Тёмный

CHADEMA YAMDAKA KIONGOZI ALIYENUNULIKA NA CCM, KAMATI YAKAA, WAMTIMUWA ASUBUHI KWEUPE 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 159 тыс.
Просмотров 20 тыс.
50% 1

Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

9 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 96   
@MuhojaMalicho
@MuhojaMalicho Месяц назад
❤❤❤❤❤ ccm wametuludisha nyuma sana biashara ya utumwan kununua watu
@JesuinaBabili
@JesuinaBabili Месяц назад
Safi kabisa Makamanda 👍🏽
@issacklyandala7023
@issacklyandala7023 Месяц назад
Safi sana, hatutaki Malaya Malaya wa siasa
@user-fe8tx5bo2f
@user-fe8tx5bo2f Месяц назад
Pamoja sana kiongez
@eliasmedutieki7578
@eliasmedutieki7578 Месяц назад
Safi sana wasaliti wote waondoke hongereni kibamba
@Enugundani8299
@Enugundani8299 Месяц назад
rushwa ikiisha nchini CCM.itakufa na pia CCM ikifa rushwa itaisha nchini Tanzania
@gaagwasaugustino2584
@gaagwasaugustino2584 Месяц назад
Huo ndiyo ukweli ndugu!
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 10 дней назад
Huu ni usenge wenu! Mtu akienda ccm amenunuliwa na akija chadema amependa mwenyewe! Mjinga mkubwa ww! Na msigwa je! Mpumbavu mmoja ww. Huna akili kabisa basi hata ww utanunuliwa
@odoieriasmonga6591
@odoieriasmonga6591 Месяц назад
kazi nzuri
@iddynjonjo
@iddynjonjo Месяц назад
Safii sana
@deogratiusmaila676
@deogratiusmaila676 Месяц назад
Very Good
@tumainimwaifunga3884
@tumainimwaifunga3884 Месяц назад
Safi
@peterfedrick6459
@peterfedrick6459 Месяц назад
Safi makamanda akafanye biashara nje ya chama
@mathewtesha3139
@mathewtesha3139 Месяц назад
Safi sana
@juliuskitaluka1206
@juliuskitaluka1206 Месяц назад
Kwenye msafara wa mamba na kenge wao
@DandasiKundi
@DandasiKundi 11 дней назад
Viongozi msiwe na viongozi wasio na tamaa wenye njaa hamwezi kudanganya mtu wapige kura wawanue tu acheni njaa jaman mpaka wazee ni hatari, je najiuliza chama kinachonunua watu ni hatari kuingiza watu ambao si sahihi. Asante san a
@hamisijuma3276
@hamisijuma3276 Месяц назад
Na bado!!! mtaisoma namba mpaka chini juu
@gabrielnjiapanda3710
@gabrielnjiapanda3710 Месяц назад
Safi sana
@joshuac.mashida1378
@joshuac.mashida1378 Месяц назад
Vyama Kama vilabu vya mpira kilabu kikiona kunamchezajizuri co mbaya kununuliwa ,ila watengeneze tu mfumo wakununua nakuuza co mbaya ndg zangu chadema kina hazina kubwa Sana ya viongozi makini kiendelee tu kuzalisha ,ccm na vyama vingine wakalinisheni tu wake wanunue viongozi makini kutoka chama shupavu m4c
@clemenceparokola
@clemenceparokola Месяц назад
Safisha kengewote,na vinyonga ndani ya chama
@josephmantago2837
@josephmantago2837 Месяц назад
Wajue nje ya chadema hawana thamani tena. Wapuuzi wakubwa
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Месяц назад
Nasikia ni za DPW lakini sasa hivi watu wote wameamuka😊
@emanuelsinyinza
@emanuelsinyinza Месяц назад
Asante sana kiongozi timua timua iendelee sehemu zote. Hizo pesa wameiba wapi.
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 Месяц назад
Wasaliti wote kimbiza,iundwe "Oparesheni tokomeza wasaliti wote"
@gallegalleson4427
@gallegalleson4427 Месяц назад
Upendo na mwenzake silinde walinunuliwa jumla jumla na ccm!! ni tabia umalaya malaya wa siasa
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 10 дней назад
Ww unasubili nn?
@edsonkahesi8603
@edsonkahesi8603 Месяц назад
Sisiemu ni adui wa demokrasia ya nchi yetu, TAKUKURU najiuliza huwa hawayaoni haya kwann wanayafumbia macho tu..
