Тёмный
No video :(

🔴 

Bongo Boxing Safari
Подписаться 28 тыс.
Просмотров 372 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

28 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 461   
@yakoubaliy7559
@yakoubaliy7559 7 месяцев назад
Hongera sana Brother Mwakinyo Allah akuzidishie uwezo mkubwa katika safari yako ya boxng na uweze kuimarisha vipaji tanzania
@mfebricknkuna7106
@mfebricknkuna7106 7 месяцев назад
Tumeona uwezo wako, mdogo wangu. Mungu akujalie na akulinde kwenye safari yako. Wewe ni bingwa kwenye uzito wako.
@user-ct7qy4oy9q
@user-ct7qy4oy9q 7 месяцев назад
Hongera sana Hassan Mwakinyo kwa kazi nzuri sana yenye uweledi wa hali ya juu, Shukrani sana Mr Hassan Mwakinyo kwa kuipeperusha vyema bendera yetu ya Tanzania.
@njilatv-pj1gq
@njilatv-pj1gq 7 месяцев назад
Kuna wenye mamlaka..Na walio chini ya mamlaka....Ila bibi alininong'oneza..! Jua halifunikwi na ungo..! Na ukiona kwako Giza basi kwawenzio kunawaka...!! Tukiachana na hayo mwakinyo ni mtu mwingine... HONGERA SANA MWAKINYO.
@nzumbibahati2192
@nzumbibahati2192 7 месяцев назад
Hongera sana Mwakinyo, umeonyesha wewe ni Bondia na ngumi unazijua, tatizo TZ hatupendi vyetu, nashangaa pambano kubwa Azam nao wanaonyesha ngumi za kitoto...ilitakiwa hili walipromoti Kwa nguvu kuinyesha Dunia namna ngumi za kimataifa zilivyo, wao wanaonyesha sijui ngumi Gani!!! Au ulikuwa mpango wa kuvunja coverage ya Mwakinyo nn? Tuache wivu Mwakinyo anakipiga sana..❤❤
@janejoel2465
@janejoel2465 7 месяцев назад
Watu wame umbukaaaaa ❤❤❤
@user-yu6zj3bw1y
@user-yu6zj3bw1y 7 месяцев назад
Wanatumia nguvu kubwa kumpoteza mwakinyo
@reubenmajambo1270
@reubenmajambo1270 7 месяцев назад
Kumbe hawajaonesha
@chusseboywcb2808
@chusseboywcb2808 7 месяцев назад
❤❤
@salumumchaga9717
@salumumchaga9717 7 месяцев назад
😂😂😂😂 ukweli haujifichi, tumeona ,tumegundua na tupo Benet na mwakinyo
@user-ib9bz9ll1v
@user-ib9bz9ll1v 2 месяца назад
Mwakinyo best fighter katika historia ya ngumi Tz ,na mkubali sana huyu jamaa big up brother kaza buti utafika mbali zaidi
@frankhaule8570
@frankhaule8570 6 месяцев назад
Mtangazaji na mchambuzi mlikuwa vzuri sana kutuletea radha nzuri ya matangazo na uchambuzi🔥
@user-pj8yc3zw6m
@user-pj8yc3zw6m 7 месяцев назад
Mwakinyo mungu akujalie us❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@sadunabdallah7303
@sadunabdallah7303 7 месяцев назад
Tumeinjoi sanaaa Crawford wa tanga umewafunga midogo wenye roho za ku2 msena wangu mungu ndo kila ki2 leo wataongea nn mana alukuwa wanasubria kuongea cwackii kmya dadek champenz oyeee❤❤❤❤
@jonasmpita2206
@jonasmpita2206 2 месяца назад
Hongera sana Hassan kwa kupeperusha bendera ya Tanzania vema, na angalau safari hii raba sio kama zile za UK wakati ule uliposuasua kuua mtu pale Uingereza
@veelmng7746
@veelmng7746 7 месяцев назад
Hizi ndio boxing ya ukweli jamaa wote fit. Hongera sana Mwakinyo. Pia waandaaji kwa kuandaa pambano zuri kama hili
@frankbai2473
@frankbai2473 7 месяцев назад
Hongera sana mwakinyo kwa mechi nzuri@najua unapitia figisu nyingi ndo TZ tulivyo mtu mwenye mafanikio anapigwa vita badala na ku suppprtiwa@MWENYEJI MUNGU akusimaie uendelee kupeperusha bendera
@omarzinga7046
@omarzinga7046 7 месяцев назад
ZBC should be able to slow motion highlights each round
@user-pj8yc3zw6m
@user-pj8yc3zw6m 7 месяцев назад
God bless you 🙏🙏🙏 mwakinyo
@yahyambigily6031
@yahyambigily6031 7 месяцев назад
Wenye maua ya Mwakinyo njoni hapa💪
@husseinmanyanga1587
@husseinmanyanga1587 7 месяцев назад
Allah azidi kukupaisha bondia wetu watanzania tuko nyuma yako.
