z8k 3 месяца назад
Jerry,Jerry unapepo yako nakiti chako cha enz mdogo wangu
@yusufyusuf-br5qk
@yusufyusuf-br5qk 3 месяца назад
Kwann viongozi wakenya hawaigi kama tanzania kusikiza vilio waninchi wachini door to door...big up xana kwakel mnafanyq kitu kikubwa mno
@MnubiMm
@MnubiMm 3 месяца назад
Mbona hawa Wazurumati wote wakubwa wa Ardhi wanatoka Mlima Kilimanjaro
@mandyfitnesstv6738
@mandyfitnesstv6738 3 месяца назад
Hatari sana hao.
@angellomarcel5677
@angellomarcel5677 3 месяца назад
Silaa, Makonda, Bashe ingekuwa Amri yangu ya kwenda Kumuona Mama ningemshauri hawa Vijana waendelee na Kazi hadi Milele
@christinewomanoffaith5479
@christinewomanoffaith5479 3 месяца назад
40 yrs🙌 Hii ni dhulima kubwa sn
@mussakimaro5588
@mussakimaro5588 3 месяца назад
Huyo mzee anaweza tayari kalazwa hospital au keshakata moto
@HassanAbdallah-f6o
@HassanAbdallah-f6o 3 месяца назад
Huyo mzee sio mchaga kweli?
@SleepyBarn-le6qd
@SleepyBarn-le6qd 3 месяца назад
Mchaga si ushasikia jina mtui
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 3 месяца назад
Mchaga ndio wezi wa ardhi
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 3 месяца назад
Miongoni mwa mawaziri wenye upeo mkubwa sana ni huyu kwa mara ya kwanza hii wizara inaaminika
@GodfreyMwaipasi
@GodfreyMwaipasi 3 месяца назад
Slaa Unafaa kuwa raisi Wa tanzania
@MiriamAziz-z5t
@MiriamAziz-z5t 3 месяца назад
VIVA MH. WAZIRI SILAA.
@GomwoMisago
@GomwoMisago 3 месяца назад
Waziri slaa na Makonda Mkuu wa Mkoa Arusha na Mkuu Mkuu wa Mkoa Dar -es-salaam mmetetea haki za wanyonge tunaomba wakuu wa mikoa mingine huo ni mfano kama hamuwezi acheeni ngazi hizo wenye uwezo wakutetea wanyonge chini ya mheshimiwa Rais wetu Samia Hassan Suruhu kwa Sababu wakuu wa mikoa wengine wana ndugu zao walio zurumu walala hoi ndo maana midomo yao ni kama imepigwa super gr😢😢
@jackisonmlaari4556
@jackisonmlaari4556 3 месяца назад
Kweli bado kuna viongozi
@geetv3890
@geetv3890 3 месяца назад
Sometimes these mistakes are really made by gvt itself letting someone live on area illegally no follow up, nobody cares imagine more than 40 years and now you've been told to leave, so sad. minister jelly is so brave anyway you teach us a lot, congrats minister Jelly..!
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 3 месяца назад
Ndio wanaotafutwa na samia watu kama hawa majambazi wa masikini wanyonge Ndio hawa😂😂😂
@robertphilip385
@robertphilip385 3 месяца назад
Ushamba tu umeuziwa bandari husemi
@hamimumlindwa3244
@hamimumlindwa3244 3 месяца назад
silaa anakupiga anacheka na WW Hana hasira na mtuhumiwa
@majaliwamussa9268
@majaliwamussa9268 3 месяца назад
Slaa mimi nakuombea, jaribu kuzungukia vikindu na Lugwadu, tumeuziwa viwanja tokea 2015 hadi leo kesi kila siku
@RachelLaizer-n2p
@RachelLaizer-n2p 3 месяца назад
Aweso,slaa,makonda, ali hapy, bashe, mama tunawaelewa sana sana wapokee maua yao umechagua great thinkers
@karimjuma4019
@karimjuma4019 3 месяца назад
Kote uko sawa ila kwa bashe ahaaaa hapana kabla hajawa wazir alikua sahihi saivi mpigaji hakuna wizara imeoza km waizara ya kilimo ndgu yang wea acha tu nenda kwenye vyama vya ushirika utaona
@michaeljpm5597
@michaeljpm5597 3 месяца назад
Mzee haamini et
@alexjackson5960
@alexjackson5960 3 месяца назад
Sijui itakuwaje Makonda rais Jerry makamu.
@allymnyenye8109
@allymnyenye8109 3 месяца назад
No Rais Slaa makonda makam au waziri mkuu ...
@Mohaa4309
@Mohaa4309 3 месяца назад
Jinga kbsa,nunua Kwa halali
@PaulRPaul-z1q
@PaulRPaul-z1q 3 месяца назад
Stand up for justices being witnesses for God. And then even if it is against your own people. (Quran 4:135)
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 3 месяца назад
Silaa nakupenda sana
@moddy8744
@moddy8744 3 месяца назад
Hawa ndio viongozi tunaowataka Dr Slah na Professor Makonda ni Mashujaa asante Mh Samia kwa kutuletea viongozi wasomi wazuri kabisa
@luciamaduga4208
@luciamaduga4208 3 месяца назад
Hongera sana wazili
@Ndenza
@Ndenza 3 месяца назад
Wazee nimeona kaz ila hii nikaz ngumu muogope anaye simamia haki bigger up Jerry
@vocalizertz6868
@vocalizertz6868 3 месяца назад
Huyu jamaa anatakiwa awe Raisi kabisa
@kiberakishimba9691
@kiberakishimba9691 3 месяца назад
Slaa safi sana
@Damian-tt8fv
@Damian-tt8fv 3 месяца назад
Hawapoi hawaboi huku Makonda anapiga spana kule Silaa ananyoosha rula mpaka waseme. Nchi bado ina vijana smart
@Shafikimanga7
@Shafikimanga7 3 месяца назад
Hawa ndio wale wazee wajanja wajanja, bila kukutana na mjanja mwenzao wangemzungusha sana. Miaka 40 dah!
