Тёмный

🅻🅸🆅🅴 TUNDU LISSU NA PETER MSIGWA WANAUNGURUMA KIJIJI UGHANDI -SINGIDA KASKAZINI 

JAMBO TV
Подписаться 936 тыс.
Просмотров 28 тыс.
50% 1

#JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RU-vid: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 87   
@pauloisso5815
@pauloisso5815 4 месяца назад
Msigwa anatrma sumu ase uko vzr kamanda✌️✌️✌️✌️✌️🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@PastorBiluko-wl1ex
@PastorBiluko-wl1ex 4 месяца назад
safi sana
@Expedito2512
@Expedito2512 4 месяца назад
Safi sana Msigwa kwa kutoa elimu nzuri kwa wananchi.
@namsifubwana2152
@namsifubwana2152 4 месяца назад
Hongereni sana wakuu🔥🔥🔥🔥🔥
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 4 месяца назад
Jumbe uko vizuri umeongea vitu vya point Sana Dodoma na singida ndo mibuyu ya ccm wanapopoa tu
@lukasmnyeti3016
@lukasmnyeti3016 4 месяца назад
Ccm ni zaidi ya jambazi ukiwaangalia ni kama watu lakini siyo watu
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 4 месяца назад
​@@lukasmnyeti3016wewe pia unaonekana ni jambazi,Malaya na mwenye roho mbaya kama ccm
@ChescoMbwilo-t8w
@ChescoMbwilo-t8w 4 месяца назад
Msigwa ahsante kwa kunifungua🔨🔨🔧🛠️🗝️🗝️🗝️
@rastheunique
@rastheunique 4 месяца назад
Salaam sana Wana Ughandi tupo nanyi sambamba katika mapambano yanayoongozwa na Tundu Lissu
@markmuna1276
@markmuna1276 4 месяца назад
Hongereni kufka ughandi
@fredypastoryutd4864
@fredypastoryutd4864 4 месяца назад
Duh msingwa ameshusha nondo za hatari mnooo... Wengi tulikuwa hatuna elimu hii
@imanimaulid8304
@imanimaulid8304 3 месяца назад
Mi hofu yangu ni kwa huyu askofu mwanamapinduzi hv neno la mungu na siasa wapi na wapi ameacha kanisa anapiga misele jamani duu hii kali
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf 4 месяца назад
Asanteni kwa kutufungua akili
@ulomirabiel6980
@ulomirabiel6980 4 месяца назад
Msigwa umefanya vizuri weka maslahi ya chama mbele, huo ndio ukomavu.
@charlesmnuo3292
@charlesmnuo3292 4 месяца назад
Mmmm jambo tv siwaelewi mmekaza camera jukwaani tu wananchi hamuwaonyeshi au mkutano hauna watu?
@bongo39
@bongo39 4 месяца назад
Hali ishaharibika tayari tundu vita tayari mbowe hakutaki anataka yeye awe mwenyekiti wa maisha asiwe na mpinzani atakae mpinga msigwa washampiga na chini bado wewe tuu
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 4 месяца назад
Kwani Msigwa walompiga Chini nani? Kwani nyie Ccm Wenyeviti wa Mikoa wanadum milele? Au hujui Msigwa Alikuwa Mwenyekiti Kanda ya Nyasa?
@dionismutayoba3542
@dionismutayoba3542 4 месяца назад
Uliyetoa hiyo comment hujitambui,unaloloma tu
@NkoTya9
@NkoTya9 4 месяца назад
Sera nzuri sana lakini bado tunatawaliwa na uoga
@malkavoice2570
@malkavoice2570 4 месяца назад
Msigwa tena jamani! Smetokaapi mbona juzi tu alikuwa anajipaka mavi mwenewe kule jimboni kwake?!!