@Jibambeshow254k
@Jibambeshow254k 7 месяцев назад
😂😂mtu anapigwa pekeake wasema ukopamoja naye acha uongo
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 5 месяцев назад
😂😂😂😂​@@Jibambeshow254k
@user-ej3ho5ps4n
@user-ej3ho5ps4n 7 месяцев назад
Oya msimfananishe Mwakinyo na Twaha kiduku ,Twaha bado mdogo sana
@user-gc3ec9wx6z
@user-gc3ec9wx6z 7 месяцев назад
Hana lolote
@janejoel2465
@janejoel2465 7 месяцев назад
Kweli kabisa . Kiduku anatabia ya kujitupia mwilini kwa wenzio na limwili lake ndio maana yule muafrika kusini alimshinda coz akirukia mwilini alikuwa ana mkwepa
@user-du6bd3no2b
@user-du6bd3no2b 7 месяцев назад
Kiduku kwa mwakinyo ni kama kusukuma mlevi tu....yaani huyo kiduku asije kuyakanyaga kwa mwamba huyu
@angelangaiza2274
@angelangaiza2274 7 месяцев назад
Mwakinyo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@boniphacenkombe4868
@boniphacenkombe4868 7 месяцев назад
Champez..one more time for the king
@universitylink
@universitylink 7 месяцев назад
Mwakinyo yuko fit sana alikuwa anamsoma alipombadilishia mguu ili apige jab na Cross na upper cut
@bigemagomabigemagoma6312
@bigemagomabigemagoma6312 7 месяцев назад
Ongera Sanaa kaka 🎉kumbe Azam wa ovyo mbona hawajaonesha
@user-vm1yw6yh5u
@user-vm1yw6yh5u 7 месяцев назад
This is good my role model champezi one mo time hasaaaaaani mwakinyoookioooooooooooo,🔥👊
@mussamwamoto8231
@mussamwamoto8231 7 месяцев назад
Mwakinyo hongera Sana,umeonyesha maneno na vitendo kwa pamoja,watu wengi na mabondia wanakuchukia ila hawaelewi kuwa kuongea kwako kunaamsha amsha games za ngumi kuwa na ushindani,salamu kwa wapaka piko zimefika,wale walio andaa pambano Tanga ilikuwa ni gamę plan kuvuruga bambano la Zanzibar,ila mungu kawaumbua na tumeamini maneno yako kuwa ni maadui zako,kwa nini wasipange pambano lao tarehe 28?
@josephatmakaranga
@josephatmakaranga 7 месяцев назад
Haongei kuamsha amsha tu Bali jamaa anatetea haki za mabondia pamoja na maslahi yao kwa ujumla.
