Тёмный

WILL SMITH: Utata wa matukio ya FAMILIA yake, Tetesi za kuwa SHOGA zinamtafuna, Utamwonea HURUMA 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 50 тыс.
50% 1

Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe
play.google.co...

Опубликовано:

 

5 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 87   
@angelanaftael7965
@angelanaftael7965 7 месяцев назад
Pole willy tatizo ni kumuacha Mungu, hakika kwa adui hakuna huruma, watakurarua sana sana, Mungu akusaidie
@MassoudAlly-c9e
@MassoudAlly-c9e 7 месяцев назад
Wamarekani sio watu wa kuwaamini hapo asaivi wanamuita Will Smith bwege lakini akisema ajibu mashambulizi pia wata mgeuka na kusema mnyanyasaji wa wanawake
@raulmagige2698
@raulmagige2698 5 месяцев назад
Kama mkewe amekiri mwamba shoga ww nani upinge Sio KILA serekali mengine Yana ukweli rafiki Ake amekiri mwamba shoga aliwahi mfuma analiwa
@MassoudAlly-c9e
@MassoudAlly-c9e 5 месяцев назад
@@raulmagige2698 usikulupuke tu kutaka kumjibu mtu nilicho sema mimi na ulicho kuja nacho wewe ni vitu viwili tofaut
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 месяцев назад
Daa pole will Smith,,will Smith Bado hajamuv on hajampata mbadala wa Jada..Yan mim ilinikutaga hayo kumpenda mtu kias icho Cha will..ni hali mbaya Sana ikikukuta..nikwer will ni king'ang'anizi Kwa Jada na upendo upo upande mmoja..pole will mungu atakutoa huko
@ramrod2169
@ramrod2169 7 месяцев назад
I like Mr Smith he seems a cool guy😢....he doesn't deserve this
@Khalidniya380
@Khalidniya380 7 месяцев назад
Pole sana Will MUNGU asaidie huyu jamaa asije kujiua
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 7 месяцев назад
Yan mapenzi yanaumiza Sana na mapenzi ni uwendawazimu unaweza ukaitwa majina yote kabisa lakin ogopa Sana kitu kinachoitwa kupenda ,,kupenda jaman nikitu kibaya Sana,,,hususan kama hujamuv on kwamtu unayempenda mmmh nihatar..unaweza hata kujizuru..Mimi nakuelewa Sana will Smith..inavyonekana Jada alikuwa hampendi will Smith tokea awali..ila aliolewa tu na Smith ilimladi tu aolewe
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx 7 месяцев назад
Pole sana @jamilaathumani5481 inaonekana ulisha pitia maumivu 😊😊
@Fgldesigns
@Fgldesigns 7 месяцев назад
Mwanaume kuoa Marekani ni sawa na kujitega mwenyewe mda wowote unanasa... Huko utaishi vizuri ukiwa bachelor ila ukioa maisha yako yatakuwa na misukosuko mwanamke hachelewi kukugeuka au kuomba talaka mgawane mali.
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 месяцев назад
Ushoga ni tatizo kubwa Marekani
@SharifaDadi-o6u
@SharifaDadi-o6u 5 месяцев назад
Jadah mwenyewe mbaya kama kinyago wiliy mzuri sana jamani mapenzi kweli yana nguvu
@KhadijaMasoud-d2z
@KhadijaMasoud-d2z 6 дней назад
Mm.nawashangaa sana wazungu kwani haya mambo wa si ndo wanayoyataka sasa mbona kma hawaelewek kumbe wanajuwa kma si sawa.
@mohdyussah825
@mohdyussah825 7 месяцев назад
Really love
@monicasimpilu6257
@monicasimpilu6257 7 месяцев назад
Yaani wenzetu hawa Hawatuthamini kama ss ni binadamu kama wao weupe. Uchafu wote tunatupiwa watu weusi. Mashoga sisi mashetani sisi, kila baya ni la ss weusi. Ukipata umaarufu hawapendi watakusingizia kila chafu. Tujuwe hstupendi hata ukijikomba vipi hawatuthamini
@raulmagige2698
@raulmagige2698 5 месяцев назад
Kuna mzungu gani msanii mkubwa marekani?
@cuteliciacutelicia3968
@cuteliciacutelicia3968 Месяц назад
Alafu ndio maana hazeeki huyu kaka anaimani sana❤
@aziza9093
@aziza9093 7 месяцев назад
Ashidwe Allah tulahe
@Gulfnas1