@AlfredAlfred-yd2mg
@AlfredAlfred-yd2mg 4 месяца назад
Ccm kama freemason kila dhambi wanazo . Mungu atawaangamiza Kwa kuibeba dunia
@veronicaadrof8244
@veronicaadrof8244 4 месяца назад
Inaitajika elimu kama hii ya mheshimiwa lisu maana inaamusha mioyo ya watu kukata tamaa kunaisha ujue sehemu nyingine wanaona hata wakipiga kula kwa mugombea wa chadema anatangazwa wa ccm hali hii inakatishana tamaa kuendelea kupiga kula lakini kwa elimu hii ya lisu naona watu wanapata matumaini tena na nguvu ya kupiga kula
@imanimaulid8304
@imanimaulid8304 3 месяца назад
Enzi za Nccr mageuzi Kuna askofu alisema mrema akishinda anaacha uaskofu tusijisaulishe
@MataighaTiro
@MataighaTiro 4 месяца назад
Msigwa elimu imekaa vizuri
@bennymatinde4514
@bennymatinde4514 4 месяца назад
mpiga picha use unaonesha na watu waliopo kwenye mkutano unammwonyesha tu anaeongea hii siyo sawa
@HenryCastuli-jz3cx
@HenryCastuli-jz3cx 4 месяца назад
Mpiga picha nihana uzoefu anajifunza kamaanauzoefu awe anawaonyesha na umati wa watu aunijamii ya ccm
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 4 месяца назад
Uyoooo Chawla WA CCM akili kama matope ; waTanganyika tulishaamka
@IssaAlly-lp4uf
@IssaAlly-lp4uf 4 месяца назад
Tena na kodi za majengo kukatwa kwenye umeme kila mwezi 1500 zinaenda wapi nyumba ngapi zina katwa tozo za majengo pesa inafanyia nini
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 4 месяца назад
Leo nimefurahi Sana kukuona nilijuwa basi tena unatuacha msigwa niliumia Sana juzi nakuomba usihame chadema kama uliweza kukataa hela za mwendazake Leo hii unaanzaje bado tunakuhitaji mzee
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 4 месяца назад
Mimi simwiti mama namuita mzanzibar na sio mtanganyika haruhusiwi kuishi tanganyika ni mwanamke hafaii kutuongoza waisramu duniani labda wakristo watampenda wana manabii wakee
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 4 месяца назад
Kweli
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 4 месяца назад
Mbona wewe mrundi unaishi Tanzania na hakuna anayekughasi mkundu wewe
@dismasmtui729
@dismasmtui729 4 месяца назад
Kwa hiyo rufaa ya Msigwa imeshasikilizwa au ni kutaka kuwagombanisha Lissu na Mbowe?!
@deohank5995
@deohank5995 4 месяца назад
Wenye akili hawagombani wanapishana tu. Bali mpumbavu ndo hugombana
@GichoNyachore
@GichoNyachore 4 месяца назад
Toeni elimu tatizo watu wetu hawaelewi
@Fundi12345
@Fundi12345 4 месяца назад
Unajuwa chama hiyo hawo wote wanapig kerere tu hakuna mgombea uenyekit cham hiyo ya watu okooooooo
@evelina9621
@evelina9621 4 месяца назад
Mwenye.ki.cha dema.mshimiwa.mbowe.mwe.pamojq.vushq.taifa.lina.angamia.asante
@deogratiusdonald5123
@deogratiusdonald5123 4 месяца назад
Hivi kwaniniii? Jambo camera yenu huwa inaonyesha viongozi pekeee? Kwanini huwa hamuonyeshi wananchii wanaosikiliza mkutanoooo??
@hamadhamud-n4j
@hamadhamud-n4j 4 месяца назад
Hiyo njaa.utafanya nini?
@evelina9621
@evelina9621 4 месяца назад
Jaman Ya.bwana.iwe Pa m oja.msitoane.mamba.mabaya.yesu.yu.ndani Yetu Ss Sote
@willymgaya7618
@willymgaya7618 4 месяца назад
CCM mnatuangamiza . Mnapeleka wapi fedha za kodi mnazokusanya na mnazokopa . Malori yenu yanauwa sana watu MBEYA. Barabara ya kuchepusha malori yasipite mjini mmezungumza miaka mingi sana. Oneni aibu kulaghai wananchi miaka mingi huku wakiendelea kupoteza ndugu zao. Ajali kila kukichwa, inasikitisha sana.