@Izaangonyan
@Izaangonyan 7 месяцев назад
Hongera bingwa from my country i am so proud for MWAKINYO pambono moja tu ndio uliniangusha mjin Liverpool lkn unapoamua kuifanya kaz unaifanya kisawasawa na sijaonaga kama Mwakinyo
@FunnyChurros-hy9fe
@FunnyChurros-hy9fe 7 месяцев назад
Kama unasema mwakinyo kapambana na mnyonge omba week pambano na mwakinyo au mlete Baba ako
@rogerabdallah439
@rogerabdallah439 7 месяцев назад
Wewe umemleta uyo babako
@user-qk5gh5ns9m
@user-qk5gh5ns9m 7 месяцев назад
Huelewi kiswahili ww​@@rogerabdallah439
@avelinpriscus6018
@avelinpriscus6018 6 месяцев назад
Mletemamayako
@jabirkibwana1568
@jabirkibwana1568 2 месяца назад
Hongela kaka tangalahatu mawazo kando hongela mungo azidi kuku jazanguvu❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤and 32:58 33:00
@musaamos2431
@musaamos2431 7 месяцев назад
Nakukubalj mwamba mwakinyo pamoja sana
@mwikamwika4851
@mwikamwika4851 7 месяцев назад
The best boxer in Tanzania kwa uzito wao
@swahilitherapytv3846
@swahilitherapytv3846 7 месяцев назад
Kiduku atapigwa kipigo cha mbwa kokoooo, mpaka piko😂😂. Mwakinyo congratulations
@ishengomarugemarila908
@ishengomarugemarila908 7 месяцев назад
Nakukubari mwakonyo
@hamzamakame-fy6yp
@hamzamakame-fy6yp 7 месяцев назад
Maasha allah hassan hongera kwako kaka wanao bishana na ww ndy wanaokuwa chanzo cha siziki yko wako hivyo waendelee kuwa na chuki wako maana ww unaakilia ya ngumu hivyo watakuchukia tu 💪💪💪💪
@GiahESayi
@GiahESayi 7 месяцев назад
Hongera Sana mwakinyo aibu yao waliokuwa wanakutafutia mzengwe ktk kazi zako mungu akizidi kukupambania mwisho wao ni aibu
@davidmeta8747
@davidmeta8747 7 месяцев назад
Cha kushangaza wapo humu wamegeuka kumshangilia,,hii ndio tz,rafiki kinyonga,leo rafiki kesho adui keshokutwa rafiki
@RamadhaniShabani-nc5ve
@RamadhaniShabani-nc5ve 7 месяцев назад
You is 👑 in Africa
@josephmwabange9633
@josephmwabange9633 7 месяцев назад
Yule jamaa ni mbavu lakini ,mwakinyo ana uzoefu mwingi, na ngumi yake haitui ovyo, hongeraaaa brother Mwakinyooo, utakuwa mnyakyusa wewe hakika , maana ni nooooomaaa! Mungu aendelee kukutia nguvu, tulikumisi ulingoni sanaaa! Sasa tafadhari sana , katupigie yule muingereza basi , naamini utaonesha maajabu !
@user-cu6mr4uj9q
@user-cu6mr4uj9q 7 месяцев назад
Allwah atakusimamia mwakinyo
@AdilRashid-lw9wg
@AdilRashid-lw9wg 7 месяцев назад
Kama unajua unajua tyu mti wenye matunda ndo hupigwa mawe Yan mnatak mtudanganye kwadunia hii kwamba mwakinyo hajui ngumi?nyie mwakinyo ni bondia haswa TNG❤❤❤❤❤❤❤
@hassanlyanga9415
@hassanlyanga9415 7 месяцев назад
Kazi nzuli wajinaa🔥
@gabybulba9574
@gabybulba9574 2 месяца назад
Hongera sana kaka
@hamadkipenzy6905
@hamadkipenzy6905 5 месяцев назад
Uwezo wa Hassan Mashallah Allah azidi kumpanguvu katika mikono yake Insha'Allah kingine kiherehere cha mtangazaji anamtangaza mshindi kama yeye ndiyo refa hajafuta protocol ametengeneza delay
@saidmasoud9004
@saidmasoud9004 7 месяцев назад
Huyu Mghana alikua mgumu sana. Welldone Mwakinyo