@Gulfnas1 7 месяцев назад
Hiyo ndio iluminati, wanakupangia maisha yako mpaka kizazi chako!! Umechagua mwenyewe willy so pambana
@DaudFataki
@DaudFataki 7 месяцев назад
Ndio alitakamwenyewe kashindwa mwenyewe kumtegemea muumba wake acha abebemzigowake
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 7 месяцев назад
Kbx
@godfreysudi7264
@godfreysudi7264 7 месяцев назад
Eeeh wa bongo sawa wasajili wa illuminant 😅
@Gulfnas1
@Gulfnas1 7 месяцев назад
@@godfreysudi7264 we ni msajili wa Freemasonry
@sonnyr1899
@sonnyr1899 7 месяцев назад
Kuwa makini na nani utakae muoa aitha nani atakae kuoa.
@SamwelAlphonce-x8i
@SamwelAlphonce-x8i 7 месяцев назад
Huyu ndie lusifa anakupa utajiri na umaarufu lakini hataki maisha yako yawe na amani hata siku1
@Billystewart999
@Billystewart999 7 месяцев назад
Makala ya Juice wrld pia tunahitaji.
@sammy-b6281
@sammy-b6281 7 месяцев назад
Yamwenzako sikia Omba yasikukute
@ShukranMwakyambo
@ShukranMwakyambo 7 месяцев назад
Sanaaaa
@RosaNyasambo
@RosaNyasambo 7 месяцев назад
MUNGU amekupa kusikia majuto ya mwenzio kuwa funzo kwako kazi kwako uwe msikilizaji au usikie
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k 7 месяцев назад
Wanawake kama hawa hawafaii kabisa jamani 😢duu kwni anakuua kimyakimya walai siopoa kua maarufuu kweli ni chngamoto
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 7 месяцев назад
Hapa ili amani ipatikane inabidi Mungu amchukue Jada maana ndio anamuumiza mwenziee😢
@Happy-yk3lv
@Happy-yk3lv 7 месяцев назад
😅😅
@AnnamichaelVictor
@AnnamichaelVictor 9 дней назад
Mmmh 😢😢
@surusuru1994
@surusuru1994 7 месяцев назад
Anaonesha hayuko sawa sikuzot baba huwa bora huyu mam ndo hana haya wala hajavuzwa
@JosephJackson-jv1so
@JosephJackson-jv1so 7 месяцев назад
Naomba utuletee makala ya Eminem.
@LUHAHAJR-fj3ed
@LUHAHAJR-fj3ed 3 месяца назад
Real man
@hallin9561
@hallin9561 7 месяцев назад
kwakwel mapenz uchiz, jada alivyokuwa mbovu ivyo ata mvuto hana lakin mwamba anakomaa nae kwa machungu yote, Will Smith ni handsome boy sana nilimuona live arusha mwaka juzi aisee mwamba kapanda hewan na handsome anaweza pata pisi kali ingine akala nayo raha ila yeye kukomaa na uyo bibi tu
@lazaromwambene4516
@lazaromwambene4516 7 месяцев назад
😮
@peterchalamila3422
@peterchalamila3422 7 месяцев назад
Jadah Pinket mwenyewe havutiii
@vickydan2869
@vickydan2869 7 месяцев назад
Yaani
@godfreysudi7264
@godfreysudi7264 7 месяцев назад
Siri ya kitanda 😊
@SalimSalim-bv3wb
@SalimSalim-bv3wb 7 месяцев назад
NI kwasababu amezeeka,hebu nenda katafute movie inaitwa Queen Latifa,uone Jada alivyo bomba
@Jassmin-media-official
@Jassmin-media-official 7 месяцев назад
Mtizamo wangu nikwamba kilambuzi itakula kwa urefu wa kamba yake
@judyngowi391
@judyngowi391 6 месяцев назад
Naombeni kuuliza, huu utajiri wa kishetani una uhusiano gani na ushoga?
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 7 месяцев назад
Masikini
@ilynpayne7491
@ilynpayne7491 7 месяцев назад
22:51 jada ana kichwa kibaya 😂😂
@alisalim2145
@alisalim2145 7 месяцев назад
Maskini babawawatu😢😢😢😢
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 7 месяцев назад
👊✌️👍.
@SaudaZigaba
@SaudaZigaba 7 месяцев назад
😢😢
@mackamehassani201
@mackamehassani201 7 месяцев назад
Kuna kitu cha kujifunza hapaa jmn.
@laurenttadey1955
@laurenttadey1955 7 месяцев назад
Mapenz ni kitu cha ajab huyo jada ana kichwa kama kokwa la embe lkn anamtesa will😅😅😅😅
@HanifaOman-oo4pl
@HanifaOman-oo4pl 7 месяцев назад
Atajua mwenyewe iwekweri sikwwli Kazikwake. Maana sikuhizi kawaidakwawatukama hao