@FelixAbel-fm8lq
@FelixAbel-fm8lq 4 месяца назад
Mbona ninyi miccm mlisema mkipoteza watu polisi wasiwatafute? Kwani yule fala polisi wamemkamata?
@clemencemarcelli3365
@clemencemarcelli3365 4 месяца назад
Kwanini CCM hawasemi ukweli, kwanini wanatuona hatuna akili?
@LinusAmanimbeye
@LinusAmanimbeye 4 месяца назад
Huo ndo ukomavu wa siasa ccm walitoa mimacho kuwa tayar twapta nae juu Kwa juu
@evelina9621
@evelina9621 4 месяца назад
Ta,nga Za Posho.kwa Wenye.viti.vijiji.wameonewa.mwaka Mingi
@enockfumbuka6843
@enockfumbuka6843 4 месяца назад
Serikali inatukomoa afadhali kuliko kuishi na viongozi Matapeli
@faustinebahenobi3412
@faustinebahenobi3412 4 месяца назад
Ww chakufanya muwachague viongozi wengi kutoka chadema (upinzani) af utaona
@AllyMandunda-tj9jc
@AllyMandunda-tj9jc 4 месяца назад
Polisi mmepiga kikokoto unatarajia afanye nini. Yaani hayo yataendelea hadi 2025. Mwakani ccm mtapigwa tu
@BonaBonala-bp5qm
@BonaBonala-bp5qm 4 месяца назад
Kwa ujumbe huu wa baba Askofu ccm atareta vita ya kimbari ya Zanzibar na tanganyika tutauuwana kwa ubaguzi wake huyu mrembo Mh peekee tz ajawai tokea toka inchi izariwe
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 4 месяца назад
waTanganyika bwana hatutaki Tena kusikis Tanzania
@tzonespices9734
@tzonespices9734 4 месяца назад
Mpiga picha hutufai. Mbona huonyeshi watu unaonyesha anae ongea tu? Mikutano yenu haina watu?
@SaidiMohamedi-n2u
@SaidiMohamedi-n2u 4 месяца назад
Huwezi kuchukua mtihani wa mtoto hulipe Hera ya mrizi majengo maji na umeme
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 4 месяца назад
CCM si simu tunisawa na kunywa maji ya betrii
@JosephuSwai
@JosephuSwai 4 месяца назад
Apo msigwa umenena jambo LA maana sanasana mtendaji mkurugenZi mkuu wa wilaya mkuu wa mkoa jaji mkuu msajili wa vyama IGP wanapatikana _?
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 4 месяца назад
Kwani huyo aliyeshindwa uenyekiti Nyasa kaja huko Kuna Nini?
@musa-v3f
@musa-v3f 4 месяца назад
kwahiyo akishindwa uchaguzi haruhusiwi tena kuhudhuria mkutano wala kuongea ?? akili za kiccm hizo
@festokemibala5832
@festokemibala5832 4 месяца назад
Mambo mengine bwana? Tumeambiwa Msigwa kajoin ccm sasa hapo kwa Lissu ametafuta nini? Msituchanganye, mnafanya watu wasipige kura
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 4 месяца назад
Hajashindwa, wamepokezana Madaraka, huko yupo anatumikia Chama Chake,Nini kimekushangaza?
@rutambivalentine
@rutambivalentine 4 месяца назад
Kimenuka
@maruhe1958
@maruhe1958 4 месяца назад
Nimeshangaa askofu kuhamasisha vita, polisi mko wapi?
