Amissa mzur bwan pol sn lulu div mung akupe moyo wasubra nimempenda wema anamfarij lulu div San mung awape upend wadaima allah amlaze mahal pema mama yet allahumma amin😭😭🤲🤲mtagazaj onger
Mtu amefiwa...wapumbavu wako busy kuangalia kama amepaka make up au hajapaka.....wakati wa majonzi na kuhitaji faraja...Ndo watu huonyesha upumbavu wao...si lazima kusema lolote linalokuijia kichwani kwako...mengine mfunge midomo kama hakuna jambo zuri la faraja la kusema....
Kumbe mtu akifiwa uwa anacheka sometimes!? Msinitukane Mie nilikua sijui maana sijafiwa, mie nikadhani mtu uwa analia mwanzo mwisho mpaka kichwa kinauma
Mwenyezimungu n mkuu ameumba kusahau,na pia ni kukufulu kulia mda ote kwasababu tunaamn mungu hakosei,m niliifiwa na mamaangu sikua nauzuni saana siku ya mcba coz sikua naamn ila cku mbl mbele ndo kma nilikua nmetoka kupewa taarifa ya mcba yan jnc nilivyokua nalia lia kila wskt
unalia lkn wale wanaokufariji pale kidogo nawewe moyo unapata faraja sasa ngoja urudi kuzika watu wasambaratike mbaki wafiwa tu hapo ndo msiba unarud upya nakumba kwa baba yangu alipofariki ndo ilikuwa hvy