@user-ky3dj4tp5i
@user-ky3dj4tp5i 7 месяцев назад
Pipa na mfuniko hao
@deogratiusyudatadei5658
@deogratiusyudatadei5658 2 месяца назад
​@@user-ky3dj4tp5i😂😂😂😂😂 hamna kitu hapo ngumi zakuotea tu
@osoovieraamigo4709
@osoovieraamigo4709 7 месяцев назад
Hongera familia hii game umeonesha umaarufu sio siri...keep it up MWAKINYO🎉
@zaradially1666
@zaradially1666 6 месяцев назад
Keep it up mwakinyo baba ngumi unajua watazania sisi wivu ndio tatzo nakupa maua yako🎉
@user-pq2gv9wm1h
@user-pq2gv9wm1h 7 месяцев назад
❤❤❤ yako Ayo hasani waonyeshe maboya wataka kufafana naww
@adammbarouk4379
@adammbarouk4379 6 месяцев назад
❤🎉 hongera sana bro
@user-bv4gu5po4g
@user-bv4gu5po4g 6 месяцев назад
🎉🎉🎉🎉kazi nzuri broo hassan❤❤ tz oyeee
@user-uu5fi2zz7h
@user-uu5fi2zz7h 6 месяцев назад
Good job champenz
@LovelyGo-Kart-so8ur
@LovelyGo-Kart-so8ur 7 месяцев назад
Honger kaka ww nifundi wangumi unajuakk
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 7 месяцев назад
huyu jamaa kiboko hana rongorongo wenye wivu wakakojoe wakalale😂❤❤❤
@KarimuMathias
@KarimuMathias Месяц назад
Kaka nakukubari sana
@imanimwampagama8390
@imanimwampagama8390 7 месяцев назад
Nimefuatilia comment za watu hakika nyota ya mtu huwezi kuua kabisa utajitahidi kuififisha lkn mungu ana kung'arisha zaidi sema wabongo msema kweli wanaona kama mkorofi jamaa hapendi ubabaishaji!
@abubakariali9848
@abubakariali9848 7 месяцев назад
Hongera mwakinyo kwa ushindi mnono Ila kwa huyu mwanajeshi hakuna bondia anapiga ngumi kama tunaangalia Slow motion sioni Jab, sioni Combination, 1 two hakuna kwa ufupi ni pambano la kawaid na hio Combat angeivua anatudhalilisha wanajeshi
@kellybreezytz2491
@kellybreezytz2491 7 месяцев назад
Kesho tutakuita upigane wewe
@jumamabu3650
@jumamabu3650 7 месяцев назад
Mwakinyo ni fundi , anajua sana Allah amjalie kijana huyu
@jabrous2057
@jabrous2057 7 месяцев назад
hayufosi KO tunacheza professional boxing,,champez one time hongera
@user-wv1pu4jo3k
@user-wv1pu4jo3k 3 месяца назад
ingetakiwa mwakinyo angeenda kule Ghana akamfue soja kule kule kwao ili heshima iwepo
@user-hy2bb7bp4o
@user-hy2bb7bp4o 7 месяцев назад
Big up Hassani mwakinyo ww ndo Tanzania one hakuna mwingine zaidi yako wengine hamana kitu zaidi ya wivu wa maendeleo pamoja Champez big up bro
@user-pj8yc3zw6m
@user-pj8yc3zw6m 7 месяцев назад
💪💪💪💪💪
@mwananganzi
@mwananganzi 7 месяцев назад
Congratulations to u and god bless u HASSAN Mwakinyo
@adampius5140
@adampius5140 7 месяцев назад
Kma hajaguswa yaan macho meupeeee Hongera sana Hassan Mwakinyo unatuwakilisha vemaaa sana
@DavisMmole-yk8lo
@DavisMmole-yk8lo 7 месяцев назад
Mwamba unajua waache wasiojielewa wakuseme vibaya ukiwa unapambambania maslai Yako ❤❤we ni mwelevu hepuka unyonge bro pigania maisha Yako Kaz iwe na maslai fanya Kaz good champion
@bigirumanalululouise4540
@bigirumanalululouise4540 7 месяцев назад
Mwakinyo umetisha❤❤❤❤❤
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 7 месяцев назад
Safi sana kijana mchezo uko sawa.