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 4 месяца назад
Ni kweli ndugu ila usitishike,huyu siyo askofu bali ni wale majambazi wanaokimbilia katika siasa
@evelina9621
@evelina9621 4 месяца назад
😮vijini.posho.wapate.nguvu
@mariaanthoniangowi9376
@mariaanthoniangowi9376 4 месяца назад
Usiyetosha niwewe Chawla WA ccmmshenzi ww
@hssanrubota3891
@hssanrubota3891 4 месяца назад
Kweli maisha ni magumu sana tena sana lakini hizo sela za matusi hazikubaliki kumwambia mtu hana akili hiyo siyo sera hayo ni matus
@kaaakwakutuliaa5179
@kaaakwakutuliaa5179 4 месяца назад
Minikajua mishahara kwa wenye viti
@evelina9621
@evelina9621 4 месяца назад
Chedema Wenye.viti.vijij Ndio Wenye.nguvu.rais.mawa ziri.wote.toka.:vliji ni.watangazwe.pos ho Ndio.chazo
@innocentmleli1196
@innocentmleli1196 4 месяца назад
Basi ni wachumba hao
@hamadhamud-n4j
@hamadhamud-n4j 4 месяца назад
Hivi wewe nimwana siasa au nini huko upande gani?
@SaidShabani-s4o
@SaidShabani-s4o 4 месяца назад
Asikofo anatetea maslahi yake njaa kali unliabisha Kanisa lo aibu gani sasa kwa taarifa unatetea upumbavu inachosema ni upumbavu mtupu hampati kitu hamshindi ngo
@helencyprian8745
@helencyprian8745 4 месяца назад
Pole
@Bboy-ek8vn
@Bboy-ek8vn 4 месяца назад
Askofu unajihusisha na siasa mshenz we
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 4 месяца назад
Mbona Ma Askofu wanaoshiriki Ccm hamuwashangaagi?
@ephraimkalanje7105
@ephraimkalanje7105 4 месяца назад
Matusi haya utoayo yanamuhusu na Askofu wenu Gwajima na wengine mlionao huko CCM?
@bonifacemkanga6302
@bonifacemkanga6302 4 месяца назад
Askofu wa kanisa ganiiiii ushapotea wewee
@musa-v3f
@musa-v3f 4 месяца назад
angekuwa amevaa shati la kijani angekuwa hajapotea? aliyepotea ni Gwajima aliyeoba kura posho za ubunge zimemfanya akae kimya huku watanzania wengi tukiumia
@silasngoya9422
@silasngoya9422 4 месяца назад
Askofu kwenye uaskofu hutoshi na kwenye siasa hutoshi. Bahati mbaya hujui kwamba hutoshi !
@makobamasawemangu4122
@makobamasawemangu4122 4 месяца назад
Anatosha kote kote
@ephraimkalanje7105
@ephraimkalanje7105 4 месяца назад
Askofu Mwanamapinduzi anatosha kotekote..."in fact," anatosha na kupitiliza! Hongera Askofu mwanamapinduzi!
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 4 месяца назад
​@@ephraimkalanje7105anakutosha wewe na mama yako,pia nasikia analala kwenu
@hamadhamud-n4j
@hamadhamud-n4j 4 месяца назад
Unajua unacho kiongea askofu?
@SongoloMgallah
@SongoloMgallah 4 месяца назад
Askofu hata kama Kuna tatizo kubwa vipi huwezi kuhamasisha vita hapo hakuna askofu kabisa
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 4 месяца назад
Wakishiriki mikutano ya Ccm mnawashangilia, wakishiriki ya Upinzani mnawashambulia, Poleni
@LuciaAgustino-pt5mg
@LuciaAgustino-pt5mg 4 месяца назад
Mkuu mzingwa uko safi oijana wetu
@TegemeaFutemakatifu
@TegemeaFutemakatifu 4 месяца назад
Amehamasisha vita gani?
@gangan4618
@gangan4618 4 месяца назад
Kwa sasa hatutaki kuchezewa... na MaCCM, dah ni zaidi ya miaka 60 mtu amezeeka.
@innocentmleli1196
@innocentmleli1196 4 месяца назад
Basi ni wachumba hao
Далее
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Просмотров 20 млн
Seja Gentil com os Pequenos Animais 😿
00:20
Просмотров 20 млн