@kizitokalumunacharles
@kizitokalumunacharles 3 месяца назад
Ohoooh ametetea bandari wamempa uwaziri kama zawadi, iyo zawadi sasa anashughulika na mapapa na vigogo wa ardhi anawanyosha adi burudani
@doyenraj
@doyenraj 3 месяца назад
Waziri smart na muhimu
@FaridaKaduguda
@FaridaKaduguda 2 месяца назад
Na sisi kaka yetu anatudhulumu .muheshimiwa nakupataje?
@jamesjoseph6825
@jamesjoseph6825 3 месяца назад
Eti na mimi niliyekaa miaka 40,,,,,,jibu lake sasa, umlipe huyu mama pesa ya upangaji miaka yote uliyokaa😂😂😂😂😂ila hii nchi utadhani tumepata uhuru jana
@aziziatumanially424
@aziziatumanially424 3 месяца назад
Ila uyo mzee mnaenda kumuuwa akii tena dar
@YunisJerald
@YunisJerald 3 месяца назад
Wachaga kwa arthi du tunatisha
@AnethMushi-c3e
@AnethMushi-c3e 2 месяца назад
Mungu atusamehe Kwa keeli
@hajimgwami5224
@hajimgwami5224 3 месяца назад
Hamisha hamisha na pangua pangua ya mama lengo ni hili la kuwapata wasaidizi wanaofanyakazi kwa kiwango hiki, Jerry, bashe, aweso, bashungwa ni mfano wa kuigwa na wasaidizi wengine
@nakolyhatson8297
@nakolyhatson8297 3 месяца назад
Aache tamaa amuachie mama wawatu hakiyake
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 3 месяца назад
Jaman kiwanja cha mtu sitaman kujenga ukiona kiwanja kinamgogoro tafuta cha kwako
@faustinombilinyi9809
@faustinombilinyi9809 3 месяца назад
Huyu mzee anabusara sn hataki kupanic huyu kijana wake na nionapo hapa slaaa atamsaidia huyu mzee kupata kiwanja kingine sehemu nyingine mzee anahekima sn busara kaionesha kwelikweli
@MariaGrass-k1k
@MariaGrass-k1k 3 месяца назад
Mwaka 88 tegeta kulikuwa mapoli angepata viwanja vingi tuu vya barabarani na hata angenunua Kwa bei chee akaamua kushinda mahakani
@Rahima-kv6mn
@Rahima-kv6mn 3 месяца назад
Aliye zoea kudhurumu kazoea tu wanapenda short kati Madhara yake ndo haya sasa
@drbalagomwatvonline4937
@drbalagomwatvonline4937 3 месяца назад
Yani Raisi Samia amteue Ally Happy ampe mkoa hapa tutakuwa na majembe 3, Jerr slaa, Poul makonda na Ally Happy maana Happy nae ni kiongozi mzuri yuko siriasi kusikiliza kero za wanachi
@omarymbaraj8072
@omarymbaraj8072 3 месяца назад
Shida ya kesi za Ardhi hadi Shetani hasogei, Ningumu Mno. Mtihani mkubwa sana
@shaamemchauru1365
@shaamemchauru1365 3 месяца назад
😅😅😅😅😅😅😅😅UMESEMA KWELI KABISA....
@mussaharun7257
@mussaharun7257 3 месяца назад
Pori mbona ulienda kukaa
@allymnyenye8109
@allymnyenye8109 3 месяца назад
Najiuliza hawa mawaziri na wakuu wa mikoa wenye mamlaka ya kutenda haki hawawaoni Mheshimiwa Slaa na Mkuu wa mkoa Arusha Makonda ?
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 3 месяца назад
Zee xima halina aibu kudhulumu? Wacha Mungu aitwe Mungu,hongera mama haki yako umepata.
@RehemaMustafa-x6o
@RehemaMustafa-x6o 3 месяца назад
Haya mambo yanatisha
@zainabumartin9520
@zainabumartin9520 3 месяца назад
Tunataka silaa aendelee asihamishwe jaman tutalia sana
@FrederickThadeo
@FrederickThadeo 3 месяца назад
Hata huyo mama nae ni Mzee mbona hajamuonea huluma
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 3 месяца назад
Huyu Waziri ndio mfano kabisaaaaa, yaani hadanganyiki na ni msikilizaji mzuri, ndio strength yake. Hapapariki, na kwa akili zake zilivyo nyingi, ndipo anapo wakamata. Kumbukeni kuwa Mheshimiwa Waziri ni mwanasheria pia. Yaani hilo pele la Ardhi, limepata mtusuaji 😅
@jamesjahasa3348
@jamesjahasa3348 3 месяца назад
Kuna mawaziri wanakula mishahara kwahaki kabisa pongezi slaa MUNGU akulinde
@MsangoDiesel
@MsangoDiesel 3 месяца назад
Kabila hii michezo imezidi kupenda short kati Leo huyu mama kateseka
@saeedpazzi1767
@saeedpazzi1767 3 месяца назад
ATI Mzee Mtui anatoshia kudondoka 😅😅
Далее
Women’s Goalkeepers + Men’s 🤯🧤
00:20
Просмотров 1,4 млн
Песня РАСПУТИН на русском!🔥
00:56
Israeli air strikes on Lebanon intensify | BBC News
8:24