@abuuyusufamashi5459
@abuuyusufamashi5459 7 месяцев назад
Mwenyezi mungu amkinge na Mahasidi
@hamadkipenzy6905
@hamadkipenzy6905 5 месяцев назад
Tanga Alihamdulillah tupo vizuri zaidi sana kuna kina bonzo na mambea sasa Mtoto wao Mwakinyo
@saidsam3053
@saidsam3053 7 месяцев назад
Hongera sana broo ALLAH azidi kukusimamia inshallah waloanzisha pambano jn tanga walikuwa na Nia mbaya ya kukuharibia pambano lko ila Allah kakuhifadh haiwezekani star km ww jn ilitakiw tz nzm ikuangalie ww lkn Kun wanafik tz sure
@user-wv1pu4jo3k
@user-wv1pu4jo3k 3 месяца назад
Huyu soja wa Ghana kule kwao ndio kama kiduku huku Tanzania levo yake ni kiduku sio mwakinyo kwa mwakinyo atachezea sana
@ibraahmfw1147
@ibraahmfw1147 6 месяцев назад
Ngumi jiwe, hongera Home boy , Refa alitakiwa awashike mkono then amnyanyue mshindi juu hapa imekua tofaut😅😅
@AyubuKibengu
@AyubuKibengu 7 месяцев назад
Hongera sanaa mwakinyo nimefurahii sanaa hinzo ndo ngumi tunataka safi sana
@user-wv1pu4jo3k
@user-wv1pu4jo3k 3 месяца назад
Namkubali mwakinyo
@faakhames
@faakhames 7 месяцев назад
Nakukubali sana mwakinyo zidi kutangaza tz
@HappyGrant
@HappyGrant 7 месяцев назад
Mwakinyo mtegemee Sana mungu upo viziri Sana sio makuli wanaigiza ngumi wanakumbatia
@user-yo7sj8fs4h
@user-yo7sj8fs4h 7 месяцев назад
Jamaa anajua. Wanajitahidi kumtenga na kumtengenezea chuki bure. Safi Mwakinyo
@user-ku1ys6xf6x
@user-ku1ys6xf6x 7 месяцев назад
Asante🎉
@niccollabalele
@niccollabalele 2 месяца назад
Nasema hivi tutawpiga sana Team mwakinyo maana tunafanya mazoezi kwa nidhamu kubwa.....msitugeze kuongea tunawalegeza kwa maneno na tunawapa hasira Team mwakinyo(Moore money more despline)
@user-dz5cy7oy2c
@user-dz5cy7oy2c 6 месяцев назад
Azam wanatuangusha sana pambano kubwa afrika kweli. Mana mwakinyo namba moja afrika wametuangushamno mono sijapenda au kisa kagoma kucheza na Yule under dog
@sidebraizoy2070
@sidebraizoy2070 3 месяца назад
Nakukubali sana champez🎉
@yohboy8810
@yohboy8810 7 месяцев назад
Kinyoo boy
@chiamberboy2394
@chiamberboy2394 7 месяцев назад
Amazing fight
@user-nv8oq5ep6c
@user-nv8oq5ep6c 5 месяцев назад
hongera brother
@HigganadventureTanzania
@HigganadventureTanzania 2 месяца назад
We still need to see the fights 😮
@JumaKimanga
@JumaKimanga 7 месяцев назад
Champion mwakinyo Yuko power kabisa
@WebDevComputerLearning-dr8ej
@WebDevComputerLearning-dr8ej 7 месяцев назад
Champez Mwakinyo............! The One N Only in Tanzania and Africa
@FakiBuzwhite-no6re
@FakiBuzwhite-no6re 7 месяцев назад
Mm ni mzanzibari ila mwakinyo nakukubali sanaaa
@modestusndunguru7183
@modestusndunguru7183 7 месяцев назад
Acha kusema mi ni mzazibar..mbona Kwan yeye kakuambia wa wap😂😂 ..hata ukiwa wa komoro...baridi tu