@deogratiusmaila676
@deogratiusmaila676 Месяц назад
Kesi ya nyani mpelekee gedere😁😁😁😁
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Месяц назад
takukuru ndio ccm ,we huoni ya CAG nini wamekifanyia kazi.CCM wanatuchezea sana nchii hii na ukiwafuatilia ni walewale wachache ndio wanaotusumbua wakigawana vyeo kama mavazi.
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 10 дней назад
Chadema mna demokrasia gan? Mbowe miaka 20 madarakani
@melchiadepaschal3097
@melchiadepaschal3097 Месяц назад
Welldone
@SundaySteven-bz4yq
@SundaySteven-bz4yq Месяц назад
Hao wanachukua rushwa fukuza na ccm atakajifanya amekuja chadema akae benchi maana wanatumwa kutuvuruga mitego Yao awamu hii watakalia kuti kavu
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es
@rev.livingstoneelihuruma-fk7es Месяц назад
Mtu anayenunulika SI Kiongozi halisi,hata Kama angekuwa na ushawishi kiasi gn, ni sawa na mke anayeweza kuchukuliwa na Mwanaume yeyote mwenye Pesa Hali ya kuwa ameolewa.huwezi kusema huyo mke ni mzr au Bora. Vyama vya Siasa Lzma mjifunze kuchuja Viongozi. Kufaulu ktk Harakati za Ukombozi kunategemea Viongozi Imara waaminifu ambao hawanunuliki.
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku Месяц назад
Mngemchapa viboko
@LastonKatwanga
@LastonKatwanga Месяц назад
Yaaani ni sawa na kuuza utu wako
@amanmwalyambi1416
@amanmwalyambi1416 Месяц назад
Safi sana mtu anafukuzwa yupo hapohapo
@user-we5px7gp2r
@user-we5px7gp2r Месяц назад
Ukisoma comment za watu wengine unsgundua nchi yetu ina matahaira mengi sana
@user-cx1xz2is5d
@user-cx1xz2is5d Месяц назад
Mzeee anakuwa malaya malaya aende akafie mbele
@ChristianMkumbo-ix2ke
@ChristianMkumbo-ix2ke Месяц назад
Safi sana ayede akakaye na wajinga
@ndogoroedson199
@ndogoroedson199 10 дней назад
We ndyo mjinga hujui hata kuandika
@RespichTryphone
@RespichTryphone 12 дней назад
Kiongozi WA staili hiyo hafai nibora wabaki hata wachache walio sahihi
@beinafuu6219
@beinafuu6219 Месяц назад
Wanapata wapi pes?. Luzuku yao unaijua ni bei gan kila mwezi? Sema lingine lakin pesa hipo.
@VITUSPROTUS-wh4mn
@VITUSPROTUS-wh4mn Месяц назад
Fukuza kunguru hao
@joachimkalungwana8654
@joachimkalungwana8654 Месяц назад
Safi saaaanaaaa na majimbo mengine yafuate nyayo
@VITUSPROTUS-wh4mn
@VITUSPROTUS-wh4mn Месяц назад
Good Good 👍
@sifamushi1747
@sifamushi1747 26 дней назад
Ivi uwa HAMUEZI KUONGEA BILA KUPAYUKAA? APO TU NDO UWA ATUPATAG JIBU....
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 Месяц назад
Huwezi toka upinzani uwende ccm ueshimike kwa watanzania ni kwenda kujiuwa kisasa ktk chama tawala
@dionismutayoba3542
@dionismutayoba3542 Месяц назад
Hamna lolote unaongea pumba,Katambi,Silinde,Naibu waziri wa Afya,Ntatilo Kitira Mkumbo nk.Unataka heshima ipi kama hao wachache waliotoka upinzani wana nafasi nyeti serikalini?Tafakari hoja yako
@nelsonshillah6618
@nelsonshillah6618 Месяц назад
​@@dionismutayoba3542hajasema hupati cheo ccm
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Месяц назад
@@dionismutayoba3542 lakini hawana heshima kwa wananchi hilo ndilo tunalosemea na wote hawana hoja za mashiko kwani Mungu hapendi wizi wa kura na usaliti Biblia inasema kura huondoa mashindano na hukomesha watawala
@leahmgunda4154
@leahmgunda4154 29 дней назад
Achana na hilo kubwa Jinga.
@paulmabena5684
@paulmabena5684 Месяц назад
Ongea seraaa wananunuliwa wana njaa mtawapa nini ??