@EdghaMoses-js8lj
@EdghaMoses-js8lj 7 месяцев назад
Binafsi hatuwezi kuimaliza hata siku yenye masaa 12. Yaan siwez siwez kuwa
@angonzamujunangoma8775
@angonzamujunangoma8775 7 месяцев назад
Kwa hali aliyonayo Jada upendo na kujaliwa ni kitu kikubwa anachostahili
@JacqDaniels-hu5xj
@JacqDaniels-hu5xj 6 месяцев назад
Mwanamke ukimfanyia mateso siku akikukinai nd yanatokea haya
@kijokombao5345
@kijokombao5345 7 месяцев назад
Huyu ameingiza familia yake yote kwenye ushoga,kuanzia watoto wake hadi mkewe anasagana aliyataka
@tinejuxfrancis729
@tinejuxfrancis729 7 месяцев назад
Kaka we sikia tu Ila mwanamke akiamua kukuumiza na kukuchafua Ni hatari wanawake wameumbwa kuongea Sana tofauti na wanaume Kaka
@yasminoluoch169
@yasminoluoch169 7 месяцев назад
Haya tuambia ulimuona wapi😂😂 kha binadamu loh
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 7 месяцев назад
Sahihisho. Moja: tafadhali sana zingatia kuwa huku Tz hatuna shule za "upili" kama unavyoziita. Tunaita (na wewe unajua hilo) kuwa tunaziita shule za sekondari. Pili: Will na Jada hawajawahi " kuachana" bali walitengana kwa muda. Kuna tofauti hapo. Kwa Kiingereza ni "divorce au kuvunja ndoa" na "separation" au kutengana wakati bado ndoa ipo hai
@Chatyboy-d5m
@Chatyboy-d5m 7 месяцев назад
Acha ujinga wewe jaden Smith ndo alijiingiza mwenyew kweny ushog uelewi kitu wew
@kijokombao5345
@kijokombao5345 7 месяцев назад
@@Chatyboy-d5m sawa msemaji wa Smith family
@prosephinerandrew7155
@prosephinerandrew7155 7 месяцев назад
Huyu jamaa atakuja fia usingizini😢😢😢
@Melini-f7t
@Melini-f7t 7 месяцев назад
Kweli😢
@cuteliciacutelicia3968
@cuteliciacutelicia3968 Месяц назад
Huyo jada anazeeka anamuacha will😂😂😂 roho ya kishetani had kamuharibu mtoto
@mariasalomemelchiorkaigaru1974
@mariasalomemelchiorkaigaru1974 7 месяцев назад
Asikwambie mtu hakuna mzazi anayependa uhusiano wa mwanae wa jinsia moja,hata wao hiwaumiza ila baadae husema kama ana furaha yy basi ila hiwaumiza sana.
@hannahnjoroge2641
@hannahnjoroge2641 7 месяцев назад
The Devil comes to steal kill and destroy....
@Goodluckcomputers_01
@Goodluckcomputers_01 7 месяцев назад
sky🎉
@shabanibussara8454
@shabanibussara8454 7 месяцев назад
Changamoto ya Afya ya Akili...
@luganomwakyusa7697
@luganomwakyusa7697 7 месяцев назад
Hii familia ishaharibika inahitaji maombi
@jumalihumbo5314
@jumalihumbo5314 7 месяцев назад
Nipe like first man😅
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 7 месяцев назад
Choko huyu , anatumik kw maisha ya dunia na pesa na umaarufu
@moseskulola6913
@moseskulola6913 7 месяцев назад
Mashetani tu wote
@damianminsno1317
@damianminsno1317 7 месяцев назад
Utawala wa ibilisi ndio unataka awe shoga ao wote mbwa
@magrethmbuma3045
@magrethmbuma3045 7 месяцев назад
Yaani mapenzi ni takataka kabiisaa😢
@blacknesaya744
@blacknesaya744 7 месяцев назад
😅
@humbleshoal
@humbleshoal 3 месяца назад
Hamna, kuna wengine wanapendana sana.
@eminix2132
@eminix2132 7 месяцев назад
Bad Boys ft Martin Lawrence
@saidmwakugomba3623
@saidmwakugomba3623 7 месяцев назад
Jada alimpa nini uyu mwamba 😂
@mashramadhani1989
@mashramadhani1989 7 месяцев назад
Shetani akikupa pesa mwisho wake ndio huo
@JeannetteManirambona-o6m
@JeannetteManirambona-o6m 7 месяцев назад
Yarrabiii
@kilogreekachananawatuwasio4054
@kilogreekachananawatuwasio4054 7 месяцев назад
KAMA BONGO TUNGESEMA KATILIWA RIBYATA 😂😂😂
Далее
ANDDD STILL 😤 #UFC307
00:22
Просмотров 321 тыс.
Тренд Котик по очереди
00:10
Просмотров 335 тыс.