@user-zs4xz1vv4o
@user-zs4xz1vv4o 7 месяцев назад
Safi sana champez Mogadishu famili
@user-hi5dx1cn6b
@user-hi5dx1cn6b 7 месяцев назад
TZ one forever and ever
@hamadiselemani8665
@hamadiselemani8665 6 месяцев назад
hongera sana
@user-vm1yw6yh5u
@user-vm1yw6yh5u 7 месяцев назад
Uyu ni crawford wa tz🔥👊
@user-wv3dq4mx3d
@user-wv3dq4mx3d 7 месяцев назад
Big up mwakinyo
@MulkuMassos-um1ix
@MulkuMassos-um1ix 7 месяцев назад
Kapambana na Mnyonge sana na hiyo ndio sababu ya kumkimbia yule bondia wa kwanza
@jumautikae881
@jumautikae881 5 месяцев назад
ni kweli Hassan kacheza vizuri sana lakini huyo jamaa nadhani si kweli kwamba ni soldier
@eshaabdallah8253
@eshaabdallah8253 7 месяцев назад
Umeweza kaka wa Taifa🇹🇿
@Chimamy5242
@Chimamy5242 7 месяцев назад
Nakupenda mume wangu wa maisha mwakinyo❤
@johnjulius3092
@johnjulius3092 7 месяцев назад
Saf saan shemej jamaa kaupiga mwingi
@shanwedispensary2169
@shanwedispensary2169 7 месяцев назад
Mbona gafla
@DaudyZacharia
@DaudyZacharia 7 месяцев назад
Mambo
@deniskyangala3400
@deniskyangala3400 7 месяцев назад
Acha umalaya😂😅😅😂
@MwanaNgurumo
@MwanaNgurumo 7 месяцев назад
Ninakuamini sana mwaba ujawai kunihagusha mtan wangu wasambaa hoyeee❤❤
@rashid3562
@rashid3562 4 месяца назад
Mwakinyo mungu amjalie nguvu zaid
@user-ou8hr9ff8g
@user-ou8hr9ff8g 7 месяцев назад
Dua sana kwako Kaka mwakinyo
@damaspmtz1018
@damaspmtz1018 7 месяцев назад
Mwakinyo Unajua ngumi, ukitoka wewe anafuata Twa kiduku anafuata Ibrahim clask Big up Tanzania 🇹🇿 my best
@JeremiaJohnsonmkane
@JeremiaJohnsonmkane 7 месяцев назад
Onger bloo God bless you
@zubeirsalum4823
@zubeirsalum4823 7 месяцев назад
mghana kapipa hesabu kaona hawez toboa round ya 10, hongera hassan mwakinyo
@johnjoseph9596
@johnjoseph9596 6 месяцев назад
mwakinyo na ibra classic ni mabondia wanaotumia akili sana. Well done champez
@ezekielmbise9766
@ezekielmbise9766 7 месяцев назад
Wanafiki wote baada ya ushindi wako tunakuunga mkono. 😅hongera Sana mwakinyo
@zuberikamote2078
@zuberikamote2078 7 месяцев назад
Safi sana mwakinyo mdogoa angu mungu akusimamie umeiheshimisha tz umetuheshimisha watanga wenzio
@user-ib5jh9xg5q
@user-ib5jh9xg5q 7 месяцев назад
God bless 🎉
@issabakary-no2kc
@issabakary-no2kc 7 месяцев назад
mwakiyo nakukubali leo umepapan kwelikweli ss tunakuombeya nduwa uzindi kutuwakilisha watazaniya wenzako 🤝🤲🤲
@kiya0910
@kiya0910 6 месяцев назад
Mmmh kaletea ndizi 😢😢 bado Sana mwakinyo tarabu Tu ndio nyingi
Далее
ЛОВИМ НОВЫХ МОНСТРОВ В LETHAL COMPANY
2:42:22
Woman = best friend🤣
00:31
Просмотров 3,2 млн
Salama Na MWAKINYO Ep 44 | VITASA OVERLOAD Part 1
28:02
Rama vs. The Assassin Scene - The Raid 2 (2014)
10:03
PAMBANO KAMILI: HASSAN MWAKINYO vs TSHIBANGU KAYEMBE
1:34:11