@JohnKuyumbe
@JohnKuyumbe 11 дней назад
Aende huyo akale ccm yake
@MohammedAwadh-gq9si
@MohammedAwadh-gq9si Месяц назад
Mnanunuliwa nyie mmekuwa mizigo ? Nyie wenyewe mnajiuza! Kawaida ya mashoga ni kuuzwauzwa! Sasa mjiulize kuna nini chadema?
@user-we5px7gp2r
@user-we5px7gp2r Месяц назад
Binadamu unanunulika umekuwa mfugo? Hii ni aibu sana
@jovitadaniel7161
@jovitadaniel7161 28 дней назад
Ndugu usishangae maana hawa wanaonunuliwa ni nyumbu wa serengeti bora hata mfugo!
@MnyamaTolu-kd5ct
@MnyamaTolu-kd5ct Месяц назад
Takukuru mkowap
@abdallahkihanza482
@abdallahkihanza482 Месяц назад
Upendo hajanunuliwa kaenda CCM kwa njaa yake
@joshuaswai8203
@joshuaswai8203 Месяц назад
Upendo naye ni mlafi wa pesa za ccm eti hajanunuliwa uongo
@MosesMnyantope-zw4ed
@MosesMnyantope-zw4ed Месяц назад
Duh
@HijaSaid-xd7fg
@HijaSaid-xd7fg Месяц назад
Vp na yule papa anaewahadaa anaekulaga kurosho,ambae ni kada wao alie jificha Chadema
@nelsonshillah6618
@nelsonshillah6618 Месяц назад
Mbona huyo mzee haonyeshwi
@ErastoHumbo
@ErastoHumbo Месяц назад
Jamani kumbukeni sum haiuwi malambili wascheni
@alliancemugane1589
@alliancemugane1589 Месяц назад
Afadhali nyie mnamaamuzi lakini hapa Jimbo la Bunda mjini kuna viongozi wa Jimbo karibu 95% wanamuunga mkono Mbunge wa zamani aliyefukuzwa uanachama na kamati kuu ya Chama cha Chadema . Wanaendelea kuwaaminisha wanachama na wananchi wa Jimbo kuwa Mbunge huyo anarudi kugombea kwa tiketi ya Chadema. Nashindwa kuelewa hivi uongozi wa juu hawajui upotoshaji huu? Mbona hawachukui hatua?
@severinimkini4116
@severinimkini4116 Месяц назад
Kama kweli kauli inayotoka kwa kada huyu wa Chadema ni sahihi kwamba wana-Chadema wananunuliwa na CCM, je wao CCM hawauziki na kununuliwa nchi za nje ?
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Месяц назад
wewe unaweza kununua mali feki huku ukiwa unaijua?
@JacksonFrances
@JacksonFrances Месяц назад
HII NCHI NI HATARI SANA SIJUI NI LINI TUTAKUJA KUPATA VIONGOZI WAZALENDO WENYE NIA YA DHATI YA KUWATUMIKIA WANANCHI BILA TAMAA YA RUSHWA NA KURUBUNIWA😢😢 VERY SAD😔 😔 "
@KamwandaNzowa-eo4ur
@KamwandaNzowa-eo4ur Месяц назад
Hata hawo wanaonunuliwa ndiyo wajinga sana Tena hawafaii kabisa
@moseskusamba431
@moseskusamba431 Месяц назад
Msigwa mmefanya nini?
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 Месяц назад
😂😂😂
@samsonmwijage1869
@samsonmwijage1869 Месяц назад
Kwa hiyo akina Zito Kabwe na Said Kubenea walipohama chadema na kwenda ACT wazelendo nao walinunuliwa pia?
@jovitadaniel7161
@jovitadaniel7161 28 дней назад
Wale walihama hawakununuliwa maana nchi hii mnunuzi ni mmoja tu!
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 Месяц назад
Unajitambulisha sana nenda kwenye point
@paulmabena5684
@paulmabena5684 Месяц назад
Huoni akina tundu na mboww hawaongeii nyamazaa wewee
@abdulhakeem959
@abdulhakeem959 Месяц назад
Jamaa mbona unavuta kamba sana.aisee nenda kwenye point
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Месяц назад
Haifi mbona Mbona Kanda ya Nyasa rushwa ilitawala kumtoa Msigwa abaki Sugu ili Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati wanachama wamemchoka
@margarethpolepole7438
@margarethpolepole7438 Месяц назад
Kwani nyie hamuwanunui nyie Wasaka Tonge
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki Месяц назад
Genge la wauni mwambieni lisu akalee wajukuu kura no 2025
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Месяц назад
wee mchumia tumbo tupishe
@clemencemkondya8561
@clemencemkondya8561 Месяц назад
Chadema kwani nichams chakutetea wananchi au nigenge lawahuni wameungana kwa maslahi yao .mfano huu chadema wamepewa ruzuku ya bilioni2.7 za wabunge wa viti maalumu huku wanadai viongozi wachadema kuwa wabunge waviti maalumu sihalali ila ruzuku au pesa nihalali ..
