Hali ishaharibika tayari tundu vita tayari mbowe hakutaki anataka yeye awe mwenyekiti wa maisha asiwe na mpinzani atakae mpinga msigwa washampiga na chini bado wewe tuu
Inaitajika elimu kama hii ya mheshimiwa lisu maana inaamusha mioyo ya watu kukata tamaa kunaisha ujue sehemu nyingine wanaona hata wakipiga kula kwa mugombea wa chadema anatangazwa wa ccm hali hii inakatishana tamaa kuendelea kupiga kula lakini kwa elimu hii ya lisu naona watu wanapata matumaini tena na nguvu ya kupiga kula
Leo nimefurahi Sana kukuona nilijuwa basi tena unatuacha msigwa niliumia Sana juzi nakuomba usihame chadema kama uliweza kukataa hela za mwendazake Leo hii unaanzaje bado tunakuhitaji mzee
Mimi simwiti mama namuita mzanzibar na sio mtanganyika haruhusiwi kuishi tanganyika ni mwanamke hafaii kutuongoza waisramu duniani labda wakristo watampenda wana manabii wakee
CCM mnatuangamiza . Mnapeleka wapi fedha za kodi mnazokusanya na mnazokopa . Malori yenu yanauwa sana watu MBEYA. Barabara ya kuchepusha malori yasipite mjini mmezungumza miaka mingi sana. Oneni aibu kulaghai wananchi miaka mingi huku wakiendelea kupoteza ndugu zao. Ajali kila kukichwa, inasikitisha sana.
Kwa ujumbe huu wa baba Askofu ccm atareta vita ya kimbari ya Zanzibar na tanganyika tutauuwana kwa ubaguzi wake huyu mrembo Mh peekee tz ajawai tokea toka inchi izariwe
Asikofo anatetea maslahi yake njaa kali unliabisha Kanisa lo aibu gani sasa kwa taarifa unatetea upumbavu inachosema ni upumbavu mtupu hampati kitu hamshindi ngo
angekuwa amevaa shati la kijani angekuwa hajapotea? aliyepotea ni Gwajima aliyeoba kura posho za ubunge zimemfanya akae kimya huku watanzania wengi tukiumia