@hassangasaba4565
@hassangasaba4565 Месяц назад
Wamepewa lwasababu wanambunge mmoja.
@dionismutayoba3542
@dionismutayoba3542 Месяц назад
Haki yao sio hisani Sena lingine
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Месяц назад
Clemence ruzuku haitolewi kwa wabunge wa viti maalum bali mbunge aliyepata kura za wananchi na idadi ya kura za urais wabunge wa viti maalumu hupatikana kwa idadi ya wabunge waliopata kura za kwenye sanduku ukiangalia idadi ya wale wanaosemekana ni wa viti maalumu 19 ni wengi kuliko ambavyo ilitakiwa iwe kwani chadema wana mbunge mmoja tu
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Месяц назад
alafu kama hujui kitu bora utulie na hawa ndio wana ccm uelewa mdogo ndio maana nchi inadidimia.
@The1979bornagain
@The1979bornagain Месяц назад
Kuna problem la "communication skills" kwa kiongozi kamanda huyu. Maneno mengi yasiyo address hoja kuu. Mfano, umeitisha PC Ili kumfuta uanachama mwanachama kwa kosa la usaliti na rushwa. Tulitegemea kabla ya kutangaza kumfuta uanachama huyo mzee, ueleze amepokea rushwa gani? fedha? Kama ni pesa, shilingi ngapi? Kutoka kwa nani na wapi? Ni ushahidi gani unahalalisha adhabu yake hata kumtangaza mwenzenu kuwa ni mla rushwa na msaliti? Lakini wewe kamanda hapa ulikuwa unalalama tu na maneno mengi yasiyo ktk mpangilio kiasi cha watazamaji kutopata picha kamili ya tukio zima
@Kwelihukuwekahuru
@Kwelihukuwekahuru Месяц назад
Hayo ni kazi ya TAKUKURU na mahakama hawa wametoa taarifa kama hajapokea rushwa anaweza kukanusha au ashtaki kwa kudhalilishwa huwezi kuongea kila kitu huko mbele kwenye sheria utashindwa kwani ushahidi waweza kuvurugwa
@laurianmodest7372
@laurianmodest7372 Месяц назад
Unaongea pumba tu. CCM haijashindwa kitu unapayuka çhini ya serikali ya chama cha mapinduzi. Uhuru ulio nao wa kuongea, kupinga kelele ni Kwa sababu ccm imesimamia amani na utulivu ungekuwa DRC ungepayuka hivyo
@clemencelisonga8261
@clemencelisonga8261 Месяц назад
Ulishawahi fika kongo au umekariri unafikiri wakongo wako kama Tz
@JustinMbilinyi-vz8ud
@JustinMbilinyi-vz8ud Месяц назад
Makuzi
@donaldmaziku7915
@donaldmaziku7915 Месяц назад
Wewe unaona ccm ndiyo inakusadia sawa, na anayeona haimsaidii pia yuko sawa. Kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 Месяц назад
We fair and open electiona mkuu uone kama.chi chi eem inapendwa au la simply nad clear acha hasira
@januarysungura8119
@januarysungura8119 Месяц назад
kama unadhani nchi huu kuna amani basi aliyekufundisha juu ya tafsiri ya amani alikosea ana au hukumwelewa kwa sababu ya uwezo wako mdogo. Undhani mtu mwenye njaa anapata wapi amani? vipi mtu mwenye tozo lundo na kila aina ya kodi kuzidi hata za mkoloni anapata wapi amani? usione kobe kainama ,ipo siku tutawafundisha tafsiri ya ukimya na amani.
@batwelimahenge7850
@batwelimahenge7850 Месяц назад
Safi sana
@karushakamusa5525
@karushakamusa5525 Месяц назад
Safi
@bajagihaji8923
@bajagihaji8923 Месяц назад
Kujitetea kila leo
Далее
Finnish Foreign Minister Attends NATO Summit
10:47
Просмотров 8 тыс.
Watch Velshi Highlights: July 7
1:09:36
Просмотров 568 тыс.
Ruto's Biggest Mistake Firing Attorney General Muturi?
14:27